You're a God fearing leader be blessed makonda and live long I wish ningezaliwa Tanzania hongera makonda wewe ni Suleiman katika bibilia
@RachelMwema-y4o2 ай бұрын
😅🎉 1:32:02
@susananyasani65263 ай бұрын
Asante Mheshimiwa Makonda Mungu akuongezee nguvu na uwezo wa kuwatumikia wanyonge na hasa Wazee sababu Wazee waliitumikia Nchi mpaka hapa tulipo leo ubarikiwe
@jamesmongelwa86258 ай бұрын
My brother Paul you are wonderful, powerful man of God Nakushushukuru sana vita unayopigana ni pana beyond your capacity Mungu akıwa na wewe Kazi tumeweza ila kero siyo kwa hao tu hata mimi Niko na kero zangu japo Niko ughaibuni ukipendezwa unaweza nipa Namba yako nikupigie tuongee maana kero yangu ni kubwa kuliko unavyodhani
@RamadhanmasolwaNkwabi19 күн бұрын
Makonda Mungu akulinde lakin pia naomba uwe rais uiongoze nchi ye2 naamini litakuwa ni jambo jema zaidi
@mariaawet64998 ай бұрын
Hongera.sannna.mungu.azidi kukulinda makonda
@yunistinatemba94668 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa MAKONDA mtetezi wa wanyonge
@susananyasani65264 ай бұрын
Danke Mheshimiwa Makonda wanyoshe hao wanaotumia nguvu na kuwaangamisha Wananchi asante
@Mwana-d1u2 ай бұрын
Ccm oyeeeeh❤❤❤❤
@susananyasani65267 ай бұрын
Asante Mheshimiwa Makonda huwo ndio wongozi wa haki kwa Wananchi
@KabiyonaWabibonye4 ай бұрын
Makonda baba mungu akubariki shapa kazi una stahili
@berthamakortha83873 ай бұрын
Makonda. Ubalikiwe KWA KAZI nzuri
@JumaShimende8 ай бұрын
Hakika mungu hashindwi mungu yupo mile na mile hali Wala hasinzii.binadamu huwezi kushindana na Alie kuumba.kamchukua maghufuli katuletea maghufuli mwengine hakika wembe ni uleule.marehemu Kombat sikumuelewa vema kipindi kile Kwa tunzi yake hiyo.Sasa ndio napata maana halisi ya wembe ni uleule ooniuleuleee.makonda chapakazi na mwenyez mungu akulinde insha Allah.mama Samia rais wetu asante kwakutuletea kijana huyu chapa kazi tuko pamoja nawe na mungu akulinde mama yatu.🤲🤲🤝🙏
@SebastianNgonyani-sm7to8 ай бұрын
Tumuongezee Makonda Mh Ally Happy aya yote yatakua madogo
Ndugu yangu Makonda mwenyezi Mungu akujalie afya njema hakika mitano tena mitano kwa Dr Samia kazi iyendeleeee
@LeonidaGasper-t6w2 ай бұрын
Mungu akubariki sana makonda👏👏👏👏
@Mwana-d1u2 ай бұрын
Big up kwake makonda mungu amfanyie wepesi maliza arusha wasilishwa tanga ukajionee madudu yaliyopo huko😂😂😂😂
@Elias-gy8qu4 ай бұрын
Yaani kwasababu mumesoma na kubarikiwa kuweni na kazi basi munasahau kua mungu yupo na ni mtetezi wa wanyonge. Alavu mungu anavyo kuja kutetea wasie jiweza uwa atateuwa malaika wa duniani kama vile magufu na makonda hao watetezi wako pamoja na mungu kwaiyo tuwaheshimuni sana
@mohamedwwnurumasagcom81718 ай бұрын
Ahsante mama Samia kwa kumpa nafasi paul makonda
@peterdaud89058 ай бұрын
Mheshimiwa Paul Christian Makonda mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia ww na Rais wetu Mama Dr. Samia Suluhu Hassan, hakika kwa speed uliyonayo 2025 wapinzani awatakuwa na nafasi... kila hatua Dua.
@StanLion-en8nb8 ай бұрын
Umetishaaa makondaaa
@dastanjrk18118 ай бұрын
Hello 🤗 makonda washa moto💥
@magretilwoga92127 ай бұрын
Semaa makonda wapone
@SelemaniMngozi-k3j7 ай бұрын
M/Mungu akulinde katibu wa nec taifa Paulo Makonda watanzania tunaimani na ccm,watanyooka mwaka huu.
@thomastemu33328 ай бұрын
Makonda hoyee hongera babaa
@scolasticakaduma51438 ай бұрын
Tulikuwa hatuna Serikali tangia JPM ametwaliwa. Sasa tumepata Mungu ametuona Watanganyika. Mh. Makonda Mungu akutunze.Ugendela Uludodi Ulumu luladenyekha
@SelemaniMngozi-k3j7 ай бұрын
Nakufuatilia kaka yangu Paulo Makonda katibu mwenezi wa nec taifa,kazi iendelee mikoa yote,ufike na Morogoro.
@vickyshayo78808 ай бұрын
Mungu akutunze baba
@banguha8 ай бұрын
Mungu ameweka Neema ya uongoz ndani yako haijalish utapingwa utashushwa ila hii neema hakuna wa kuiondoa
@WilliamMichael-z9d8 ай бұрын
Mhe.Makonda Tusaidie Wengine Tunakufuatilia Hatujajariwa ,Aridhi tumedhurumiwa Tanzania Nzima ,Kesi Za kubambikiwa ,Wat u Tunaisha.
@estermhangwawambura8 ай бұрын
Mungu akibariki makond kwa kuwasaidia walio onewa haki zao na u tinakuombea
@loyakanuda25218 ай бұрын
Kwa kweli yangu umeanza ziara, nimelia zaidi ya mara 9, si kwasababu ya ushabiki hapana, ila. kwanamna mungu anavyo kuja kivingine pale dhuluma inapovuka kiwango,hongera Rais wetu hongera mdogo wangu makonda❤
@susananyasani65264 ай бұрын
Jamani kero za Wananchi zanitoa machozi
@berthamakortha83878 ай бұрын
MUNGU. AKULINDE WEWE KIJANA. MAKONDA. TUSAIDIE BABA
@VenerandaJulias8 ай бұрын
Mungu akulinde baba
@SamsonLubeleje6 ай бұрын
Sawa kaka ila watendaji wenye we baazi hawana ukwer kama huku kwetu daa natamani Mungu akusaidiwe ufike wiliya ya chamwino kijiji chadabalo
@yonnamgonde30443 ай бұрын
Makonda MUNGU akulinde milele. Na ww ndio Rais wetu ujae. Hata mama mwenywe anafurahi kwa kazi unayo ifanya
@AlbethaGasper7 ай бұрын
Baba mungu akutie nguvu hayo majini ya aridhi ni wuaji mako da
@ZubedaAbdallah-yy6zh8 ай бұрын
Nakufatilia saana makonda piga kazi
@comsmkemwa26718 ай бұрын
Aibu sana viongozi kwa viongozi, mzee wa watu, ana haki
@richardchimba38008 ай бұрын
Yani makonda anakuwa live 😀😀😀 nchi inavituko sana
@zaitunirashidi55328 ай бұрын
Hehhehe wew uyu mtu mzito ww,,,yan yy wako wanakaa na mwenyekit wa chama kujenga we unachukulia poa?? Ambacho hawez ni kuleta fujo Kwa wateule wa rais tu lkn takataka zingine akina sisi anafukuza 😂😂😂😂😂sema naye akipeleka report mbaya Kwa Mkuu kule kuhus wateule wake wanatolewa chap chap
@amanimyolo14788 ай бұрын
Mashaalah alhamdulilah Allah akbar
@MamaAfrica-f7i8 ай бұрын
Mungu akulinde sana tumepata mrithi wetu
@LuhgiloKibiki8 ай бұрын
mama yetu samia hukumchaguwa wewe makonda ila mungu alikuelekeza ufanye uteuzi huo usije sikiliza la mtu ukamtengua wadhifa huo utakuwa umeiangamiza nchi na watu wa tanzania muache makonda akuonyeshe yanayo tendeka maovu sana sana
@frowinmgimba85138 ай бұрын
Shilima mwenyewe anatabasamu any time ningekuwa mi ndo magu part 2 shilima ningepiga cm moja hapo hapo shilima hana kazi natumbua jipu alaaaa
@ZubedaAbdallah-yy6zh8 ай бұрын
Mh.mimi nimeomba ndoana siombii samaki ndoto yangu ni kufanya kilimo cha bustani na ufugaji ombi langu ni kupatiwa shamba lenye chanzo cha maji kisicho kauka utakuwa umenisaidia pakubwa saana nakuomba saana na mungu akubariki sana
@SelciMsijakani8 ай бұрын
Yes uyo ndo Rais wetu myaka ijayo kweli .kwasababu anajali wa raiya wake.
