LIVE: MAKONDA AREJEA AIBUKA NA MAPYA AIRPORT

  Рет қаралды 277,802

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

‪@millardayoTZA‬

Пікірлер: 1 200
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 26 күн бұрын
"Braza huwa Hatufanyi kwasababu duniani wanafanya ila tunafanya kwasababu tumeliona ni jambo jema" Prof Paul Makonda❤
@asifiwempagama27
@asifiwempagama27 26 күн бұрын
Hii imeenda
@eng.peteradam395
@eng.peteradam395 26 күн бұрын
Hii ni hekima ya kipekee
@issahmawee7096
@issahmawee7096 26 күн бұрын
Inawezekana duniani kwenyewe wanataka kuiga
@majaliwafred1102
@majaliwafred1102 26 күн бұрын
Yaaan huyu Jamaa hta kama humtak utamtaka tuu..hii nimeipenda asee
@nabiichrisstv
@nabiichrisstv 25 күн бұрын
yani anaongeatu kilaisi tunafanya kwajiri ya duniani pumbavu sana na akajibidiwa kibishi inatakiwa wao waige kutoka kwetu❤😂
@devisfrank6637
@devisfrank6637 26 күн бұрын
wow God is GOOD kama umefurahi kumwona kiongozi wetu gonga like hapa kwa umoja
@NeemapauloLohay
@NeemapauloLohay 24 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 26 күн бұрын
Chumaaa nimekionaaa Al hamdulillah Moyo wangu Umefirahii❤❤❤ Tunakupenda sana Kipenzi cha WATANZANIA
@ahz6907
@ahz6907 25 күн бұрын
Kipenzi chako wewe na huyo bwanako 😂
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 25 күн бұрын
@@ahz6907 Loh Sasa Umetumwa kucomments hapa..
@faidamuhamed3011
@faidamuhamed3011 25 күн бұрын
Tukikua naye dubai tunainjoi sema alikataaa tusipige naye picha
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r 25 күн бұрын
​😊lpmo
@user-ln9tk3qr2r
@user-ln9tk3qr2r 25 күн бұрын
​o Mo o onmojo oh
@jacklinejoel2185
@jacklinejoel2185 26 күн бұрын
Wanaomkubali MAKONDA mnipe like za kutosha hapa
@AyubuMwambola-j3k
@AyubuMwambola-j3k 25 күн бұрын
Mimi simkubali
@charleselijah-vq3hq
@charleselijah-vq3hq 25 күн бұрын
❤Nakupenda sana Mweheshimiwa Poul Makonda chapa kazi tu
@jofreykilangila4118
@jofreykilangila4118 25 күн бұрын
Ambayo hayapendi haki hayawezi kumkubali.
@susanakingu6440
@susanakingu6440 25 күн бұрын
Namkubali kwa sana
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 25 күн бұрын
Nyuma ya camera ilikuaje MAGUFULI amkanyagie kigamboni ndoo swali eb jib na ndoo kusema,alipo rudishw na Bi mkubw SAMIA alitakiw ajihadhar unapodai ye n saw na magu ikiwa MAGUFULI MWENYEWE alimkanyagia kigamboni au hujaenda shule nn w Tanganyika Tatizo shule mtaelewa tu
@user-jf9pn1pd6b
@user-jf9pn1pd6b 26 күн бұрын
Huyu ndiye magufuli awamu hii mungu amsimamie makonda rais wetu🔥
@jacklinejoel2185
@jacklinejoel2185 26 күн бұрын
Kama umefurahi kumuona MAKONDA weka like na kuweka makopa makopa hapa ❤❤❤❤❤❤❤
@SolomonNyandindi
@SolomonNyandindi 26 күн бұрын
Nawakubali mazeee
@hadiaissah9912
@hadiaissah9912 26 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mestonisimzosha203
@mestonisimzosha203 26 күн бұрын
❤❤❤
@yohanemwitumba3711
@yohanemwitumba3711 26 күн бұрын
Mwamba
@yohanemwitumba3711
@yohanemwitumba3711 26 күн бұрын
Makondaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤
@thronemoneyfx9730
@thronemoneyfx9730 26 күн бұрын
Kama umefurahi kumuona huyu jombi like hapa na reply with kop❤
@maengomkopi
@maengomkopi 26 күн бұрын
Saaaana 😂❤❤
@wamtekowamteko8028
@wamtekowamteko8028 26 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@catherinemhule6519
@catherinemhule6519 26 күн бұрын
Bravoooo
@SifaeliJoshua
@SifaeliJoshua 26 күн бұрын
Nimefurahi sana
@ubunifulifestyle3492
@ubunifulifestyle3492 26 күн бұрын
@castoagust7073
@castoagust7073 26 күн бұрын
My favorite leader 🙏🙏 thanks for coming back.
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
Kama utampigia kura makonda akigombea urais basi gonga like hapa!😊😊😊😊😊!
@WaitiCharles
@WaitiCharles 26 күн бұрын
🫵😁
@AnnaMsigwa-oi8do
@AnnaMsigwa-oi8do 25 күн бұрын
Mimi naomba wanipe karatasi hata mia kwajili yake napiga kura zote,rais wetu mtarajiwa roho yangu imetulia mweee
@kaisimwantindili397
@kaisimwantindili397 25 күн бұрын
Mwamba namukubali.
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 24 күн бұрын
@@AnnaMsigwa-oi8do a!
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 24 күн бұрын
@@kaisimwantindili397 haswa?
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
Kama unaamini makonda ni Magufuli mdogo gonga like hapa!😊😊
@bupeisaya9063
@bupeisaya9063 25 күн бұрын
Reply hazitakiwi?
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 25 күн бұрын
​@@bupeisaya9063 hawa machawa wanahisi nchi ni darasa la vichaa,,,,, Magufuli uifananishe na hii taka taka so sad 😭😭😭
@jofreykilangila4118
@jofreykilangila4118 25 күн бұрын
Mafisadi hayawezi kulaiki
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 25 күн бұрын
@@bupeisaya9063 zinatakiwa kwa sana Reply mwanzo mwidho mwanangu!
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 25 күн бұрын
@@godfreymagoso5334umesemaje mkuu? At makonda ni takataka?
@nasiwasumari3830
@nasiwasumari3830 26 күн бұрын
Safi sana Makonda! Kwa miaka mingi nimekua najiuliza kwanini Wakristo hatuwekewi maeneo ya kusali! Hekima yako na hofu ya MUNGU imedhihirika! Ubarikiwe sana!
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 26 күн бұрын
NI KWELI KABISA HASA WAKRISTO TUWEKEWE SEHEMU ZA KUZUNGUMZA NA MUNGU WETU. BILA KUJALI DHEHEBU LAKO INGIA OMBA KISHA SAFIRI SALAMA. Aksante kwa hilo Neno.
@EsnathJohnMasulube
@EsnathJohnMasulube 25 күн бұрын
@@nasiwasumari3830 kwakweli Mungu ambariki sana huyu baba mana walikuwa wanapendelea waislamu tu kana kwamba wengine hatutaki kumuomba Mungu wetu
@chalesimtundu7633
@chalesimtundu7633 25 күн бұрын
Magufuli aliweka sitenndi zote za mabasi
@mailacamillius
@mailacamillius 25 күн бұрын
​ Wakristo huwa hamna haja na mambo hayo. Huo ndiyo ukweli
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 25 күн бұрын
@@dicksonkilupa2258 wakristo msijidai ushindani usio na tija . Nyinyi hamsali mara 5 kwa siku . Huyo makonda ni mdini tu. Chumba cha kusalia cha nini kwenu nyinyi?
@uzalendocontentschannel3277
@uzalendocontentschannel3277 26 күн бұрын
😢😢😢😢😢 Aha umejua kuturusha roho Mh. Makonda.. anyway tumefurahi kukuona na wewe umepata fursa ya kujua unapendwa kiasi gani
@eliamatinya2791
@eliamatinya2791 26 күн бұрын
Kama unaniunga mkono Kumsindikiza makonda Kuchukua fomu ya Kugombea Urias baada ya kipindi cha mama gonga like zako na Tia Musuliii💪
@melkizedck
@melkizedck 26 күн бұрын
Namkubali, na nitampa kura yangu
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 26 күн бұрын
Abarikiwe Makonda wetu🎉❤
@harunamtiko117
@harunamtiko117 26 күн бұрын
Watampoteza mana hawapendi wapenda haki
@user-hu8ke4gx1j
@user-hu8ke4gx1j 25 күн бұрын
Ili awe mkuu wa nchi nini kifanyike
@jakalwambemanyalla6287
@jakalwambemanyalla6287 25 күн бұрын
Sio kabla ya Mama Mwakani
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
Kama unaamini makonda ni rais ajaye gonga like hapa!
@maskaatimaskaati151
@maskaatimaskaati151 26 күн бұрын
Rais gani kwanza atowe mikono mfukoni ana madarau
@maskaatimaskaati151
@maskaatimaskaati151 26 күн бұрын
You to respect your people kwanza
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 26 күн бұрын
ni safi ila style alorudi nayo sijaifuraia. Anakosoa kila kitu. hawa watu ni maEngineer. He needs to just listen at them then add his contribution, suggestion then advise with humility. The guy leading this crew knows what hez doing, but criticing everything looks demeaning
@JudithAdonis
@JudithAdonis 26 күн бұрын
​​@@jedidahbintidaudi8241 Nafasi
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 26 күн бұрын
@@JudithAdonis lakini jmni ndo lazima kukosoa kila kitu walichofanya hawa waandisi Judith wetu? haya
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
Kama unaamini makonda ni upcoming president of Tanzania 🇹🇿 na hawezi kufa hadi ndoto yake itimie gonga like hapa!
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 26 күн бұрын
President
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
@@gosbertmuta5421 oohh! Thank you! Typed error!
@sulehyanajma3399
@sulehyanajma3399 26 күн бұрын
Baba yangu wa kiroho alichokitabili lazima kitimie
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 26 күн бұрын
Acheni kuongea hivyo mnamwongezea maadui wasio lazima. Mungu amsaidie
@fadhilngalanda7520
@fadhilngalanda7520 26 күн бұрын
​@@rexgodwill7353 wewe maadui kila sehemu
@lyangadotcom1687
@lyangadotcom1687 26 күн бұрын
Mh Makonda hauna hadhi ya kuwa mkuu wa mkoa tu, wewe anzia kuwa Waziri na hata Waziri mkuu. You have great business vision for Tanzania
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 25 күн бұрын
Majaliwa atamroga
@EsnathJohnMasulube
@EsnathJohnMasulube 25 күн бұрын
Sio waziri uyo ni Rais kbx
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 25 күн бұрын
😅😅😅😅​@@fatmamsiliwa8485
@koshumangoma3696
@koshumangoma3696 26 күн бұрын
Duh! Ahsante Mungu. Makonda karibu uendelee kututatulia KERO ni nyingi
@FaridaSeif-yk3th
@FaridaSeif-yk3th 26 күн бұрын
Jamani niseme ukweli mimi ninaishi Zanzibar lakn sjui kuna Spirit gani baina yangu na kaka makonda alivyotoweka niliumia sana na saivi karudi ety roho yangu imefurahi mno..yni ningekuwa na Ela ningepika adi pilau nikasherekea..makonda wewe ndo rais wetu ujae mungu akulinde na kila baya insha'Allah.
@njuka3515
@njuka3515 26 күн бұрын
Hakuna sprit yoyote umeona roho na matunda yake
@overplantv21
@overplantv21 25 күн бұрын
njoo nikupe Hela upike af nije tule wote Kwa kufurahia ujio wake
@samwelimwalindu3735
@samwelimwalindu3735 25 күн бұрын
Sio wewe peke yako hata Mimi nawatu wengine pia nipo tunduma
@EzzyEddy-nv6ti
@EzzyEddy-nv6ti 25 күн бұрын
​@@samwelimwalindu3735nipo tunduma pia namkubali Sana makonda
@MagrethCharles-ne2ts
@MagrethCharles-ne2ts 25 күн бұрын
Wekaa namba nikurushiee hela ya mchele na nyama tuikamilishee hii furaha ya kumwonaa rais wetu mtarajiwaa, binafsi mimi siku zote nlikuwaa kama mgonjwaa ila nilisalii saana, yesu ametendaa,nalalaa kwa furahaa sana leo, viva Makonda ❤🎉!
@denismasele4130
@denismasele4130 26 күн бұрын
Nimependa hilo wazo la sehem za kuabudu wakristo na waislamu🙏🙏🙏🙏
@user-gz4ou1iu3i
@user-gz4ou1iu3i 26 күн бұрын
Mungu nashukuru nimefurahi kumuona rais wangu 227❤❤ ilove makonda
@mussajohn2908
@mussajohn2908 26 күн бұрын
Tunampenda sana rais mtalajiwa mungu akujalie maisha marefu
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 26 күн бұрын
Mtarajiwa siyo mtalajiwa
@user-ec1oh3xo6o
@user-ec1oh3xo6o 26 күн бұрын
Tatizo lake dogo Sana au kubwa udikteta hapendi kukosolewa huwezi kuwa Rais huyu atatusumbua labda abadilike kidgo
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 26 күн бұрын
​@@user-ec1oh3xo6ousipomchagua tutamchagua ye atangaze nia tu kwa tanzania bila mtu kma makonda mambo hayaendi
@user-dk7jf7gs5n
@user-dk7jf7gs5n 26 күн бұрын
Shangaz amegomea fom nimgombea pekee
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 25 күн бұрын
Makonda alifeli shule kaiba jina la mtu kafauli siasa! Chezea bashite weee😂😂😂
@Noel-simion
@Noel-simion 25 күн бұрын
My next PRESIDENT..Watanzania wamekukubali, malaika wamekukubali, MUNGU akuongoze, kuiongoza Tanzania. wewe ni mrithi wa JPM (malaika wamlinde aliko). Watanzania wanaoamini hili , niwaone hapa kwa like..
@jumamwita9965
@jumamwita9965 26 күн бұрын
Oyooooo mwamba huyu hapa mwenyezi mungu tunakuomba utulindie zawadi hii uliyo tupatia watanzania ispoteee kama alivyopotea jpm mpaka tunatamani angekuwepo tungekukuwa tupo kwenye nchi yahadi🙏🙏
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 25 күн бұрын
Leo Roho yangu Imetulia sasa Kumuona Mkuu...Mungu Akulinde Sana...Ushauli Wangu Mkuu.Uwe Unapotea hivi hivi kwa Muda flani ...Unatokea tena...Wasikusome kabisa.Watendaji Wenyewe watakuwa Awajui Utatokea lini..Watachapa kazi bila kusimamiwa.
@PendoPetro-jl1zx
@PendoPetro-jl1zx 26 күн бұрын
Dah Yani nimefurahi Hadi sio poa kumsikia makonda mungu nimwema
@user-qj9ig6bw2n
@user-qj9ig6bw2n 26 күн бұрын
Alhamdulilah karibu tena kazini baba rais wetu mtarajiwa
@RamadhaniShadaGeorges
@RamadhaniShadaGeorges 26 күн бұрын
Mungu nimukibwa sana sisi kwetu congo drc tuna kila aina ya mali ila atuna viongozi . Tungali pata mtu sawa Makonda congo yetu ingalikuwa kama ulaya . Je suis fière avec mon chefu makonda
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 26 күн бұрын
Wawoooo mungu azidkukulinda
@hanifa9153
@hanifa9153 25 күн бұрын
Mmh congo yenu waizi adi watu wa kawaida sio viongozi tu tamaa kwanza hakna uaminifu kabisa baadhi yenu mnaeza toa ata uhai wa mtu kisa pesa ushirikina nao sasa... uwiii ctaki ata kuckia jina congo🥺😰kazi mnayo wa congo tulieni tu hko kwenu
@EzzyEddy-nv6ti
@EzzyEddy-nv6ti 25 күн бұрын
​@@hanifa9153ulienda lini ??
@hanifa9153
@hanifa9153 25 күн бұрын
@@EzzyEddy-nv6ti kwa kweli wanakon watu sana hawana Utu
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 25 күн бұрын
Mungu awakumbuke congo mmpate Makonda
@danielreuben9332
@danielreuben9332 26 күн бұрын
Great leader! Thanks for coming our hearts now are free!
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
Kama unaamin makonda yupo hai hajafa gonga like hapa!
@user-xc6wt1lf6u
@user-xc6wt1lf6u 26 күн бұрын
Sasa mtu anaonekana hapo alafu kwanini atokee mtu aseme ayupo hai 😅😅😅
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 26 күн бұрын
Kwani ulitangaziwa amekufa au 😏
@sarahmaro215
@sarahmaro215 25 күн бұрын
WAOOO
@ElimashoyaMmasi
@ElimashoyaMmasi 25 күн бұрын
Yap atakufaje ajamaliza kazi Mungu aliyompa wabaya wake watasubiri sana
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 25 күн бұрын
Jamani mbwa wewe unajua kunivunja mbavu😅😅😅😅😅
@IfrahimEmmanuel
@IfrahimEmmanuel 26 күн бұрын
Mungu ni mwema Sana,Mimi nilipokukosa Jembe letu nlikosa amani na na Kwa kuwa Makonda kaonekana basi Kwa mwananchi yeyote aliekaribu na mm namkaribisa siku ya jumapili anitafute tusherehekee uwepo wa Makonda,Make tumesikia mengi ya kutukatisa Tamaa lakini kweli Mungu kajibu maombi ya wa TZ,Chapa KAZI jembe
@annajohn3377
@annajohn3377 25 күн бұрын
Mi mwenyew nilishakataa tamaa nahii nchi man habar nilizozisikia ni nzito kuhusu huyu kijan
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
Kama unaamini waliompa sumu makonda watakufa wao wenyewe gonga like hapa!
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 26 күн бұрын
Kwani alipewa sumu ??
