LOWASSA AJIUZULU UWAZIRI MKUU

  Рет қаралды 774,896

Edward Lowassa

Edward Lowassa

10 жыл бұрын

EDWARD LOWASSA MBUNGE WA MONDULI AJIUZULU UWAZIRI MKUU

Пікірлер: 110
@maarifa_home_electronics
@maarifa_home_electronics 5 ай бұрын
Tulikuja hapa baada ya kusikia taarifa ya kifo cha mzee Lowasa tujuane!!
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 ай бұрын
😭😭😭 Jasiri ameamguka
@marystelaswai5174
@marystelaswai5174 5 ай бұрын
Tumo
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 5 ай бұрын
Mimi nimeitizama 2024 mwezi 2 tarehe 13 lala salama lowassa
@marystelaswai5174
@marystelaswai5174 5 ай бұрын
Apumzike kwa Aman
@yasimally9513
@yasimally9513 3 жыл бұрын
Kiongozi pekee katika nchi yetu kuwahi kuwajibika baada ya jina lake kukumbwa na kashfa, ameacha mfano bora kwenye nchi yetu kwa kukubal kuwajibika mwenyewe
@millenniumtot4565
@millenniumtot4565 5 ай бұрын
95 pinda alipewa kisu kisicho na makali..... Lowasa n mzalendo... Madili n kila MTU... Kwanini JK Rip sita ayupo ata yeye
@user-iu7dy1mb2i
@user-iu7dy1mb2i 5 ай бұрын
Huyu hapo nyuma ni Ngeleja au ndo macho yangu
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
Nani amepita hapa 2021
@rabiaiddi5578
@rabiaiddi5578 2 жыл бұрын
Tupoooo
@husseinsalimbora3534
@husseinsalimbora3534 5 ай бұрын
Leo 11 February 2024 ,r.i.p Edward lowasa.
@ismailmshana2828
@ismailmshana2828 10 ай бұрын
Tanzania yetu imeandika big history
@georgembwana8354
@georgembwana8354 9 жыл бұрын
Kujiuzulu kwa mh e lowasa ni ishara yakuonyesha ni jinsi gani alivyokomaa kisiasa big up mkuu piga makasia yakuelekea magogoni tuko pamoja kaka
@daudichirstopher6173
@daudichirstopher6173 Жыл бұрын
twende ,2022-2023 waziri wakwanza kujiuzuru Tanzania
@sizakitego4374
@sizakitego4374 4 жыл бұрын
2020 leo tunajikumbusha
@johnmude1084
@johnmude1084 3 жыл бұрын
Yaan lowasa wakamloga wakaampa ugonjwa aakazeeka
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 ай бұрын
Kweli kabsa jamaa aliyumba Sana kiafya hadi ongea yake ikawa shida
@hemedwow8802
@hemedwow8802 6 жыл бұрын
Mzee wenye akili...tunajua umeonewa!
@unitytzdar9553
@unitytzdar9553 5 жыл бұрын
KAONDOKA KAZOMEWA, KARUDI KAKARIBISHWA. MAISHA YA SIASA SI HASA.
@juliusmagunila6308
@juliusmagunila6308 5 ай бұрын
Rip mzee lowassa
@jumamnyambwa7993
@jumamnyambwa7993 4 жыл бұрын
Huyu ndio alikua sipika bora kulikondugayi
@user-ox1ce7iu8i
@user-ox1ce7iu8i 6 ай бұрын
It's 2024 TODAY
@makorievans2814
@makorievans2814 9 жыл бұрын
Tanzania yahitaji lowassa...ili kujikomboa kutoka umaskini... mungu ibariki Tanzania...
