EDWARD LOWASSA MBUNGE WA MONDULI AJIUZULU UWAZIRI MKUU
Пікірлер: 110
@maarifa_home_electronics5 ай бұрын
Tulikuja hapa baada ya kusikia taarifa ya kifo cha mzee Lowasa tujuane!!
@blandinamwarabu50255 ай бұрын
😭😭😭 Jasiri ameamguka
@marystelaswai51745 ай бұрын
Tumo
@Boniphaceshayo55 ай бұрын
Mimi nimeitizama 2024 mwezi 2 tarehe 13 lala salama lowassa
@marystelaswai51745 ай бұрын
Apumzike kwa Aman
@yasimally95133 жыл бұрын
Kiongozi pekee katika nchi yetu kuwahi kuwajibika baada ya jina lake kukumbwa na kashfa, ameacha mfano bora kwenye nchi yetu kwa kukubal kuwajibika mwenyewe
@millenniumtot45655 ай бұрын
95 pinda alipewa kisu kisicho na makali..... Lowasa n mzalendo... Madili n kila MTU... Kwanini JK Rip sita ayupo ata yeye
@user-iu7dy1mb2i5 ай бұрын
Huyu hapo nyuma ni Ngeleja au ndo macho yangu
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
Nani amepita hapa 2021
@rabiaiddi55782 жыл бұрын
Tupoooo
@husseinsalimbora35345 ай бұрын
Leo 11 February 2024 ,r.i.p Edward lowasa.
@ismailmshana282810 ай бұрын
Tanzania yetu imeandika big history
@georgembwana83549 жыл бұрын
Kujiuzulu kwa mh e lowasa ni ishara yakuonyesha ni jinsi gani alivyokomaa kisiasa big up mkuu piga makasia yakuelekea magogoni tuko pamoja kaka
@daudichirstopher6173 Жыл бұрын
twende ,2022-2023 waziri wakwanza kujiuzuru Tanzania
@sizakitego43744 жыл бұрын
2020 leo tunajikumbusha
@johnmude10843 жыл бұрын
Yaan lowasa wakamloga wakaampa ugonjwa aakazeeka
@mathiaszakaria70525 ай бұрын
Kweli kabsa jamaa aliyumba Sana kiafya hadi ongea yake ikawa shida
@hemedwow88026 жыл бұрын
Mzee wenye akili...tunajua umeonewa!
@unitytzdar95535 жыл бұрын
KAONDOKA KAZOMEWA, KARUDI KAKARIBISHWA. MAISHA YA SIASA SI HASA.
@juliusmagunila63085 ай бұрын
Rip mzee lowassa
@jumamnyambwa79934 жыл бұрын
Huyu ndio alikua sipika bora kulikondugayi
@user-ox1ce7iu8i6 ай бұрын
It's 2024 TODAY
@makorievans28149 жыл бұрын
Tanzania yahitaji lowassa...ili kujikomboa kutoka umaskini... mungu ibariki Tanzania...
@audaxbizimana808419 күн бұрын
Mtu pekee aliyesemwa kuliko wote
@tondisangasanga98258 жыл бұрын
hapa amna kazi mm napigilia suti nakula bata me ndio lowassa bhana sitaki kazi na digirii nyingi
@goodluckphilliponguyai33909 жыл бұрын
For sure Hon. Edward Ngoyai Lowassa is the next Tanzanian President( 2015-2025) because he is a person who always takes immediate and appropriate action for the things which needs attention unlike most of the others and even his personality also tells
@dct4lif9 жыл бұрын
Only in Africa you will find idiots electing thieves to run their countries . How do you call a fired minister honorable ? Whats so honorable of being a thief ? You are sick in the brain no wonder we continue to be poor because of ignorant baffoons like u
@Waberoya5 жыл бұрын
kweli
@prof.abusakelsaleh3524 Жыл бұрын
Uoooongo uoongooo bhana🤣🤣🤣🤣2022
@HipHop_20245 ай бұрын
Sa hayupo tena😢
@marystelaswai51745 ай бұрын
Yaaan hayupo Tena jaman
@njikuhr18753 жыл бұрын
Mzee noma
@Bob-kz2ql Жыл бұрын
One of the best Parliament ever, 2023 bado tunarudi kuona dah
@badenbensoni75165 жыл бұрын
Anaye jua ni mungu
@aloycemwakatala26344 жыл бұрын
Spika bora kuwahi kutokea.