@LucyMallya-i4p
@LucyMallya-i4p 26 күн бұрын
Tena watakufa vibaya!! Maombi tuliyoomba lazima yajibu.​@@muzafarsharif9465
@samasob8233
@samasob8233 25 күн бұрын
@@muzafarsharif9465 hajapewa sumu wala nini,,,,,,samica ameanza kuwaandaa kisaikolojia tu muone ni kweli muangukie kwenye mambo yao ya hovyo
@esthersissamo1120
@esthersissamo1120 25 күн бұрын
Wanaomwonea wivu washindweeee
@magdalenalaban8895
@magdalenalaban8895 25 күн бұрын
Utakula vya kufisha lakini havitakudhuru Kwa Jina la Yesu Kirsto Alie hai
@superwomanmwenyeheri.1367
@superwomanmwenyeheri.1367 26 күн бұрын
Namkubali san Sana makonda.ila sijawahi kumuona kavaa hivi . NATAKA nseme kitu Ila naogopa .Ila Kama NI yeye kweli Mungu ampe maisha marefu mno yenye Amani.
@prettynayally2177
@prettynayally2177 26 күн бұрын
😂😂😂kam hujawahi muona kavaa hiv Basi ww humfatilii
@zxcvbnmmkh
@zxcvbnmmkh 25 күн бұрын
Furaha ya wengi ni kufahamu yu salama na ameonekana. Siri ya kutoonekana kwa muda anaifahamu yeye hilo tumwachie mwenyewe ila muonekano wake umebadirika si kama alivyokuwa kabla.
@superwomanmwenyeheri.1367
@superwomanmwenyeheri.1367 24 күн бұрын
​@@prettynayally2177🤣🤣🤣ni kweli hujakosea. Issue NI tupo busy Sana...Ila tukibahatika kukutana na Kaz zake tunapopata muda.tunamkubali Sana.....
@davidmickidad6842
@davidmickidad6842 26 күн бұрын
Aminaaaaaa kubwaaaa....tunakupenda na tunakupenda na tunakuombea Mh. MAKONDA ...
@PeninaMatemba
@PeninaMatemba 25 күн бұрын
Asante MUNGU nimemuona mtumishi aliye kwa ajili yetu.Welcome back Makonda hutakufa utaishi.❤❤❤
@annammary5593
@annammary5593 26 күн бұрын
Baba.. baba huyoooooo! Mungu akulinde na mabaya yote. Natamani kila mmoja atumie dakika moja kumuombea huyu baba.
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 26 күн бұрын
Ahsante Mungu kwa kuwa wewe unaujuwa ukweli,wapiganie wenye nia njema na Taifa letu,asante kwa ajiri ya Makonda kuwa hai,mungu lilinde taifa letu na viongozi wema, inshallah iwe kheri aaamina
@febroniaKitondo-x1d
@febroniaKitondo-x1d 26 күн бұрын
Mitandao ya kijamii ni nzuri ukiitumia KwA manufaa zaid, na sio kuvumisha taarifa zisizo nauhalisia, nilichukia saana facebook baada ya kuzusha makamu philipo mpango ametutoka na picha zikaambatanishwa,, niliumia lakin nikamuona yupo,kuanzia hapo nikaapa siwezi kutumia facebook tena, sina cha kujifunza zaid. So makonda go go go we love ❤
@ScolaKilaga-v4q
@ScolaKilaga-v4q 25 күн бұрын
Mungu akulinde na kukupigania
@IbuGang
@IbuGang 26 күн бұрын
Mwanangu Makonda nakupenda kwa utendaji wako wakazi Mungu akubariki nyota yako ikang'aa ikawe juu.
@JJTSUPERCLEANER
@JJTSUPERCLEANER 26 күн бұрын
Kama unaamini makonda ni komando wa wanyonge gonga like hapa!
@Davivancee
@Davivancee 26 күн бұрын
❤Mungu mkubwa hakika hofu xaxa zimekwisha Rais wetu yupo hai
@FadhiliMagana
@FadhiliMagana 26 күн бұрын
Ushauri wangu kwa watanzania, mwacheni makonda Kwanza ajipike kiukweli amunge mkono Samia badae sasa agombee urais uyu n magufuli part 2 God bless honerable makonda (fadhili from Kenya)
@David-if6nk
@David-if6nk 26 күн бұрын
Mbona ana uwezo mkubwa sana kuliko huyu tuliyenae Kwa sasa, anajipika Kwa kipi sasa
@fatumadhahabu4720
@fatumadhahabu4720 26 күн бұрын
Tunamshukuru sana mungu kwa kukurudisha tena machoni mwa watu wanaokupenda na kukukubali ktk utendaji wako wa kazi. ❤
@saumsaid1966
@saumsaid1966 25 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda mkuu. Kazi iendeleee, happy to see u makonda
@OnesyMbembe-e3v
@OnesyMbembe-e3v 26 күн бұрын
Mh.Makonda nashukuru sana uko vizuri sana hatimae umeonekana upo vizuri sana waweke vyumba viwili vya waislam na wakristo kam a ulivyoelekeza
@febroniaKitondo-x1d
@febroniaKitondo-x1d 26 күн бұрын
Kiongozi shupavu, like majaliwa like makonda, uongoz ni kujiamin na ushupavu na uthubutu
@user-qu1mq2ik2e
@user-qu1mq2ik2e 26 күн бұрын
Amen 🙏 glory be to God sasa roho zetu zimetulia kipenzi cha wengi utaishi kwa neema ya mungu mpaka uone kizazi cha nne elishadai muweza yote ametenda
@lyangadotcom1687
@lyangadotcom1687 26 күн бұрын
Hatua kubwa sana hii, hapo kwenye sehemu za ibada kwa dini zote nahisi utakua umekidhi kiu ya wengi katika maeneo ya kazi. Ubarikiwe sana
@ramsodaffisoni3684
@ramsodaffisoni3684 26 күн бұрын
Kwa kweli leo nimefurahi sana kumuona tena makonda mtumishi wa wanyonge karibu tena kaka endeleza mapambano na mungu akulinde siku zote za maisha yako
@ElizaMwandu
@ElizaMwandu 26 күн бұрын
Mungu wa mbinguni ninakushukuru kwa kumlimda mtumishi wako Makonda umemkinga na hatari zote za roho na za mwili.Nimefurahi sana kumuona makonda akiwa hai🙏🙏
@BakariHamisi-y5m
@BakariHamisi-y5m 26 күн бұрын
Makonda usirudie tenaa asee utatuuaa please tunapenda viongozi wanaojali nchi please tumechoshwa na siasa uchwaraaa wanaona Kama wanapendwa vile hawajui tuu love makonda
@shabannayopa5406
@shabannayopa5406 26 күн бұрын
Am very happy to see u
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 26 күн бұрын
asaaaaante YESU tumemuona bro makonda teeeeeeeeeena...nmefurah kupita kiac
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 26 күн бұрын
Kweli sio hiyo hofu niliokuw nayo basi mungu ni mkuu kuliko vitu vyote duniani❤❤🤜🤛big up bro
@user-rm8fd3wh3w
@user-rm8fd3wh3w 25 күн бұрын
Makonda ni Chuma ya mwanaume,Mimi nampenda kutoka moyoni.the future President.God guard him forever more.
@user-uu1fs6vp6g
@user-uu1fs6vp6g 26 күн бұрын
Baba yetu umeludi mungu ni mwema sana
@jasirimjasirimedia7940
@jasirimjasirimedia7940 26 күн бұрын
My leader on the job
@jaymwinyi6957
@jaymwinyi6957 26 күн бұрын
😂😂😂Wooow Mashaallah, Nimefurahi kumuona MAKONDA 🇰🇪🇸🇦
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 26 күн бұрын
Ofyee roho zimetutuwa kwa kwadhati kabisa tumeshusha pumzi ,kujua upo Tena ,Mungu akupe nguvu na Afyanjema naakupe zaidi busara yakuwasaidia kila anaehitaji msaadawako ,Amiin❤❤
@ProsistaTarimo-hr7ys
@ProsistaTarimo-hr7ys 25 күн бұрын
Milad Ayo Yuko vizuri . Answmaga ukweli Hana papara kama hawa wengine . Hongera sana milard uko vizuri.
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 26 күн бұрын
Mpez wangu rafik yangu mpendwa wangu snabud kusemaa Allah akutangulie ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@HAKISAWA
@HAKISAWA 26 күн бұрын
😂😂hapa kwenye mpenzi wangu utuache kidogo tafadhali 😮
@user-hp7rx4zk4t
@user-hp7rx4zk4t 26 күн бұрын
😂😂😂😂dj waleteeeee
@jtheophil5499
@jtheophil5499 26 күн бұрын
Nimefurai mno mno mno kumuona tena makonda..God is so good.Wewe nichuma umekuja kivinge outfit sasa waonyeshee mungu sio mwanadamu anatujua mpaka sirini.
@GeeMax-e6t
@GeeMax-e6t 26 күн бұрын
Dahhh Mungu mwema Sana tumekuombea muda wote Makonda kwa machozi Asante Sana Yesu siamini
@MerryMsuya-q1h
@MerryMsuya-q1h 26 күн бұрын
Daaaah nimefurahi sana kumuona Makonda Mungu nimwema sana karibu Tena baba
@fabianlilenga9897
@fabianlilenga9897 26 күн бұрын
Du kama makonda upo hai bass ashukuriwe sana binafis mimi nakufuatrua sana kwa kupita alipo pitia baba yetu hayat magufur sa wew mungu amekuweka uwe mtatuzi wa shida za watu naomba tena urud kgm huku bado kuna matatizo ya viwanja.
