MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI

  Рет қаралды 481,863

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 1 100
@imansaid8020
@imansaid8020 2 жыл бұрын
Wewe kaka wa miwa yaan mashaallah!! Hadi nimekupenda unaimani na haupendi ugomvi
@ramadhanimwelondo1811
@ramadhanimwelondo1811 2 ай бұрын
Daah sio siri mwenyezi mungu amjaalie kheri sana katika maisha yake na ampe maisha mazuri zaidi kwa moyo wake aliouonyesha hapo Inshaalah
@user-tg2jg7ul9n
@user-tg2jg7ul9n 2 ай бұрын
Awe mungu mfungulie kila hitaji la moyo wake na umzidishie rizki
@bravoabdul8201
@bravoabdul8201 2 жыл бұрын
Anaesikia huyu jamaa mmoja sauti yake inafanana na Idris sultan gonga like apa👋👋😂
@uriotz_
@uriotz_ 2 жыл бұрын
Kbs
@rehemarobert516
@rehemarobert516 2 жыл бұрын
Ni wadogo zake Idris Sultan
@luluray2115
@luluray2115 2 жыл бұрын
Ni ndugu
@naomimavura2239
@naomimavura2239 2 жыл бұрын
Kwelii
@009biafra8
@009biafra8 2 жыл бұрын
Aseeh nmetafuta san hii sauti asante kwa kunisaidia
@kajugaa4537
@kajugaa4537 2 жыл бұрын
Yaah Allah nakuomba umzidishie yakiin na imani thabiti Muuza miwa maana kaonyesha imani kwako hata kama ni maigizo lakin ni mtu anaonyesha ana imani kubwa kwa Mungu wake
@haythamalhaj345
@haythamalhaj345 2 жыл бұрын
Amiin Inshallah 🙏
@shannelyshazzy1461
@shannelyshazzy1461 2 жыл бұрын
Inshallah
@kelvinfelix1324
@kelvinfelix1324 2 жыл бұрын
Safi sana
@asilahassan9965
@asilahassan9965 2 ай бұрын
Ammina allhuma amin
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 2 жыл бұрын
😢😭Huyu kaka wa miwa ana iman madhubut Mashallah YA ALLAH Umfungulie ridhk yake kwa wepes
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 жыл бұрын
Amiin🤲
@salimkharisa8186
@salimkharisa8186 2 жыл бұрын
Imagen uyu kijana anauza miwa kanitoa machozi walai mungu amfanyie wepesi
@duhrurhhddhheud8575
@duhrurhhddhheud8575 2 жыл бұрын
@@salimkharisa8186 Yaan we acha tuuh
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Ameen
@skilindaissa5441
@skilindaissa5441 2 жыл бұрын
Ameen.🙏🙏
@UlimeA
@UlimeA 2 жыл бұрын
Huyu mjasiriamali wa miwa ni peace sana. God bless him
@erikimethod6246
@erikimethod6246 2 жыл бұрын
Muuza miwa Mungu akuinue unaonekana una imani sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@Mohamedkasim2
@Mohamedkasim2 2 жыл бұрын
Uhakika mungu amzidishie
@fatumaayubu645
@fatumaayubu645 2 жыл бұрын
Lazima ni Muha, wengi kwenye biashara zao hawaendi makuu
@fauziakarama8581
@fauziakarama8581 2 жыл бұрын
Kwa kweli hicho ni kipimo cha Watanzania kuwa na lmani wengine ni ugomvi wa hali ya juu muuza miwa hongera sana.
@abdallahomary1480
@abdallahomary1480 2 жыл бұрын
Allah akupe mafanikio makubwa sana kupitia kwenye biashara yako muuza miwa🙏🙏🙏
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 жыл бұрын
Amiin wallah
@kbmsouth
@kbmsouth 2 жыл бұрын
Sura ya muuza iko ki INOCENT kabsa..
