SIRI IMEFICHUKA! MAKONDA AMBANA MKURUGENZI, MADUDU ya KUTISHA na RUSHWA OFISI YA HALMASHAURI ARUSHA

  Рет қаралды 78,336

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 157
@hassaintz9255
@hassaintz9255 Ай бұрын
Huyu mzee anajua sana. Ila wabongo niwapagaji ila hawajui jinsi ya upigaji
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Ай бұрын
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
@matukutajuma156
@matukutajuma156 Ай бұрын
SAMIA DADA YANGU NIMEKUELEWA!! DUH NDIO MAANA ULIMTOA UENEZI UKAMPELEKA MAKONDA ARUSHA KUMBE UNA JAMBO!!? HONGERA MH RAISI WANGU!! MPE ULINZI WAKO BINAFSI KAMA UMEMZAA TUMBONI HUYU KIJANA NI KILAKA HAKYAMUNGU ATAKUSAIDIA! ❤
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 Ай бұрын
Kabisaa
@mackjr5291
@mackjr5291 Ай бұрын
Duuu nje ya ulinzi wa serikali
@saidkipalo4427
@saidkipalo4427 Ай бұрын
Mimi nilijua tu Samia hawezi kumpeleka Mh Makonda Arusha bure bure piga kazi Mh Makonda Viva mama Samia Suluhu Hassan 🙌
@ausmsuya3335
@ausmsuya3335 Ай бұрын
Indeed is remarkable well explained Congratulations Mh ..🎉
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Ай бұрын
mipete mingi ya kuzimu ya lile shetani joka la kale,lakini joka wa kale aka shetani hajamsaidia amechapika kwa Damu ya YESU ALIE HAI
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 Ай бұрын
Makonda nakuombea Kila cku mana Hawa waizi hakupendi,
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ай бұрын
Yani makonda alikua makini sana uyo mzee mwenyez mungu amemsaidia maoni yake yamesikiliswa❤
@labancharles8453
@labancharles8453 Ай бұрын
nimeipenda comment yako ila MUNGU UANDIKE herufi kubwa
@ivankadaudi8161
@ivankadaudi8161 Ай бұрын
Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤
@patrickfanuel
@patrickfanuel Ай бұрын
Mkuu Makonda mungu akubaliki sana katika maisha yako.🎉🎉🎉
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 Ай бұрын
Paulo me Ni Rafik yko kaka nakupenda kuliko vijana wote hapa duniani ila na mimi kijana mwenzako napambana xana kaka mungu atupe wepesi kaka
@charlessomi2506
@charlessomi2506 24 күн бұрын
*MUNGU
@asifsilima4704
@asifsilima4704 Ай бұрын
Definition of Education🎒🏫📚🎓 Congratulations Mr Williams and Mr Paul Makonda❤
@EmmmaTembo
@EmmmaTembo Ай бұрын
Kutoka Zambia napenda nisifu huu yu mzee na wafanya biashara waliyo mchaguwa awe kiongozi wao hakika anajuwa kuweka mambo sawa na kujieleza sawa sawa
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Ай бұрын
Mh mkuu wetu wa mkoa,kwanza mungu akutie nguvu kwa kazi ngumu hii ila pitia mabaraza yote ya ardhi za halmashauri utajua mengi zaidi
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Ай бұрын
Watu wanafikiri Kila mtu mwizi,,,,mzee Chambulo safi sana,,,,Allah azidi kukuongoza 🤲
@hafsahamadi1631
@hafsahamadi1631 Ай бұрын
Nataka nikirudi bongo nimuone Mh makonda inshallha nataka kumuona tu nimpe hongera kwa kazi nzuri anayoifanya
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA Ай бұрын
Haya mambo ya wizi kupitia watumishi wa umma.Huwezi kuyaona Europe ama nchi zilizosmart kwa upuuzi kama huu
@samtelah7578
@samtelah7578 Ай бұрын
Hamna mkurugenz hapa aiseee
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 Ай бұрын
Well articulated Mr Chambulo, Good job!
@innocentmleli1196
@innocentmleli1196 Ай бұрын
Nakukubali mzee Chambulo, waeleze ukweli hao.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA Ай бұрын
Haya mambo ndiyo yanayofanya wawekezaji wasije Tanzania ....
@villabashiri3457
@villabashiri3457 Ай бұрын
As Executive As Makonda,The Legendary John❤
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Ай бұрын
Kusema kweli nchi hii ina wezi wengi sana haswa halmashauri 😢
@AlexMahehula
@AlexMahehula Ай бұрын
Mkuu mungu akuper ulizibinafisi amina
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 Ай бұрын
Mh; Makonda +MUNGU+ azidi KUKUBARIKI na kukutunza siku zote hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏🤝
@SonitajoseDonita-tm5ex
@SonitajoseDonita-tm5ex Ай бұрын
Mapete ya kichawi Hakuna Akili hapo ,Makonda Tia jela wezi Hawa .😊
@beatricekatunzi3721
@beatricekatunzi3721 Ай бұрын
Mapete hatari sana tena sana
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 Ай бұрын
Yashindwe Kwa jina kuu lipitalo majina yote. YESU KRISTO
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur Ай бұрын
Ukiwa Tajiri unakuwa na nguvu ya kujiamini kweli kama BIBLIA TAKATIFU iIlivosema umaskini ni laana,huyu mzee anajiamini na ni Mlokole huyu
@Jackiedaniel75
@Jackiedaniel75 Ай бұрын
Sure
@user-hh7df4mq1j
@user-hh7df4mq1j Ай бұрын
Kwakweli kuna kaujasiri flani hivi unakuwa nako
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 Ай бұрын
Hamna mlokole hapo WWE jichanganyee
@norahmaxwell6853
@norahmaxwell6853 Ай бұрын
Yes Chambulo hana kona kona amenyooka kama pini cha pua hapendi uwongo uwizi uvivu na kuchezea muda 💪
@ramaaman4020
@ramaaman4020 Ай бұрын
Aisee imeendahiyo vizurisana mzee, hakisawa Mungu ibariki Tanzania. Twaamini iposiku viongoziwapendaruswawatakwisa
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 Ай бұрын
Mzee ameongea na full confidence
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th Ай бұрын
Hiyo mipete tu aliovaa anaonekana kabisa ni muhuni na mwizi mzoefuu
@kikimshanga3412
@kikimshanga3412 Ай бұрын
Mshirikina
@ericknganzi398
@ericknganzi398 Ай бұрын
Nimeshangaa kuona hayo mapete kutoka kwa kiongozi wa utumishi wa umma. Daah huyu atakuwa ni hatari sana
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
Yn kiboko😢
@ElizabethWamcha
@ElizabethWamcha Ай бұрын
Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu
@doramkolo1745
@doramkolo1745 Ай бұрын
Mama Samia alikuwa ameshaona Kuna madudu huko arusha ndio maana akapeleka jembe lakuyafyeka hayo madudu huko...big up mh makonda Mungu akulinde tu
@stevenmarunda4353
@stevenmarunda4353 Ай бұрын
Mwashimiwa makonda mungu akutunze utusaidie na upande wa jeshi la polish watches kusingizia kesi
@samwelerasto7138
@samwelerasto7138 Ай бұрын
Duh Bora sipo hapo ningechoka kucheka 😅😅aibu jaman
@neemaloy889
@neemaloy889 Ай бұрын
Ubarikiwe mh Makonda
@kristiankitali5505
@kristiankitali5505 Ай бұрын
Sheria lazima ziwe Strong
@user-mc5zb3ox9c
@user-mc5zb3ox9c Ай бұрын
Mungu mwema Sana
@mlewamlewa976
@mlewamlewa976 Ай бұрын
Fact Mr chabro
@Kabwela776
@Kabwela776 Ай бұрын
Mpitishe sheria za kuwanyonga hawa wezi mngeanza kunyonga kama China na Korea kusini mnawachekea ndio maana wanaendelea kuiba.
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 Ай бұрын
M/Mungu Naomba Ulinzi wa Kutosha kwa Mtumishi wako Paul Makonda,kwa Kazi Nzr Anayofanya kwa kutetea Haki za Wanyonge wote hp Duniani 🙏🙏
@doreengomes3489
@doreengomes3489 Ай бұрын
Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU. How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!
@Bettylaizery
@Bettylaizery Ай бұрын
Not William. Call him Wilbard
@doreengomes3489
@doreengomes3489 Ай бұрын
@@Bettylaizery my sincere apologies, it is indeed "Willy"... but NOT KABURU. Thank you for the correction.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA Ай бұрын
Nimeshangaa sana mtu anarudiarudia kumuita KABULU .. HuYo mkurugenzi anatakiwa kutolewa hapo ARUSHA hapo hafai
@SanareLaizer-en5it
@SanareLaizer-en5it Ай бұрын
Hatari sana Yani huyu makonda yupo makini sana
@SGVBnewsSAMWEL
@SGVBnewsSAMWEL Ай бұрын
Huyu si ndio alikua serengeti warioba alimsema kuwa ni mwizi kumbe za mwizi ni 40
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Ай бұрын
Ndio huyo Huyo bab mwiz kitambo kumbe
@Enzo-cp
@Enzo-cp Ай бұрын
Mkuruu amejichanganya
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Ай бұрын
Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Ай бұрын
Inauma sana
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx Ай бұрын
Uyu Mzee nampenda sana
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Ай бұрын
Salute kaskazini kwa kujiamini
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Ай бұрын
Safi makonda kazi nzuri majizi haoo
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 Ай бұрын
Muheshimiwa makonda mungu akupe miaka mingi mbele unasaidiya sana wanyonge natamani ungeletwa zanzibar maana kunanuka zulma
@mercyzakariah
@mercyzakariah Ай бұрын
Raisi anajua Kweli, kumbe ndiomana aka mteua makonda, Arusha wapigaji2
@susananyasani6526
@susananyasani6526 11 күн бұрын
Jamani Wizi na Rushwa umezidi badala ya Watu kufanya kazi na kutafuta ajira poleni sana Wananchi na Serikali yake
@francisdeomassawe6307
@francisdeomassawe6307 Ай бұрын
Safi sana mkuu.
@mohamedkaranje8678
@mohamedkaranje8678 Ай бұрын
Mh kachoka kabisa....hii nchi tunamsiba mzito sanA
@francismadirisha3511
@francismadirisha3511 Ай бұрын
Lais wetu Samia asante kwa makonda atawanyosha hawa mafisadi
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
Baba kanikosha huyu afu hana nywele za kitajeeer
@OscerShop
@OscerShop Ай бұрын
Mh. Paul Makonda wewe unatakiwa siku moja uwe Rais maana situ unajiruma ukweli no kwamba unakubalika kwanamna unavotatua migogoro hongera Sana .
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Ай бұрын
Ameandika kabulu ilikupoteza ushaidi puba kabisa atiwe ndani mwizi
@yohanamlowe704
@yohanamlowe704 Ай бұрын
Mmh
@frankwilliam144
@frankwilliam144 Ай бұрын
Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.
@BONIPHACEMOHABE
@BONIPHACEMOHABE 21 күн бұрын
Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue
@kastoriooko7157
@kastoriooko7157 Ай бұрын
Safi mkuu
@adeliphinusgabone7431
@adeliphinusgabone7431 Ай бұрын
The guy is very smart and he knows whta is doing,Mkulu genzi Kayakanyaga kwelikweli.
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
Kayatimba mana hlijiachia kwa wandishi wa habari ...hamjui chamburo akili kubwa❤❤
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Ай бұрын
😂😂😂😂😂watu majambazi jamani,,,,mzee hakubali anataka kujua pesa zimekwenda wapi🙌
@salummakadi311
@salummakadi311 29 күн бұрын
Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 Ай бұрын
😳😳😳
@BrayoDimpoz
@BrayoDimpoz Ай бұрын
Mwanaume ule hela ya mwanaume mwenzako😂😂
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
😂😂😂hapo kwenye jina kanchekesha et tuheshimiane
@stanastana3199
@stanastana3199 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 Ай бұрын
Mapete makubwa ya Mashetani ya nini ? ? Mtegemee Mungu kwa ulinzi wako, Achana na Mapete ya kichawi
@Lodrickmwambene
@Lodrickmwambene Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 msameheni jamani
@ericknganzi398
@ericknganzi398 Ай бұрын
Hayo mapete yanadhihirisha huyo jamaa ni mhuni.
@golebenson4597
@golebenson4597 Ай бұрын
Serekeli ikipewa chimbo la wizi 😂😂
@chekanao4298
@chekanao4298 Ай бұрын
jamani kaka wa watu anaongea vizur kwa msisitizo, kafichua madudu, makonda mpe ulinzi tafadhali.
