No video

MACHOZI YA UCHUNGU YA MJANE MUASISI WA KANISA LA EAGT, SADAKA YA GARI YAWA CHANZO

  Рет қаралды 32,076

NEWS UPDATE MEDIA

NEWS UPDATE MEDIA

Жыл бұрын

Makamu Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania EAGT Daktari Joshua Wawa ameiasa Jamii kuendelea kuwajali Wazazi na kukithirisha Malezi kwa Wazee kama ambayo serikali inawalea kupita makambi mbalimbali.#News Update

Пікірлер: 134
@mchungajimwakasegetvkyela6125
@mchungajimwakasegetvkyela6125 Жыл бұрын
Ameeeeen,MUNGU LIBARIKI KANISA LETU ZURI EAGT
@saramss7262
@saramss7262 Жыл бұрын
MAMA mama funga kitamba kichwani nakuomba mimi ni binti YAKO mpendwaa MAMA yangu funga kichwa hili umpee MUNGU UTUKUFU
@mtesingwanyanguri3431
@mtesingwanyanguri3431 Жыл бұрын
Ahsante Mungu mwema.msaada huo haujachelewa maana kila jambo kwa Mangu hufanyika kwa majira na wakati ambao Mungu baba ameukubali.mumefanya jambo jema sana mama amefarijika.
@KundaelGeorge-tv8mz
@KundaelGeorge-tv8mz 5 ай бұрын
Jambo jema sana sanaaaaa. Mbarikiwe sana
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 Жыл бұрын
Baba Makamu wa Askofu baba Wawa na team yote ya Akofu mkuu, Mungu awabariki saana. Napenda kufunga kwa kuwaombeeni kwa Mungu.
@eliamtinda7222
@eliamtinda7222 Жыл бұрын
Jambo jema! Baraka kwenu.
@rehemageorge9506
@rehemageorge9506 Жыл бұрын
Mungu awabariki sanaaa mmemtukuza Mungu kwa kujali wa anzilishi.sifa na utukufu kwa Bwana Yesu.
@adamsonkyando682
@adamsonkyando682 Жыл бұрын
Mmefanya jambo zuri sana sana Mungu awabariki sana sana
@rashidmwakatoga7051
@rashidmwakatoga7051 Жыл бұрын
Mungu akutunze mama, pia mubarikiwe viongozi kwa kumkumbuka huyo mama
@amosibilingi4299
@amosibilingi4299 Жыл бұрын
Acheni ujinga nyinyi EAGT, Mnakula laana ya Mzee kulola Kwa kumtelekeza huyu mama, Mungu anawaona,, yetu macho,
@salamathiastz274
@salamathiastz274 Жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi wa mungu ila hakikisheni gari linakuwa na mafuta pia
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Hata wew Una wajibu wa kununua mafuta.
@mangapastortee3038
@mangapastortee3038 Жыл бұрын
Safi sana,Kwa hiki kilichofanyika
@tusiimeroy3157
@tusiimeroy3157 Жыл бұрын
Amina Amina ni jambo jema sana barikiwa sanaa
@joswamjosiabagenda4979
@joswamjosiabagenda4979 Жыл бұрын
Yesu ni mwema
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
Ulipokuwa na Nguvu ulifanya mama Yehova Anajua Glory be to Almighty God
@partsonchundwa2287
@partsonchundwa2287 Жыл бұрын
Ameen mbarikiwe sana
@jacksonsulle6673
@jacksonsulle6673 Жыл бұрын
Inatia Moyo sana ! Na wale wote wanaojiita watoto Baba Mpendwa kolola marehemu)wasiishie kuongea tu! Wajifunze kutoa ,wako wengi Wana majina makubwa ,Mungu awasaidie
@dorothswai
@dorothswai Жыл бұрын
Mungu wa Mbinguni Awabariki sana watumishi wa Mungu.
@godfreymasawe5753
@godfreymasawe5753 Жыл бұрын
MUNGU awabariki watumishi wa Mungu
@TanzaniaFisheriesGroup
@TanzaniaFisheriesGroup Жыл бұрын
Wewe kama nani eti wanamsindikiza kuzim wewe nani? Wewe ndio unaenda kuzim acha Mungu aje ahukum maana yupo atakae hukum
@edgarpius9111
@edgarpius9111 Жыл бұрын
Mungu awabariki
@shaibumbwilo9938
@shaibumbwilo9938 Жыл бұрын
Jambo hili ni jema. Mungu awakumbuke katika utumishi wenu.Amen
@josephndugai3598
@josephndugai3598 Жыл бұрын
Nimeguswa sana na tukio hili. Nimejifunza jambo kubwa sana la kuwajali wazazi na watangulizi wetu kiimani.
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 Жыл бұрын
Kulikuwa na malalamiko.mengi sana ya kumtelekeza huyu Mama. Watoto wa huyu Mama walilalamika sana muda mrefu. Nashangaa baada ya miaka yote hiyo tangu Kulola atutoke ndiyo wanamkumbuka!!! Kuna migogoro mingi ya Uongozi ktk dhehebu hilo yawezekana wameona kwamba hawana radhi ya Mama Kulola ambaye amesononeka muda mrefu kutotunzwa sasa wakaona wampe gari. Sawa. Siyo vibaya. Wamefanya vizuri na Mwenyezi Mungu atawasamehe endapo wataachana na hiyo migogoro na kupatana pia.
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Kila Jambo na wakati wake.. wakati sahihi umefika wa hili kutimizwa na ndiyo maana limetimizwa..
@aldomlowe2587
@aldomlowe2587 Жыл бұрын
Wewe ulitoa Nini kwake na nilini. Utoaji hauna kushindana. Mtu au watu wakitoa tunamshukuru Mungu kwaajiri ya utoaji. Kutoa ni moyo. Ukiona mtu katoa ujue Moyo wake ni safi. Hatutoi kwasababu ya malalamiko ya mtu bali kwasababu ya moyo ya upendo.
@estherkomba7685
@estherkomba7685 Жыл бұрын
Usihukumu ucje ukahukumiwa.
@shabanikitula645
@shabanikitula645 Жыл бұрын
Wana laana hawa sio wazima wanajali mali tena ambazo hawajazitafuta wamemtafuta huyu mama kwa aibu zao na pengine wanataka awatatulie migogoro
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Жыл бұрын
Ila tukumbuke gari ni kama mtoto na maziwa...inahitaji matunzo, mafuta nk...Mungu awabariki wote, naamini haitaishia kwenye gari tuu.🙏🙏
@gracevedel9660
@gracevedel9660 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi lkn mmechelewa sana 13 years imagine
@audaxrukonge6637
@audaxrukonge6637 Жыл бұрын
Heri kuchelewa kuliko kukosa kabisa
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Kil Jambo na wakati wake... Limetimizwa Kwa wakati ulio kusudiwa
@estherkomba7685
@estherkomba7685 Жыл бұрын
Ibrahimu alimpata isaka katika umri wa uzee wake je? alichelewa. Jifunze kutambua majira ya Mungu.
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 Жыл бұрын
Ndio wakati sahihi. Kwa Mungu kila jambo lina sababu
@ebenezermachange1073
@ebenezermachange1073 Жыл бұрын
Amen.Jambo la baraka endeleendi kuona mengine ya kumtunza zaidi na zaidi japo kwakwel mlichelewa Mungu awasamehe kwa hilo
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Kila Jambo na wakati wake... Hakuna kuchelewa wala kuwahi, limetimizwa Kwa wakati wake
@ebenezermachange1073
@ebenezermachange1073 Жыл бұрын
Ni sawa tunajua kila Jambo linawakati wake ila mmelifanya Kwa wakati mliochelewa
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 Жыл бұрын
Mungu atudamehe
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 Жыл бұрын
Ameen Mungu ni mwema
@zakiamseka9698
@zakiamseka9698 Жыл бұрын
Mambo ya kuasi yanakujaje hapa..kwani Mtu kuwa nje ya EAGT ndio kuasi?Hatimae mmekumbuka maana mlijizima data..mtunzeni huyo mama kwa sababu mume wake aliwatia moyo na kuwalinda na kuna wakati mlikuwa mnaonewa kwenye majimbo yenu mnakimbilia kwa Askofu Kulola anawadhibiti waonevu.Hakikisheni kila mwezi pia anapata fedha za mahitaji kwani inawezekana kabisa.
@prosperjohn2047
@prosperjohn2047 Жыл бұрын
Bora hata msingeisema hii, walokole tunakwama sana, yaani cku zote na wachungaji mpo mamia, mnakuja kuonyesha hiki kitu,, Mungu aingingilie hili, Mungu atuponye walokole, hatutambui, nyakati
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Wew unaetambua Nyakati uliwah fanya nin Kwa huyu Mama ambaye ni mzazi WA wapentekoste wote?
