🔴LIVE: MAKONDA ANAUNGURUMA ARUSHA MUDA HUU, ANAWAFYATUA VIONGOZI BILA HURUMA

  Рет қаралды 43,872

Habari Digital

Habari Digital

2 ай бұрын

..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook

Пікірлер: 85
@ZawadiSaid-x6f
@ZawadiSaid-x6f Ай бұрын
Mungu akubariki kakaangu makonda unaokoa sana wananchi wa arusha mungu amekuweka sababu ya wananch
@FredPaul-fy8wq
@FredPaul-fy8wq Ай бұрын
Baba makonda unachapa kazi nzuri mungu akulinde uixhi miaka mingi Duniani
@user-qi2uv5zr3l
@user-qi2uv5zr3l 2 ай бұрын
Magufuli alipofariki watu walikata tamaa wakisema hawezi tena kupatikana kiongozi mwingine kama yeye, sasa leo magufuli wa pili huyo hapo kajitokeza, mheshimiwa RC Makonda amevaa kiatu cha magufuli. Kwa kweli Makonda anafanya kazi kwa haki. Mungu tunaomba ulinzi wako juu ya Makonda.
@marryeliasmarryelias9289
@marryeliasmarryelias9289 2 ай бұрын
Eee mwenzi MUNGU nakuomba unlinde huyu kaka makpnda tafadhali MUNGU tunakusii usimame nae Kwa Kila atua🙏🙏😭
@manncheyepastory6845
@manncheyepastory6845 2 ай бұрын
Kinacho fanyika Arusha na mikoa mingine wainge kwani maeneo mengi wamengeuza shida za wananchi kuwa mirandi Yao , na wengine wanaitengeza , au wanachocheya Raha Yao nikuona migogoro inadumu,Raisi tumia jicho la tatu,,, ,
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Ай бұрын
Unamaanisha Nini sijakuelewa Kabisa unaweza nifafanulia kwa upana zaidi​@@manncheyepastory6845
@chriskasiga7562
@chriskasiga7562 Ай бұрын
❤❤
@leahkabura4271
@leahkabura4271 2 ай бұрын
Nmelia aki ya Mungu😢 Watu wanateswa na viongozi! Makonda Mungu akubariki
@joachimgolola62
@joachimgolola62 2 ай бұрын
Piga kazi na Mungu,akulinde.
@ZawadiSaid-x6f
@ZawadiSaid-x6f Ай бұрын
Happy kakaangu makonda uelewe ndio mana wananchi wanasema rawalpindi ccm ujue wananchi tunateseka hivo na hilo sio arusha tu seem zote Tanzania wananchi hawajui kama ni viongozi wetu wa China ndio wanafanya hayo wanajua ni chama hongera sana makonda waeleweshe wananchi tunauana sis kwa sisi sio chama
@dorcasmfaume4796
@dorcasmfaume4796 2 ай бұрын
Tunakuombea ulinzi Mungu aachilie malaika zake walinzi wakuzingire Kila unapokuwa kwa jina la Yesu Kristo
@ZawadiSaid-x6f
@ZawadiSaid-x6f Ай бұрын
Nyoosha arusha nyoosha baba mungu amekuleta kwa ability yetu
@IsayahNgoiva
@IsayahNgoiva 2 ай бұрын
Makonda safi,,ufisadi itakoma arusha jiji
@hillarydominic1890
@hillarydominic1890 2 ай бұрын
Congratulations MAKONDA 🇰🇪
@user-ru4wm6bn7y
@user-ru4wm6bn7y 2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu na kukupa afya njema kwa neema zake.Amina.
@lukooaugustino9424
@lukooaugustino9424 2 ай бұрын
Makonda Mungu akujalie njema ili iendelee kupiga kazi
@JumaAbdallah-gn5qu
@JumaAbdallah-gn5qu 2 ай бұрын
🔧🔧🔧🔧🔧spana spanaaa😆😆😆spanaa😄😄😄🔧🔧🔧Piga KAZI Baba
@kimandafukitefu2999
@kimandafukitefu2999 2 ай бұрын
AISEE JAMAA ANAFANYA KAZI SANA UKWELI USEMWE
@migombaelinest3500
@migombaelinest3500 2 ай бұрын
Mungu akubaliki kaka makondo kwa kila hatua unayopiga.
@nicensheka8034
@nicensheka8034 2 ай бұрын
Mungu akulinde ndugu yetu Makonda. Kazi unaiweza sana sana, tungepata wengine wachache tu kama wewe, nchi ingesimama
@esterlaurent9395
@esterlaurent9395 2 ай бұрын
Nampenda sana makonda jaman ♥️♥️♥️♥️piga kazi baba watanyoka tu
@user-yj2ki5fd3p
@user-yj2ki5fd3p 2 ай бұрын
Mungu akutunze Kuna watu wengi wanatesekea kw ajil yawengine . Wantooshe na mafundisho pia
@keffaonchiri7813
@keffaonchiri7813 Ай бұрын
Huyu ndio kiboko cha Wa Tanzania,Makonda hoyeeeee!
@ConfusedBarbecue-he1nb
@ConfusedBarbecue-he1nb 2 ай бұрын
Makonda mungu akulinde naamina hawakupendi kwa kazi unayoifanya
@evidencekangimba1538
@evidencekangimba1538 2 ай бұрын
Jamaa akimaliza hotuba zake upigwe wimbo wa taifa kwa heshima yake
@eddyntabo6001
@eddyntabo6001 Ай бұрын
Good job,makonda.eddy from Kenya
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 2 ай бұрын
Vyama vya upinzani wanaomtukanaga Makonda na kumkebehi waone Soni wanyamaze kimya Makonda yuko katika kutewatendea watu haki amepata heshima kubwa kwa wananchi
@user-db2bv7ok7y
@user-db2bv7ok7y 2 ай бұрын
Wakuu wa mikoa wengine mko wapi kwa nini msiinge kwa mwenzenu wakuu 2:36
@daudimwakipesile4801
@daudimwakipesile4801 2 ай бұрын
Mungu akukumbuke brother
@HappyYusuph-ru3nn
@HappyYusuph-ru3nn 2 ай бұрын
Fanya kazi kaka yangu mungu atakusimamia
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 2 ай бұрын
Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.
@aloycemassawe8652
@aloycemassawe8652 2 ай бұрын
Mungu akupe nguvu.
@saidmilanzi45
@saidmilanzi45 2 ай бұрын
Sema baba👍👍👍👍👍👏👏😀
@user-mu9uf5le6j
@user-mu9uf5le6j 2 ай бұрын
Mimi ndio mwanainchi namba moja naemkubali makonda toka akiwa mjumbe wa katiba adi akiwa mkuu wawilaya adi mkuu wa mkoa pia uenezi adi leo mkuu wa mkoa makonda oyeee
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz 2 ай бұрын
Natamani makonda Aje morogoro Kuna madudu
@user-tx6dh6ii3m
@user-tx6dh6ii3m 2 ай бұрын
Asante mkuu wamkoa ndonakuelewa baba wezi miwengi sn
@user-fw8le7lk8d
@user-fw8le7lk8d 2 ай бұрын
Mungu akulinde sana maana huu ni mtihani 😮😮
@Erickbenard89
@Erickbenard89 2 ай бұрын
Piga kazi mzee mungu atakulinda
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Yule Mwanasheria mrefu mweusi yuko wali
@Zainabubukoko
@Zainabubukoko Ай бұрын
Makonda piga kazi
@DafiMohamed-dz8xk
@DafiMohamed-dz8xk 2 ай бұрын
Makonda piga spana wewe ndio rais wangu ambaye nakuombea mungu malengo yatimie napenda sana viongozi wenye msimamo sio ndumilakuwili upo vzr sana mkubwa Tanzania inahitaji kiongozi kama wewe na Africa pia
@user-mu9uf5le6j
@user-mu9uf5le6j 2 ай бұрын
Kweli
@PhilipShayo
@PhilipShayo 2 ай бұрын
Makonda kamanda huyo,mtetezi wa wanyonge
@godsonkilua7738
@godsonkilua7738 2 ай бұрын
Mh Makonda hii tabia ya viongozi wa vijiji kudhurumu wananchi Mimi Ni mmojawapo wa wahanga tumedhurumiwa eneo letu Gairo na kujengwa majengo ya Posta na simu. Kwa hili unalolifanya Mungu atakulinda usiku na mchana.
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 2 ай бұрын
Mmmh! Umeenda kwa DC Jabir au Shabiby akashindwa kukusaidia???
@jacksonPaulo-py2tc
@jacksonPaulo-py2tc 2 ай бұрын
Nakukubali baba tungua Hawa Wala rushwa wamezid sana😅
@JacksonMiage
@JacksonMiage 2 ай бұрын
Fika kata ya lashaine
@saidmilanzi45
@saidmilanzi45 2 ай бұрын
🇹🇦🇹🇦🇹🇿
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Makonda Safiii
@user-oo7qg9yn2p
@user-oo7qg9yn2p Ай бұрын
Biidhini llah
@emanulmwaitege5531
@emanulmwaitege5531 2 ай бұрын
Safi makonda
@VeronicaMasawe
@VeronicaMasawe 2 ай бұрын
Huyu ni simba, anahunguruma balaa
@BernardMandali
@BernardMandali 2 ай бұрын
Jaman rais naomba utukodishie maonda mkoa wa kigoma kwa siku mbili
@chriseskibet718
@chriseskibet718 2 ай бұрын
Sitachoka kufuatilia RC Makonda mtandaoni,najiskia amani sana nikiwa Kenya anaposaidia watu.
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 Ай бұрын
Uyu ndiwani ni muongo
@geofreybakina6010
@geofreybakina6010 2 ай бұрын
Hapo ni Arusha tu,je nchi nzima ipoje,Halmashauri zimedhurumu sana na kuuwa watu.
