🟢LIVE: MAKONDA AWUWASHA MOTO IRINGA ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI MUDA HUU

  Рет қаралды 80,706

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 127
@Dorka12-n7b
@Dorka12-n7b 4 ай бұрын
You're a God fearing leader be blessed makonda and live long I wish ningezaliwa Tanzania hongera makonda wewe ni Suleiman katika bibilia
@RachelMwema-y4o
@RachelMwema-y4o 2 ай бұрын
😅🎉 1:32:02
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 ай бұрын
Asante Mheshimiwa Makonda Mungu akuongezee nguvu na uwezo wa kuwatumikia wanyonge na hasa Wazee sababu Wazee waliitumikia Nchi mpaka hapa tulipo leo ubarikiwe
@jamesmongelwa8625
@jamesmongelwa8625 8 ай бұрын
My brother Paul you are wonderful, powerful man of God Nakushushukuru sana vita unayopigana ni pana beyond your capacity Mungu akıwa na wewe Kazi tumeweza ila kero siyo kwa hao tu hata mimi Niko na kero zangu japo Niko ughaibuni ukipendezwa unaweza nipa Namba yako nikupigie tuongee maana kero yangu ni kubwa kuliko unavyodhani
@RamadhanmasolwaNkwabi
@RamadhanmasolwaNkwabi 19 күн бұрын
Makonda Mungu akulinde lakin pia naomba uwe rais uiongoze nchi ye2 naamini litakuwa ni jambo jema zaidi
@mariaawet6499
@mariaawet6499 8 ай бұрын
Hongera.sannna.mungu.azidi kukulinda makonda
@yunistinatemba9466
@yunistinatemba9466 8 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu mheshimiwa MAKONDA mtetezi wa wanyonge
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 ай бұрын
Danke Mheshimiwa Makonda wanyoshe hao wanaotumia nguvu na kuwaangamisha Wananchi asante
@Mwana-d1u
@Mwana-d1u 2 ай бұрын
Ccm oyeeeeh❤❤❤❤
@susananyasani6526
@susananyasani6526 7 ай бұрын
Asante Mheshimiwa Makonda huwo ndio wongozi wa haki kwa Wananchi
@KabiyonaWabibonye
@KabiyonaWabibonye 4 ай бұрын
Makonda baba mungu akubariki shapa kazi una stahili
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 3 ай бұрын
Makonda. Ubalikiwe KWA KAZI nzuri
@JumaShimende
@JumaShimende 8 ай бұрын
Hakika mungu hashindwi mungu yupo mile na mile hali Wala hasinzii.binadamu huwezi kushindana na Alie kuumba.kamchukua maghufuli katuletea maghufuli mwengine hakika wembe ni uleule.marehemu Kombat sikumuelewa vema kipindi kile Kwa tunzi yake hiyo.Sasa ndio napata maana halisi ya wembe ni uleule ooniuleuleee.makonda chapakazi na mwenyez mungu akulinde insha Allah.mama Samia rais wetu asante kwakutuletea kijana huyu chapa kazi tuko pamoja nawe na mungu akulinde mama yatu.🤲🤲🤝🙏
@SebastianNgonyani-sm7to
@SebastianNgonyani-sm7to 8 ай бұрын
Tumuongezee Makonda Mh Ally Happy aya yote yatakua madogo
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 3 ай бұрын
Makonda oyeeee ,mama samia oyeee hongereni sana,mambo Mambo mazuri saaana .
