Naaam mwalim ni kweli ndomaana wanasema usimdhalau usiye mjua kwa kumaanisha kqma haumjui haujawai kumuona unamdhalau unaongea maneno ya kashfa kisa una uwezo fulani wa kifedha!! Si kweli kaa kimya kama una uwezo utajionesha wenyewe!! Asante mwalim joeli mingu akubariki❤🙏
@Omymadam6266Ай бұрын
Hii imeniingia sana kwenye akili yangu❤
@HaikaMangareАй бұрын
Jamn mwenye kujua maana ya ESAU aniambie me sjui
@eliasludamila4600Ай бұрын
Amen 🙏
@user-je2qo8cp9eАй бұрын
Tuendelee kujivunia uwepo wako kaka mungu akubariki sana