@HumphreykirutuKirutu8 ай бұрын
Makonda anafanya kazu nzuri jamani
@susananyasani65263 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda natoa pole kwa Wananchi wanaonewa na Watendaji wa Serikali bila haki na inasikitisha sana
@ShajoSailor8 ай бұрын
Makonda
@Masallah_kulangwa448 ай бұрын
Kabisaaa mwenezi chapa kazi motoo wanauotaaa wa jiwe Tanzania hoyeee
@jjjohn39888 ай бұрын
Ndugu Makonda usirudinyuma songambele wa Tanzania tunakuamini, na MUNGU atakulinda.
@SimonLukumay-cw4bd8 ай бұрын
Njoo Arusha Kuna madudu kijijini
@fardoshnassor78478 ай бұрын
💞
@ellsonmkonyi13198 ай бұрын
Mungu atusaidie watanzania tujue tunakokwenda
@MnuwiiItowela-vf1td8 ай бұрын
Mtakata sana mawasiliano
@DavidLikavoАй бұрын
Uyu ni kiongozi wa hekima
@faridahalil44564 ай бұрын
Mbona camera man ovyo, anatetemesha hatupati kuona view vizuri especially story ya SHIRIMA
@Lodrickmwambene8 ай бұрын
Mimi naomba kazi niwe msaidizi wa makonda nisaidie kuwapa haki watanzania aisee makonda kaibuwa mengi Tanzania tunaihitaji kumrudia Mungu kwanza alafu ndio kazi ziendelee unaweza kulia
@ZubedaAbdallah-yy6zh8 ай бұрын
Mimi nasubiri muujiza wangu wa shamba naamini wewe ni mtu wa mungu na ni mtu wawatu
@OmanState-e6p7 ай бұрын
Hakika nimelia jmn na huyo mzee 😭😭😭😭😭 kama uhai mdogo unakufa pesa yako hujapata inaumiza Makonda tunakuamini msimamie huyo mzee jmn hawana lolote inamaana wameshindwa kimpigia cm aje ofcn kuchukua pesa zake
@DanielKanithi-n3q8 ай бұрын
Kwani mambo kama haya hakuna Kenya
@gibsonlwinga59508 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MakaayLukumayАй бұрын
Makonda jemedari
@juliusmkopekwa3368 ай бұрын
Papa-uponakazi-ngumu-mungu-akusaidie
@aloyceKimaryo5 ай бұрын
Naruka nae INAPOKEA Muujiza wako😅😮😮😮😮
@EmmanuelSalum-k9v8 ай бұрын
Sawa
@hawampate50298 ай бұрын
nchi imejaaa ujinga hii Mungu amlinde huyu mwamba. Viongozi wapo maofisini wanajali matumbo yao
@asajileraphael19518 ай бұрын
Watu Wa ARDHI kila sehm shida sijui shida iko wapi
@JumaNjiku-df1fd8 ай бұрын
Mwandishi wa taarifa hii arudi shule kusoma lugha ya kiswahili. Auwasha moto sio awuwasha moto!