@capitainrogers4990
@capitainrogers4990 2 жыл бұрын
Allahuma Amin
@tinevimbologisticsltd7225
@tinevimbologisticsltd7225 2 жыл бұрын
Muuza Mia Allah amuongozee na ampe biashara kubwa zaidi bora hasara kuliko Shari kubwa
@mungatanamedia5157
@mungatanamedia5157 2 жыл бұрын
Muuza miwa yko humble sana......aki mungu amuongezee kipato,
@backtohappiness4664
@backtohappiness4664 2 жыл бұрын
Allah mjaalie riziki na Imani thabiti Muuza miwa MA SHA ALLAH
@tadeokiliani2874
@tadeokiliani2874 2 жыл бұрын
Huyu jamaa wa miwa huyu Safi Sana daaaaah mungu amzidishie
@musajuma7437
@musajuma7437 2 жыл бұрын
Respect Kwa mwenye miwa kweli hii ni life tu😭😭
@aishaumari3154
@aishaumari3154 2 жыл бұрын
❤️❤️❤️
@DAVID-wp4vc
@DAVID-wp4vc 2 жыл бұрын
Adi imeniuma
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 2 жыл бұрын
Duniani Kuna Watu na mioyo yao
@abubakarally9953
@abubakarally9953 2 жыл бұрын
Muuza miwa kakubali loss mwamba kweli jau. Uyo babu jau angekuwa yy angeweza kuwa makini# the best amazing
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 жыл бұрын
Nawapenda saaana hawa vijana jamanini feithar na faidh allah awaongoze katika kila hatua ya maisha yenu na munachokifanya🥰🥰🇹🇿 🇴🇲
@spaice995
@spaice995 2 жыл бұрын
Ni waigizaji wazuri more videos with twins inabamba Sana Ila ulinzi uimalishwe 😆muuza miwa ni mkaka mzuri Sana biashara yake izidi kuendelea
@detlantamarooned1809
@detlantamarooned1809 2 жыл бұрын
Huyo muuza miwa tunaomba namba yake ya simu ili tumchangie chochote tulichonacho. Kaonesha utu sana.
@malianonicass7029
@malianonicass7029 2 жыл бұрын
Nimewaza kama wewe
@martinmakobz6225
@martinmakobz6225 2 жыл бұрын
Kama Motown na wasafi media walimuacha ivyo basi walikosea sana
@asnatsimon588
@asnatsimon588 2 жыл бұрын
Kweli aseee ata mwenye chochote kitu jamaa anautu sana
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 жыл бұрын
Atafutwe
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 жыл бұрын
Inauma😪
@angelmariaotieno2253
@angelmariaotieno2253 2 жыл бұрын
Diamond akupandishie mshahara kazi nzuri sana
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 2 жыл бұрын
Muuza Miwa atafanikiwa Imani inammbeba🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@ree6082
@ree6082 2 жыл бұрын
Ila uyo jamaa wa miwa anaonekana mstaarabu sana God bless his hustle 🤍
@marymushi2512
@marymushi2512 2 жыл бұрын
Sana i wish nimjue nimuongezee japo kidogo kamtaji kiukweli anautu na hekma sana
@hammyg5714
@hammyg5714 2 жыл бұрын
Pia ana imani sana MashaAllah🙌🙌🙌
@happygrayson2156
@happygrayson2156 2 жыл бұрын
Nmemuonea huruma ad nimelia
@imansaid8020
@imansaid8020 2 жыл бұрын
Sanaaa mashaallah!! Yaaan hadi nimempenda
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 2 жыл бұрын
Sana kwa kweli Mungu amongezee kbx
@RashHassan
@RashHassan 2 жыл бұрын
ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH. HUYO JAMAA ANAYE UZA MIWA SAFI SANA ALLAH AMAFANYIE WEPESI TU. IN SHAA ALLAH.
@azizayahyah1597
@azizayahyah1597 2 жыл бұрын
Waaleykum salaam
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 жыл бұрын
Waaleykum salaam warahmatullah, Ameen
@nadiandayizeye9545
@nadiandayizeye9545 2 жыл бұрын
Waleykum Salam warahmatullah wabarakatuh Ameen InshaAllah
@neemamjema1067
@neemamjema1067 2 жыл бұрын
Hawa mapacha show kama yao wameuwa mpaka inakeraaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ila muuza miwa na muuza karanga mnatia mmetia huruma ila pia mnapata na funzo kwenye kumpa mtu chenji😔😔😔😔 kwa ustarabu huo utafika mbali muuza miwa🤲🤲
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
Kipindii bora ..ila imana ya muuza miwa imewapendez watyu wengi 🙏
@jawizojays5567
@jawizojays5567 2 жыл бұрын
Daaaa muuza miwa kinyongee sana adi huruma😂😂
@lareineminah1353
@lareineminah1353 2 жыл бұрын
Machozi kabisaa🤣🤣🤣
@junuferjinu1444
@junuferjinu1444 2 жыл бұрын
Meuwa leo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ata muuza miwa yani wauza biashara wote wastarabu 😍😍😍🙏🙏🙏
@sumayyahally866
@sumayyahally866 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah laha sana kulea mapacha hadi kufikia apo Allah awakuze zaidi lnshaallah natamani na me siku moja Allah anijalie twins lnshaallah
@johnbarnaba8675
@johnbarnaba8675 2 жыл бұрын
Kazana kuukatikia utapata
@sara20028
@sara20028 Жыл бұрын
Dah mungu akuongezee ridhik kaka wa miwa allah awe nawe
@lucygodfrey4871
@lucygodfrey4871 2 жыл бұрын
Uyu Muuza miwa jamn MUNGU akubariki sana na Kazi yako 🙏
@casablancastudioarusha775
@casablancastudioarusha775 2 жыл бұрын
Mbali na Twins Muuza miwa katugusa sana May God bless him.
