NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.

  Рет қаралды 89,442

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 55
@IdrisOmar-i6h
@IdrisOmar-i6h 6 ай бұрын
Mungu ni mwema mh Nape kutenguliwa maana ki ukweli moyo wangu ulikuwa unaniuma kuona alivyomtukana Rais Magufuli akatenguliwa akaomba msamaha na akakubaliwa msamaha then baada ya Magufuli kufariki akaanza kumkebei kisa katangulia mbele ya haki 😢 hata uislaam unakataza kumsema vibaya maiti ila kwa mwamba huyu haikuwa ivyo Asante sana mh Rais Samia .
@florakankutebe3987
@florakankutebe3987 5 жыл бұрын
Safi sana, endelea kusamehe tu. Mungu akuzidishie moyo wa iman!
@simonmtuka8473
@simonmtuka8473 5 жыл бұрын
Mungu ni mwema tunashukuru kuona viongozi wetu wakisameheana kwa ajili ya taifa letu
@robertmwamboneke8295
@robertmwamboneke8295 5 жыл бұрын
Asante sana baba wa taifa letu unanipa jeuri sana mimi, yakuona fahari kuwa mtanzani na kuongozwa na rais mzalendo kama wewe big up my president 👏👏🙏
@zuwenakazoka55
@zuwenakazoka55 5 жыл бұрын
Dah Kweli we ni Rais wa mfano, mungu akubariki na mungu akulinde, nawewe Nape uache kufuata mkumbo fanya kazi acha kufuata mkumbo.
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 10 ай бұрын
Mzee magu mcha Mungu kweli Kuna kitu kitakuja tokea Tz hii
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Baada ya kumtukana MHE magufuli na sauti zao zilisikilizwa sasa amekwenda kumuomba msamaha mhuu ndiyo hivyo mtoto akinyea mkono huukati ahsante sana MHE Rais magufuli
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 жыл бұрын
Kenyatta wa Kenya pia ana moyo mzuri mno..Mungu Alimjalia sana roho ya msamaha na upendo
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 жыл бұрын
Angekua Mzee wa kasi MPYA muulize B seya
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 5 жыл бұрын
Rais wangu mpendwa, hata waseme nini mimi nakuomba uzidi kusamehe. Nakumbuka ukiwa na wahandisi ulisema "tunanwomba MUNGU atusamehe kama sisi nasi tunavyosamehe wengine". Naamini tusiposamehe nasi hatutasamehewa baba!! Mungu akubariki.
@erickmush7157
@erickmush7157 5 жыл бұрын
dah kwakwel rais wetu ni mtu wa watu hongera baba
@joycejoseph8632
@joycejoseph8632 5 жыл бұрын
Amejua 2020 mambo yanawez kuwa tofauti akose ubunge
@sululungasa3849
@sululungasa3849 3 жыл бұрын
safiiii tujinze kusamehe R.I.P .JPM
@ebennbenn8638
@ebennbenn8638 5 жыл бұрын
Safi sana Nape na Rais kwa msamaha ulioutoa.
@fetymau5386
@fetymau5386 2 жыл бұрын
Mungu akupe kauli thabiti
@diamondplatnumz139
@diamondplatnumz139 5 жыл бұрын
sawaa bhANAAAAAA
@celestinshayo7295
@celestinshayo7295 Жыл бұрын
Huyu mnafiki hakuomba msamaha kutoka moyoni sasa hivi ameshakengeuka anakutukana sababu anajua huwezi kumfanya kitu tena. Ila wewe kama ulimsamehe kwa dhati kutoka moyoni basi hata Mungu ameshakusamehe ana amekupokea kwake upumzike kwa amani.
@tuwenasitv9695
@tuwenasitv9695 5 жыл бұрын
RAIS WANGU MWENYEZMUNGU AKUZIDISHIE BUSARA NA UPENDO AMIYN
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi laanq imeshamtafuna hata kama alikuomba msamaha kukuita mshamba mama kamrudisha naye alikuwa anamsaliti inshallah mungu katoa jibu
@gmchats5335
@gmchats5335 4 жыл бұрын
Very very smartly dressed president ! Well done
@eliasthomas1547
@eliasthomas1547 6 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu.
@husseinkakanga4082
@husseinkakanga4082 3 жыл бұрын
Hivi kweli Nape haoni upendo huu wa muheshimiwa magufuli? Halafu bado unakuta anamzungumzia vibaya mzee wa watu lakini kikubwa ninacho kiona ni ubinafsi wakiuondoa umimi Mambo yatakuwa mazuri Ila watu wajifunze
@LukeUrioNEWS
@LukeUrioNEWS 5 жыл бұрын
Be blessed my President.
@zenj1986
@zenj1986 3 жыл бұрын
Baba bora ulivyochukuliwa na Mungu maana ungeona walivyokukengeuka ungeumia sannna.
@jumamwengwa4682
@jumamwengwa4682 3 жыл бұрын
#Kauli zako zilikuwaga tata sanaa#😭😭
@patrickgeorgebinon3283
@patrickgeorgebinon3283 6 ай бұрын
Nakuaminia Sana MAGU R I P
@mkombozifreshoil
@mkombozifreshoil 6 ай бұрын
Dunia ngumu sana hii. Mungu ni mwema.
@husnmjuba4978
@husnmjuba4978 6 ай бұрын
“Eti unless yeye labda badae akengeuke!” Nitajitahidi sana kuheshimu kauli za wazazi.