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 19 күн бұрын
Mtu pekee aliyesemwa kuliko wote
@tondisangasanga9825
@tondisangasanga9825 8 жыл бұрын
hapa amna kazi mm napigilia suti nakula bata me ndio lowassa bhana sitaki kazi na digirii nyingi
@goodluckphilliponguyai3390
@goodluckphilliponguyai3390 9 жыл бұрын
For sure Hon. Edward Ngoyai Lowassa is the next Tanzanian President( 2015-2025) because he is a person who always takes immediate and appropriate action for the things which needs attention unlike most of the others and even his personality also tells
@dct4lif
@dct4lif 9 жыл бұрын
Only in Africa you will find idiots electing thieves to run their countries . How do you call a fired minister honorable ? Whats so honorable of being a thief ? You are sick in the brain no wonder we continue to be poor because of ignorant baffoons like u
@Waberoya
@Waberoya 5 жыл бұрын
kweli
@prof.abusakelsaleh3524
@prof.abusakelsaleh3524 Жыл бұрын
Uoooongo uoongooo bhana🤣🤣🤣🤣2022
@HipHop_2024
@HipHop_2024 5 ай бұрын
Sa hayupo tena😢
@marystelaswai5174
@marystelaswai5174 5 ай бұрын
Yaaan hayupo Tena jaman
@njikuhr1875
@njikuhr1875 3 жыл бұрын
Mzee noma
@Bob-kz2ql
@Bob-kz2ql Жыл бұрын
One of the best Parliament ever, 2023 bado tunarudi kuona dah
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 5 жыл бұрын
Anaye jua ni mungu
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 4 жыл бұрын
Spika bora kuwahi kutokea.
@rmysportstv2734
@rmysportstv2734 5 ай бұрын
Leo 2024 ooh siku zinakimbia😢
@saiddimwe9508
@saiddimwe9508 5 жыл бұрын
Daaagh?! In kwere sana
@FaustineCasmir-iu3ur
@FaustineCasmir-iu3ur 4 ай бұрын
Aiseeh anaekumbuka jina la huyu reporter aniambie
@naimannan5554
@naimannan5554 10 жыл бұрын
MIMI NASEMA KWA UA MUZI HUU ALIO UFANYA LOWASSA AMEONYESHA UKOMAVU WA KISIASA HEKIMA BUSARA KWAHILI ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI HII
@allyngatta9327
@allyngatta9327 9 жыл бұрын
Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo
@kakazkanda
@kakazkanda 5 ай бұрын
👁️👁️
@mcsabufa2716
@mcsabufa2716 4 жыл бұрын
Kipinfi ambacho kila mhimili ulikuwa ukifanya kazi kwa uhuru nowadays sasa 😨
@jacoboleparingo5204
@jacoboleparingo5204 5 жыл бұрын
Serikali imemudu kwenye kuzuia utumiaji wa mifuko ya plastiki sawa. Je vipi kuhusu chupa za plastiki maarufu kama vibobo au take are way? Mana na zenyewe zinakuwa kero kwa kuzagaa mitaani? Mimi naona ya kwamba ingekuwa bora zingekuwa zinarudishwa kiwandani kwatumizi mengine ya baadaye, kama vile chupa za bia na soda. Kama kweli tunahitaji usafi wa mazingira yetu.
@bakarhossen4545
@bakarhossen4545 6 жыл бұрын
Mpaka namuonea huruma
@mosesgideon6694
@mosesgideon6694 9 жыл бұрын
Mheshimiwa Lowassa hana hata chembe ya uchafu kama angekua nao. Katika hali ya sasa wangesema mabaya yote lakini tuna waona ccm kimya hii ni kuonyesha kwamba hana uchafu hata kidogo.
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
CCM mnao uwezo mkubwa wa kusawazisha maswala yenu kwa amani.
