NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.

  Рет қаралды 61,139

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

4 жыл бұрын

Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amekutana na kumuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kufuatia kuhusika kwake katika mazungumzo yasiyofaa dhidi ya Mhe. Rais Magufuli.

Пікірлер: 50
@user-xn3gs9qc8u
@user-xn3gs9qc8u 3 күн бұрын
Mungu ni mwema mh Nape kutenguliwa maana ki ukweli moyo wangu ulikuwa unaniuma kuona alivyomtukana Rais Magufuli akatenguliwa akaomba msamaha na akakubaliwa msamaha then baada ya Magufuli kufariki akaanza kumkebei kisa katangulia mbele ya haki 😢 hata uislaam unakataza kumsema vibaya maiti ila kwa mwamba huyu haikuwa ivyo Asante sana mh Rais Samia .
@florakankutebe3987
@florakankutebe3987 4 жыл бұрын
Safi sana, endelea kusamehe tu. Mungu akuzidishie moyo wa iman!
@simonmtuka8473
@simonmtuka8473 4 жыл бұрын
Mungu ni mwema tunashukuru kuona viongozi wetu wakisameheana kwa ajili ya taifa letu
@borahmlamba5030
@borahmlamba5030 4 жыл бұрын
Dah Kweli we ni Rais wa mfano, mungu akubariki na mungu akulinde, nawewe Nape uache kufuata mkumbo fanya kazi acha kufuata mkumbo.
@husnmjuba4978
@husnmjuba4978 3 күн бұрын
“Eti unless yeye labda badae akengeuke!” Nitajitahidi sana kuheshimu kauli za wazazi.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 күн бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi laanq imeshamtafuna hata kama alikuomba msamaha kukuita mshamba mama kamrudisha naye alikuwa anamsaliti inshallah mungu katoa jibu
@robertmwamboneke8295
@robertmwamboneke8295 4 жыл бұрын
Asante sana baba wa taifa letu unanipa jeuri sana mimi, yakuona fahari kuwa mtanzani na kuongozwa na rais mzalendo kama wewe big up my president 👏👏🙏
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 3 ай бұрын
Mzee magu mcha Mungu kweli Kuna kitu kitakuja tokea Tz hii
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Baada ya kumtukana MHE magufuli na sauti zao zilisikilizwa sasa amekwenda kumuomba msamaha mhuu ndiyo hivyo mtoto akinyea mkono huukati ahsante sana MHE Rais magufuli
@joycejoseph8632
@joycejoseph8632 4 жыл бұрын
Amejua 2020 mambo yanawez kuwa tofauti akose ubunge
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
Kenyatta wa Kenya pia ana moyo mzuri mno..Mungu Alimjalia sana roho ya msamaha na upendo
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Huyu mnafiki hakuomba msamaha kutoka moyoni sasa hivi ameshakengeuka anakutukana sababu anajua huwezi kumfanya kitu tena. Ila wewe kama ulimsamehe kwa dhati kutoka moyoni basi hata Mungu ameshakusamehe ana amekupokea kwake upumzike kwa amani.
@erickmush7157
@erickmush7157 4 жыл бұрын
dah kwakwel rais wetu ni mtu wa watu hongera baba
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 жыл бұрын
Rais wangu mpendwa, hata waseme nini mimi nakuomba uzidi kusamehe. Nakumbuka ukiwa na wahandisi ulisema "tunanwomba MUNGU atusamehe kama sisi nasi tunavyosamehe wengine". Naamini tusiposamehe nasi hatutasamehewa baba!! Mungu akubariki.
@ebennbenn8638
@ebennbenn8638 4 жыл бұрын
Safi sana Nape na Rais kwa msamaha ulioutoa.
@zenj1986
@zenj1986 2 жыл бұрын
Baba bora ulivyochukuliwa na Mungu maana ungeona walivyokukengeuka ungeumia sannna.
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 9 күн бұрын
JPM apumzike kwa Armani
@patrickgeorgebinon3283
@patrickgeorgebinon3283 2 күн бұрын
Nakuaminia Sana MAGU R I P
@diamondplatnumz139
@diamondplatnumz139 4 жыл бұрын
sawaa bhANAAAAAA
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 4 жыл бұрын
Angekua Mzee wa kasi MPYA muulize B seya
@jacobmsule5191
@jacobmsule5191 4 жыл бұрын
Ameen
@petersynto8634
@petersynto8634 4 жыл бұрын
Ama kweli unahofu ya Mungu binafsi nisingeweza ila nakutahadhalisha rais kuwa makini na watu kama hao adui ukiishamfahamu hupati shida na wataendelea kuumbuka wanaokuwazia mabaya
@yusufrajabu8425
@yusufrajabu8425 4 жыл бұрын
