.................. Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii Instagram, Twitter na Facebook
Пікірлер: 85
@ZawadiSaid-x6fАй бұрын
Mungu akubariki kakaangu makonda unaokoa sana wananchi wa arusha mungu amekuweka sababu ya wananch
@FredPaul-fy8wqАй бұрын
Baba makonda unachapa kazi nzuri mungu akulinde uixhi miaka mingi Duniani
@user-qi2uv5zr3l2 ай бұрын
Magufuli alipofariki watu walikata tamaa wakisema hawezi tena kupatikana kiongozi mwingine kama yeye, sasa leo magufuli wa pili huyo hapo kajitokeza, mheshimiwa RC Makonda amevaa kiatu cha magufuli. Kwa kweli Makonda anafanya kazi kwa haki. Mungu tunaomba ulinzi wako juu ya Makonda.
@marryeliasmarryelias92892 ай бұрын
Eee mwenzi MUNGU nakuomba unlinde huyu kaka makpnda tafadhali MUNGU tunakusii usimame nae Kwa Kila atua🙏🙏😭
@manncheyepastory68452 ай бұрын
Kinacho fanyika Arusha na mikoa mingine wainge kwani maeneo mengi wamengeuza shida za wananchi kuwa mirandi Yao , na wengine wanaitengeza , au wanachocheya Raha Yao nikuona migogoro inadumu,Raisi tumia jicho la tatu,,, ,
@devothasimbi6495Ай бұрын
Unamaanisha Nini sijakuelewa Kabisa unaweza nifafanulia kwa upana zaidi@@manncheyepastory6845
@chriskasiga7562Ай бұрын
❤❤
@leahkabura42712 ай бұрын
Nmelia aki ya Mungu😢 Watu wanateswa na viongozi! Makonda Mungu akubariki
@joachimgolola622 ай бұрын
Piga kazi na Mungu,akulinde.
@ZawadiSaid-x6fАй бұрын
Happy kakaangu makonda uelewe ndio mana wananchi wanasema rawalpindi ccm ujue wananchi tunateseka hivo na hilo sio arusha tu seem zote Tanzania wananchi hawajui kama ni viongozi wetu wa China ndio wanafanya hayo wanajua ni chama hongera sana makonda waeleweshe wananchi tunauana sis kwa sisi sio chama
@dorcasmfaume47962 ай бұрын
Tunakuombea ulinzi Mungu aachilie malaika zake walinzi wakuzingire Kila unapokuwa kwa jina la Yesu Kristo
@ZawadiSaid-x6fАй бұрын
Nyoosha arusha nyoosha baba mungu amekuleta kwa ability yetu
@IsayahNgoiva2 ай бұрын
Makonda safi,,ufisadi itakoma arusha jiji
@hillarydominic18902 ай бұрын
Congratulations MAKONDA 🇰🇪
@user-ru4wm6bn7y2 ай бұрын
Mungu akutie nguvu na kukupa afya njema kwa neema zake.Amina.
@lukooaugustino94242 ай бұрын
Makonda Mungu akujalie njema ili iendelee kupiga kazi
@JumaAbdallah-gn5qu2 ай бұрын
🔧🔧🔧🔧🔧spana spanaaa😆😆😆spanaa😄😄😄🔧🔧🔧Piga KAZI Baba
@kimandafukitefu29992 ай бұрын
AISEE JAMAA ANAFANYA KAZI SANA UKWELI USEMWE
@migombaelinest35002 ай бұрын
Mungu akubaliki kaka makondo kwa kila hatua unayopiga.
@nicensheka80342 ай бұрын
Mungu akulinde ndugu yetu Makonda. Kazi unaiweza sana sana, tungepata wengine wachache tu kama wewe, nchi ingesimama
@esterlaurent93952 ай бұрын
Nampenda sana makonda jaman ♥️♥️♥️♥️piga kazi baba watanyoka tu
@user-yj2ki5fd3p2 ай бұрын
Mungu akutunze Kuna watu wengi wanatesekea kw ajil yawengine . Wantooshe na mafundisho pia
@keffaonchiri7813Ай бұрын
Huyu ndio kiboko cha Wa Tanzania,Makonda hoyeeeee!
@ConfusedBarbecue-he1nb2 ай бұрын
Makonda mungu akulinde naamina hawakupendi kwa kazi unayoifanya
@evidencekangimba15382 ай бұрын
Jamaa akimaliza hotuba zake upigwe wimbo wa taifa kwa heshima yake
@eddyntabo6001Ай бұрын
Good job,makonda.eddy from Kenya
@samsonhamery38092 ай бұрын
Vyama vya upinzani wanaomtukanaga Makonda na kumkebehi waone Soni wanyamaze kimya Makonda yuko katika kutewatendea watu haki amepata heshima kubwa kwa wananchi
@user-db2bv7ok7y2 ай бұрын
Wakuu wa mikoa wengine mko wapi kwa nini msiinge kwa mwenzenu wakuu 2:36
Mimi ndio mwanainchi namba moja naemkubali makonda toka akiwa mjumbe wa katiba adi akiwa mkuu wawilaya adi mkuu wa mkoa pia uenezi adi leo mkuu wa mkoa makonda oyeee
@RajabuHussein-to7jz2 ай бұрын
Natamani makonda Aje morogoro Kuna madudu
@user-tx6dh6ii3m2 ай бұрын
Asante mkuu wamkoa ndonakuelewa baba wezi miwengi sn
@user-fw8le7lk8d2 ай бұрын
Mungu akulinde sana maana huu ni mtihani 😮😮
@Erickbenard892 ай бұрын
Piga kazi mzee mungu atakulinda
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Yule Mwanasheria mrefu mweusi yuko wali
@ZainabubukokoАй бұрын
Makonda piga kazi
@DafiMohamed-dz8xk2 ай бұрын
Makonda piga spana wewe ndio rais wangu ambaye nakuombea mungu malengo yatimie napenda sana viongozi wenye msimamo sio ndumilakuwili upo vzr sana mkubwa Tanzania inahitaji kiongozi kama wewe na Africa pia
@user-mu9uf5le6j2 ай бұрын
Kweli
@PhilipShayo2 ай бұрын
Makonda kamanda huyo,mtetezi wa wanyonge
@godsonkilua77382 ай бұрын
Mh Makonda hii tabia ya viongozi wa vijiji kudhurumu wananchi Mimi Ni mmojawapo wa wahanga tumedhurumiwa eneo letu Gairo na kujengwa majengo ya Posta na simu. Kwa hili unalolifanya Mungu atakulinda usiku na mchana.