@elimidakashumba2422
@elimidakashumba2422 2 жыл бұрын
Sanaa
@beatricejailos7836
@beatricejailos7836 2 жыл бұрын
Hakika
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 2 жыл бұрын
Sana
@user412
@user412 2 жыл бұрын
Allah amjaalie wepesi na amuongezee kipato endelevu
@hajimasoud1544
@hajimasoud1544 2 жыл бұрын
Amin
@maireshsaid1628
@maireshsaid1628 2 жыл бұрын
Muuza miwa Allah amjaalie afanikiwe kwenye maisha yake
@andiqueantonio3377
@andiqueantonio3377 2 жыл бұрын
Blessed
@loreenmsuya9768
@loreenmsuya9768 2 жыл бұрын
Waaa nimempenda bure
@zaujiajuma8260
@zaujiajuma8260 2 жыл бұрын
Mashaallah mungu anijaalie na mm nizae mapacha
@wazirihongo3761
@wazirihongo3761 2 жыл бұрын
Muuza miwa Kama mimi (nauza miwa), Allah bless you
@azibossladykenny2455
@azibossladykenny2455 2 жыл бұрын
Mungu acha aitwe Mungu yani awa w kaka wanafanan mnoo💕💕Kisha sanya anajuw kujikausha balaa😅😅😅
@hijaramadhani3221
@hijaramadhani3221 2 жыл бұрын
Kweli mzee
@emmaleejr6670
@emmaleejr6670 2 жыл бұрын
Muuza Miwa ..aisee Humanity at his best
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
Namuomba Allah sana sana anijaslie mume mwenye hofu ya Allah na tujaaliwe watoto twins nitafurahi sana yaan acheni tu
@alkasusjaasus7015
@alkasusjaasus7015 2 жыл бұрын
Nipo Muna na MashaAllah ukoo wetu ni pacha kwenda mbele👌 😊
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
@@alkasusjaasus7015 ok poa poaaa Allah awakuzie vyema sanaaa
@ahmedrashed7138
@ahmedrashed7138 2 жыл бұрын
Maashaallaah Allhamdullaah Hawa mapacha wanafanana kweli kabisa mungu awape umli mrufu wenye Barak nyingi Amiin
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 жыл бұрын
Wallah kipindi cha kijanjanja nimewapendaaaaaa buree 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@nuraynmakoya803
@nuraynmakoya803 2 жыл бұрын
Jaman kaka wa miwa roho imeniuma daaaah 😭
@meckywadyatv.9016
@meckywadyatv.9016 2 жыл бұрын
Me hadi nimetoa machoz
@malianonicass7029
@malianonicass7029 2 жыл бұрын
Nimelia
@hajranjaidi5024
@hajranjaidi5024 2 жыл бұрын
yaan adi mie roho imeniuma afu akawa mnyonge daa
@majoklamthoan9563
@majoklamthoan9563 Жыл бұрын
@@meckywadyatv.9016 I’m in Canada and I don’t if I can have the number for the guy who sell Miwa Shed tears aki 😢😢
@JackoboMorisi
@JackoboMorisi Жыл бұрын
Polen ila iwe funzo kwenu pia kuwen na iman
@abdiraheemsheikh5409
@abdiraheemsheikh5409 2 жыл бұрын
Dah huyu wa miwa ameniliza maskini ya mungu, Allah akufungulie bro unaonekana unaroho nzuri
@deesure2401
@deesure2401 2 жыл бұрын
Daaah very sad kwa muuza miwa 😢💔💔 jins anavy sema NI MAISHA 2
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
Ebwana kitaa kina mishe kibao huyo ndio Mo Town Sanya nembo ya mtaa yupo na pacha wenzangu mashallah ❤️ kufanana kama kote
@mansourjuma3731
@mansourjuma3731 2 жыл бұрын
"Mungu ndo anaejua atakulipa vipi" Well said MashaAllah🙏🙏🙏🙏🌙
@jenymtafya3430
@jenymtafya3430 2 жыл бұрын
Dah wanafanana sana aisee! Na wanajua kuigiza kweli kweli nice 👍
@baracknyalucy3346
@baracknyalucy3346 2 жыл бұрын
Jamaa wa miwa ni mtu poa sana na ana imani sana
@MOMMEDIA1
@MOMMEDIA1 2 жыл бұрын
Ni moja kitu kikubwa Sana aiseeeeeeh ambacho ushawai fanya keep it up 💪 kumbe show kalisio lazima mastar
@aminasilvia4345
@aminasilvia4345 2 жыл бұрын
Wanachanganya kweli hata nami siezi jiokiwa kabisa.from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
@shihana_kiba4997
@shihana_kiba4997 2 жыл бұрын
Muuza miwa jmn ataftwe tumchangie buku buku😭😭😭😭😭😭😭
@salhamrisho8138
@salhamrisho8138 2 жыл бұрын
Nikweli kabisa
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@betuelytimoth5731
@betuelytimoth5731 2 жыл бұрын
Nikweli kabisa dah sio kwa imani hyo
@rahmayaredi1941
@rahmayaredi1941 2 жыл бұрын
Uyu kaka tumchangiee mtafuteni tena
@angelmumy1178
@angelmumy1178 2 жыл бұрын
Kbsaaaa❤️❤️
@yohanamageta2069
@yohanamageta2069 Жыл бұрын
Subiria mbaka niuze ndo nikupe pesaako..dah wanangu wa dola moja amani sanaaaa✊✊✊✊
@davidnchoji
@davidnchoji 2 жыл бұрын
Tangu nianze kufuatilia Motown Sanya, this is the best show I had ever seen...big up Bother. We laugh and learn 😂🙌🏽
@sebastianjulius9546
@sebastianjulius9546 2 жыл бұрын
kabisa
@elmasroj9712
@elmasroj9712 2 жыл бұрын
Daaaah nimeumia muuza miwa jamanii daaaah ingekuwa kweli sijui ingekuwaje daaaah
@kelvintembo734
@kelvintembo734 2 жыл бұрын
Umetisha sana mwamba from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@christinemangaza6303
@christinemangaza6303 2 жыл бұрын
Aww 🥰 🇧🇮🇧🇮
@Omosak
@Omosak 2 жыл бұрын
Mwenye kipindi bora wasafi na tanzania yote ..mo town sanya...kwaiyi umenikosha
@hamedabashir9
@hamedabashir9 2 жыл бұрын
Leo mo umenifurahisha sana maana unawafahamisha uzuri mashallah acha nilale sasa masalama❤️
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Masalama✋
@vestinandimbo7439
@vestinandimbo7439 2 жыл бұрын
Sanya katika vipind vyote hichiiii nimeonjoy kinoumaaaaaaaaa wametishaaaa twins nation🔥🔥🔥🔥
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
YAani mashallah wamefanana sana yaani wamenikumbusha tukio lishawahi kutokea kijijini kwetu,pacha wa wili wakiume wamefanana kila kitu mpaka tembea sasa mmoja alikuwa jambazi sasa akishaona askari wanamsaka anajificha mwisho wa siku maskini anakamatwa mwenzie ambaye si mwizi maskini alikuwa anasota jela na vipigo kila wakati, mpaka mwisho wa siku Askari wanakuja kujua ni mapacha wa kufanana tayari too late
@mwanahamisnsillah7800
@mwanahamisnsillah7800 2 жыл бұрын
Mmh jamn
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 жыл бұрын
😆 🤣 😂 umeni kumbusha mume wangu nae picha na wote wanajeshi sasa mwenzake alikuwa ni mtu wa kukopa sana alafu anadai mume jamani walivyo gundua ilabidi watenganishwe ofisini
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
@@noxlosingida2369 Hahahaha hiyo style ya kimataifa iliku yaani kopa wewe mimi nilipe hahahaha halafu sometimes wanamakusudi wakijiona wamefanana yaani lazima tuu watajadiliana ili wavae sare ili wakafanye tukio 😂😂 Astaghfirullah laadhwim 🤣 mie Alhamdulillah pacha mwenzangu wa kiume akithubutu kufanya batili wanamkamata mwenyewe kama walivyomkuta hahahaha 😂
@ericksaluvator9101
@ericksaluvator9101 2 жыл бұрын
Mtauwa watu kwa pulesha
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 2 жыл бұрын
Ipo sana iyo
@khalidabdulaziz8735
@khalidabdulaziz8735 2 жыл бұрын
Show babu kubwa sana nimekubali motown Sanya hicho kipindi kiko juu
@joharibashir3478
@joharibashir3478 2 жыл бұрын
Maskini uyu wamiwa katia hadi uruma 😅 kijasho cembamba kilikuwa kishaanza kumtoka😢
@adamabubakar7569
@adamabubakar7569 2 ай бұрын
Dah nasikitika pacha wangu kaenda kula maharage ya watu kwa mama ntilie akaondoka hakulipa siku niloenda mimi nikabananishwa hadi huruma,ila muuza miwa Big up sana🤝💪
@shardalove1159
@shardalove1159 2 жыл бұрын
Hehehee kwakweli Wana changanya kama date ya Leo 22/2/22 safiii sana
@gerkombo6512
@gerkombo6512 2 жыл бұрын
Utu uzima dawa mzee katumia busara ya hali juu. Bigup mzee wa karanga.
@tumainianthony1613
@tumainianthony1613 2 жыл бұрын
Mo.. Hii show Umetisha.. Nimefurahi sana yani kila nikikumbuka nacheka tu.. Big up bro.. And the twins Brothers.. Mmetisha
@aichaaicha8045
@aichaaicha8045 2 жыл бұрын
Napendaka sana vipindi vyako kka yngu❤🇦🇪🇧🇮
@twahaabdalla2304
@twahaabdalla2304 2 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii
@leylaally5707
@leylaally5707 2 жыл бұрын
Insh Allah Allah amfanyie weeps muuza miwa 🙏🙏
@JackoboMorisi
@JackoboMorisi Жыл бұрын
Asante kwenye maisha inahtajka iman Sana🙏
@sifamugwaneza8774
@sifamugwaneza8774 2 жыл бұрын
My brother #Motown hii kali ya 2022 🙌🙌🙌
@miriamwinston9908
@miriamwinston9908 2 жыл бұрын
Kabisaaa👏🖐
@lisaozokalonji7655
@lisaozokalonji7655 2 жыл бұрын
Nice please We need more shows with the twins nimeipenda sana from 🇨🇦🇨🇦
@issamlekwa3034
@issamlekwa3034 2 жыл бұрын
Hi lizzy
@lisaozokalonji7655
@lisaozokalonji7655 2 жыл бұрын
@@issamlekwa3034 hi dear
@majoklamthoan9563
@majoklamthoan9563 Жыл бұрын
I wish I can get the number of that guy of miwa I shed tears 😭. Here I’m in Canada
@JackoboMorisi
@JackoboMorisi Жыл бұрын
Axante na nyie nawaomben muwe na iman kama yang 7bu mtoa rizik n mwenyez mungu 🙏
@ibrahimabdi7436
@ibrahimabdi7436 2 жыл бұрын
Nakubali Sana mo town Sanya 🔥🔥🔥🇰🇪 more love
@mawodoshabir507