Uwo ndio uwanaume mbaba, nimekukubali nauye.
@fetymau5386
@fetymau5386 2 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib 4 сағат бұрын
Mahufuli ndio alikua kiboko wao😢
@husseinkakanga4082
@husseinkakanga4082 3 жыл бұрын
Hivi kweli Nape haoni upendo huu wa muheshimiwa magufuli? Halafu bado unakuta anamzungumzia vibaya mzee wa watu lakini kikubwa ninacho kiona ni ubinafsi wakiuondoa umimi Mambo yatakuwa mazuri Ila watu wajifunze
@tuwenasitv9695
@tuwenasitv9695 4 жыл бұрын
RAIS WANGU MWENYEZMUNGU AKUZIDISHIE BUSARA NA UPENDO AMIYN
@gmchats5335
@gmchats5335 4 жыл бұрын
Very very smartly dressed president ! Well done
@sululungasa3849
@sululungasa3849 2 жыл бұрын
safiiii tujinze kusamehe R.I.P .JPM
@LukeUrioNEWS
@LukeUrioNEWS 4 жыл бұрын
Be blessed my President.
@jumamwengwa4682
@jumamwengwa4682 2 жыл бұрын
#Kauli zako zilikuwaga tata sanaa#😭😭
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629 4 жыл бұрын
Safi sana Rafiki
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 2 жыл бұрын
Magu ww nimtu ambae nakukubali xna.
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 4 жыл бұрын
Wewe mjukuu wangu Nape, muungeni mkono na kumsaidia Rais. Msiwafuate hao wenye uchu wa madaraka watawapoteza. Ninyi ni vijana tunawategemea. Acheni ujinga. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa.😱😢 Wasalaam, wako -babu yako wa lramba.
@Freedom_fighters898
@Freedom_fighters898 11 ай бұрын
Mzee tunaangalia video zako za zamani pumnzika kwa amani ila umetuamchia shida kubwa hukuwashungulikia vizuri hawa wahaini wanaiuza nchi kabisa 😢
@raphaelmoses252
@raphaelmoses252 Жыл бұрын
Umesamehewa lakini pia ukamzunguruka
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
KUJIKWEZA NI KUBAYA MNO , KWANI WEWE UMEMDHALILISHA NAPE , AU WEWE UNAYOYAFANYA YOTE UKO SAWA? KWA MUNGU KUNA KAZI KUBWA MNO...
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 2 күн бұрын
Jpm alikuja km nabii nakaondoka kinabii na unabii wake umetimia -nimemsamehe akija kukenguka ni yeye mwenyewe -mtanikumbuka -Atakuja Rais wakuwabembeleza -mikataba ya hovyo itasaniwa na kichaa
@nijosenso2691
@nijosenso2691 4 жыл бұрын
game starting man😂😂😂
@peterjohnson167
@peterjohnson167 2 жыл бұрын
NAPE Nenyau ni mnafki tena muuaji.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Baba pumzika kwa amani kwa kumsamehe
@hamzachipisya5235
@hamzachipisya5235 2 жыл бұрын
Alijiona km #MUNGU MTU
@ambelemwakalobo3327
@ambelemwakalobo3327 2 жыл бұрын
Kwani alikosa Nini mbona mmasehe
@abeidramadhani6523
@abeidramadhani6523 Жыл бұрын
Hakika maguguli alikua na maadui wengi mno
@pendohumphrey7588
@pendohumphrey7588 4 жыл бұрын
Wamesoma nyakati wameona wameona wanaweza kukosa ubunge, wakaona njia sahihi ni kujipendekeza ili wasipitwe na uchaguzi, lazima serikali iwe makini na hawa watu
@maqilqureshi4312
@maqilqureshi4312 4 жыл бұрын
Poka
@albertsengo8334
@albertsengo8334 4 жыл бұрын
siasa ni mchezo mchafu
@barnababoy1868
@barnababoy1868 4 жыл бұрын
Ila hata kama wamesamehewa yale maneno walisema yalitoka moyoni kabisaa 😂😂.. kuomba msamaa ni nidham ya uwonga tu
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 4 жыл бұрын
Uchaguzi umekalibia
FULL VIDEO: Nape alivyozuiwa na Polisi "alietoa Bastola aje hapa'
23:39
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 40 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 4,9 МЛН
MAGUFULI Alivyowaona LEMA, SUGU, MNYIKA, NYALANDU AKAWASALIMIA Mwanza...
6:14
Mapping the Trump Shooting
6:12
fern
Рет қаралды 14 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 581 М.
LIVE SCENE, NAPE akitolewa Bastora Hadharani. KITENGE AAMULIA
2:27
Junior Syaary
Рет қаралды 627 М.
KAULI ZA NAPE NA KASHKASH ZILIZOWAHI KUMKUTA
6:48
JAMBO TV
Рет қаралды 111 М.
I meet Mr.Beast
0:15
ARGEN
Рет қаралды 24 МЛН
Опасный Водяной Мешок! 🤯
0:27
ШОК
Рет қаралды 3,6 МЛН
ВОТ как ЖЕНИХ выбирает СЕБЕ невесту 😱 #shorts
1:00
Лаборатория Разрушителя
Рет қаралды 9 МЛН