@jamesmzaki60412 ай бұрын
Mmmh! Umeenda kwa DC Jabir au Shabiby akashindwa kukusaidia???
@jacksonPaulo-py2tc2 ай бұрын
Nakukubali baba tungua Hawa Wala rushwa wamezid sana😅
@JacksonMiage2 ай бұрын
Fika kata ya lashaine
@saidmilanzi452 ай бұрын
🇹🇦🇹🇦🇹🇿
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Makonda Safiii
@user-oo7qg9yn2pАй бұрын
Biidhini llah
@emanulmwaitege55312 ай бұрын
Safi makonda
@VeronicaMasawe2 ай бұрын
Huyu ni simba, anahunguruma balaa
@BernardMandali2 ай бұрын
Jaman rais naomba utukodishie maonda mkoa wa kigoma kwa siku mbili
@chriseskibet7182 ай бұрын
Sitachoka kufuatilia RC Makonda mtandaoni,najiskia amani sana nikiwa Kenya anaposaidia watu.
@esthermwikali5403Ай бұрын
Uyu ndiwani ni muongo
@geofreybakina60102 ай бұрын
Hapo ni Arusha tu,je nchi nzima ipoje,Halmashauri zimedhurumu sana na kuuwa watu.
@Herson-yw6cn2 ай бұрын
Inasikitisha sana viongozi kuwa vinara wa kuwazidishia umasikini wananchi
@devothasimbi6495Ай бұрын
Hui ndimi Tanzania yetu Mimi nitarudi kuishi Tanzania nikifikia mida Wa kustafu sasa ni kuja kutembea tu wiki Tatu narudi kusikon'a unyanyassji uliokithili kwa kiwango cha juu
@diametz58992 ай бұрын
😢😢
@sonimuratАй бұрын
Mimi ni mfanyabiashara, huyu navyomuona hata nafasi ya ufagiaji hana, bora kibao cha uso alooo, na wewe mzee umepiga sana watu hula mdogomdogo 😅
@danielsonkimaro5672Ай бұрын
Barikiwa sana mkuu wa mkoa wa Arusha
@PhilipShayo2 ай бұрын
2:07:49
@geofreybakina60102 ай бұрын
Sasa kama hapo ni Arusha tu je nchi nzima si watu wamekufa jmn
@OmanOman-dn6dj2 ай бұрын
Washajichanganya
@ConfusedBarbecue-he1nb2 ай бұрын
Wapigaji mtamtetea mtendaji!
@KaujuMwakajumba2 ай бұрын
Hofu yangu ni ulinzi wa huyu malaika wa mungu.... Makonda ni malaika kutoka mbinguni.....walimuua Magufuli.....eeh mungu mlinde huyu kijana mpenda haki.....tatizo CCM wenyewe ndio wanamfanyia dhuruma
@ibrahimame98052 ай бұрын
Nipo zanzibar ila mh. makonda nakukubali cna.ila tunaibiwa rais anawambia wajitathmini. Upumbavu mtupu. Kazi wizi tu
@dignafreddy97632 ай бұрын
Piga spana babaa 😂 Tuko nyuma yako
@PamelaKagisa2 ай бұрын
Mweshimiwa makonda namba yako ya simu au ya wasaidizi wako tunaipataje?
@user-uk3iw1su4iАй бұрын
oyooo
@EmmanuelMajele-ny2hk2 ай бұрын
Makonda Akili nying
@anwarKhan-gn6yt2 ай бұрын
Acha kudhalilisha watumishi
@StanleyOscar-kc4hm2 ай бұрын
Na ww ndo wote wara rushwa mbwa ww
@loveness09-k2 ай бұрын
😭😭😭😭
@user-fw8le7lk8d2 ай бұрын
😂😂😂
@rashidimwaluwanda68982 ай бұрын
Kabisa jamin siyo muchezo
@hassannapenda61822 ай бұрын
EEEEE MWENYEZI MUNGU. MPEE ULINZI MTUMISHI WAKO NDG PAUL MAKONDA KWA KAZI ANYOIFANYA. KTK TAIFA HILI. MUNGU AKUBARIKI NDG P.MAKONDA
@lemmywanjeh43662 ай бұрын
Dhuluma iko kila mahali
@devothasimbi6495Ай бұрын
Sio kweli dhuruma za hivi haziko kila mahali kama ulivyoamini
@JoshuaLaiza-ze7ge2 ай бұрын
hiyo mtendaji hata ajielewi
@devothasimbi6495Ай бұрын
Anajielewa kwa uwezo wake na maswali anayoulizwa yanatokana na maelezo Yake cha kusikitisha ni Mume Wa mtu n'a Baba Pia ni jirani piga picha
@lemmywanjeh43662 ай бұрын
Mimi mkenya na nmefatilia sana huyu makonda I say Mungu amweke Jamaa kajichanganya hapo maharaja 3 saii ni 2