@AMIRIMAGWADA-o9b
@AMIRIMAGWADA-o9b 8 ай бұрын
Ndugu yangu Makonda mwenyezi Mungu akujalie afya njema hakika mitano tena mitano kwa Dr Samia kazi iyendeleeee
@LeonidaGasper-t6w
@LeonidaGasper-t6w 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana makonda👏👏👏👏
@Mwana-d1u
@Mwana-d1u 2 ай бұрын
Big up kwake makonda mungu amfanyie wepesi maliza arusha wasilishwa tanga ukajionee madudu yaliyopo huko😂😂😂😂
@Elias-gy8qu
@Elias-gy8qu 4 ай бұрын
Yaani kwasababu mumesoma na kubarikiwa kuweni na kazi basi munasahau kua mungu yupo na ni mtetezi wa wanyonge. Alavu mungu anavyo kuja kutetea wasie jiweza uwa atateuwa malaika wa duniani kama vile magufu na makonda hao watetezi wako pamoja na mungu kwaiyo tuwaheshimuni sana
@mohamedwwnurumasagcom8171
@mohamedwwnurumasagcom8171 8 ай бұрын
Ahsante mama Samia kwa kumpa nafasi paul makonda
@peterdaud8905
@peterdaud8905 8 ай бұрын
Mheshimiwa Paul Christian Makonda mwenyezi Mungu aendelee kuwasimamia ww na Rais wetu Mama Dr. Samia Suluhu Hassan, hakika kwa speed uliyonayo 2025 wapinzani awatakuwa na nafasi... kila hatua Dua.
@StanLion-en8nb
@StanLion-en8nb 8 ай бұрын
Umetishaaa makondaaa
@dastanjrk1811
@dastanjrk1811 8 ай бұрын
Hello 🤗 makonda washa moto💥
@magretilwoga9212
@magretilwoga9212 7 ай бұрын
Semaa makonda wapone
@SelemaniMngozi-k3j
@SelemaniMngozi-k3j 7 ай бұрын
M/Mungu akulinde katibu wa nec taifa Paulo Makonda watanzania tunaimani na ccm,watanyooka mwaka huu.
@thomastemu3332
@thomastemu3332 8 ай бұрын
Makonda hoyee hongera babaa
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 8 ай бұрын
Tulikuwa hatuna Serikali tangia JPM ametwaliwa. Sasa tumepata Mungu ametuona Watanganyika. Mh. Makonda Mungu akutunze.Ugendela Uludodi Ulumu luladenyekha
@SelemaniMngozi-k3j
@SelemaniMngozi-k3j 7 ай бұрын
Nakufuatilia kaka yangu Paulo Makonda katibu mwenezi wa nec taifa,kazi iendelee mikoa yote,ufike na Morogoro.
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 8 ай бұрын
Mungu akutunze baba
@banguha
@banguha 8 ай бұрын
Mungu ameweka Neema ya uongoz ndani yako haijalish utapingwa utashushwa ila hii neema hakuna wa kuiondoa
@WilliamMichael-z9d
@WilliamMichael-z9d 8 ай бұрын
Mhe.Makonda Tusaidie Wengine Tunakufuatilia Hatujajariwa ,Aridhi tumedhurumiwa Tanzania Nzima ,Kesi Za kubambikiwa ,Wat u Tunaisha.
@estermhangwawambura
@estermhangwawambura 8 ай бұрын
Mungu akibariki makond kwa kuwasaidia walio onewa haki zao na u tinakuombea
@loyakanuda2521
@loyakanuda2521 8 ай бұрын
Kwa kweli yangu umeanza ziara, nimelia zaidi ya mara 9, si kwasababu ya ushabiki hapana, ila. kwanamna mungu anavyo kuja kivingine pale dhuluma inapovuka kiwango,hongera Rais wetu hongera mdogo wangu makonda❤
@susananyasani6526
@susananyasani6526 4 ай бұрын
Jamani kero za Wananchi zanitoa machozi
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 8 ай бұрын
