Dunia inasubiri kuona mambo makubwa kutoka kwangu, Nitakuja kuwa na Online TV kubwa ya kutoa habari za Injili duniani na nimeshaanza ❤🎉
@LaulentSamson7 күн бұрын
Mungu akubaliki joeli kwakuendelea kutufua🙏🙏
@magretlaurent87173 ай бұрын
Aiseh you really made my day , i know the world is waiting for my manifestation, lord direct me open my ways so that i can seee my capabilitiea
@estamichoromichoro563413 күн бұрын
Asante ka kaka joel , ilo dasara nitaiñgiaje
@NELSONOSCA9 күн бұрын
Habari. Nawezaje kuwekeza kama wewe mana ninaweza kufanya kazi kama yako.
@FELISTERPETER-jf9jv5 ай бұрын
Kuna kipindi nilichoka sana kibiashara nilikata tamaa, mtaji uliyumba sana. Ckua na msaada tena ila nilivoanza kumfatilia Joel maisha yangu yalibadilika Kwa kias kikubwa sana. Barikiwa sana mtu wa Mungu
@ReiphanLusungu7 ай бұрын
Nimejifunza na kuwa kumbe ninapo shindwa kutumia uwezo nilionao nakuwa na mwangusha Mungu wangu🙏🙏 Hakika Joel Nanauka kunasiku tutajiuliza Wewe ninani??? Mungu akubariki sana hakika.💪💪💪
@aishamsemwa-zu3eo6 ай бұрын
Mi nauza mikate tuu ya mia mia napigwa vita hatari lakini napambana na sitoacha kujituma, Asante sana kiongozi wangu 🎉🎉🎉
@pikanaauntzuu14667 ай бұрын
Asante sana professor kupitia video zako umenihamasisha ninunue vitabu vyako yani kiskia mtu anakuja dubai sina cha kuagiza ila vitabu vyako nimemaliza juzi kusoma kitabu cha siku 30 za kuishi ndoto yako nataman ningekisoma zaman mika 8 nyuma nahisi ningekuwa mbali sana ila naamini sijachelewa kila nikiosma kitabu kimoja naona nahitaji kusoma na kitabu kingine shukrani sana kaka Joel Allah akupe umri mrefu na afya njema Inshaallah ❤
@VeronikaSangawe23 күн бұрын
Mungu naomba nisamehe sana nilitaka kukuangusha ila natubu nitaanza upya, ubrkw kaka
@emmytarimo3907 ай бұрын
Tokea nimeanza kukufatilia naona mabadiliko ndani yangu na maisha yangu pia..... Your the best bro Mungu akutunze mnoo
@macmillanmakawia15422 ай бұрын
Salaam,hongera sana sana,pls keep it up.
@magretlaurent87173 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 be blesssed nanauka
@alexlucas15717 ай бұрын
Shukrani sana ndugu kwa darasa, YEHOVA MUNGU azidi kukupa afya njema wew na familiar yako 🙏
@AmaniRashidi-i9b7 ай бұрын
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu wangu
@rollahngimbwa69787 ай бұрын
Shukran kaka🙏🏽🙏🏽. " Hakika kka kifo siyo hasara kubwa hasara kubwa ni vile vitu vinavyokufa ndani yetu tukiwa bado tunaishi" Nimejifunza kitu kaka shukrani 🙏🏽🙏🏽
@wadauwasizoni7 ай бұрын
Nilishangaa namuota Joel nanauka ananipa kitabu hapo ndipo nilianza kumfuatilia.
@Tinahkisaka7 ай бұрын
ur the best Mr Joel. mafundisho yako ni taa ya maisha yangu.
@Iman_Seleman016 ай бұрын
Good job Joel, keep up a good work and stay blessed
Mr sijutii kukufahamu..God bless you wewe ni hazina kubwa kwenye taifa hili🏆
@Princeraphael106 ай бұрын
Always I feel so proud to listen you brother because always I do gain more knowledge and my life has been changed....