@shadyaomary
@shadyaomary 25 күн бұрын
Thnks you Lord for this leader Paul makonda God bless you
@chikujuma18
@chikujuma18 26 күн бұрын
❤❤❤❤makonda mola akufanyie wepes katika shughuli zako za kusaidia wanyonge
@mohdsaid8744
@mohdsaid8744 26 күн бұрын
Ilove this guy He is the best leader ever
@kiandikomichael9554
@kiandikomichael9554 25 күн бұрын
Ashukuriwe sana Mungu kwa kumrejesha mheshimiwa Makonda pia naamini kua hutakufa kabla hujalitimiza kusudi la Mungu juu ya Tanzania hutakufa bali utaishi ili uyasimulie matendo makubwa ya Mungu Hapa duniani
@tielyelibariki8958
@tielyelibariki8958 25 күн бұрын
Tunao muomba mama ampe Makonda Uwazi wa fedha gonga like hapa.
@AlbanoMatata
@AlbanoMatata 25 күн бұрын
Hakika Mungu ni mwema sana nimefurahi kumwona tena kaka makonda akiendelea na harakati za uchumi wa nchi yetu,.Ee, Mungu Baba wa mbinguni Naomba umtetee na umlinde kiongozi wetu Paul makonda.
@Imend1
@Imend1 26 күн бұрын
Makondaaaaaaa at least umeonekana mkuu. Ila mbona kama mkuu umekonda😥
@neemachriss2605
@neemachriss2605 26 күн бұрын
Kweli amekonda na amekuwa mweupe haswaa
@GoldenButterfly-zu9ke
@GoldenButterfly-zu9ke 26 күн бұрын
Amekonda sana nilijua nimeona mwenyw
@alexmalindo8179
@alexmalindo8179 26 күн бұрын
Na mguu wa Kulia anaulazimisha hauko sawa anavyo tembea. Na hata kuongea anaongea kwa kulazimisha hayuko powa.
@AshaMlumbe
@AshaMlumbe 26 күн бұрын
Hakikika neno hatutakufa bali tutaishi liko juu ya mamlaka yetu Mungu yu juu ya Makonda tunakuombea mkuu songa mbela
@MarhaMasumbigana
@MarhaMasumbigana 26 күн бұрын
Asante Mungu, Kwa kutulejeshea Makonda wetu, kipenzi chetu, Aaah acha utwe Mungu , tunakuombea sanasanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@joycealex8652
@joycealex8652 25 күн бұрын
Ndoto yangu imetimia na moyo wangu una Amani kubwa na furaha nyingi karibu sn Rais wetu Mkono wa Mungu ukae juu yako sikuzote mshike sana Mungu nae hatakuacha kamwe kila jicho la adui lisikuone Damu ya Yesu ikufunike wewe na family yako, tunakupenda sana ulipoishia anzia hapo spana ziendelee🥂🙏🥰🥰
@GwessaJrMahoyange-pk5xl
@GwessaJrMahoyange-pk5xl 26 күн бұрын
mama samia .... naomba linda sana huyu mtu ...... ni muhimu kwetu raia Tz
@ErickPetro-e4k
@ErickPetro-e4k 25 күн бұрын
Kaka gombea urais me na uhakika utapat full respect mungu yupo nawe tunaku penda manyara boy naku takia kazi njema
@mussajohn2908
@mussajohn2908 26 күн бұрын
Hakika usiingilie kaz ya mungu na ambariki sana makonda
@privaushaki7395
@privaushaki7395 26 күн бұрын
Mwenyenzi Mungu amlinde na amsimamie kwa kila jambo mana watanzania twamhitaji sana tungepata wazalendo 20 tu kama hawa hili taifa lingefikia hadhi nzuri sana
@SamsonSimba-k4l
@SamsonSimba-k4l 26 күн бұрын
Nime furahi sana kumuona Mr Makonda 👏👏👏👏👏🙏🙏
@josephsisa8139
@josephsisa8139 26 күн бұрын
Hongera saana muheshimiwa mungu akupigañie
@user-vd1kb7og4p
@user-vd1kb7og4p 26 күн бұрын
Nimefurahi sana kukuona kiongozi ,jembe, kipenzi Cha sisi watanzania, Makonda safiiiiii.
@emmanuelmatiko7307
@emmanuelmatiko7307 25 күн бұрын
Makonda akili yako kubwa sanaa,MUNGU akupe maisha marefu
@user-bu7ir4lz5h
@user-bu7ir4lz5h 26 күн бұрын
Nimefurahi kurudi mwenyezi amfanyie wepesi awe raisi ajae.❤❤❤❤
@amosdaudi9793
@amosdaudi9793 26 күн бұрын
Mashallah!! Leo kwangu ni sikukuuu kubwa sana..acha Bata wangu wa kafala nimlie ubwabwa tu.
