Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliomsubiri njiani akilekea Mako makuu ya Nchi Jijini Dodoma .
Пікірлер: 45
@allykingu69354 жыл бұрын
Siamin kama kuna Rais atakuja tokea kama ww dua za wa Tz tuzidishen mungu aendelee kukulinda
@emmanuelmziray10734 жыл бұрын
God Bless You Mr President
@damianlugendo91614 жыл бұрын
Diwani uko vizur!
@ericbendera28804 жыл бұрын
Mimi ni miongoni mwa wanaokukubali mh. Mwenyezi Mungu akuzidishie afya,
@abbasmohamed50664 жыл бұрын
diwani nimekuelewa uko vzr
@ToxicAfricanKing4 жыл бұрын
Rais wa wanyonge. Mwenyezi Mungu Akulide na Akubariki.
@chusseboywcb280813 күн бұрын
Huyu Mzee kaongea point Sanaa sio mkifunga ndoa mwanamke akiwa Hana eshima nikuachana nahuyo mwanamke Hana nidham
@rashidsaidi47194 жыл бұрын
Nakukubali sana baba mzazi mtetezi wa wanyonge na chuma cha kazi
@jamesangujo11954 жыл бұрын
walio sikia NAJUA UNALIA VIZURI HATA KWA MUME WAKO ULIKUWA UNALIA HIVYO like hapaaaa
@chusseboywcb280813 күн бұрын
The president💪💪🤜🤜🫱🫱💪💪💪hakuna kama magufuri Tanzania yangu mungu akuweke peponi😭😭😭😭😭💪
@rehemamohamed28824 жыл бұрын
Allah bless maguful
@billybaraka92124 жыл бұрын
Amina ubarikiwe mh rais
@revocatusedward57394 жыл бұрын
Mh mi binafsi kura yangu chukua kabisa sibabaishwi na mikogo ya watu wengine
@juliuszellah10044 жыл бұрын
Diwani huyu kaeleza vizuri sana tena kwa mpangilio, swali, kwanini Idara ya Maji wasiweke visima kadhaa kama pesa iliyotolewa ni zaidi ya bilion 2???
@HermanKinyaiya14 күн бұрын
Duh!!"ntakukumbuka daima
@mbonekemwampasi250912 күн бұрын
Pumzika kwa amani mshua
@JacksonJoseph-h9rАй бұрын
R.I.P our president 😭😭
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv15 күн бұрын
God blees you mr president magufuli
@user-jl5un4wf3u21 күн бұрын
Hewas thepresident of century in Africa R.I.P
@GeorgeMwakisu-n7e15 күн бұрын
Rest easy General Magufuli ni changamoto ktk taifa aitopotea na chemsha bongo ya uongozi wakuigwa
@issahmswahili53014 жыл бұрын
Mweheshimiwa we piga kazi tu
@muhangisamson13424 жыл бұрын
Mzee wa wantu kweli
@man.lule.5854 жыл бұрын
Huyo Mama kapiga sound mpaka kapigwa mpunga wa milioni moja.
@YamunguMatamya29 күн бұрын
😂😂
@suleimanbalemba3348Ай бұрын
Dah R,I,P uncle baba john magufuri
@user-sc1gx5zi8i29 күн бұрын
Mungu aendelee kukutunza uko uliko.
@GabrielMaganga-gg6ml14 күн бұрын
Azam
@sylvestermhojaaron96594 жыл бұрын
Ukita cha ulaisi kalime wewe, wakulima pigeni pesa mumenyanyasi sana, watu wanakaa mjini tu wanataka nafaka zishuke bei, wakome nawao walime washushe bei.
@aminahassan5614 жыл бұрын
Kabisa wakulima tulikuwa hatuna maana asante Rais
@MalamshaAmoss19 күн бұрын
Eeeeeee magufuli jmaniii nilikupendaaa upeooo
@J4UPro4 жыл бұрын
Asante sana rais wangu
@damianlugendo91614 жыл бұрын
Apo babangu situtauziwa debe moja kwa elfhamsin
@aminahassan5614 жыл бұрын
Kalime kwahiyo mkulima zaid kuumia we hapana
@liundimaulidi401625 күн бұрын
Ulazwe mahala pema peponi mkuu waanchi
@LumolaSteven4 жыл бұрын
Dah! Anamuuliza Chama? Kama hii imekukera hii gonga like
@aminahassan5614 жыл бұрын
Haina shida kuuliza hivyo
@zawadiommary85934 жыл бұрын
Mbona unauliza wachama gan
@J4UPro4 жыл бұрын
zawadi ommary kwasababu kaongea point
@geraldmakalala60914 жыл бұрын
Mh,sisi wenye Nyumba tusipangiwe Bei ya kupangisha na sikia Kuna utaratibu unakuja Muda si mrefu wa kutubana sisi wenye Nyumba.
@vumiliamtenda394 жыл бұрын
Mtani wangu magu si ungenipa riftu twende wote Dodoma kwetu
@sixbertsimon43234 жыл бұрын
Kwani rais ni wa chama gani?
@man.lule.5854 жыл бұрын
zawadi ommary Amemuuliza ni.wa chama gani maana kamuona amevaa Jezi ya chama chá mapinduzi. pia dawani ni jembe anajua kujieleza wana Dumila awajakosea kuchagua.
@allykingu69354 жыл бұрын
Siamin kama kuna Rais atakuja tokea kama ww dua za wa Tz tuzidishen mungu aendelee kukulinda