MUNGU. AKULINDE WEWE KIJANA. MAKONDA. TUSAIDIE BABA
@VenerandaJulias
@VenerandaJulias 8 ай бұрын
Mungu akulinde baba
@SamsonLubeleje
@SamsonLubeleje 6 ай бұрын
Sawa kaka ila watendaji wenye we baazi hawana ukwer kama huku kwetu daa natamani Mungu akusaidiwe ufike wiliya ya chamwino kijiji chadabalo
@yonnamgonde3044
@yonnamgonde3044 3 ай бұрын
Makonda MUNGU akulinde milele. Na ww ndio Rais wetu ujae. Hata mama mwenywe anafurahi kwa kazi unayo ifanya
@AlbethaGasper
@AlbethaGasper 7 ай бұрын
Baba mungu akutie nguvu hayo majini ya aridhi ni wuaji mako da
@ZubedaAbdallah-yy6zh
@ZubedaAbdallah-yy6zh 8 ай бұрын
Nakufatilia saana makonda piga kazi
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 8 ай бұрын
Aibu sana viongozi kwa viongozi, mzee wa watu, ana haki
@richardchimba3800
@richardchimba3800 8 ай бұрын
Yani makonda anakuwa live 😀😀😀 nchi inavituko sana
@zaitunirashidi5532
@zaitunirashidi5532 8 ай бұрын
Hehhehe wew uyu mtu mzito ww,,,yan yy wako wanakaa na mwenyekit wa chama kujenga we unachukulia poa?? Ambacho hawez ni kuleta fujo Kwa wateule wa rais tu lkn takataka zingine akina sisi anafukuza 😂😂😂😂😂sema naye akipeleka report mbaya Kwa Mkuu kule kuhus wateule wake wanatolewa chap chap
@amanimyolo1478
@amanimyolo1478 8 ай бұрын
Mashaalah alhamdulilah Allah akbar
@MamaAfrica-f7i
@MamaAfrica-f7i 8 ай бұрын
Mungu akulinde sana tumepata mrithi wetu
@LuhgiloKibiki
@LuhgiloKibiki 8 ай бұрын
mama yetu samia hukumchaguwa wewe makonda ila mungu alikuelekeza ufanye uteuzi huo usije sikiliza la mtu ukamtengua wadhifa huo utakuwa umeiangamiza nchi na watu wa tanzania muache makonda akuonyeshe yanayo tendeka maovu sana sana
@frowinmgimba8513
@frowinmgimba8513 8 ай бұрын
Shilima mwenyewe anatabasamu any time ningekuwa mi ndo magu part 2 shilima ningepiga cm moja hapo hapo shilima hana kazi natumbua jipu alaaaa
@ZubedaAbdallah-yy6zh
@ZubedaAbdallah-yy6zh 8 ай бұрын
Mh.mimi nimeomba ndoana siombii samaki ndoto yangu ni kufanya kilimo cha bustani na ufugaji ombi langu ni kupatiwa shamba lenye chanzo cha maji kisicho kauka utakuwa umenisaidia pakubwa saana nakuomba saana na mungu akubariki sana
@SelciMsijakani
@SelciMsijakani 8 ай бұрын
Yes uyo ndo Rais wetu myaka ijayo kweli .kwasababu anajali wa raiya wake.
@HumphreykirutuKirutu
@HumphreykirutuKirutu 8 ай бұрын
Makonda anafanya kazu nzuri jamani
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda natoa pole kwa Wananchi wanaonewa na Watendaji wa Serikali bila haki na inasikitisha sana
@ShajoSailor
@ShajoSailor 8 ай бұрын
Makonda
@Masallah_kulangwa44
@Masallah_kulangwa44 8 ай бұрын
Kabisaaa mwenezi chapa kazi motoo wanauotaaa wa jiwe Tanzania hoyeee
@jjjohn3988
@jjjohn3988 8 ай бұрын
Ndugu Makonda usirudinyuma songambele wa Tanzania tunakuamini, na MUNGU atakulinda.
@SimonLukumay-cw4bd
@SimonLukumay-cw4bd 8 ай бұрын
Njoo Arusha Kuna madudu kijijini
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 8 ай бұрын
💞
@ellsonmkonyi1319
@ellsonmkonyi1319 8 ай бұрын
Mungu atusaidie watanzania tujue tunakokwenda
@MnuwiiItowela-vf1td
@MnuwiiItowela-vf1td 8 ай бұрын
Mtakata sana mawasiliano
@DavidLikavo
@DavidLikavo Ай бұрын
Uyu ni kiongozi wa hekima
@faridahalil4456
@faridahalil4456 4 ай бұрын
Mbona camera man ovyo, anatetemesha hatupati kuona view vizuri especially story ya SHIRIMA
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 8 ай бұрын
Mimi naomba kazi niwe msaidizi wa makonda nisaidie kuwapa haki watanzania aisee makonda kaibuwa mengi Tanzania tunaihitaji kumrudia Mungu kwanza alafu ndio kazi ziendelee unaweza kulia
@ZubedaAbdallah-yy6zh
@ZubedaAbdallah-yy6zh 8 ай бұрын
Mimi nasubiri muujiza wangu wa shamba naamini wewe ni mtu wa mungu na ni mtu wawatu
@OmanState-e6p
@OmanState-e6p 7 ай бұрын
Hakika nimelia jmn na huyo mzee 😭😭😭😭😭 kama uhai mdogo unakufa pesa yako hujapata inaumiza Makonda tunakuamini msimamie huyo mzee jmn hawana lolote inamaana wameshindwa kimpigia cm aje ofcn kuchukua pesa zake
@DanielKanithi-n3q
@DanielKanithi-n3q 8 ай бұрын
Kwani mambo kama haya hakuna Kenya
@gibsonlwinga5950
@gibsonlwinga5950 8 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MakaayLukumay
@MakaayLukumay Ай бұрын
Makonda jemedari
@juliusmkopekwa336
@juliusmkopekwa336 8 ай бұрын
Papa-uponakazi-ngumu-mungu-akusaidie
@aloyceKimaryo
@aloyceKimaryo 5 ай бұрын
Naruka nae INAPOKEA Muujiza wako😅😮😮😮😮
@EmmanuelSalum-k9v
@EmmanuelSalum-k9v 8 ай бұрын
Sawa
@hawampate5029
@hawampate5029 8 ай бұрын
nchi imejaaa ujinga hii Mungu amlinde huyu mwamba. Viongozi wapo maofisini wanajali matumbo yao
@asajileraphael1951
@asajileraphael1951 8 ай бұрын
Watu Wa ARDHI kila sehm shida sijui shida iko wapi
@JumaNjiku-df1fd
@JumaNjiku-df1fd 8 ай бұрын
Mwandishi wa taarifa hii arudi shule kusoma lugha ya kiswahili. Auwasha moto sio awuwasha moto!
@OmanState-e6p
@OmanState-e6p 7 ай бұрын
Shirima, shirima,shirima nimekuita mara tatu jmn wananchi wanalia na ww duuh kiboko 😂😂😂😂 Sasa sijuw hapo Tena utajibu nn 😂😂😂😂😂😂shirima Juma tatu
@thomastemu3332
@thomastemu3332 8 ай бұрын
Huyo shirima ni mwizi kila mahali anatajwa
@laylayl5166
@laylayl5166 8 ай бұрын
😭😭😭😭😭yaani nyie hata khofu ya mungu hawana nyie vijana dhambi hiyooo
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 8 ай бұрын
KAMA JESHI LA MTU MMOJA HIVI JEE WAWE NA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA MHE RAIS DKT SAMIA?..WAPINZANI MTASUBIRI SANA KUONGOZA NCHI HII 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@OswardMadege-gd7yo
@OswardMadege-gd7yo 8 ай бұрын
Hali hii kweli inaumiza
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 8 ай бұрын
Ayo tv siku izi mmeanza kuferi izo camera zenu zinazingua Sana.
@erickmshoboth4705
@erickmshoboth4705 8 ай бұрын
😂shilima the boy main of match
@zawiaissa8912
@zawiaissa8912 8 ай бұрын
duuh watu jamani zuluma nyingi
@JoramKaziga
@JoramKaziga 6 ай бұрын
Kwa kazi hiyo wapinzani wapumzike TU
@rajabumalupu4184
@rajabumalupu4184 8 ай бұрын
Ayo tv mbona mitambo hailewek
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb 8 ай бұрын
Mh.wewe uko poa Mungu akubariki
@NachaKing-nj7cp
@NachaKing-nj7cp 8 ай бұрын
Hakiyamama walah
@LeonidaGasper-t6w
@LeonidaGasper-t6w 2 ай бұрын
Natamani hata uwe mkuu wa mkoa wa iringa jamani
@WilliamMichael-z9d
@WilliamMichael-z9d 8 ай бұрын
CCM Nichama Ninakipenda Toka Udogo Wangu ,Lakini Kinamarazi ,Swali Langu, Hawa Watumishi ,Mnawaweka Ninyi ,Hivi Bila Chaguzi Haturusiwi Kusikilizwa Tumedhurumiwa Mashamba ,Mpanda Wamejenga.
@JumaNjiku-df1fd
@JumaNjiku-df1fd 8 ай бұрын
Makonda nchi hii imeoza kiasi ambacho kuirekebisha ni sawa na kuifanya izaliwe upya! Kwa muda ulionao wewe huwezi kufanya lolote! Huko ulikopita hujamaliza na mengine makubwa zaidi yanaweza kuwa yametokea. Watanzania tunahitaji kuivua gamba nchi. yetu yetu
@SimonLukumay-cw4bd
@SimonLukumay-cw4bd 8 ай бұрын
Kiongozi tunakupata vizuri nikiwa timbolo Arusha tutembelee kijijini
@danfordkyando7863
@danfordkyando7863 8 ай бұрын
Sasa naelewa ile tamthilita tuliyoisoma kidato cha Tano Kivuli kinaishi
@JumaShimende
@JumaShimende 8 ай бұрын
Halafu huyo shirima anavyo simama kaegemea kuniona boss mkubwaaa sana unasimameje hivyo Kwa dharau ungozi hautaki hivyo
@iddywhitetz
@iddywhitetz 2 ай бұрын
milard mbona zinagoma goma
@Elias-gy8qu
@Elias-gy8qu 4 ай бұрын
Lakini watu awaogopi kabisa ata ata babu kama uyo wansmudhulimu he jamani watanzania walie barikiwa mumekua na roho mbaya sana na itawakuta watoto wenu kama amujui hilo lijueni basi yaani unavyo mufanyia mwenzako mabaya mungu sana sana analipisha kwa watoto kwaiyo wacheni dhuluma na unyanyazaji
@simprianimarkmassawe5396
@simprianimarkmassawe5396 8 ай бұрын
Raisi ajaee
@HumphreykirutuKirutu
@HumphreykirutuKirutu 8 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa rais au kama vp makamu wa raisi
@GracePaschal-h8w
@GracePaschal-h8w 8 ай бұрын
Ila huyo kamonga na shirima waangalie sana mkuu
@happybalama3591
@happybalama3591 8 ай бұрын
Hapo watumishi kukaa muda mrefu hapo ni shida
@raphaelmlewa1901
@raphaelmlewa1901 8 ай бұрын
Mkuu tatualie na ya pamoja
@LuhgiloKibiki
@LuhgiloKibiki 8 ай бұрын
mh makonda mlandizi msufini kuna tatizo watu tumehalibiwa mashamba na mazao na watafiti wa mafuta tangu 2021 walisema wameluhusiwa na raisi na watatulipa hawajatulipa na hakuna dalili za kulipwa tunaomba msaada
@laylayl5166
@laylayl5166 8 ай бұрын
Halafu huyo shirima anatuhuma nyingi kwelii kilapahala shirima
@MnuwiiItowela-vf1td
@MnuwiiItowela-vf1td 8 ай бұрын
Mwenezi umeisha kwama😁😁
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene 8 ай бұрын
Kivipi yaani
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 8 ай бұрын
Haaa mbeya kapitaaa🙄🙄
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb 8 ай бұрын
Dunia inaenda kwa kuwazulumu wanyonge hilo mulijue viongozi
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 8 ай бұрын
Makonda ndo mwenezi Bora wa kisasa tuachane na goli la mkono, tunakuombea kaka mkubwa
@zedzoomextra
@zedzoomextra 8 ай бұрын
😂😂😂😂moto upoooo
@anangisyemapunda7686
@anangisyemapunda7686 8 ай бұрын
SHILIMA😅
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН