Acha uhuni ndugu yangu kumbe hata kupa bado kiukwer chama hawezi mfikia azzk Wala pacome SEMA Hujui mpira
@HijiraHussein3 күн бұрын
chamaaaaaaaaa mbna liko wazi mazeee
@JumafMakwega2 күн бұрын
Acha poro za ajabu chama ni mchezaj mzuri lakini usiwashushe daraja wachezaji wengi kila mchezaji ana ubora wake huyo chama ana madhaifu mengi hakabi timu ikiwa haina mpira kwahiyo pacome azzk hata maxnzingeli bado wazuri kiliko chama wanajituma wanashambulia na kukaba chama mvivu kukaba sio mbora kuwazidi hao
@SumiziBalungula3 күн бұрын
Pakome aziz hawana mpinzani
@JumafMakwega2 күн бұрын
Huyu jamaa anajipotezea viwers anaongea bila kuweka akiba ya maneno anaweza huyo chama asipafomu vizur kuwashinda hao aliowakuta kwahiyo usiongee sana
@FiliMsambwa2 күн бұрын
Anaumwa huyojama sisi kama yanga azizi ndokilakitu pale yangandomana analopwa mshahala mkubwa zaidi kuliko chama
@malitozzy35383 күн бұрын
Ww jamaa mshamba sanaa unaongea utumbo wako fala ww
@kimarobeatus4 күн бұрын
wee jamaa me nakukataaa
@SumiziBalungula3 күн бұрын
Mahaba yamepunguza weledi wako.
@kimarobeatus4 күн бұрын
Ata kama weee ni yanga bado sija ona point uliyo ongea chama ana goli ngap zakumfikia aziz mwaka huu
@errydeo88654 күн бұрын
Kwani CHAMA alikua kuzungukwa na wakina na pale Simba?