@JoyceHaule-o7b6 ай бұрын
Joel upo vizuri sana pamoja na age yangu kubwa naona kama naanza sasa
@petermunuo16575 ай бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@JaklinaClaudi6 ай бұрын
Mungu akubariki mnoo kaka kwanza umenisogeza karibu sana Mungu
@shukranjulius95267 ай бұрын
Hallelujah, namtukuza Mungu kwaajili yako kaka nimepata kitu kipya asubuhi yaleo ❤❤
@joelnanauka7 ай бұрын
Amen tuendelee kujifunza. Nisaidie kushare na wengine🙏
@shukranjulius95267 ай бұрын
@@joelnanauka Amina kaka nina fanya hivyo kabisa nawaba furahi sana
@EveryinaJosephat3 ай бұрын
Nakupenda sana Joel nanauka naamini utanibadilisha 0:00
@Yasiniabjadi7 ай бұрын
Mungu akubaliki Joel nanauka 🤲
@IbrahimDaudi-bo7ke5 ай бұрын
Asante Sana Kaka Joel Nakufatilia Sana
@MarryJulius-wq3eg7 ай бұрын
Kiukweli nabalikiwa na kaka Joel maisha marefu kaka
@goldiegranted55017 ай бұрын
Shukran sana kwa somo Coach 🏆,,,barikiwa mno🌠
@tukaesanatu27547 ай бұрын
Asante Joel nitakutafuta baba ,,,ubarikiwe
@RUTHEDWIN-i6l7 ай бұрын
MUNGU akubark san kakaangu 🙏🙏
@REMMYGASPAR7 ай бұрын
Nimepata kitu kikubwa sana hii asubuh through this video,, Thankyuu much @ bro joel
@joelnanauka7 ай бұрын
Ahsante sana, tuendelee kujifunza🙏🙏
@FrancisNdungu-kt8xu11 күн бұрын
Mtu anajiunga aje Kamaa kutoka Kenya
@israelfumbo20937 ай бұрын
Asante sana kaka Joel unanisaidia sana
@Sanga_jr_247 ай бұрын
Nibarikiwe na like Yako kaka @Joel
@Keyjop7 ай бұрын
Nakujaje you tube bila kukusikiliza kaka #Joel ...nimeanza kukusikiliza November mwaka Jana hakika umenibadilisha Kwa kiasi kikibwa saana Yesu akuatamie zaid bro...
@AmosBunzari5 ай бұрын
Hongera Sana mtumishi wamngu natamani nije ofisini tuzungumze
@AmosBunzari5 ай бұрын
Samahani Mimi natoka mkoa wa katavi
@gilbertbaya15467 ай бұрын
From Kenya...be blessed bro.
@OmanOman-c9d7 ай бұрын
Ahsante sana kaka joel mungu akubariki
@AyubuKorio7 ай бұрын
Mungu akunze sana mtumishi
@KalabaKlb7 ай бұрын
kaka Joël nami niko tayari kudjiunga, please
@AnithaCharles-s7n13 күн бұрын
Asant nashukur mm
@marianalwiva88237 ай бұрын
Hii ni chai ya kila siku asubuh kumsikiliza kaka Joel ameniambia nn leo kisha niendelee na kutimiza wajibu wangu....
@joelnanauka7 ай бұрын
Ameen Songa mbele 👏🏻👏🏻👏🏻
@marianalwiva88237 ай бұрын
@@joelnanauka 🤝🙏
@aliyukagambo7 ай бұрын
Kweli kaka Joel niliwahi kukwambia Mimi ni chef by professional sasa hivi nipo Romania Europe nipo Bucharest mji mkuu wa Romania nafanya Kazi capricciosa restaurant
@aliyukagambo7 ай бұрын
Nimepandia ndege Jomo Kenyatta international airport nyumbani Tanzania kaka zangu hawakuamini dada zangu hawaamini mpaka wafanyakazi wenzangu Mwanza hawaamini lakini ndo hivo
@SuleimanMasumbuko-ol1yp5 ай бұрын
Mkoa wetu wa mtwara umekua mkoa maarufu sana Mungu kutubariki watu wa kipekee na faida kwa jamii kama Joel. Respect sana kaka
@bernadetachari76486 ай бұрын
God bless yuo mwalimu
@KalabaKlb7 ай бұрын
Kabisa ubarikiwe kk Joël
@ChantalNdayizeye-ol1re7 ай бұрын
Mimi nishajua potentiel yangu na sasa nipo kazini,
@African5117 ай бұрын
Prof Nanauka ❤
@philipomwazyunga45726 ай бұрын
Asante nimejifunza kitu.
@HeavenSumari7 ай бұрын
Shukrani ubarikiwe joel
@eliasmugume2547 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa
@ClementLeonard-h9m7 ай бұрын
Safi kaka hazina ya Tanzania Kasi zaadi
@estermathias83547 ай бұрын
Kwa jina la YESU naikemea roho ya uoga iliyopo ndani yangu.naamini nimeweza #matokeo badae mimi ni mshindi
@joelnanauka7 ай бұрын
Kabisa pambana nayo
@lucympelembwa78366 ай бұрын
Nakutia moyo roho ya uoga ni Shetani ,pambana Kwa kuomba na kuamua kuanza,mimi namshukuru sana Kaka Joel Mungu amlinde kila siku ,alinifanya nianze,siku nasitasita kuanza nikakutana na somo lake hapa linasema USISUBIRI KUANZA ANZA KUANZIA SASA,hauwezi amini baada ya wiki mbili nilianza kwahiyo nikutie moyo tu Anza tafadhali usiwe mwoga sawa
@EmmanuelKavumbu7 ай бұрын
Asante Kwa kunipa hii chai, Mimi nimegundua ni mvivu nimeridhika ujinga
@joelnanauka7 ай бұрын
Ongeza bidii songa mbele
@richardMwita-qy2jq5 ай бұрын
Mwalimu unakuelewa sana
@nashonsibye7 ай бұрын
Be blessed
@BelindaObedi7 ай бұрын
Be blessed
@magdalenafidelis38777 ай бұрын
Thank you Sir,
@julianalaly20957 ай бұрын
Asante sana
@stanleyandrea51537 ай бұрын
Shukurani sana
@hildamanda68107 ай бұрын
Be blessed
@BelindaObedi7 ай бұрын
Mungu akulinde
@joelnanauka7 ай бұрын
Ameen Ameen🙏🙏
@djramsoyusuph96617 ай бұрын
Najiungaje
@erickathanas6 ай бұрын
Kaka nilikuwa nimekata tamaa lkn somo lako limenirudisha kwenye tumain Tena
@aderiderkihupi72406 ай бұрын
Asante
@5fivestudio-h6u7 ай бұрын
Thanks
@Yusuph-c2g7 ай бұрын
Asante ndugu umefungua akili
@Saidmarez7 ай бұрын
Thanks
@vanessasalema60876 ай бұрын
Noted .
@rustiqrustiq63376 ай бұрын
Hadi nmelia
@janetmbwana5537 ай бұрын
Kiukweli Nina kila sababu ya kutafuta potential yangu😢 sipaswi kabisa kubaki hivi nilivyo
@AbuuSalha24 күн бұрын
Hiyo courser naipataje
@NSCCLORUVANI-TAG5 ай бұрын
Naitaji hiyo kozi, please
@tumainselestine33987 ай бұрын
Kwa yeyote ambaye anatamani kujoin lakini kwanjia ya Online utaratibu umekaaje Mwalimu.
@mahambagislain961818 күн бұрын
🎉🎉❤✍️🇨🇩
@Dulla_kite7 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🤸🏾🏃🏾
@WilliamSospeter6 ай бұрын
Absolutely 💯
@monicakilatu57806 ай бұрын
Gharama ni kiasi gani
@RICHARDWAUSA-ep4xe7 ай бұрын
❤
@kadoluxclassic56347 ай бұрын
Chai yangu kila siku nikupata mafunzo kutoka kwako
@NyakendaKandole19 күн бұрын
kaka joel nahisi ninakarama ya kuongea na watu na kuwashauri pia lakini sijui nianzie wapi
@goldiegranted55017 ай бұрын
🎉🎉🎉
@ruvinaanold59835 ай бұрын
Nakukubal boc
@Coachsamwel6 ай бұрын
You're talking with me here....
@IsmailRamadhani-ul9wc6 ай бұрын
Visit Vizur
@JamesIzra6 ай бұрын
Unapatikana wp kaka
@bongatv257 ай бұрын
Kwenye kukitafuta ukijue nahisi uwezi kukitafuta unacho kitafuta ndo wewe