@Herson-yw6cn
@Herson-yw6cn 2 ай бұрын
Inasikitisha sana viongozi kuwa vinara wa kuwazidishia umasikini wananchi
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Ай бұрын
Hui ndimi Tanzania yetu Mimi nitarudi kuishi Tanzania nikifikia mida Wa kustafu sasa ni kuja kutembea tu wiki Tatu narudi kusikon'a unyanyassji uliokithili kwa kiwango cha juu
@diametz5899
@diametz5899 2 ай бұрын
😢😢
@sonimurat
@sonimurat Ай бұрын
Mimi ni mfanyabiashara, huyu navyomuona hata nafasi ya ufagiaji hana, bora kibao cha uso alooo, na wewe mzee umepiga sana watu hula mdogomdogo 😅
@danielsonkimaro5672
@danielsonkimaro5672 Ай бұрын
Barikiwa sana mkuu wa mkoa wa Arusha
@PhilipShayo
@PhilipShayo 2 ай бұрын
2:07:49
@geofreybakina6010
@geofreybakina6010 2 ай бұрын
Sasa kama hapo ni Arusha tu je nchi nzima si watu wamekufa jmn
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Washajichanganya
@ConfusedBarbecue-he1nb
@ConfusedBarbecue-he1nb 2 ай бұрын
Wapigaji mtamtetea mtendaji!
@KaujuMwakajumba
@KaujuMwakajumba 2 ай бұрын
Hofu yangu ni ulinzi wa huyu malaika wa mungu.... Makonda ni malaika kutoka mbinguni.....walimuua Magufuli.....eeh mungu mlinde huyu kijana mpenda haki.....tatizo CCM wenyewe ndio wanamfanyia dhuruma
@ibrahimame9805
@ibrahimame9805 2 ай бұрын
Nipo zanzibar ila mh. makonda nakukubali cna.ila tunaibiwa rais anawambia wajitathmini. Upumbavu mtupu. Kazi wizi tu
@dignafreddy9763
@dignafreddy9763 2 ай бұрын
Piga spana babaa 😂 Tuko nyuma yako
@PamelaKagisa
@PamelaKagisa 2 ай бұрын
Mweshimiwa makonda namba yako ya simu au ya wasaidizi wako tunaipataje?
@user-uk3iw1su4i
@user-uk3iw1su4i Ай бұрын
oyooo
@EmmanuelMajele-ny2hk
@EmmanuelMajele-ny2hk 2 ай бұрын
Makonda Akili nying
@anwarKhan-gn6yt
@anwarKhan-gn6yt 2 ай бұрын
Acha kudhalilisha watumishi
@StanleyOscar-kc4hm
@StanleyOscar-kc4hm 2 ай бұрын
Na ww ndo wote wara rushwa mbwa ww
@loveness09-k
@loveness09-k 2 ай бұрын
😭😭😭😭
@user-fw8le7lk8d
@user-fw8le7lk8d 2 ай бұрын
😂😂😂
@rashidimwaluwanda6898
@rashidimwaluwanda6898 2 ай бұрын
Kabisa jamin siyo muchezo
@hassannapenda6182
@hassannapenda6182 2 ай бұрын
EEEEE MWENYEZI MUNGU. MPEE ULINZI MTUMISHI WAKO NDG PAUL MAKONDA KWA KAZI ANYOIFANYA. KTK TAIFA HILI. MUNGU AKUBARIKI NDG P.MAKONDA
@lemmywanjeh4366
@lemmywanjeh4366 2 ай бұрын
Dhuluma iko kila mahali
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Ай бұрын
Sio kweli dhuruma za hivi haziko kila mahali kama ulivyoamini
@JoshuaLaiza-ze7ge
@JoshuaLaiza-ze7ge 2 ай бұрын
hiyo mtendaji hata ajielewi
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 Ай бұрын
Anajielewa kwa uwezo wake na maswali anayoulizwa yanatokana na maelezo Yake cha kusikitisha ni Mume Wa mtu n'a Baba Pia ni jirani piga picha
@lemmywanjeh4366
@lemmywanjeh4366 2 ай бұрын
Mimi mkenya na nmefatilia sana huyu makonda I say Mungu amweke Jamaa kajichanganya hapo maharaja 3 saii ni 2
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 2 ай бұрын
Huyobwana nikibaraka wahaowanaompa ufanyakazibora hizofedha zaunyanganyi anakulanao.
🔴#LIVE: JANA NA LEO NDANI YA | WASAFI FM | 4th JUNE 2024
2:31:39
Wasafi Media
Рет қаралды 18 М.
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 69 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 91 МЛН
M&M IN MY THROAT
0:35
dednahype
Рет қаралды 4,4 МЛН
Папа гений
0:23
Вельзевул
Рет қаралды 2,8 МЛН
ЖЕСТКИЙ ШАПАЛАК👋
0:33
RFC Fighting Championship
Рет қаралды 201 М.
Потоп из какашек??? @zackdfilms - автор анимации.
0:31
Время знаний
Рет қаралды 4,6 МЛН