Ulitisha sana Edo Mungu ni mwema yote huja kwa sababu Tushukuru kwa kila jambo
@christophermwanjoka74068 ай бұрын
Ahsante kwa yote uliyoitendea Tanzania 🇹🇿
@pauloalufayo61456 жыл бұрын
Lowasaaaaaaaa Baba Wa wanyonge nakupenda ingawa hunijui
@michaelkagoro97858 ай бұрын
Ulkuwa vizuri mwenyezi mungu akupokeee rest in peace Baba
@Olengujati-uo6gx8 ай бұрын
Naamin 2015 ,98% kama sio mia wengi mioyo ya wtz ni ww kuwa rais ,rest in piece baba
@gasparlubaga58662 жыл бұрын
Kwa kweli Lowassa alikuwa Bora sana
@thabitithabiti87899 жыл бұрын
aina ya uongeaji wa sasa na zaman tofaut mheshimiwa kulikoni KILA LAKHERI KATIKA UJENZI WA TAIFA KWA PAMOJA TANZANIA MPYA
@januaymagori46428 ай бұрын
Rest in Peace, Tanzania imewahi kuwa na Marais wawili serikarili, CCM ikabidi imalize nguvu ya mmoja
@abellysanga90498 ай бұрын
Mzee Mungu akupmzishe pema
@husseinSadick-kz9iu8 ай бұрын
Hinchii ina shida sana utasikia alikuwa baba wawanyonge utasikia tu da😢😢😢
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Majungu yamemzuia huyu bwana kuwa rais
@MollelSamuel7 ай бұрын
Mzee da ungekuwa rais 😂😂
@Mfundo2728 ай бұрын
Hichi kichwa kilikuwa ni kichwa makini sana, lakini siasa za TZ ni hatari sana , Yaani alifilisiwa kisiasa kabisa wakati huyu alukuwa ni mtu muhimu sana
@kelvinrajabu65168 күн бұрын
Rip lowasa
@suphiandaudimbalazi24888 ай бұрын
Upumzike kwa aman
@estermlay22708 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba
@saidymtima47017 жыл бұрын
uko vzr san mzee wa watu
@halealeyjohn74406 жыл бұрын
sawa mzeeee
@geneusndege99595 жыл бұрын
Huyu mtu angekuwa na afya tokea wakati huo hadi sasa,,, naamini angekuwa pengine kabisa na angeyashinda majaribu yake yote yaliyoyomkumba...
@SambekeSanguyanDorop8 ай бұрын
Pumzika Kwa Amani
@sammysarayanlemayian84729 жыл бұрын
Uko sawa mzee
@moshilady48337 жыл бұрын
Sammy S Kivuyo
@moshilady48337 жыл бұрын
Sammy S Kivuyo
@jembelakazi48599 жыл бұрын
Kweli eti
@Zayn_A1018 ай бұрын
PUMZIKA KWA AMANI
@kakazkanda8 ай бұрын
👁️👁️
@issasaidi10197 жыл бұрын
huwa nikimsikia huyu jamaa nazidi kuichukua chadema why waliamua kumpa madalaka makuwa kwenye chama tena kwakipindi kifupi mnoo