MUKWALA ni mchezaji mzuri sana mpeni muda,presha ya timu kubwa na mashabiki pia🙏🙏🙏#SIMBA nguvu moja
@dvannyclassic17562 ай бұрын
Timu yetu inahitaji mda ❤ simba 2siwe na halaka na matokeo
@RichardLesilwaАй бұрын
Wana juw
@WendeMposola2 ай бұрын
Simba nguvu moja asante MUNGU kwa kutupa ushindi siku ya leo 🙏🙏🙏🙏🙏
@RichardLesilwaАй бұрын
Ubaya ubwela
@EbenezerBryson2 ай бұрын
washabiki wanaosema sema team aichezi vizuri ndo awajawahi ata kwenda uwanjani walakuchangia
@ibrahimmakasi46902 ай бұрын
Wajinga hao
@Namtumbo2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉@@ibrahimmakasi4690
@YulithaYoram2 ай бұрын
Naipenda Simba yangu
@ZulphaMsangi-s9g2 ай бұрын
Safiiiii 🎉🎉🎉
@shakilakasilo92862 ай бұрын
Alhamdulillah kwa ushindi
@Thekidp37022 ай бұрын
Nguvu moja 😊❤.Awesu fundi
@JolotaErastoJuma2 ай бұрын
AHOUA NA MKWALA TUNAJUA MUWAAMBIE WAPUNGUZE PRESHA MAANA TUNAJUA UWEZO WAO. HAO JAMAA NI HATAR ❤❤❤❤❤❤❤❤
@SleepyBacon-hy2lv2 ай бұрын
safii❤❤❤❤
@MagretGunda-ly5dj2 ай бұрын
Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤
@mrliverpoolynwa76412 ай бұрын
Waambieni wachezaji tunahitaji pressing ya hali ya juu na magoli mengi zaidi ikiwezekana mana timu yetu ni jeshi la mtu mmoja🙏🙏🙏#SIMBA nguvu moja
@eliakazilo60782 ай бұрын
Hatuwezi kuwalaumu wachezaji au benchi la ufundi.kwa sababu timu bado mpya .Ila kea baadae kwa siku tunakwenda wataelewana..itakuwA timu nzuri
@JeniMgina2 ай бұрын
Safiiii sana Cha ma langu
@ireneyassin3722 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@Vmoney-s1g2 ай бұрын
Simbaaa kibokooo yaooo
@dundoonlinesingeli2 ай бұрын
kibuuu leoo nimemuonaaa kwa nzurii ongera simba
@MmodyAssu2 ай бұрын
❤❤❤❤unyama meing to
@latifayusuph55962 ай бұрын
🎉🎉
@ElizabethJohnstone-ss4vt2 ай бұрын
❤❤
@JacksonShilima2 ай бұрын
Mshabiki yoyote wasimba atakae isema vibaya simba au mchezaji kumsema vibaya tunakufa nae apa kwenye comment
@jacobnduya7982 ай бұрын
Mbali na ushindi huu mzuri, nimependa sana uwanja ni kama Chamazi tu.
@Tegemeo-hj6ln2 ай бұрын
Simba nguvu moja
@BostonNyatu-jh6sc2 ай бұрын
Ushindi waleo nimeshiba Mungu ibariki ssca
@HusseinHussein-w7f2 ай бұрын
Yaan apo bd mpaka msemeee!!!!!!!!!!!!
@malengaWetuTv26992 ай бұрын
Debro Fernandez mavambo anajua sana
@richardmichael75232 ай бұрын
Overlap za Zimbwe pamoja na penetration passes ni ishara nzuri ya kuonyesha kuwa tutakuwa na nzia nyingi za kufunga magoli
@dvannyclassic17562 ай бұрын
Na mkwala ajapata nafas 2 ila mkwala ni mchezaji mzuri qngali akiwa uwanjan na nafas ngumu anazopewa anakutwa ana mabek zaid ya m1 ni swala la mda ila mkwala mi mchezaji
@Mumlion26242 ай бұрын
Maestro anajiamin hadi raha
@JosephTimotheo-d7b2 ай бұрын
nimeipenda hiyo
@vailethmathayo29032 ай бұрын
@ samwel eliud😂😂 hahaha kwa Simba hii Kuna watu hawataingiza timu uwanjani
@VeronicaDaniel-vz6yt2 ай бұрын
Wangapi wa memuona azizi kama mimi😂
@SaumuSaidi-z2v2 ай бұрын
Huyo mchawi aziziki kj kuwanga
@vumiliamgendi1482 ай бұрын
Cha msingi viongozi muwalimde wachezaji,safali hii hatumtaki kufungwa na nyuma mwiko mtatuambia vizuri tu
@EliudiJastini2 ай бұрын
Myama ⚽️⚽️⚽️💣
@FeisalKhatija2 ай бұрын
Me shabiki wa yanga lkn awa wezentu tuwaombee dua cz uyo coach adisolve kbsa kufundsha jamaaa zetu nasemaje akifikisha December me naona mke wa 5 aki amungu mnukuuu Aya maneno yang thanks
@NTILIOKIPARA2 ай бұрын
Good Sana kwa chama langu
@Achobakiza2 ай бұрын
Umetisa
@chusseboywcb28082 ай бұрын
🎉🎉🎉
@EmanuelyLaurent-nv4uv2 ай бұрын
Highlight nzuri ila amja onesha sub
@Esterkomba-ef7eb2 ай бұрын
Uwanja siyo mzuri sana
@josephfrank44462 ай бұрын
We ulishafika au unaongea tu uwanja mzur sana
@israelkisaila84012 ай бұрын
Leta wa kwako mbinga huko kwenu uliomzuri
@josephpwiti24782 ай бұрын
Sio Kwamba timu haichez vizuri.tunataka mpira wa Kasi
@festojoseph-mq6vu2 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌📌📍
@UrassaKileo2 ай бұрын
🎉
@othmanwaziri7832 ай бұрын
Ahoua ' must be serious !! , as no . 10 is not offer anything ' So far... We won but from cross '... ( This is not good for SIMBA)...