@AnnaMsigwa-oi8do
@AnnaMsigwa-oi8do 25 күн бұрын
Ndugu yangu,usitusahau wenzio,tuliumwa kwajili ya uyu mh Paul makonda rais ajae Leo amani Kwa sisi tunae muelewa,tunaempenda ,anasaidia wanyonge habadui rangi Wala kabila,mungu tunakushuku sana endelea kumlinda kiongozi wetu
@amosdaudi9793
@amosdaudi9793 24 күн бұрын
@@AnnaMsigwa-oi8do ameen
@pendomushi6351
@pendomushi6351 26 күн бұрын
Nimefrahi mpaka nikaishiwa maneno ya kuandika kikubwa tunakuombea MUNGU azidi kukulinda na kukutunza mpaka atakapo kupenda yeye mwenyewe MUNGU ! 🙏🙏🙏
@upendoluva2066
@upendoluva2066 26 күн бұрын
Nimefurahi Sana kumuona Paul makonda, Mungu akupe umri mref wenye amani na furaha tela.
@deboraelias3333
@deboraelias3333 26 күн бұрын
Dah jaman natamani kusema mengi ila ngoja niishie kusema Mungu ni Mwema sana. Afya na Uzima ziwe nawe Paul Makonda.
@user-dq1ss2uq6u
@user-dq1ss2uq6u 25 күн бұрын
Makonda ww Mungu amekuandaa kwa tz ,,tunakuombea tu kwa Mungu...tunakupenda tz❤
@user-nb6nn6sv7u
@user-nb6nn6sv7u 26 күн бұрын
Yani nilikuwa nakosa usingizi nahatahamyakula saazingine nilivosikia kuwa anaumwa nshkurumungu karuditena jinalabwana lihimidiwe amina
@FatherKunutti
@FatherKunutti 25 күн бұрын
Nashindwa kucontrol furaha yangu. "Long life Makonda!"
@piusmaduka
@piusmaduka 26 күн бұрын
My roll model paul makonda asante Mungu
@MatidoniFasitini
@MatidoniFasitini 26 күн бұрын
He hatimaye umerudi Rais wetu kazi iendelee,spana ziendelee sasa ❤❤❤❤❤❤❤
@davisjuma5887
@davisjuma5887 26 күн бұрын
kaongea point kabisa huwezi jenga eneo la public ukaweka vyumba kwaajili ya waislamu pekee wakat kunawakristo pia wanaitaji eneo lakuomba kabla ya safar
@rachelnabarikiwasanananyim784
@rachelnabarikiwasanananyim784 26 күн бұрын
Nilikonda hivi ni kweli au
@rachelnabarikiwasanananyim784
@rachelnabarikiwasanananyim784 26 күн бұрын
Huyu ni mtetezi wa wanyonge
@davisjuma5887
@davisjuma5887 26 күн бұрын
@@rachelnabarikiwasanananyim784 nimwenyewe
@davisjuma5887
@davisjuma5887 26 күн бұрын
@@rachelnabarikiwasanananyim784 yeah perfect
@user-qv4wh2pb1d
@user-qv4wh2pb1d 26 күн бұрын
Asante mungu kwa kumrudisha mwamba wa Tanzania 🇹🇿 . Bado nasubili mungu wa kiboko ya wachawi nae arudishwe kanisani kwake tunataka
@ErckMsandai
@ErckMsandai 26 күн бұрын
Hayo tv pekee wanaweza hawanaga uongo kbs,tumefurahi sana❤
@njuka3515
@njuka3515 26 күн бұрын
Tupaye ukweli alikuwa isije ikawa kapewa dumu ya kumaliza kidogo kidogo
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 26 күн бұрын
Mheshimiwa Makonda Mungu akubariki na akulinde.
@LaurentMagesa-iv5yt
@LaurentMagesa-iv5yt 26 күн бұрын
Karibu sana kiongozi wetu kipenzi cha watanzania wenye nia njema na taifa letu.mungu akupe maisha marefu .Tuna imani kubwa na wewe
@EuniceChinyele-wh2yi
@EuniceChinyele-wh2yi 26 күн бұрын
Ahsantee Mungu kwa kumponya Makonda🙏🙏
@fredchuwa8445
@fredchuwa8445 26 күн бұрын
mkuuu karibu sana nyumbani tunaendelea na spana .......mungu akulinde sana mwamba wetu
@nyamvuragrace2436
@nyamvuragrace2436 25 күн бұрын
amen amen mungu ashukuriwe sana kwasauti ya makonda turikuwa na huzunisana mungu ni mku .mwenye wivu ajinyonge karibu sana ndugu.
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Паша Осадчий
Рет қаралды 4,3 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 85 М.
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН