Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amekutana na kumuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia kuhusika kwake katika mazungumzo yasiyofaa dhidi ya Mhe. Rais Magufuli.
Пікірлер: 50
@user-xn3gs9qc8u3 күн бұрын
Mungu ni mwema mh Nape kutenguliwa maana ki ukweli moyo wangu ulikuwa unaniuma kuona alivyomtukana Rais Magufuli akatenguliwa akaomba msamaha na akakubaliwa msamaha then baada ya Magufuli kufariki akaanza kumkebei kisa katangulia mbele ya haki 😢 hata uislaam unakataza kumsema vibaya maiti ila kwa mwamba huyu haikuwa ivyo Asante sana mh Rais Samia .
@florakankutebe39874 жыл бұрын
Safi sana, endelea kusamehe tu. Mungu akuzidishie moyo wa iman!
@simonmtuka84734 жыл бұрын
Mungu ni mwema tunashukuru kuona viongozi wetu wakisameheana kwa ajili ya taifa letu
@borahmlamba50304 жыл бұрын
Dah Kweli we ni Rais wa mfano, mungu akubariki na mungu akulinde, nawewe Nape uache kufuata mkumbo fanya kazi acha kufuata mkumbo.
@husnmjuba49783 күн бұрын
“Eti unless yeye labda badae akengeuke!” Nitajitahidi sana kuheshimu kauli za wazazi.
@margarethpolepole74383 күн бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi laanq imeshamtafuna hata kama alikuomba msamaha kukuita mshamba mama kamrudisha naye alikuwa anamsaliti inshallah mungu katoa jibu
@robertmwamboneke82954 жыл бұрын
Asante sana baba wa taifa letu unanipa jeuri sana mimi, yakuona fahari kuwa mtanzani na kuongozwa na rais mzalendo kama wewe big up my president 👏👏🙏
@sebastiansalamba3133 ай бұрын
Mzee magu mcha Mungu kweli Kuna kitu kitakuja tokea Tz hii
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Baada ya kumtukana MHE magufuli na sauti zao zilisikilizwa sasa amekwenda kumuomba msamaha mhuu ndiyo hivyo mtoto akinyea mkono huukati ahsante sana MHE Rais magufuli
@joycejoseph86324 жыл бұрын
Amejua 2020 mambo yanawez kuwa tofauti akose ubunge
@jedidahbintidaudi82414 жыл бұрын
Kenyatta wa Kenya pia ana moyo mzuri mno..Mungu Alimjalia sana roho ya msamaha na upendo
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Huyu mnafiki hakuomba msamaha kutoka moyoni sasa hivi ameshakengeuka anakutukana sababu anajua huwezi kumfanya kitu tena. Ila wewe kama ulimsamehe kwa dhati kutoka moyoni basi hata Mungu ameshakusamehe ana amekupokea kwake upumzike kwa amani.
@erickmush71574 жыл бұрын
dah kwakwel rais wetu ni mtu wa watu hongera baba
@solomonmpuluma2824 жыл бұрын
Rais wangu mpendwa, hata waseme nini mimi nakuomba uzidi kusamehe. Nakumbuka ukiwa na wahandisi ulisema "tunanwomba MUNGU atusamehe kama sisi nasi tunavyosamehe wengine". Naamini tusiposamehe nasi hatutasamehewa baba!! Mungu akubariki.
@ebennbenn86384 жыл бұрын
Safi sana Nape na Rais kwa msamaha ulioutoa.
@zenj19862 жыл бұрын
Baba bora ulivyochukuliwa na Mungu maana ungeona walivyokukengeuka ungeumia sannna.
@MohamedBlanker-jw9qy9 күн бұрын
JPM apumzike kwa Armani
@patrickgeorgebinon32832 күн бұрын
Nakuaminia Sana MAGU R I P
@diamondplatnumz1394 жыл бұрын
sawaa bhANAAAAAA
@evaristmandilindi61474 жыл бұрын
Angekua Mzee wa kasi MPYA muulize B seya
@jacobmsule51914 жыл бұрын
Ameen
@petersynto86344 жыл бұрын
Ama kweli unahofu ya Mungu binafsi nisingeweza ila nakutahadhalisha rais kuwa makini na watu kama hao adui ukiishamfahamu hupati shida na wataendelea kuumbuka wanaokuwazia mabaya
@yusufrajabu84254 жыл бұрын
Uwo ndio uwanaume mbaba, nimekukubali nauye.
@fetymau53862 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti
@Al.habeebAl.habaaib4 сағат бұрын
Mahufuli ndio alikua kiboko wao😢
@husseinkakanga40823 жыл бұрын
Hivi kweli Nape haoni upendo huu wa muheshimiwa magufuli? Halafu bado unakuta anamzungumzia vibaya mzee wa watu lakini kikubwa ninacho kiona ni ubinafsi wakiuondoa umimi Mambo yatakuwa mazuri Ila watu wajifunze
@tuwenasitv96954 жыл бұрын
RAIS WANGU MWENYEZMUNGU AKUZIDISHIE BUSARA NA UPENDO AMIYN
@gmchats53354 жыл бұрын
Very very smartly dressed president ! Well done
@sululungasa38492 жыл бұрын
safiiii tujinze kusamehe R.I.P .JPM
@LukeUrioNEWS4 жыл бұрын
Be blessed my President.
@jumamwengwa46822 жыл бұрын
#Kauli zako zilikuwaga tata sanaa#😭😭
@ustadhabdul-raufalmunaawiy66294 жыл бұрын
Safi sana Rafiki
@radaonlinetv19222 жыл бұрын
Magu ww nimtu ambae nakukubali xna.
@solomonmpuluma2824 жыл бұрын
Wewe mjukuu wangu Nape, muungeni mkono na kumsaidia Rais. Msiwafuate hao wenye uchu wa madaraka watawapoteza. Ninyi ni vijana tunawategemea. Acheni ujinga. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa.😱😢 Wasalaam, wako -babu yako wa lramba.
@Freedom_fighters89811 ай бұрын
Mzee tunaangalia video zako za zamani pumnzika kwa amani ila umetuamchia shida kubwa hukuwashungulikia vizuri hawa wahaini wanaiuza nchi kabisa 😢
@raphaelmoses252 Жыл бұрын
Umesamehewa lakini pia ukamzunguruka
@mbwanarajab47562 жыл бұрын
KUJIKWEZA NI KUBAYA MNO , KWANI WEWE UMEMDHALILISHA NAPE , AU WEWE UNAYOYAFANYA YOTE UKO SAWA? KWA MUNGU KUNA KAZI KUBWA MNO...
@magesagambajr35462 күн бұрын
Jpm alikuja km nabii nakaondoka kinabii na unabii wake umetimia -nimemsamehe akija kukenguka ni yeye mwenyewe -mtanikumbuka -Atakuja Rais wakuwabembeleza -mikataba ya hovyo itasaniwa na kichaa
@nijosenso26914 жыл бұрын
game starting man😂😂😂
@peterjohnson1672 жыл бұрын
NAPE Nenyau ni mnafki tena muuaji.
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Baba pumzika kwa amani kwa kumsamehe
@hamzachipisya52352 жыл бұрын
Alijiona km #MUNGU MTU
@ambelemwakalobo33272 жыл бұрын
Kwani alikosa Nini mbona mmasehe
@abeidramadhani6523 Жыл бұрын
Hakika maguguli alikua na maadui wengi mno
@pendohumphrey75884 жыл бұрын
Wamesoma nyakati wameona wameona wanaweza kukosa ubunge, wakaona njia sahihi ni kujipendekeza ili wasipitwe na uchaguzi, lazima serikali iwe makini na hawa watu
@maqilqureshi43124 жыл бұрын
Poka
@albertsengo83344 жыл бұрын
siasa ni mchezo mchafu
@barnababoy18684 жыл бұрын
Ila hata kama wamesamehewa yale maneno walisema yalitoka moyoni kabisaa 😂😂.. kuomba msamaa ni nidham ya uwonga tu