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 Ай бұрын
Mmmmmh wizi inje inje😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@Juke995
@Juke995 Ай бұрын
Watu waliosoma bhana yani hawana papara kabisa wanaongea point imekamilika .nyie elimu ni nzuri sana
@emmilianlukaye3125
@emmilianlukaye3125 Ай бұрын
Watanzania tukinyoosha hivi, nchi itanjengwa kwa haraka. Majizi wanaturudisha nyuma
@ismailjuma1452
@ismailjuma1452 Ай бұрын
Makonda piga kazi kaka
@ClementMekarnt
@ClementMekarnt Ай бұрын
Upigaji unaendelea 😢😢😢
@husseinmgoo3074
@husseinmgoo3074 Ай бұрын
Apo poa
@FunnyChess-ns9vf
@FunnyChess-ns9vf Ай бұрын
Changulo umemalizaaaa duuh Inatosha brother
@nayopamlimbatv1382
@nayopamlimbatv1382 Ай бұрын
Uyu makonda aletwe na Morogoro jamani
@herimallya3385
@herimallya3385 27 күн бұрын
Hayo majini kwenye mapete hayajamsaidia???jinga
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Ай бұрын
Kuna wezi wengi sana hii nchi
@deborahmollel3170
@deborahmollel3170 Ай бұрын
Yaani mkurugenzi Mzima ma Pete hayo Kama mpiga ndumba haina heshima kabisa,hapendezei cheo hicho Wizi tu
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 Ай бұрын
Huyu mkurugenzu ni mpuuzu sana hiyo leseni ya chambulo inasoma kaburu? Kwanini unaharibu majina ya watu
@user-vy2bc6xg3i
@user-vy2bc6xg3i Ай бұрын
Nilijua tu huyu mzee toka mwanzo alikuwa anatoa kicho kwa hasira
@Kivuruge255
@Kivuruge255 Ай бұрын
Pyee pyyee pyee, Fyuuu😂😂 kikowapi sasa na mipete yake ka mganga wa jadi
@aqbizyaugust8919
@aqbizyaugust8919 Ай бұрын
Af jina langu sio Kaburu.... 😂😂😂
@jeremiahsumun1149
@jeremiahsumun1149 29 күн бұрын
Mgogo unalea watoto sio wako
@kurumwagodfrey7052
@kurumwagodfrey7052 Ай бұрын
Mzarendo wa kweli
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA Ай бұрын
Huyo mkurugenzi is very stupid . Anamuita mtu KABURU ambaye ni mtanzania What is KABULU??????????
@user-ui1jz7su2p
@user-ui1jz7su2p Ай бұрын
Jamani, jamani,MUNGU, kumbe yupo, EEEE,ARUSHA, kumekicha
@godfreymwanguku3396
@godfreymwanguku3396 Ай бұрын
Nahisi pia usipo lalamika unaweza Kuja kupigwa faini
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Ай бұрын
Haamajizi kubewengiii maaa
@CharlesWilliam-iz3fz
@CharlesWilliam-iz3fz Ай бұрын
Ungesikia weka ndani angekueo
@devothabernard1570
@devothabernard1570 Ай бұрын
Pete za bahati hizo zina maelekezo yake😂
@jacklinelyimo7407
@jacklinelyimo7407 Ай бұрын
Wawekwe ndani wanaoshikwa na wizi wa fedha
@aronmtui597
@aronmtui597 Ай бұрын
Chama chake hapana
@user-ws2uw5rd8i
@user-ws2uw5rd8i Ай бұрын
Wakuu wa mikoa wengine mpo wapi Ina maana matatizo yapo Arusha tuu
@mohamedkaranje8678
@mohamedkaranje8678 Ай бұрын
Hiyo ni arusha...dar? Hii nchi ngumu mno
@malewajulias-pl1ul
@malewajulias-pl1ul Ай бұрын
Majitu ya serikali imajaa thiki sanaa na mavipala yao wanaudhi sana awa jamaa hawana maadili kabisa
@user-mc5zb3ox9c
@user-mc5zb3ox9c Ай бұрын
Duuuuuuuuu aibuuu Sana jamani
@JoelMartin-16
@JoelMartin-16 Ай бұрын
MUNGU atusaidie duuuh
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l Ай бұрын
Mapete ya huyu jamaa. Mshirikina huyo.
MKURUGENZI MTENDAJI ABANWA AMUOMBA SAMAHANI RC MAKONDA...
27:56
OFFTRACK TV
Рет қаралды 13 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 33 М.
FOOLED THE GUARD🤢
00:54
INO
Рет қаралды 62 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 86 МЛН
MAKONDA ALIVYOIBUA MADUDU MRADI WA ZAHANATI LEREMETA LONGIDO
36:38
🤷🏻‍♂️She Took His Skittles And Discolored Him😲🥴
0:33
BorisKateFamily
Рет қаралды 12 МЛН
ВЕРНУЛИСЬ ИЗ ОТПУСКА... (@twoticketstosaradise - TikTok)
0:24