@rmysportstv27345 ай бұрын
Leo 2024 ooh siku zinakimbia😢
@saiddimwe95085 жыл бұрын
Daaagh?! In kwere sana
@FaustineCasmir-iu3ur4 ай бұрын
Aiseeh anaekumbuka jina la huyu reporter aniambie
@naimannan555410 жыл бұрын
MIMI NASEMA KWA UA MUZI HUU ALIO UFANYA LOWASSA AMEONYESHA UKOMAVU WA KISIASA HEKIMA BUSARA KWAHILI ANAFAA KUWA RAIS WA NCHI HII
@allyngatta93279 жыл бұрын
Ujasiri wa lowasa ni wa kizalendo
@kakazkanda5 ай бұрын
👁️👁️
@mcsabufa27164 жыл бұрын
Kipinfi ambacho kila mhimili ulikuwa ukifanya kazi kwa uhuru nowadays sasa 😨
@jacoboleparingo52045 жыл бұрын
Serikali imemudu kwenye kuzuia utumiaji wa mifuko ya plastiki sawa. Je vipi kuhusu chupa za plastiki maarufu kama vibobo au take are way? Mana na zenyewe zinakuwa kero kwa kuzagaa mitaani? Mimi naona ya kwamba ingekuwa bora zingekuwa zinarudishwa kiwandani kwatumizi mengine ya baadaye, kama vile chupa za bia na soda. Kama kweli tunahitaji usafi wa mazingira yetu.
@bakarhossen45456 жыл бұрын
Mpaka namuonea huruma
@mosesgideon66949 жыл бұрын
Mheshimiwa Lowassa hana hata chembe ya uchafu kama angekua nao. Katika hali ya sasa wangesema mabaya yote lakini tuna waona ccm kimya hii ni kuonyesha kwamba hana uchafu hata kidogo.
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
CCM mnao uwezo mkubwa wa kusawazisha maswala yenu kwa amani.
@prosperulungi2998 Жыл бұрын
Nana anaipitia hii. 2022
@nelsonemmanuel22599 жыл бұрын
Lowasa 2015 nchi yake
@fathermore97725 жыл бұрын
najiuliza mbona hapo alikua na nguvu na mchangamfu sana lakini kipindi hiki kifupi tuu anaonekana kama umri umeenda sana
@omarypanga40645 жыл бұрын
Alikuwa mchangamfu sana lakini sasahivi amekuwa mtalatibu sana
@mariambablia91264 жыл бұрын
Maradhi tu
@josephkessy54869 жыл бұрын
TIME IS A GOOD TEACHER
@alvangidion93665 жыл бұрын
Mr mwakyembe alisema kama lowassa hausiki lirudishen swala LA Richmond bungeni, muone kama wanao tetea kwamba kaonewa , kama hawata nyolewa kwa vipande vya chupa'
@jacob.mberagu33275 жыл бұрын
Mch Paulo
@samwelmashauri94145 жыл бұрын
Huyu mzee wa ITV
@ramadhanluhweja18605 жыл бұрын
Mwakyembe ni mnafiki unafrahi nn
@sebastiansalamba82365 жыл бұрын
Mwizi bwana anavisingizio,Jibu hoja usilie
@lewisshemboko21065 жыл бұрын
sita marehemu bendera marehemu duuh
@Boniphaceshayo55 ай бұрын
Na leo lowassa
@daudilengai74029 жыл бұрын
Haiwezekani lowasa awe mbaya kwa wana ccm tu hapa kuna kitu so bure.lakini lowasa tutamchagua kwani tunaimani nae
@bakarhossen45456 жыл бұрын
huyu mzee hana mpinzani, kama kweli ni Mwezi si angeshitakiwa
@user-uv9ps3ow4s5 ай бұрын
R.i.p lowassa
@allysinkallah16395 жыл бұрын
Ndio maana umekufa
@enockwinfred76458 жыл бұрын
marafiki
@pasianichuwa9518 жыл бұрын
huyu ndie kiongozi wa kwel
@michaelsiweya65003 жыл бұрын
Duu..Enzi hizo
@raphaelbossruvakubusa30318 жыл бұрын
this do change
@abubakarikisuju53744 жыл бұрын
Kajiuzulu
@glodykobelo93175 жыл бұрын
Hapo nisaidieni. Liwasa kajuzuru au kastaafu?
@documentariestvshow4 жыл бұрын
Hivi startv sahivi mbona hawaonekani sana..
@omaryswalehe28633 жыл бұрын
Kipindi hicho cha siasa mchwara
@christohperwilson47144 жыл бұрын
Christopher Wilson selle
@victorjoel31775 жыл бұрын
Wamejipanga kafara haukusika
@mudysquare65249 жыл бұрын
President lowassa
@dct4lif9 жыл бұрын
Sorry we dont elect thieves and fired ministers to be president
@petrokihundwa6018 жыл бұрын
nomaa jamaa
@charlesmwandenuka79865 жыл бұрын
Sawa
@norascombedule10574 жыл бұрын
Duuuh
@mtunesalumu83594 жыл бұрын
wewe ni mwizi tu
@abdallamaso38485 жыл бұрын
Lowasa fiiiiii sd
@yohanasemsaka14209 жыл бұрын
JOSE WAU KWELI
@davidmwaipopo9512 Жыл бұрын
r.i.p
@saidlambertmatwi5252 жыл бұрын
Mmm
@lawsofsucces57847 жыл бұрын
Lowasa alionewa
@patricknjoka57615 жыл бұрын
Hiyo
@mayaally25125 жыл бұрын
Alionewa kipengele kipi ?
@ahmedn.kashaga444310 жыл бұрын
MR.EDWARD N. LOWASA ndio chaguo la kwanza la kuwa Rais ajaye wa Tanzania 2015-2025. Mwenyezi amjalie heri kufikia malengo yetu.Watanzania hatuitaji kiongozi asiye na msimamo thabiti ktk kutekeleza maamuzi. Hope ENL President 2015
@dct4lif9 жыл бұрын
Chaguo la mafisadi
@ahmedn.kashaga44439 жыл бұрын
Adnan fungua macho na uone nani zaidi ya ENL ktk uongozi wa sasa kimaamuzi?
@nwntz9 жыл бұрын
Boniphace Kashaga tu pamoja
@dct4lif9 жыл бұрын
Boniphace Kashaga Hayo maamuzi yalikuwa wapi alipokuwa waziri mkuu ? Watu watuibie wakati mawaziri miaka kumi badae tuwazawadie na uraisi ? Kama ni hivyo Chenge ana haki kuwa raisi
@nwntz9 жыл бұрын
WE ADNAL ULIKUA DOGO KIFIKRA ALIPOKUWA WAZIRI MKUU ALIYOFANYA UJAYAONA...AU UNAFIKIRI UONGOZI WAKE NI KWA NZIA 2005??
@yakitanipesha20217 жыл бұрын
ulipo tupo lowasa
@petrogidion31297 жыл бұрын
Yakitani Pesha
@sadamosses97639 жыл бұрын
fisadi, mwizii, km uraishi basi utakuwa wa mkoa wa arusha, kwa tz hata cku moja tumechoka na mafisadi, wezi. uko ktk madaraka hata nyerere hajazaliwa uchoki au ndio kuiba pesa zetu unaona raha, mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
@johnmwambungu74345 жыл бұрын
Full of Nonsense
@mamahustru5 жыл бұрын
Yaani ujambazi tuliofanyiwa watanganyika hasa wa Richmond itabaki kuwa siri ya Lowassa na Kikwete. Ukiwasikiliza kila mmoja wao unamuamini anachosema lakini mmoja wao ndo alitutenda. Mwenyezi Mungu atoe hukumu huko waendako.
@allyhamissi58354 жыл бұрын
Moyosaf
@geofreyandrew10638 жыл бұрын
kama mafisadi yote kama wewe fisadi namba moja yangejiuzulu ingekuwa afadhali
@geraldmlemwa11422 жыл бұрын
By
@jumachilamba8479 жыл бұрын
Mwinzi 2 huyo
@Mbonica110 жыл бұрын
Lowassa is the future president of TZ huyu mtoto wa mkulima amefanya nini katika hili taifa, zaidi ya kulia tupo pamoja katika kila hatua ya kuelekea White House
@shommyjunior66078 жыл бұрын
huyo anasema lowasa ni mwiz hajitambui lowasa ndiye rais wa Tanzania anayesema et wa arusha nataka nikujibu kuwa wewe hujitambui badilika,,,