@martinahaule2683
@martinahaule2683 Жыл бұрын
Mungu wambinguni awalinde
@philipoisaya3036
@philipoisaya3036 Жыл бұрын
Mungu amibariki kwa kitendo mlicho kifanya yapo makanisa mengine haya eshim wajane kama T a g
@annijulius4953
@annijulius4953 Жыл бұрын
Amen God is good.
@gervasexavery2977
@gervasexavery2977 Жыл бұрын
Mama ASKOFU MUNGU AMESIKIA NA AMEKUONA.sasa nisikilize mama. Nisikilize.muda umekwenda majira yamekaribia NAOMBA sikiliza haya usisuke nywele bandia tafathali nakuomba nihatari ya roho yako ninakusihi sanasana Jambo hili ingawa watu Wana puuza haya wewe usipuuze sikiliza haya.safari yako iwe ya amani na furaha usije ukaikosa mbingu (ufunuo :1:13---15)
@joanbaby5953
@joanbaby5953 Жыл бұрын
Usafiri ni Usafiri lakini kweli Nissan Xtray kweli hapana
@badenbensoni7516
@badenbensoni7516 Жыл бұрын
Ni jambo jema japo mumechelewa sana
@estherkomba7685
@estherkomba7685 Жыл бұрын
Wewe uliwahi sana lini?
@marymayo6625
@marymayo6625 Жыл бұрын
Mtu hakosi kwa ajili ya mapambo,Mungu anaangalia moyo.unaweza huna mapambo kwa nje,but Kwa ndani unamachukizo mabaya,msihukumu mtu jinsi alivyo.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Mmmmh mapambo Ni ya shetani acheni ubishi
@happymvula
@happymvula Жыл бұрын
jidanganye mpendwa me ni TAG lakini nimeacha mapambo
@humphreymsengi6686
@humphreymsengi6686 Жыл бұрын
Mary, understanding ya Neno la Mungu ni tatizo sana. Mimi nilikuwa mbishi sana kwa misimamo. Ila nilikuja kuelewa baadaye mambo mengi baada ya kukubali kujifunza. Ndiomaana, watu wanasoma vyuo vya Biblia ili wawe na tafsiri sahihi ya Neno. Huyu anayezungumzia kusuka kwa sababu anajipamba inatakiwa asinyoe nywele pia.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Oho ndio hakitaingia chochote kinyonge MUNGU KUUMBA MZUNGU NA SS SI MJINGA SS TUNATAKIWA KUTOSUKA NYWELE WALA KUJICHUBUA WALA KUVAA MAWIGI MUNGU HAANGALII MOYO TU HII NI NAMUNA YA KUIFIATISHA DUNIA DHAMBI HUANZA ROHONI HUTOKA INJE KWA HALI YA DUNIA HII ILIVYO TUNAPATA WAPI UNASILI WA KUBISHA KILA KITU AAA JAMANI MBONA MOSES MWENYEWE KUNA SEHEMU ALIKATAA Watu kujipamba
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Mmmh hakuna nguvu za MUNGU kudumu KWA MTU kuwa na michanganyo unajichubua unataka NN mlokole unapaka piko nywele usuke unataka NN mlokole hivo Ni vitu vya shetani msidanganyikee
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Oiii gari gani hilo badala mumpe landcruser kilimo kwanza bado hamjafanya kitu inatakiwa awe na gar kama za kina sosi au mwizarubi
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
We nae Una matatizo yako tu... Tulia kazi ya Mungu ifanyike, huo ni mwanzo tu
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Жыл бұрын
Mnatakiwa huyo mama mhakikishe anakula vizuri na gari lisiishiwe mafuta.
@elizabethopere2784
@elizabethopere2784 Жыл бұрын
Na matumbo yenu mnajifanya mmewezaa kumbe mnajiaibisha tu kwanini msimpe bila camera 📷. Yani ninyi mnayembelea ma. Vx v8 alafu mama mnampa xtrail kweli hamna aibu kwakweli
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Mimi nauliza gari tu ? Njo huyu mama analia ? Mbona nashangaa ? Mbona mukisoma biblia watumishi wa MUNGU wengi sana hawakuwa n'a gali ao utajili sisemi utajili ni mbaya hapana ila mama hange towa machozi ju ya gari hapana
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Жыл бұрын
Mmefanya vyema japo mmechelewa
@gracehelbert5858
@gracehelbert5858 Жыл бұрын
Acheni kumpamba Huyo mama ataenda jehanam..
@ibrahimusamwel1994
@ibrahimusamwel1994 Жыл бұрын
Kwa sababu ww ni msaidizi wa mungu au usihukumu usije ukahukumiwa
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Ila mnamsindikiza mama kuzimu kwa namna mlivyo mpamba,acheni kupoteza Wana wa Mungu kwa kutofundisha ukweli
@alphadreammedia
@alphadreammedia Жыл бұрын
Una maanisha nini
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Yes hii kituwatu WENGI hawajui na ubishi UMEKUWA mkubwa tunadanganyana Sana KWA kukanyaga maandiko kusuka nywele tumekatazwa wanawake AAA kazi ipo
@menovicmushy1032
@menovicmushy1032 Жыл бұрын
mmechelewa sana,mlitakiwa kufanya siku nyingi kimya kimya
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Kila Jambo na wakati wake... Limetimizwa Kwa wakati uliokusudiwa
@hurumajosephat6333
@hurumajosephat6333 Жыл бұрын
Mmefanya Jambo jema siku nyingine mleteen V 8 hadhi yake ni kubwa Sana
@lucywilson5875
@lucywilson5875 Жыл бұрын
Mama achana na mapambo, nywele bandia , hereni, nimachukizo kwa Mungu.
@gracevedel9660
@gracevedel9660 Жыл бұрын
Yote unayofanya wewe yanampendeza Mungu au kazi yako kujudge
@lucywilson5875
@lucywilson5875 Жыл бұрын
@@gracevedel9660 Tunaelezana mambo yanayompendeza Mungu na si mabishano. Anayeweza kubadilika na abadilike na asiyeweza na asibadilike.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Ohooo haleluya Hali ya KANISA limehalibikia hapa ubishi nywele hizi walokole WENGI hatuendi mbinguni kisa KUIFIATISHA NAMUNA ya dunia hii tumekataa KUWA Kama MUNGU alivyotuumba
@happymvula
@happymvula Жыл бұрын
Mungu ampe neema ya kuacha asijekosa Mbingu sababu ya vitu vidogo,wakati ametoa maisha sababu ya YESU !
@humphreymsengi6686
@humphreymsengi6686 Жыл бұрын
Maandiko yapi ambayo Mungu anakataza watu kujipamba?
@sabastianraymond.6383
@sabastianraymond.6383 Жыл бұрын
VEMA HONGERENI SANA.
@charlesmbunda6759
@charlesmbunda6759 Жыл бұрын
EAGT MUNGU ANAWAONA.....!!!?!?!!
@rev.harunichaula6509
@rev.harunichaula6509 Жыл бұрын
Jamani mlikua wapi mda wote mmh
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Wew tulia wenye kufanya wafanye... Acha majungu
@charlesmnuo3292
@charlesmnuo3292 Жыл бұрын
Hahahaha wachungaji wote wa eagt ni madoctor ndiyo inatangulia cha mungu chamungu ndicho kinakuwa chapili
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Yaani bila gari huwezi kuhubiri? Mama usiwe na uchungu hivyo na maombi yenye uchungu bali mshukuru Mungu kwa kila Jambo. Ila angekuwepo mzee Kulola asingesubiri gari. Lakini pia mwambieni aachane na vitu vya bandia heleni na nywele bandia,vyote ni mali ya yezebeli
@elizabethopere2784
@elizabethopere2784 Жыл бұрын
Lakn si unamuona hata vile anavotembea angewezaje jaman ama unasema tu
@josephmusagasa5566
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
@@elizabethopere2784 kuhubiri siyo lazima usafiri,unaweza kuwahubiria walio jirani yako na kuwafundisha neno. Siyo walio mbali nawe ndiyo wanahitajika neno,hata nyumbani bado watu hawajashiba neno
@shabanikitula645
@shabanikitula645 Жыл бұрын
Mmegawana Mali baada ya kelele kupigwa na watu kwa aibu mmempa haka kagari nyie mmegawana Mali na makanisa hamna kitu mtaenda kujibu mbinguni
@nsimirenshokano6169
@nsimirenshokano6169 Жыл бұрын
Mumu abiye a sizuke nnywele namaragi iyo niujube mama kulla
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Ameni huyu mama umebaki KUJIPEKUA Sana KUHUSU safali ya mbinguni Sasa hayo manyele ya nn
@henrytimothy3048
@henrytimothy3048 Жыл бұрын
Xtrel sio sawa mngempa v8
@petromihambo1405
@petromihambo1405 Жыл бұрын
Tuma sadaka yako tufanikishe ununuzi wa V8
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Kwani alikuwa Hana gari?
@gracehelbert5858
@gracehelbert5858 Жыл бұрын
We mama usisuke nywele na hizo hereni usivae
@linamamoya4985
@linamamoya4985 Жыл бұрын
Mbarikiwe Sana muenende Kama baba yeti alivyokuwa bila kubadili chochote maana alikuwa mwema Sana na Yuko Paradiso
@marthaswai1185
@marthaswai1185 Жыл бұрын
Grace Hebert, pole.Kusuka na hereni, hataenda mbinguni. Wewe ndio mbinguni utaiona kwa sababu ya kuhukumu.Mtu anakosa mbingu kwa kutomwamini Yesu Kristo.
@kilistar5253
@kilistar5253 Жыл бұрын
Haikuwa na sababu ya Camera.
@marykarebeti9410
@marykarebeti9410 Жыл бұрын
Inasaidia na sisi wengine tuwajali wazazi wetu
@edwinmbwilo6128
@edwinmbwilo6128 Жыл бұрын
Mama achana na vyombo vya uzuri utaikosa mbingu. Lasta, rangi za kucha NK vya nini hivyo bibi? Kweli uikose mbingu kwa sababu ya vitu vidogo
@ambwenembukwaofficial4813
@ambwenembukwaofficial4813 Жыл бұрын
Hongereni Sana Watumishi Jambo la Baraka Sana Hilo
@geitandelwa299
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Ameni shetani hapa kakamata watu hapa wazee Kama hawa inakuwaje HIVI mmmh vitu vya shetani tunavililia KWA ubishi
@henricamikambi6147
@henricamikambi6147 Жыл бұрын
Jamani wazee tuna kazi kumbe haturuhusiwi kujipamba?! Mbona Hadi wachungaji wa kike wanajipodoa hasa wanja, makucha bandia,kope, marasta yamejaa kichwani na lipstick?! Na wake za wachungaji pia sasa hapo inakuwaje? Tena huyu mama kafanya kupambwa na wajukuu zake sidhani kama ni mawazo yake kupaka rangi kucha umri huo
@dadaz4653
@dadaz4653 Жыл бұрын
@@henricamikambi6147 karibu chaneli ya promover tv utajifunza mengi kuhusu mapambo
@neemajumanne458
@neemajumanne458 Жыл бұрын
Mungu,Awabariki, Lakini,kutowa,sadaka,kwa,mama,yetu,Na,waasisi,wetu,hadi,Muitangaze,kwenye,midya,,wachungaji,mnaferi,wapi,Au,ndio,injili,ihubiriwe,nduniani,kote,,,Mnataka,Muonekane,kwenye,vyombo,vya, habari,,maandiko,yanasemaje?wachungaji,ebu,tusaidieni,ss,wachanga
CASSIAN AFUNUA UKWELI JUU YA KANISA LA EAGT ASIKOFU MKUU MWAKIPESILE
28:34
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 10 М.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 34 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #memes
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 19 МЛН
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 43 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 29 МЛН
TOBA YA ALIYEKUA ASKOFU MKUU MSAIDIZI MCH DR  JOHN MAHENE KWA EAGT
21:47
KISA CHA KWELI!! Siri ya matajiri wa Korea hii hapa
8:46
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 174 М.
ASKOFU MKUU WA KANISA LA EAGT AANDIKA HISTORIA NYINGINE MKOANI KAGERA
3:20
Awamu hii Mbarikiwa aongea kwa hisia kali akiwa mahakamani. Sikuyataka yamenikuta
8:14
Kikosi kazi cha injili🎖
Рет қаралды 10 М.
MGOGORO WA EAGT BUGANDO KUFIKIA TAMATI..
8:36
Bishop Lazaro Ndichaye
Рет қаралды 4 М.
SUGUYE AELEZA SABABU ZA KUFUNGIWA HUDUMA
39:41
PROPHET NICOLAUS SUGUYE
Рет қаралды 45 М.
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!
00:16
Mini Katana
Рет қаралды 34 МЛН