Huyu mzee anajua sana. Ila wabongo niwapagaji ila hawajui jinsi ya upigaji
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
@matukutajuma156Ай бұрын
SAMIA DADA YANGU NIMEKUELEWA!! DUH NDIO MAANA ULIMTOA UENEZI UKAMPELEKA MAKONDA ARUSHA KUMBE UNA JAMBO!!? HONGERA MH RAISI WANGU!! MPE ULINZI WAKO BINAFSI KAMA UMEMZAA TUMBONI HUYU KIJANA NI KILAKA HAKYAMUNGU ATAKUSAIDIA! ❤
@rosetreffert4179Ай бұрын
Kabisaa
@mackjr5291Ай бұрын
Duuu nje ya ulinzi wa serikali
@saidkipalo4427Ай бұрын
Mimi nilijua tu Samia hawezi kumpeleka Mh Makonda Arusha bure bure piga kazi Mh Makonda Viva mama Samia Suluhu Hassan 🙌
@ausmsuya3335Ай бұрын
Indeed is remarkable well explained Congratulations Mh ..🎉
@SmilingBulldogPuppy-nb9urАй бұрын
mipete mingi ya kuzimu ya lile shetani joka la kale,lakini joka wa kale aka shetani hajamsaidia amechapika kwa Damu ya YESU ALIE HAI
@gladistaemanueliy6336Ай бұрын
Makonda nakuombea Kila cku mana Hawa waizi hakupendi,
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9kАй бұрын
Yani makonda alikua makini sana uyo mzee mwenyez mungu amemsaidia maoni yake yamesikiliswa❤
@labancharles8453Ай бұрын
nimeipenda comment yako ila MUNGU UANDIKE herufi kubwa
@ivankadaudi8161Ай бұрын
Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤
@patrickfanuelАй бұрын
Mkuu Makonda mungu akubaliki sana katika maisha yako.🎉🎉🎉
@jalaryababilasi1562Ай бұрын
Paulo me Ni Rafik yko kaka nakupenda kuliko vijana wote hapa duniani ila na mimi kijana mwenzako napambana xana kaka mungu atupe wepesi kaka
@charlessomi250624 күн бұрын
*MUNGU
@asifsilima4704Ай бұрын
Definition of Education🎒🏫📚🎓 Congratulations Mr Williams and Mr Paul Makonda❤
@EmmmaTemboАй бұрын
Kutoka Zambia napenda nisifu huu yu mzee na wafanya biashara waliyo mchaguwa awe kiongozi wao hakika anajuwa kuweka mambo sawa na kujieleza sawa sawa
@PauloAlfayo-qi1gnАй бұрын
Mh mkuu wetu wa mkoa,kwanza mungu akutie nguvu kwa kazi ngumu hii ila pitia mabaraza yote ya ardhi za halmashauri utajua mengi zaidi
@NR-ll4srАй бұрын
Watu wanafikiri Kila mtu mwizi,,,,mzee Chambulo safi sana,,,,Allah azidi kukuongoza 🤲
@hafsahamadi1631Ай бұрын
Nataka nikirudi bongo nimuone Mh makonda inshallha nataka kumuona tu nimpe hongera kwa kazi nzuri anayoifanya
@--------GEO_SPORT_EARTH_EAАй бұрын
Haya mambo ya wizi kupitia watumishi wa umma.Huwezi kuyaona Europe ama nchi zilizosmart kwa upuuzi kama huu
@samtelah7578Ай бұрын
Hamna mkurugenz hapa aiseee
@walterp.makundi5640Ай бұрын
Well articulated Mr Chambulo, Good job!
@innocentmleli1196Ай бұрын
Nakukubali mzee Chambulo, waeleze ukweli hao.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EAАй бұрын
Haya mambo ndiyo yanayofanya wawekezaji wasije Tanzania ....
@villabashiri3457Ай бұрын
As Executive As Makonda,The Legendary John❤
@ilynpayne7491Ай бұрын
Kusema kweli nchi hii ina wezi wengi sana haswa halmashauri 😢
@AlexMahehulaАй бұрын
Mkuu mungu akuper ulizibinafisi amina
@emmanuelfari8924Ай бұрын
Mh; Makonda +MUNGU+ azidi KUKUBARIKI na kukutunza siku zote hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏🤝
@SonitajoseDonita-tm5exАй бұрын
Mapete ya kichawi Hakuna Akili hapo ,Makonda Tia jela wezi Hawa .😊
@beatricekatunzi3721Ай бұрын
Mapete hatari sana tena sana
@mungholomakalanga8958Ай бұрын
Yashindwe Kwa jina kuu lipitalo majina yote. YESU KRISTO
@SmilingBulldogPuppy-nb9urАй бұрын
Ukiwa Tajiri unakuwa na nguvu ya kujiamini kweli kama BIBLIA TAKATIFU iIlivosema umaskini ni laana,huyu mzee anajiamini na ni Mlokole huyu
@Jackiedaniel75Ай бұрын
Sure
@user-hh7df4mq1jАй бұрын
Kwakweli kuna kaujasiri flani hivi unakuwa nako
@davidmalisa8043Ай бұрын
Hamna mlokole hapo WWE jichanganyee
@norahmaxwell6853Ай бұрын
Yes Chambulo hana kona kona amenyooka kama pini cha pua hapendi uwongo uwizi uvivu na kuchezea muda 💪
@ramaaman4020Ай бұрын
Aisee imeendahiyo vizurisana mzee, hakisawa Mungu ibariki Tanzania. Twaamini iposiku viongoziwapendaruswawatakwisa
@riazshaikh8577Ай бұрын
Mzee ameongea na full confidence
@wemaMichael-fr4thАй бұрын
Hiyo mipete tu aliovaa anaonekana kabisa ni muhuni na mwizi mzoefuu
@kikimshanga3412Ай бұрын
Mshirikina
@ericknganzi398Ай бұрын
Nimeshangaa kuona hayo mapete kutoka kwa kiongozi wa utumishi wa umma. Daah huyu atakuwa ni hatari sana
@sophsoph4740Ай бұрын
Yn kiboko😢
@ElizabethWamchaАй бұрын
Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu
@doramkolo1745Ай бұрын
Mama Samia alikuwa ameshaona Kuna madudu huko arusha ndio maana akapeleka jembe lakuyafyeka hayo madudu huko...big up mh makonda Mungu akulinde tu
@stevenmarunda4353Ай бұрын
Mwashimiwa makonda mungu akutunze utusaidie na upande wa jeshi la polish watches kusingizia kesi
@samwelerasto7138Ай бұрын
Duh Bora sipo hapo ningechoka kucheka 😅😅aibu jaman
@neemaloy889Ай бұрын
Ubarikiwe mh Makonda
@kristiankitali5505Ай бұрын
Sheria lazima ziwe Strong
@user-mc5zb3ox9cАй бұрын
Mungu mwema Sana
@mlewamlewa976Ай бұрын
Fact Mr chabro
@Kabwela776Ай бұрын
Mpitishe sheria za kuwanyonga hawa wezi mngeanza kunyonga kama China na Korea kusini mnawachekea ndio maana wanaendelea kuiba.
@dorcasdavid2247Ай бұрын
M/Mungu Naomba Ulinzi wa Kutosha kwa Mtumishi wako Paul Makonda,kwa Kazi Nzr Anayofanya kwa kutetea Haki za Wanyonge wote hp Duniani 🙏🙏
@doreengomes3489Ай бұрын
Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU. How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!
@BettylaizeryАй бұрын
Not William. Call him Wilbard
@doreengomes3489Ай бұрын
@@Bettylaizery my sincere apologies, it is indeed "Willy"... but NOT KABURU. Thank you for the correction.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EAАй бұрын
Nimeshangaa sana mtu anarudiarudia kumuita KABULU .. HuYo mkurugenzi anatakiwa kutolewa hapo ARUSHA hapo hafai
@SanareLaizer-en5itАй бұрын
Hatari sana Yani huyu makonda yupo makini sana
@SGVBnewsSAMWELАй бұрын
Huyu si ndio alikua serengeti warioba alimsema kuwa ni mwizi kumbe za mwizi ni 40
@husseinkonz5192Ай бұрын
Ndio huyo Huyo bab mwiz kitambo kumbe
@Enzo-cpАй бұрын
Mkuruu amejichanganya
@peninashungu6633Ай бұрын
Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu
@chesconkwera2005Ай бұрын
Inauma sana
@idinado-wk3lxАй бұрын
Uyu Mzee nampenda sana
@mzalendomzalendo2567Ай бұрын
Salute kaskazini kwa kujiamini
@kurumwagodfrey7052Ай бұрын
Safi makonda kazi nzuri majizi haoo
@mwatumsaidi5104Ай бұрын
Muheshimiwa makonda mungu akupe miaka mingi mbele unasaidiya sana wanyonge natamani ungeletwa zanzibar maana kunanuka zulma
@mercyzakariahАй бұрын
Raisi anajua Kweli, kumbe ndiomana aka mteua makonda, Arusha wapigaji2
@susananyasani652611 күн бұрын
Jamani Wizi na Rushwa umezidi badala ya Watu kufanya kazi na kutafuta ajira poleni sana Wananchi na Serikali yake
@francisdeomassawe6307Ай бұрын
Safi sana mkuu.
@mohamedkaranje8678Ай бұрын
Mh kachoka kabisa....hii nchi tunamsiba mzito sanA
@francismadirisha3511Ай бұрын
Lais wetu Samia asante kwa makonda atawanyosha hawa mafisadi
@sophsoph4740Ай бұрын
Baba kanikosha huyu afu hana nywele za kitajeeer
@OscerShopАй бұрын
Mh. Paul Makonda wewe unatakiwa siku moja uwe Rais maana situ unajiruma ukweli no kwamba unakubalika kwanamna unavotatua migogoro hongera Sana .
@jakobongwara3038Ай бұрын
Ameandika kabulu ilikupoteza ushaidi puba kabisa atiwe ndani mwizi
@yohanamlowe704Ай бұрын
Mmh
@frankwilliam144Ай бұрын
Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.
@BONIPHACEMOHABE21 күн бұрын
Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue
@kastoriooko7157Ай бұрын
Safi mkuu
@adeliphinusgabone7431Ай бұрын
The guy is very smart and he knows whta is doing,Mkulu genzi Kayakanyaga kwelikweli.
@sophsoph4740Ай бұрын
Kayatimba mana hlijiachia kwa wandishi wa habari ...hamjui chamburo akili kubwa❤❤
@NR-ll4srАй бұрын
😂😂😂😂😂watu majambazi jamani,,,,mzee hakubali anataka kujua pesa zimekwenda wapi🙌
@salummakadi31129 күн бұрын
Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali
@eliaichraymond1215Ай бұрын
😳😳😳
@BrayoDimpozАй бұрын
Mwanaume ule hela ya mwanaume mwenzako😂😂
@sophsoph4740Ай бұрын
😂😂😂hapo kwenye jina kanchekesha et tuheshimiane
@stanastana3199Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@edwinalexander1170Ай бұрын
Mapete makubwa ya Mashetani ya nini ? ? Mtegemee Mungu kwa ulinzi wako, Achana na Mapete ya kichawi
@LodrickmwambeneАй бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 msameheni jamani
@ericknganzi398Ай бұрын
Hayo mapete yanadhihirisha huyo jamaa ni mhuni.
@golebenson4597Ай бұрын
Serekeli ikipewa chimbo la wizi 😂😂
@chekanao4298Ай бұрын
jamani kaka wa watu anaongea vizur kwa msisitizo, kafichua madudu, makonda mpe ulinzi tafadhali.
@msafirimfilinge8222Ай бұрын
Mmmmmh wizi inje inje😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@Juke995Ай бұрын
Watu waliosoma bhana yani hawana papara kabisa wanaongea point imekamilika .nyie elimu ni nzuri sana
@emmilianlukaye3125Ай бұрын
Watanzania tukinyoosha hivi, nchi itanjengwa kwa haraka. Majizi wanaturudisha nyuma
@ismailjuma1452Ай бұрын
Makonda piga kazi kaka
@ClementMekarntАй бұрын
Upigaji unaendelea 😢😢😢
@husseinmgoo3074Ай бұрын
Apo poa
@FunnyChess-ns9vfАй бұрын
Changulo umemalizaaaa duuh Inatosha brother
@nayopamlimbatv1382Ай бұрын
Uyu makonda aletwe na Morogoro jamani
@herimallya338527 күн бұрын
Hayo majini kwenye mapete hayajamsaidia???jinga
@chesconkwera2005Ай бұрын
Kuna wezi wengi sana hii nchi
@deborahmollel3170Ай бұрын
Yaani mkurugenzi Mzima ma Pete hayo Kama mpiga ndumba haina heshima kabisa,hapendezei cheo hicho Wizi tu
@gladistaemanueliy6336Ай бұрын
Huyu mkurugenzu ni mpuuzu sana hiyo leseni ya chambulo inasoma kaburu? Kwanini unaharibu majina ya watu
@user-vy2bc6xg3iАй бұрын
Nilijua tu huyu mzee toka mwanzo alikuwa anatoa kicho kwa hasira
@Kivuruge255Ай бұрын
Pyee pyyee pyee, Fyuuu😂😂 kikowapi sasa na mipete yake ka mganga wa jadi
@aqbizyaugust8919Ай бұрын
Af jina langu sio Kaburu.... 😂😂😂
@jeremiahsumun114929 күн бұрын
Mgogo unalea watoto sio wako
@kurumwagodfrey7052Ай бұрын
Mzarendo wa kweli
@--------GEO_SPORT_EARTH_EAАй бұрын
Huyo mkurugenzi is very stupid . Anamuita mtu KABURU ambaye ni mtanzania What is KABULU??????????