@mawodoshabir507 2 жыл бұрын
Huyu mo town sanya ajengewe sanamu makumbusho🤣🤣🙌
@mamadiva9684
@mamadiva9684 2 жыл бұрын
MashaAllah their mom should be very happy
@halima7255
@halima7255 2 жыл бұрын
Mashallah Allah yani adi raha nawakubali mapacha nyie noma sana ❤️❤️❤️❤️
@MoTownBoy
@MoTownBoy 2 жыл бұрын
Najua kile mnacho penda hivo sina budi ya kuwapa burudani nakila siku mawazo tofauti tofauti yana kuja ivo endelea ku enjoy Vipidi vikali ndani ya #WasfiTV #WasafiBet #MoTownSanya
@frolamazimba465
@frolamazimba465 2 жыл бұрын
Tunakukubali Sana mungu akuongoze katika Kazi yako
@alinadee8207
@alinadee8207 2 жыл бұрын
Muuza chips umemzingua aseeeee hhhhhhhh
@Lova_artist
@Lova_artist 2 жыл бұрын
Dah ila huyo wa miwa kanigusa na kanifunza kitu
@fainjohnbosco6182
@fainjohnbosco6182 2 жыл бұрын
Mtafute wa miwa achangiwe amegusa wengiiiii
@seleseleli1822
@seleseleli1822 2 жыл бұрын
Toeni nmba wa miwa tumchngiiie
@sophierseyyd1162
@sophierseyyd1162 2 жыл бұрын
Huruma jmn 😭😭muuza miwa dah maisha hayq 😭😭😭😭 uwiii imeniuma Sana .muwe mnawasadia bas km hvy mkiwaona jmn dah
@shedracksteven3183
@shedracksteven3183 2 жыл бұрын
Sema ina huzunisha kama uyo muuza miwa mungu akusaidie ufike mbar
@malianonicass7029
@malianonicass7029 2 жыл бұрын
Kweli mwanangu ana imani kubwa sana
@zaynabmwamsema7553
@zaynabmwamsema7553 2 жыл бұрын
hata muuza karanga pia jaman mpole had anatia huruma
@bisengobubasha
@bisengobubasha 2 жыл бұрын
Kuwa fananisha mpaka uwe kabisa na ukaribu nao , sio kwa mfanano uho 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🙌🙌
@omarysaidi9715
@omarysaidi9715 2 жыл бұрын
Hata ukiwa karibu nao uwezi na wanatoooo dem mmoja sana hao
@Kobe_254
@Kobe_254 2 жыл бұрын
That’s so funny… yafaa wakatie dem mmoja!! Dah maisha mtaa.. watu wanapiga kazi 💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸
@mariamhamad4171
@mariamhamad4171 2 жыл бұрын
Nimeipendaiyo mashaallah wamefanana hadiraha wallah
@purityangle
@purityangle 2 жыл бұрын
Babu Hana sadaka😘😘💕💕😂😂Hana sadaka yahaina hio
@ahmedrashed7138
@ahmedrashed7138 2 жыл бұрын
Maashaallaah Allhamdullaah mungu akufanyie wepes inshaallaah
@piccokikongwe5437
@piccokikongwe5437 2 жыл бұрын
Naitwa Picco kikongwe ni mwana music wa bongo flavor, niliimba kikongwe, swagga na nyinginezo, hizo chini Ni platfom ambazo music wangu unapatikana za zamani andika Picco kikongwe Album utapata ngoma zote za kitambo, na ukitaka mpalya andika Picco ameshushwa utapata music mzuri mkali wa kijanja na wa kisasa, sapoti music wa nyumbani msapoti mtanzania mwenzio 1. Boomplay 2. Audiomack 3. Spotify 4. Apple Music 5. Shazam 6. Deezer 7. KZbin Music 8. Notjustic 9. Soundcloud 10.Tidal 11. Amazon 12. Facebook Etc
@devisshirima6780
@devisshirima6780 2 жыл бұрын
Husikiki hakuna video mpya !!
@mchovu4761
@mchovu4761 2 жыл бұрын
Yitambulishe ni vitu mpya si comments
@mengiuswege3654
@mengiuswege3654 2 жыл бұрын
Rudi mzigoni wewe acha kufelii mwanang nafas yako Bado ipoooo
@boniphaceantony4807
@boniphaceantony4807 2 жыл бұрын
Nakukubalii kaka💪💪
@japhetjohnson8493
@japhetjohnson8493 2 жыл бұрын
unafeli sana broeee,,,hatupati mangoma yako kwa mtaa
@jamesmhina9823
@jamesmhina9823 2 жыл бұрын
Umetisha sana umekuwa mbunifuuu sana big up
@Markhomestz
@Markhomestz 2 жыл бұрын
Awesome ✨✨🔥
@kayembaquraishyvascas7480
@kayembaquraishyvascas7480 2 жыл бұрын
Wow l can also say it's one of my favourites show 😂😁😚
@guygaelgf
@guygaelgf 2 жыл бұрын
SANYA UMEUWA SANA YANI KWENY IVI NI KWELI UMETISHA 2022 UMEKUJA MOTO SANAAAAA
@ibrahimsadick6137
@ibrahimsadick6137 2 жыл бұрын
Hahaha hii ya leo nzur sii lazima kila siku superstar..Ubunifu mzuri Diamond muongezee MotownSanya mshahara
@ilhamswaleh3428
@ilhamswaleh3428 2 жыл бұрын
Sio mastar kihivyo long wanajulikana Ni comedian
@ibrahimsadick6137
@ibrahimsadick6137 2 жыл бұрын
Mikoani hatuwajui ndio tumewaona leo
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Mo sanya leo mke wangu kafurai kwasbb yeye naye ni pacha
@vionaperis4813
@vionaperis4813 Жыл бұрын
Woooi can't explain how much I love those 2 boys paka I wish nigepewa wakue wangu Please once again kavideo with the twins more love from Kenya
@rechoftrezlyamisi8567
@rechoftrezlyamisi8567 2 жыл бұрын
We needs more videos with twins ❤🥰😍
@christinemangaza6303
@christinemangaza6303 2 жыл бұрын
Exactly ❤️
@iamhaytham222
@iamhaytham222 2 жыл бұрын
Yes yes yes we needs more videos plzzz🤗
@franleytv6131
@franleytv6131 2 жыл бұрын
Unapenda Ugomvi wewe muone kuleee
@hawaabakari6005
@hawaabakari6005 2 жыл бұрын
Jamani nimetabasamu kwakila hatuaapacha raha jamani
@marantemu1377
@marantemu1377 2 жыл бұрын
@@franleytv6131 hadi rahaaa
@saleemshehabu3071
@saleemshehabu3071 2 жыл бұрын
Wow
@dianarobert3989
@dianarobert3989 2 жыл бұрын
Masikini Mwuuliza miwa alitaka kulia😂sema mwamba hana maneno mengi
@levinamushi270
@levinamushi270 2 жыл бұрын
Yaan toka nmeanza kuafatilia hiki kipindi jmn hii ya hawa matwins ni the best nmecheka sna na kuwaonea huruma haswa miss miwa jmn
@fredialfredi202
@fredialfredi202 2 жыл бұрын
Safi sana aaaaaa, umekula mb zangu ki halali
@samjuniortz2559
@samjuniortz2559 2 жыл бұрын
Mo town sanya kuma la mama ako tangu uanze kufanya show hii ninnomaa sana kaka daaah noumaaaa umetishaaa sana
@hechaaclassic
@hechaaclassic 2 жыл бұрын
Daaah Creativity😍😃📛🔥
@azyoungmussa7196
@azyoungmussa7196 2 жыл бұрын
Muuza miwa Mungu amfungulie milango ya ridhik amina ..….ana busara sana🙏🙏🙏🙏
@JackoboMorisi
@JackoboMorisi Жыл бұрын
Amen🙏
@jamessimba749
@jamessimba749 2 жыл бұрын
THE BEST SHOW EVER
@user-hj7pf2gc2l
@user-hj7pf2gc2l Жыл бұрын
Mungu msaidie nakumuinua kwenye kazi yamikono yake muuza miwa anahekima
@delimachesa4916
@delimachesa4916 2 жыл бұрын
BASI SUBIRI NIUZE NDO NIKUPE😰dah haya maneno yameniumiza sana Yani
@hijaramadhani3221
@hijaramadhani3221 2 жыл бұрын
Ni kweli
@kawangajumaa7741
@kawangajumaa7741 2 жыл бұрын
Hacha tu
@seleseleli1822
@seleseleli1822 2 жыл бұрын
Kwery yean duh meumia mnoo
@airinsumeno2490
@airinsumeno2490 2 жыл бұрын
Ila mapacha wote duniani 🙌🙌🙌🙌
@saudahassan6667
@saudahassan6667 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah
@bulletstunnerz4052
@bulletstunnerz4052 2 жыл бұрын
Nimeikubali hii noma sana
@abdallahamad855
@abdallahamad855 2 жыл бұрын
Mumetisha sana wasafi
@eddyguddah1492
@eddyguddah1492 2 жыл бұрын
Dah mzee kadata Sana'a mwanangu .. Mpaka kaamua kuchungulia kweli #karanga
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 49 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
MCHEPUKO
8:46
kicheche
Рет қаралды 1,8 МЛН
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 66 М.
BABA LEVO afichua siri NILIWAONA NANDY na BILLNASS WAKIZAGAMUANA
8:36
NATOLEWA MAHARI
9:00
Joti TV
Рет қаралды 1,1 МЛН
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 33 МЛН