@yusufrajabu8425
@yusufrajabu8425 5 жыл бұрын
Uwo ndio uwanaume mbaba, nimekukubali nauye.
@solomonmpuluma282
@solomonmpuluma282 5 жыл бұрын
Wewe mjukuu wangu Nape, muungeni mkono na kumsaidia Rais. Msiwafuate hao wenye uchu wa madaraka watawapoteza. Ninyi ni vijana tunawategemea. Acheni ujinga. Nayasema haya kwa uchungu mkubwa.😱😢 Wasalaam, wako -babu yako wa lramba.
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 6 ай бұрын
Jpm alikuja km nabii nakaondoka kinabii na unabii wake umetimia -nimemsamehe akija kukenguka ni yeye mwenyewe -mtanikumbuka -Atakuja Rais wakuwabembeleza -mikataba ya hovyo itasaniwa na kichaa
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629
@ustadhabdul-raufalmunaawiy6629 5 жыл бұрын
Safi sana Rafiki
@petersynto8634
@petersynto8634 5 жыл бұрын
Ama kweli unahofu ya Mungu binafsi nisingeweza ila nakutahadhalisha rais kuwa makini na watu kama hao adui ukiishamfahamu hupati shida na wataendelea kuumbuka wanaokuwazia mabaya
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 6 ай бұрын
JPM apumzike kwa Armani
@jacobmsule5191
@jacobmsule5191 5 жыл бұрын
Ameen
@Freedom_fighters898
@Freedom_fighters898 Жыл бұрын
Mzee tunaangalia video zako za zamani pumnzika kwa amani ila umetuamchia shida kubwa hukuwashungulikia vizuri hawa wahaini wanaiuza nchi kabisa 😢
@ManfaceFildoline-h1i
@ManfaceFildoline-h1i 6 ай бұрын
👍
@Al.habeebAl.habaaib
@Al.habeebAl.habaaib 6 ай бұрын
Mahufuli ndio alikua kiboko wao😢
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 3 жыл бұрын
Magu ww nimtu ambae nakukubali xna.
@peterjohnson167
@peterjohnson167 2 жыл бұрын
NAPE Nenyau ni mnafki tena muuaji.
@nijosenso2691
@nijosenso2691 5 жыл бұрын
game starting man😂😂😂
@raphaelmoses252
@raphaelmoses252 2 жыл бұрын
Umesamehewa lakini pia ukamzunguruka
@zuzadomikano3765
@zuzadomikano3765 6 ай бұрын
NYANGARAKATA WEWE MAGU UCHOMEKE HUKO ULIKO BADO ULOKUA UNAWATUMA KUUA NAKUDHULUMU KAMA (WAZIRI WA ULINZI WAKATI WAKIKWETE HATA WEWE {DR .MWINYI ,LAGULOO, MCJEMBE } MYAPATE MNAYO STAHIKI POPOTE WENZIO WALIOPO .....
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 3 жыл бұрын
KUJIKWEZA NI KUBAYA MNO , KWANI WEWE UMEMDHALILISHA NAPE , AU WEWE UNAYOYAFANYA YOTE UKO SAWA? KWA MUNGU KUNA KAZI KUBWA MNO...
@abeidramadhani6523
@abeidramadhani6523 2 жыл бұрын
Hakika maguguli alikua na maadui wengi mno
@hamzachipisya5235
@hamzachipisya5235 3 жыл бұрын
Alijiona km #MUNGU MTU
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Baba pumzika kwa amani kwa kumsamehe
@ambelemwakalobo3327
@ambelemwakalobo3327 3 жыл бұрын
Kwani alikosa Nini mbona mmasehe
@brandinamarco2335
@brandinamarco2335 5 ай бұрын
Ameishakengeuka unabii umetimia
@barnababoy1868
@barnababoy1868 5 жыл бұрын
Ila hata kama wamesamehewa yale maneno walisema yalitoka moyoni kabisaa 😂😂.. kuomba msamaa ni nidham ya uwonga tu
@pendohumphrey7588
@pendohumphrey7588 5 жыл бұрын
Wamesoma nyakati wameona wameona wanaweza kukosa ubunge, wakaona njia sahihi ni kujipendekeza ili wasipitwe na uchaguzi, lazima serikali iwe makini na hawa watu
@albertsengo8334
@albertsengo8334 5 жыл бұрын
siasa ni mchezo mchafu
@maqilqureshi4312
@maqilqureshi4312 5 жыл бұрын
Poka
@TheBestPhone7918
@TheBestPhone7918 5 жыл бұрын
Uchaguzi umekalibia
RAIS MAGUFULI ALIVYO MFUKUZA MTU KAZI IKULU “MSUKUMA”
11:01
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 21 М.
FULL VIDEO: Nape alivyozuiwa na Polisi "alietoa Bastola aje hapa'
23:39
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
How Strong Is Tape?
00:24
Stokes Twins
Рет қаралды 96 МЛН
MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WASTAAFU IKULU, AMSIFIA LOWASSA
14:12
Mwananchi Digital
Рет қаралды 269 М.
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
TAZAMA RAIS MAGUFULI ALIVYOSIMAMA KUPANGA MSTARI NA KUPIGA KURA
11:47
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Historia ya Kundi la M23 I Kisa cha Rwanda Kutajwa
14:22
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 21 М.
LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM
5:25
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН