🔴

  Рет қаралды 63,256

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

🔴#Live: MSTAAFU KIKWETE na MTOTO wa MANJI WAZUNGUMZA KWA UCHUNGU MAISHA ya MANJI HADI KUFARIKI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 163
@BismarkStephen
@BismarkStephen 3 ай бұрын
Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri
@WilliamMsungu
@WilliamMsungu 3 ай бұрын
Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?
@allythabiti8150
@allythabiti8150 3 ай бұрын
​@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka
@SHIJADAVIS
@SHIJADAVIS 3 ай бұрын
Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 3 ай бұрын
Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 3 ай бұрын
Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake
@ramashauritanga8966
@ramashauritanga8966 3 ай бұрын
Pp
@meshackeliau8973
@meshackeliau8973 3 ай бұрын
​@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂
@mariamkikula1614
@mariamkikula1614 3 ай бұрын
Amin yarabii
@shakilakhamis2109
@shakilakhamis2109 3 ай бұрын
Amiiin
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!
@misanamaige
@misanamaige 3 ай бұрын
Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.
@fatimahants1526
@fatimahants1526 3 ай бұрын
Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman
@rahmazahor4333
@rahmazahor4333 3 ай бұрын
Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini
@GervasiMwacha
@GervasiMwacha 2 ай бұрын
😢
@dassustephen731
@dassustephen731 3 ай бұрын
Yusuph was a very humble rich man
@RachelLaizer-n2p
@RachelLaizer-n2p 2 ай бұрын
Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana
@Sebastianmangenyi
@Sebastianmangenyi 3 ай бұрын
Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani
@noelnoel4916
@noelnoel4916 3 ай бұрын
Pole sana kwa wana familia wa Manji
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 ай бұрын
MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😢😢
@aishamtaula1959
@aishamtaula1959 3 ай бұрын
Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana
@beatuskulwa2912
@beatuskulwa2912 3 ай бұрын
RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha
@emanuelmushi9917
@emanuelmushi9917 3 ай бұрын
N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 3 ай бұрын
Hahaha! Anakusikia makonda
@aishamtaula1959
@aishamtaula1959 3 ай бұрын
Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina
@brownjulius8514
@brownjulius8514 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 2 ай бұрын
Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 3 ай бұрын
MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 3 ай бұрын
Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi
@majidimussa8678
@majidimussa8678 3 ай бұрын
Allahu Marehemu 🙏🙏🙏
@pauloegbert515
@pauloegbert515 3 ай бұрын
Mungu amuweke mahali pema amani
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 2 ай бұрын
Wamemdhulumu sna mpka wamemuua maskiin!! makonda utalipa yote kwa Mungu
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 3 ай бұрын
Ya rabbi nsataraa manji
@setiseti5281
@setiseti5281 2 ай бұрын
Amina yaaraab
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 3 ай бұрын
RIP.Yusuf Manji.
@friendsofpeopleorg1157
@friendsofpeopleorg1157 3 ай бұрын
Poleni sana
@eightofhearts
@eightofhearts 3 ай бұрын
The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 2 ай бұрын
😢😢😢maskn anajikaza kiume Innalilah waina ilah rajiun
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 3 ай бұрын
R.I.P YUSUPH MANJI
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 3 ай бұрын
Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.
@kisinza6077
@kisinza6077 3 ай бұрын
Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa, nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.
@ramadhanikigoto
@ramadhanikigoto 3 ай бұрын
Innallilah wainailaih rajiun
@CharlesMs25Daghaly
@CharlesMs25Daghaly 2 ай бұрын
Amen
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 3 ай бұрын
bonge la handsome jamani waoool
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 3 ай бұрын
Acha tamaa na uzinifu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂
@adrianowillix5491
@adrianowillix5491 3 ай бұрын
The team , the network
@walterngowi5835
@walterngowi5835 3 ай бұрын
Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎
@GhalibMohammed-u9t
@GhalibMohammed-u9t 3 ай бұрын
Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 3 ай бұрын
R l.P.
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 2 ай бұрын
Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 3 ай бұрын
Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.
@abdallahabdallah7872
@abdallahabdallah7872 3 ай бұрын
Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 3 ай бұрын
Mhhh
@albertjames6845
@albertjames6845 3 ай бұрын
Au sio
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 3 ай бұрын
Huna baya Rais mstafaa KIKWETE
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 2 ай бұрын
Ni kweli...pia inategemea malezi huwezi ukaribganisha watu wa pwani na Kanda za ziwa Kwa ungwana etc
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 ай бұрын
​@@HamisMghuna-fj3vzatakufa tu
@BismarkStephen
@BismarkStephen 3 ай бұрын
Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 3 ай бұрын
Innah lilah wainah illah rajioon
@allythabiti8150
@allythabiti8150 3 ай бұрын
Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.
@markmushi8940
@markmushi8940 3 ай бұрын
Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2
@greysonjohn9778
@greysonjohn9778 3 ай бұрын
R. I. P
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 3 ай бұрын
RIP Yusuph Manji
@SalumuAlly-d9q
@SalumuAlly-d9q 2 ай бұрын
President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 3 ай бұрын
Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 2 ай бұрын
😂😂😂
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 3 ай бұрын
RIP YUSUF MANJI.
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 3 ай бұрын
Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 3 ай бұрын
Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 3 ай бұрын
Yaani acha tu Mungu atamlipa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
​@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE
@AminaJuma-r4v
@AminaJuma-r4v 3 ай бұрын
Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,🦾
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 3 ай бұрын
👍👍👍
@KenedyMwaipaja
@KenedyMwaipaja 3 ай бұрын
Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 3 ай бұрын
Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!
@KenedyMwaipaja
@KenedyMwaipaja 3 ай бұрын
@@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???
@geofkabo7843
@geofkabo7843 2 ай бұрын
Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c 3 ай бұрын
Makonda hajafika msibani?
@aishamtaula1959
@aishamtaula1959 3 ай бұрын
Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 3 ай бұрын
Sio yusufu ni YUSUF
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 3 ай бұрын
😢😢😢😢😢
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 ай бұрын
Kikwete bado kijanaaaa
@innocensiapius
@innocensiapius 3 ай бұрын
Hapendi pressure ndiyo maana hazeeki
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 ай бұрын
Atakufa tu
@julianamwalongo6047
@julianamwalongo6047 2 ай бұрын
@@shinipapaya846 wewe haufi?
@JohnMhoja-h7s
@JohnMhoja-h7s 3 ай бұрын
Rip jembe ulaya
@dilludillu2747
@dilludillu2747 3 ай бұрын
Jk 🔥
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!
@emazjassam2452
@emazjassam2452 3 ай бұрын
Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 3 ай бұрын
Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
@@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,
@ibrahimrajabu8722
@ibrahimrajabu8722 3 ай бұрын
Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 3 ай бұрын
​@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu
@bakermusa9033
@bakermusa9033 3 ай бұрын
Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee
@SwalehAidarus
@SwalehAidarus 2 ай бұрын
MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 3 ай бұрын
Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 ай бұрын
Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!
@ip_header
@ip_header 3 ай бұрын
@abdulmujibAhmed jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.
@SharifaOmary-ui8vs
@SharifaOmary-ui8vs 3 ай бұрын
Ww tena hakimu wa watu
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 3 ай бұрын
Allah amsamehe
@allythabiti8150
@allythabiti8150 3 ай бұрын
Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu
@victorkamugisha2282
@victorkamugisha2282 3 ай бұрын
Huyu mtoto ataichukua Yanga
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
ILIWAMPIGE BAKORA KAMA BABAKE???
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 3 ай бұрын
Kupenda yanga ndo nini sasa
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 3 ай бұрын
Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
Mbona unataja ugonjwa wa mtu?
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 3 ай бұрын
Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 ай бұрын
@@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 3 ай бұрын
Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 3 ай бұрын
Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 ай бұрын
WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 3 ай бұрын
Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 3 ай бұрын
Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 ай бұрын
@@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 3 ай бұрын
Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 ай бұрын
@@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 3 ай бұрын
Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 3 ай бұрын
WEWE HUPENDI MADARAKA??
@danielkipingu354
@danielkipingu354 3 ай бұрын
DP ..... tumepigwa.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄
@doktamathew
@doktamathew 3 ай бұрын
Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
@@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 3 ай бұрын
Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 3 ай бұрын
Siowote tumesikitika ACHA aende tu
@bettyruhaza2856
@bettyruhaza2856 3 ай бұрын
Kwanini ufurahie mwenzio kufariki !
@MomadeAlimasudiMomadiAlimasudi
@MomadeAlimasudiMomadiAlimasudi 3 ай бұрын
Ajitambui uyo anafikiri kufa kwa manji utajiri utahamia kwake
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 3 ай бұрын
MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 3 ай бұрын
Acha roho mbaya za kijinga...
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 3 ай бұрын
Tena wewe ni mpumbavu haswa.
@JohnsonBagambi
@JohnsonBagambi 3 ай бұрын
Uwezo wako wa kufikili umefka mwisho
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 3 ай бұрын
rohoo ya kibaguziii itakuuaa aduaaa llah laanatullah mungu akulani zaidi
@IMANWILLIAM-bl2ui
@IMANWILLIAM-bl2ui 3 ай бұрын
umaskini wako ndo uchukue wengine
@George-jz3jg
@George-jz3jg 3 ай бұрын
Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 3 ай бұрын
Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....
@innocensiapius
@innocensiapius 3 ай бұрын
Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi Nenda nawe kaibe ufanikiwe
@didasseveline9013
@didasseveline9013 3 ай бұрын
Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 3 ай бұрын
RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 3 ай бұрын
​@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo
@pauloegbert515
@pauloegbert515 3 ай бұрын
Mungu amuweke mahali pema amani
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 84 МЛН
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 41 МЛН
NONDO ZA MZEE WARIOBA MBELE YA RAIS SAMIA KUHUSU HAYATI SOKOINE
19:28
SALIM KIKE NDIO  MMILIKI WA CROWN FM
18:28
Dizzim Online
Рет қаралды 125 М.
Ronaldinho Jr vs Haaland Jr🥶☠️
0:21
Foul 69
Рет қаралды 7 МЛН
ГЛУБИНКИ в России / ШЛЕМЕНКО #shorts
0:32
Shor_smedia
Рет қаралды 3,1 МЛН
Two Men Slip And Slide On Wet Floors || ViralHog
0:11
ViralHog
Рет қаралды 6 МЛН