@MR_GUNDI2 ай бұрын
Afu uyo shabalala mipira yake ya kuludisha nyuma kila wakat abadilike na aache kupoteza muda mara aweke miguu juu ya Mpira wawe na uchungu na muda na speed iongezeke wachezaji wetu
@rashidalmas37922 ай бұрын
mpaka machozi ya furaha AWESU Maestro
@mtakamaonline77482 ай бұрын
Huyu awesu awesu atakuwa MVP save hii coment yangu
@MR_GUNDI2 ай бұрын
VVIONGOZI WAMBIENI WACHEZAJI WAWE NA UCHUNGU NA MUDA WAKIWA UWANJAN WAKAT WA KUPGA FAULO KONA NA MIPIRA YA KULUSHA WACHEZAJI WAPO SLOW SANA TUMEPATA GOLI 3 WACHEZAJI WANAANZA PIGA PASI ZA KIJINGA ANGALIEN WENZETU WANAUCHUNGU NA KILA GAME WANATAMAN WASHINDE GOLI NYINYI
@SalimRamsei-ok9el2 ай бұрын
Tuombe Mungu uwe muendelezo mzr
@ousmanesaidy83272 ай бұрын
Wachezaji wetu ni wazuri ila tusipe presha
@JosephKawaza2 ай бұрын
Namba kumi hatuna
@NeemaDevid2 ай бұрын
Ubaya ubwela
@AminaLibisaАй бұрын
Na domo chenja kaja kuliona boll la wakubwa 😂😂😂
@MandoliiMoshi2 ай бұрын
hi simba nihatari yani walikuwa tabora wafe goll 7
@marshangeka7122 ай бұрын
Huyo ahou apunguze uchoyo
@ismailburhan86222 ай бұрын
Tunaomba highlight ndefu.....tunakuombeni kwa hilo😢😢
@kigongomgassa5742 ай бұрын
MUKWALA anakosa huduma stahiki kutoka kwa wachezaji wanaomzunguka, hivyo anajikuta anapambana sana inakuwa ngumu kwake kushinda, MUTALE NA AHOUA waache uchoyo ktk team.
@MedardAndrew-v3w2 ай бұрын
Wanasimba wenzangu mnaonaje tukichangishana ili tuweze kufungua kituo kikubwa cha television kitakachoongea mazuri ya kilabu yetu maana nahisi kama kuna agenda ya vyombo vya habari kuidhoofisha klabu yetu kwa kuiongelea kwa mabaya tu. Hali hii tukiicha iendelee huko mbele tutajikuta tumeanguka kibiashara maana kizazi kipya chetu tutakipoteza kwa propaganda za baadhi ya vyombo vya habari. Dawa tufungue ya kwetu tunaweza.
@vailethmathayo29032 ай бұрын
Uko sawa kabisa mnyama mweñzangu ubaya ubwela
@ShafiiMbande2 ай бұрын
Uyo ahoua mwambieni abadilike simba haimsubir yeye Kila SIKU
@shihume2562 ай бұрын
Toa ujinga wako pelekea mamaako
@zaynd53662 ай бұрын
Huyo Ahoua si ndo katoa Assist ya goli la kwanza
@abdiharuna28182 ай бұрын
Abadilike vp mtu katoa asist
@RahimaMct-ik8mr2 ай бұрын
@@shihume256😂😂
@pendomfinanga2832 ай бұрын
We nae Yan ndo kwanza mechi moja unaanza mdomo 😮
@james-lx6rf2 ай бұрын
weka mech nzima kaka kuna wengine tuko nje ya nchi
@pcthemaster90962 ай бұрын
Naona mara mia kule mbele wacheze wakina karabaka
@sangaelly85482 ай бұрын
Huu ndio Ukweli wenyewe tuipe muda
@hamzayasni27932 ай бұрын
Mukwala bado ninaimani nae, huyu jamaa akianza kufunga ndio atakuwa na muendelezo mzuri
@absm80842 ай бұрын
Deborah Mavambo hii ni mtu na nusu
@masungamagoma17572 ай бұрын
nataman kuona Juhudi za wachezaji wa timu yangu uwanjani km Frenendez, Kamara che Malone, zimbwe isivyo bahati ugonjwa huu unatutafuna kila kukicha sijui yanga wanawezaje wao kwa hili😭😭