No video

#Live

  Рет қаралды 10,140

PROMOVER TV

PROMOVER TV

9 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 43
@GroriminaVenancempua-fe1xi
@GroriminaVenancempua-fe1xi 9 ай бұрын
Asante sana kaka yangu wa ukweli fichuwa vyote mimi na watoto wa tanzania na dunia nzima tupone
@JofreyDamson-nm6ec
@JofreyDamson-nm6ec 3 ай бұрын
Amen mchungaji
@tamarali8325
@tamarali8325 9 ай бұрын
My favourite pastor Amieli God Bless you. Promover you guys men of God your doing a good job God Bless you my brethren ❤
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp 9 ай бұрын
Amen ubarikiwe san mtumishi
@mpandawiliam5390
@mpandawiliam5390 9 ай бұрын
Barikiwa Mtumishi, nilikumiss sana
@florencemueni1183
@florencemueni1183 9 ай бұрын
Tangu nianze kukusikiliza mtumishi nimejifunza mengi kutoka kwako na nimefunguka kiroho na macho,,, Mungu akulinde ukomboe wengi
@DoricEverist
@DoricEverist 9 ай бұрын
Yesu nimuweza Amen 🙏
@user-ix6fy5jn6g
@user-ix6fy5jn6g 9 ай бұрын
Mungu awenawe
@tuponearon7368
@tuponearon7368 9 ай бұрын
Mungu atusaidie kuyaelewa haya
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 9 ай бұрын
Amen YESU apewe sifa
@elizabethsimbenga4773
@elizabethsimbenga4773 9 ай бұрын
Amen Amen Amen tumepokea watoto wote wametoka kwenye vifungo vya shetani
@jastinewilliam4475
@jastinewilliam4475 6 ай бұрын
Ubarikiwe
@HarryMbale-ie1ex
@HarryMbale-ie1ex 9 ай бұрын
MUNGU unirehemu mi nimwenye dhambi najuvunia jina lako YESU
@its_keziah77
@its_keziah77 9 ай бұрын
Aaaa basi mchungaji,babangu mdogo huku Kenya ni mwenda wazimu tangu 85 hadi leo ana miaka 57.mume wangu ana degree na kazi ya maana hana ,tena ameokoka.kwetu sote hakuna mwenye kazi ya maana , dada zangu Joyce na Veronica hawajaolewa,ndoa ni shida
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 9 ай бұрын
All Glory be to God
@catherineawinja7417
@catherineawinja7417 9 ай бұрын
Naupenda Imani yako mchungaji katekela
@fitinamarando
@fitinamarando 9 ай бұрын
Mch Katekela bwana akubarikiwe na uendelee kutuelimisha nabarikiwa .
@winnieawinondinya9140
@winnieawinondinya9140 9 ай бұрын
Amen
@ramadhaniabdulabdul
@ramadhaniabdulabdul 3 ай бұрын
amen
@adeladamasi4391
@adeladamasi4391 9 ай бұрын
Asatee bwanaa YESU
@MosesWakristo-ko5ze
@MosesWakristo-ko5ze 9 ай бұрын
Glory to Jesus
@winnieawinondinya9140
@winnieawinondinya9140 9 ай бұрын
Naomba ukombozi juu ya msichana wangu juu naota ndoto kumuhusu eti amepotea eti anatoka ndani ya nyumba usiku wa manane kuenda zake na nilipomufuata nikamurudisha tena badaa ya muda mchache tena akatoka ila hakuenda mbali amekuwa akinichungulia kama namuangalia na nikaamuka kutoka usingizini
@elishaodas4358
@elishaodas4358 9 ай бұрын
Ameen 🙏
@eliethmwanguya7118
@eliethmwanguya7118 9 ай бұрын
Hakika Mungu wetu ni mkuu mno,
@anthonymaina7100
@anthonymaina7100 9 ай бұрын
Kwelikweli
@kretamathias1970
@kretamathias1970 9 ай бұрын
Muchungaji nakufatilia kila siku ninabalikiwa sana mahubili yako
@tuponearon7368
@tuponearon7368 9 ай бұрын
Ukonga ipo Dsm, jirani na gereza la Ukonga
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 9 ай бұрын
Unaongea ukweli mtumishi wa Mungu..shemeji yangu kuanzia firstborn kumaliza shule akawa kichaa wapili ivo ivo watatu ivo..Eeh Mungu uishie juu pahali patakatifu mukumbuke
@user-hu5hs6bv9z
@user-hu5hs6bv9z 9 ай бұрын
Naomba namba yake
@fitinamarando
@fitinamarando 9 ай бұрын
PROMOVER TV MBARIKIWE DAY 4 SIIONI
@khalifakondo4670
@khalifakondo4670 5 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe naomba kujuwa naweza kuandika jina humu kwenye comment na namba yasimu ili kuendelea kupata huduma za kiroho na mchungaji??
@PromovertvTz
@PromovertvTz 5 ай бұрын
Hapana hiyo siyo njia sahihi,kuna namba za simu hapo tutafute
@HarryMbale-ie1ex
@HarryMbale-ie1ex 9 ай бұрын
Hakika neno la MUNGU ni uhai
@charigrace5993
@charigrace5993 9 ай бұрын
Jameni tukumbushwee Kenya ni shanzu wapi kanisa
@raelnangila3006
@raelnangila3006 9 ай бұрын
Ameeni
@elegantthriftcollections8101
@elegantthriftcollections8101 9 ай бұрын
Ukonga ipi jamani?!
@rosepallangyo1352
@rosepallangyo1352 9 ай бұрын
Kaza mwendo ukitoboa ukweli ukiwasema watumishi why kuna ambayo awataki ila ss tunakuelewa songs mbele
@its_keziah77
@its_keziah77 9 ай бұрын
Kuna kanisa huku kwetu Kenya,lakini Shanzu wapi?
@anthonymaina7100
@anthonymaina7100 9 ай бұрын
Shanzu ni sehemu za Mombasa
@its_keziah77
@its_keziah77 9 ай бұрын
Thankyou my brother, but inaitwa je
@AngelShukur-df4rq
@AngelShukur-df4rq 9 ай бұрын
Amen
@graceboke4346
@graceboke4346 9 ай бұрын
Amen
@bonintajiri3958
@bonintajiri3958 9 ай бұрын
Amen
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 26 МЛН
OGOPENI UMOJA HUU NI HATARI EV PASCHAL 🇹🇿 CASSIAN
38:41
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 10 М.
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН