South Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia kikamilifu somo ❤❤❤❤❤
@joelnanauka4 ай бұрын
Shukrani sana kwa kuwa mwanafunzi unajifunza kila siku.
@Eziron9Vyats4 ай бұрын
Ahsante sana kaka kwa malifaa ulisha wah nitoa hata moja kwenda nyingne kupitia vitabu vyako see you at the top
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen, nashukuru sana kwa mrejesho🙏🙏
@work24onme4 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, kila siku napata kujiona ninapo kosea na ninacho takiwa kukufanya, kupitia wewe, kama Mungu alivyo kuumba! God Bless you, Amen 🙏🏼
@janetfrancis71804 ай бұрын
Asante MUNGU kwa ajiri ya kaka Joel Nanauka, MUNGU nakuomba endelea kumtunza kwa ajiri yetu. see you at the top.
@user-rw3jx4bx4i4 ай бұрын
Ahsante sana kaka
@bernadetachari76484 ай бұрын
Kweli mwalimu asante
@user-hr7bn8bm2l4 ай бұрын
Sijapata Mtu mwenye Hekima kama wewe! Yote ambayo umeyazungumza yananihusu Mimi! Asante Mwalimu Mwema. Nzarubara Emmanuel Nchini Rwanda.
@joelnanauka4 ай бұрын
Ameen Ameen, ahsante sana Nzurabara kwa kuendelea kujifunza.
@user-sp1ig8ul2s4 ай бұрын
Iyo ya mwisho sasa
@shukranjulius95264 ай бұрын
Kaka yangu kiukweli nakosa chakusema ,ila baraka za Bwana ziwe nawe siku zote ,umekua baraka kila iitwapo leo,hili somo limeniimarisha ,sito lalamika kwa watu ila nazidi kuwa imara
@selnamartini71714 ай бұрын
❤ Asante Sana ✍️✍️
@user-jb5tb7qq5f4 ай бұрын
Tunasubiri boss wetu
@user-lq4op1bv5c4 ай бұрын
Nashukuru san ninaumri mdog san lkn nimkubwa kiakil asante kwa kuujaz ubongo wangu kwa maneno n mxukumo kaka❤❤❤❤❤
@alexlucas15714 ай бұрын
I'm the winner of the best
@JumanneNkina-rb2ys4 ай бұрын
Dahl Kaka umenigusa kwa asilimia kubwa sana. Ila kupitia hili somo nimejifunza sana na nitaitatua hii changamoto kupitia maarifa niliyoyapata ili kuweka mikakati na misingi ambayo itaniwezesha kumaliza mambo. MUNGU akubariki Kaka.
@joelnanauka4 ай бұрын
Ahsante kwa mrejesho Jumanne,tuendelee kujifunza🙏
@RozaliaNathoo4 ай бұрын
Ubarikiwe sana!
@clarasabutoke69074 ай бұрын
Asante
@user-gt2dg5gy2h4 ай бұрын
😊😊pamoja
@bekaemmanuel53864 ай бұрын
Ubarikiwe
@user-qv3eo5pb3g4 ай бұрын
I love u joel my roal mode wangu
@alexngumba35814 ай бұрын
Tupo pamoja kaka
@alextzatv4 ай бұрын
Menono Yako yanaishi mungu akulinde
@user-nm4dl5lc3p4 ай бұрын
Ma sha allah.. ❤
@goldiegranted55014 ай бұрын
🏆🏆🔥🔥
@enessjohn62924 ай бұрын
Nimecomment KZbin kwa mara ya kwanza kaka Joel. Kila mara naposkiliza hizi episodes zako hua nakua na Notebook and Pen pembeni kwa ajili ya noting down hizi gems. Mungu aendelee kukutunza😊.
@joelnanauka4 ай бұрын
Hongera sana sana na ahsante kwa mrejesho
@EDMUNDSOSPETER4 ай бұрын
Mr Joel see me at the top
@user-gi8vf5pn4g4 ай бұрын
nakukubari sana kaka
@hadidjaissa91544 ай бұрын
🙏🙏🌹😘
@paschalmasanilo26174 ай бұрын
🎉🎉🎉
@starplatnumz4 ай бұрын
❤❤❤❤ a boy from kigoma town
@jeRohfikratulivu4 ай бұрын
Asante sana fanikiwa
@emmanuelashery56214 ай бұрын
Barikiwa sana mwalimu. lakini huyo mtu wa kusubmitt namjuaje au namoataje?