@OmanState-e6p7 ай бұрын
Shirima, shirima,shirima nimekuita mara tatu jmn wananchi wanalia na ww duuh kiboko 😂😂😂😂 Sasa sijuw hapo Tena utajibu nn 😂😂😂😂😂😂shirima Juma tatu
@thomastemu33328 ай бұрын
Huyo shirima ni mwizi kila mahali anatajwa
@laylayl51668 ай бұрын
😭😭😭😭😭yaani nyie hata khofu ya mungu hawana nyie vijana dhambi hiyooo
@sasha-ri7tf8 ай бұрын
KAMA JESHI LA MTU MMOJA HIVI JEE WAWE NA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA MHE RAIS DKT SAMIA?..WAPINZANI MTASUBIRI SANA KUONGOZA NCHI HII 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@OswardMadege-gd7yo8 ай бұрын
Hali hii kweli inaumiza
@charlesmugisha65298 ай бұрын
Ayo tv siku izi mmeanza kuferi izo camera zenu zinazingua Sana.
Makonda nchi hii imeoza kiasi ambacho kuirekebisha ni sawa na kuifanya izaliwe upya! Kwa muda ulionao wewe huwezi kufanya lolote! Huko ulikopita hujamaliza na mengine makubwa zaidi yanaweza kuwa yametokea. Watanzania tunahitaji kuivua gamba nchi. yetu yetu
Sasa naelewa ile tamthilita tuliyoisoma kidato cha Tano Kivuli kinaishi
@JumaShimende8 ай бұрын
Halafu huyo shirima anavyo simama kaegemea kuniona boss mkubwaaa sana unasimameje hivyo Kwa dharau ungozi hautaki hivyo
@iddywhitetz2 ай бұрын
milard mbona zinagoma goma
@Elias-gy8qu4 ай бұрын
Lakini watu awaogopi kabisa ata ata babu kama uyo wansmudhulimu he jamani watanzania walie barikiwa mumekua na roho mbaya sana na itawakuta watoto wenu kama amujui hilo lijueni basi yaani unavyo mufanyia mwenzako mabaya mungu sana sana analipisha kwa watoto kwaiyo wacheni dhuluma na unyanyazaji
@simprianimarkmassawe53968 ай бұрын
Raisi ajaee
@HumphreykirutuKirutu8 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa rais au kama vp makamu wa raisi
@GracePaschal-h8w8 ай бұрын
Ila huyo kamonga na shirima waangalie sana mkuu
@happybalama35918 ай бұрын
Hapo watumishi kukaa muda mrefu hapo ni shida
@raphaelmlewa19018 ай бұрын
Mkuu tatualie na ya pamoja
@LuhgiloKibiki8 ай бұрын
mh makonda mlandizi msufini kuna tatizo watu tumehalibiwa mashamba na mazao na watafiti wa mafuta tangu 2021 walisema wameluhusiwa na raisi na watatulipa hawajatulipa na hakuna dalili za kulipwa tunaomba msaada
@laylayl51668 ай бұрын
Halafu huyo shirima anatuhuma nyingi kwelii kilapahala shirima
@MnuwiiItowela-vf1td8 ай бұрын
Mwenezi umeisha kwama😁😁
@Lodrickmwambene8 ай бұрын
Kivipi yaani
@esterkiyongo23168 ай бұрын
Haaa mbeya kapitaaa🙄🙄
@AaAa-vm8bb8 ай бұрын
Dunia inaenda kwa kuwazulumu wanyonge hilo mulijue viongozi
@amisamaurid18828 ай бұрын
Makonda ndo mwenezi Bora wa kisasa tuachane na goli la mkono, tunakuombea kaka mkubwa