@prosperulungi2998
@prosperulungi2998 Жыл бұрын
Nana anaipitia hii. 2022
@nelsonemmanuel2259
@nelsonemmanuel2259 9 жыл бұрын
Lowasa 2015 nchi yake
@fathermore9772
@fathermore9772 5 жыл бұрын
najiuliza mbona hapo alikua na nguvu na mchangamfu sana lakini kipindi hiki kifupi tuu anaonekana kama umri umeenda sana
@omarypanga4064
@omarypanga4064 5 жыл бұрын
Alikuwa mchangamfu sana lakini sasahivi amekuwa mtalatibu sana
@mariambablia9126
@mariambablia9126 4 жыл бұрын
Maradhi tu
@josephkessy5486
@josephkessy5486 9 жыл бұрын
TIME IS A GOOD TEACHER
@alvangidion9366
@alvangidion9366 5 жыл бұрын
Mr mwakyembe alisema kama lowassa hausiki lirudishen swala LA Richmond bungeni, muone kama wanao tetea kwamba kaonewa , kama hawata nyolewa kwa vipande vya chupa'
@jacob.mberagu3327
@jacob.mberagu3327 5 жыл бұрын
Mch Paulo
@samwelmashauri9414
@samwelmashauri9414 5 жыл бұрын
Huyu mzee wa ITV
@ramadhanluhweja1860
@ramadhanluhweja1860 5 жыл бұрын
Mwakyembe ni mnafiki unafrahi nn
@sebastiansalamba8236
@sebastiansalamba8236 5 жыл бұрын
Mwizi bwana anavisingizio,Jibu hoja usilie
@lewisshemboko2106
@lewisshemboko2106 5 жыл бұрын
sita marehemu bendera marehemu duuh
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 5 ай бұрын
Na leo lowassa
@daudilengai7402
@daudilengai7402 9 жыл бұрын
Haiwezekani lowasa awe mbaya kwa wana ccm tu hapa kuna kitu so bure.lakini lowasa tutamchagua kwani tunaimani nae
@bakarhossen4545
@bakarhossen4545 6 жыл бұрын
huyu mzee hana mpinzani, kama kweli ni Mwezi si angeshitakiwa
@user-uv9ps3ow4s
@user-uv9ps3ow4s 5 ай бұрын
R.i.p lowassa
@allysinkallah1639
@allysinkallah1639 5 жыл бұрын
Ndio maana umekufa
@enockwinfred7645
@enockwinfred7645 8 жыл бұрын
marafiki
@pasianichuwa951
@pasianichuwa951 8 жыл бұрын
huyu ndie kiongozi wa kwel
@michaelsiweya6500
@michaelsiweya6500 3 жыл бұрын
Duu..Enzi hizo
@raphaelbossruvakubusa3031
@raphaelbossruvakubusa3031 8 жыл бұрын
this do change
@abubakarikisuju5374
@abubakarikisuju5374 4 жыл бұрын
Kajiuzulu
@glodykobelo9317
@glodykobelo9317 5 жыл бұрын
Hapo nisaidieni. Liwasa kajuzuru au kastaafu?
@documentariestvshow
@documentariestvshow 4 жыл бұрын
Hivi startv sahivi mbona hawaonekani sana..
@omaryswalehe2863
@omaryswalehe2863 3 жыл бұрын
Kipindi hicho cha siasa mchwara
@christohperwilson4714
@christohperwilson4714 4 жыл бұрын
Christopher Wilson selle
@victorjoel3177
@victorjoel3177 5 жыл бұрын
Wamejipanga kafara haukusika
@mudysquare6524
@mudysquare6524 9 жыл бұрын
President lowassa
@dct4lif
@dct4lif 9 жыл бұрын
Sorry we dont elect thieves and fired ministers to be president
@petrokihundwa601
@petrokihundwa601 8 жыл бұрын
nomaa jamaa
@charlesmwandenuka7986
@charlesmwandenuka7986 5 жыл бұрын
Sawa
@norascombedule1057
@norascombedule1057 4 жыл бұрын
Duuuh
@mtunesalumu8359
@mtunesalumu8359 4 жыл бұрын
wewe ni mwizi tu
@abdallamaso3848
@abdallamaso3848 5 жыл бұрын
Lowasa fiiiiii sd
@yohanasemsaka1420
@yohanasemsaka1420 9 жыл бұрын
JOSE WAU KWELI
@davidmwaipopo9512
@davidmwaipopo9512 Жыл бұрын
r.i.p
@saidlambertmatwi525
@saidlambertmatwi525 2 жыл бұрын
Mmm
@lawsofsucces5784
@lawsofsucces5784 7 жыл бұрын
Lowasa alionewa
@patricknjoka5761
@patricknjoka5761 5 жыл бұрын
Hiyo
@mayaally2512
@mayaally2512 5 жыл бұрын
Alionewa kipengele kipi ?
@ahmedn.kashaga4443
@ahmedn.kashaga4443 10 жыл бұрын
MR.EDWARD N. LOWASA ndio chaguo la kwanza la kuwa Rais ajaye wa Tanzania 2015-2025. Mwenyezi amjalie heri kufikia malengo yetu.Watanzania hatuitaji kiongozi asiye na msimamo thabiti ktk kutekeleza maamuzi. Hope ENL President 2015
@dct4lif
@dct4lif 9 жыл бұрын
Chaguo la mafisadi
@ahmedn.kashaga4443
@ahmedn.kashaga4443 9 жыл бұрын
Adnan fungua macho na uone nani zaidi ya ENL ktk uongozi wa sasa kimaamuzi?
@nwntz
@nwntz 9 жыл бұрын
Boniphace Kashaga tu pamoja
@dct4lif
@dct4lif 9 жыл бұрын
Boniphace Kashaga Hayo maamuzi yalikuwa wapi alipokuwa waziri mkuu ? Watu watuibie wakati mawaziri miaka kumi badae tuwazawadie na uraisi ? Kama ni hivyo Chenge ana haki kuwa raisi
@nwntz
@nwntz 9 жыл бұрын
WE ADNAL ULIKUA DOGO KIFIKRA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIYOFANYA UJAYAONA...AU UNAFIKIRI UONGOZI WAKE NI KWA NZIA 2005??
@yakitanipesha2021
@yakitanipesha2021 7 жыл бұрын
ulipo tupo lowasa
@petrogidion3129
@petrogidion3129 7 жыл бұрын
Yakitani Pesha
@sadamosses9763
@sadamosses9763 9 жыл бұрын
fisadi, mwizii, km uraishi basi utakuwa wa mkoa wa arusha, kwa tz hata cku moja tumechoka na mafisadi, wezi. uko ktk madaraka hata nyerere hajazaliwa uchoki au ndio kuiba pesa zetu unaona raha, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
@johnmwambungu7434
@johnmwambungu7434 5 жыл бұрын
Full of Nonsense
@mamahustru
@mamahustru 5 жыл бұрын
Yaani ujambazi tuliofanyiwa watanganyika hasa wa Richmond itabaki kuwa siri ya Lowassa na Kikwete. Ukiwasikiliza kila mmoja wao unamuamini anachosema lakini mmoja wao ndo alitutenda. Mwenyezi Mungu atoe hukumu huko waendako.
@allyhamissi5835
@allyhamissi5835 4 жыл бұрын
Moyosaf
@geofreyandrew1063
@geofreyandrew1063 8 жыл бұрын
kama mafisadi yote kama wewe fisadi namba moja yangejiuzulu ingekuwa afadhali
@geraldmlemwa1142
@geraldmlemwa1142 2 жыл бұрын
By
@jumachilamba847
@jumachilamba847 9 жыл бұрын
Mwinzi 2 huyo
@Mbonica1
@Mbonica1 10 жыл бұрын
Lowassa is the future president of TZ huyu mtoto wa mkulima amefanya nini katika hili taifa, zaidi ya kulia tupo pamoja katika kila hatua ya kuelekea White House
@shommyjunior6607
@shommyjunior6607 8 жыл бұрын
huyo anasema lowasa ni mwiz hajitambui lowasa ndiye rais wa Tanzania anayesema et wa arusha nataka nikujibu kuwa wewe hujitambui badilika,,,
@mlocommentwotenimbwakutoam5290
@mlocommentwotenimbwakutoam5290 5 жыл бұрын
nyoko wewe ndo hujitambui
@allyngatta9327
@allyngatta9327 9 жыл бұрын
Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo
@hamidurume8895
@hamidurume8895 8 жыл бұрын
Tatzo la watanzania
@petrokihundwa601
@petrokihundwa601 8 жыл бұрын
nomaa jamaa
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 83 МЛН
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 61 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 14 МЛН
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
7:05
SIMU. Tv
Рет қаралды 1 МЛН
Lowassa na Sumaye Wanena Mazito Kwenye Msiba wa Ndesamburo
10:03
Global TV Online
Рет қаралды 141 М.
LOWASSA   MRADI WA MAJI SNY
8:13
Edward Lowassa
Рет қаралды 76 М.
Mwakyembe alivyo mtaja Lowassa Bungeni sakata la Richmond
19:03
Dar24 Media
Рет қаралды 92 М.
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Mahojiano ya Edward Lowassa na BBC DIRA TV
5:03
Swahili Buzz
Рет қаралды 229 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 83 МЛН