TOBA YA ALIYEKUA ASKOFU MKUU MSAIDIZI MCH DR JOHN MAHENE KWA EAGT

  Рет қаралды 39,464

eagtmlimwawest

eagtmlimwawest

Күн бұрын

Пікірлер: 69
@ndemeeimana6633
@ndemeeimana6633 2 жыл бұрын
Ameen mtumishi wa Mungu , Mungu azidi kukupa mwisho mweemaa Asante , Kwa kitendo Cha kishujaa ulichokifanya, naamini mbingu zimeshangilia🙏🙏🙏
@sojipaul5021
@sojipaul5021 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mch mahene umefanya jambo jema sana sana sana...sasa tu kitu kimoja tena...Mungu kasikia maombi yetu.🙏
@bethaelnsumyirambobpraise7794
@bethaelnsumyirambobpraise7794 2 жыл бұрын
Mungu yupo kazini mahene Mungu akutunze Maliza uzee vzur, najua wasukuma huwa tunamalza mambo vzur hakuna haja ya kugombania mambo ya mwili, vyeo siyo ishu tunaweza shangilia ila kuna hekima ya Mungu ya kujifunza but migogoro ya ajabu ktk mambo ya ajabu na kuyaweka public siyo mambo mazur kwa ajili ya Mungu na mambo ya Mungu kuyapeleka kimwili ni tatzo sana kuna mambo mengine hata kama yanatakiwa kuwekwa ndani cyo hi mnavofanya
@yusuphmagetta7969
@yusuphmagetta7969 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi hakika Mungu nimwema sana
@imanimasasa7042
@imanimasasa7042 2 жыл бұрын
Glory and honor be to God Almighty for His abundant grace and mercy on his servants. Nimefurahi sana kusikia habari hii njema za ushindi katika ufalme wa Mungu.
@azariacosmas1338
@azariacosmas1338 2 жыл бұрын
Umefanya maamuzi yaliyo mazuri mungu akusamehe ktkt uzee wako umalize mwendo Salama!!
@hellenevarist3106
@hellenevarist3106 2 жыл бұрын
YESU AHSANTE SANA, AHSANTE MNO Watumishi wote Yesu YESU awalinde. Adui Hana nafasi mbele Tunaendelea 🔥🔥
@LucasMayunga
@LucasMayunga Ай бұрын
Ningu ya mungu,
@alfrednyamnini7352
@alfrednyamnini7352 2 жыл бұрын
Inapendeza sana mbele za Mungu hakika Mungu ni mwema.
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 2 жыл бұрын
Mzee Mahene ww ni shujaa sana. Ni watu wachache wenye kushuka na kutaka kumaliza mwendo vizuri. Hata ukiondoka leo utakuwa umemaliza mwendo vizuri
@mchungajiboscomaliga5702
@mchungajiboscomaliga5702 2 жыл бұрын
Acheni Mungu aitwe Mungu
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 2 жыл бұрын
Mungu akubariki akutende mema wewe uliyeomba msamaha mm sijui kosa lako Ila umefanya la maana sana
@peternyambo1439
@peternyambo1439 2 жыл бұрын
Naamini shetani kweli yupo kazini kwa kinachoendelea ndani ya EAGT! Maombi muhimu
@aishaabdul6971
@aishaabdul6971 2 жыл бұрын
Mchungaji wangu mchungaji John mahene muujiza wako Bado unaishi baba,
@danielkwilemba4715
@danielkwilemba4715 2 жыл бұрын
Utukufu kwa Mungu
@isackmtawa15
@isackmtawa15 2 жыл бұрын
Barikiwa saaaaaana
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 2 жыл бұрын
BABA ASKOFU MWAKIPESILE UBARIKIWE KUMPOKEA. MZEE MAHENE. NA MZEE MAHENE UBARIKIWEEEEE. KWA KUOMBA MSAMAHA NA TOBA NAMIMI NAITAKA EAGT. NATAMANI KUHAMIA HUKO
@saadamartin8866
@saadamartin8866 2 жыл бұрын
Haleluya Mungu ni mwema
@sebonikegobi6244
@sebonikegobi6244 2 жыл бұрын
Mungu ashukuriwe naomba watumishi wengine waige mfano guy wa kutubu na kurudi lakini pia wa kuwapokea watumishi wanaotubu
@eligiuselias4469
@eligiuselias4469 2 жыл бұрын
Jina la Yesu Kristo litukuzwe sana
@eliakingu6282
@eliakingu6282 Жыл бұрын
Glory to God 🙏🙏
@elikakishai9923
@elikakishai9923 2 жыл бұрын
Mungu bado anawapenda na mwingi warehema Jambo njema Mungu hapend hata moja apotee
@lugendodaniel5266
@lugendodaniel5266 2 жыл бұрын
Moses Kulola aliwapa mwanga na namna ya kumtumikia MUNGU kwa Roho na kweli , tumikeni kwa mfano wa mtangulizi wenu Moses Kulola.
@reachglobal9939
@reachglobal9939 2 жыл бұрын
Amina kwa kumsafisha MTU wa MUNGU na kusafisha kanisa
@healingclinic978
@healingclinic978 2 жыл бұрын
Ameungama Je huduma iko chini ya Nani?
@lucasbaluhya3787
@lucasbaluhya3787 2 жыл бұрын
Mungu ametenda
@christopherchisuligwe512
@christopherchisuligwe512 2 жыл бұрын
Ameni! YESU ni mwema sana
@festosalimo7863
@festosalimo7863 2 жыл бұрын
Mungu amejibu maombi
@reachglobal9939
@reachglobal9939 2 жыл бұрын
Mungu kasikia maombi
@bishopmtambo6562
@bishopmtambo6562 2 жыл бұрын
Amen
@fidelis5777
@fidelis5777 Жыл бұрын
Nijambo jema lakini ata askofu mkuu uyo mwakipesile aende akatengeze kwenye makanisa Kama Rehema temple EAGT mbeya ilemi B bado tunamuheshimu Kama mtumishi wa mungu
@bakundukizetz3880
@bakundukizetz3880 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema Sana.
@hassanimsile874
@hassanimsile874 2 жыл бұрын
Jambo la kheri
@prophetmusasimon9281
@prophetmusasimon9281 2 жыл бұрын
Haaaaaaa EAGT Moto unawamaliza ninyi kwa ninyi acheni Vita mtamalizana munapiga Vita manabii usiku na mchana sasa mutamalizana
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 8 ай бұрын
Swala la manabii wa uongo halipingwi na EAGT peke yao,bali kila aliye na injili ya kwelii atawapinga tu.
@pastorbaharia598
@pastorbaharia598 2 жыл бұрын
Nimejikuta machozi yananitoka.
@brunopeter9776
@brunopeter9776 2 жыл бұрын
Njaaa zitawapeleka kuzimu
@lugendodaniel5266
@lugendodaniel5266 2 жыл бұрын
Msamehe kabisa siyo kubaki kulipiza kisasi
@johnwilson5106
@johnwilson5106 2 жыл бұрын
Hakuna KITU hapo.Msimamo WETU UKO palepale
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 Жыл бұрын
Msimamo wenu upo??
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 11 ай бұрын
Shetani Ameyakanyaga
@barakanatus5676
@barakanatus5676 2 жыл бұрын
Kanisa litasimama
@reachglobal9939
@reachglobal9939 2 жыл бұрын
MUNGU kalipigania kanisa,pia aliye omba msamaha katumia akili,pia asamehewe
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 11 ай бұрын
Shetani amemeza wembe
@philbertcelestin7057
@philbertcelestin7057 2 жыл бұрын
EAGT hakuna kustaafu,mbona Kama Mzee wa kustaafu na Ana shida ya kutembea
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 11 ай бұрын
Shetani Amepigwa kombola
@healingclinic978
@healingclinic978 2 жыл бұрын
Mnadanganya watu alafu ninyi viongozi wakubwa Kama amekabidhi kanisa emmh tuambieni mchungaji alieshikilia kanisa Hilo anaitwa Nani ninyi msidanganye watu
@reachglobal9939
@reachglobal9939 2 жыл бұрын
Samehe na kusahau
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 2 жыл бұрын
Afadhali maana watoto wetu wapo huko
@reachglobal9939
@reachglobal9939 2 жыл бұрын
Nimeamini kukaa mbali na dhambi inakulinda
@blandinajoseph1291
@blandinajoseph1291 Жыл бұрын
Msimamo wako sio wenu
@prophetmusasimon9281
@prophetmusasimon9281 2 жыл бұрын
Eagt munavyopiga makanisani mengine ila ninyi Moto unawala ninyi kwa ninyi mutamalizana ache Vita ya kuwapiga Vita watumishi wengine mutamalizana na vyeo vyenu hivyo munavyopigania
@michaelkhalid3226
@michaelkhalid3226 2 жыл бұрын
Tunajifunza mengi sana kupitia jambo hili tunatiwa moyo sana MUNGU ni mwema sana
@mussamlowendiotunatakamdah7393
@mussamlowendiotunatakamdah7393 2 жыл бұрын
Tume tumia ghalama nyingi sanaaaa lakini hatuhesabu ghalama kama yesu alivyo jitoa Bila kuhesabu.ghalama ya mateso nakucha enzi mbinguni kwajili yetu tumekusameheeee
@monalisalebasoto2538
@monalisalebasoto2538 2 жыл бұрын
Hamna kitu apoooo
@depaolo3461
@depaolo3461 2 жыл бұрын
Unacho ww basi
@monalisalebasoto2538
@monalisalebasoto2538 2 жыл бұрын
@@depaolo3461 eeeeeh mm ninacho endeleeni kumsaliti Moses kulola bwana atawalipaa
@depaolo3461
@depaolo3461 2 жыл бұрын
@@monalisalebasoto2538 nani aliyemsaliti Moses kulola hujui lolote unakulupuka, mahene kurudi yupo sahihi na yy ndo chanzo Cha mpasuko Kwa mambo aliyotenda acha kujipendekeza ww kwanza amefanya jambo la ki Mungu kuomba msamaha Sasa endelea kushupaza shingo na kigenge chenu Cha wahuni wasiofika hata wachungaji hamsin
@monalisalebasoto2538
@monalisalebasoto2538 2 жыл бұрын
@@depaolo3461 yaani nyie na vizazi vyenu Mungu atawalipaaa tuuuh endeleeni na Roho zenu mbaya mumemtelekeza Mama kulola Mwaisabila mumemfanyia baba wa watu mnayoyajua nyie mama Moses kulola mnayomfanyia Endeleeni tuuuh Mungu atawahukumu cku inakuja endeleeni kulipana Milioni 12 kwa mwezi huku mama kulola mnajua mnachompa na roho zenu mbaya hizooo
@frankmwansile6756
@frankmwansile6756 2 жыл бұрын
@@monalisalebasoto2538 Nafikiri huna unacho jua lakini kwa faida yako unatakiwa kujua kanisa la EAGT lilianzishwa namna gani sio kama GWAJIMA, MABOYA, KAKOBE, GAMANYWA NA MWINGIRA hawa walianzisha kanisa moja baadaye wamekuwa wakifungua matawi mengine kwa lugha nyepesi hayo ni makanisa yao. Lakini EAGT sio kanisa la mtu ila ni Kuna wahasisi ambao lazima waheshimike na pia wahudumiwe na mama KULOLA ANAPEWA SH 5,000,000 kila mwezi nafikiri kwa mama hiki ni kiasi kinachotosha kabisa.
@marymremi8085
@marymremi8085 2 жыл бұрын
alifanya nn.
@PeterKamera
@PeterKamera Жыл бұрын
MUNGU ni mwema Sana kwetu Mana hata neno la MUNGU linasema mtu mmoja mwenye dhambi akitubu malaika hushangilia mbinguni
@RoseMtetetemela-jv1dh
@RoseMtetetemela-jv1dh Жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba wakati wakutubu hakuna aibu nahuo ndio ujasiri wa toba
@MarthaRichard-y3p
@MarthaRichard-y3p 8 ай бұрын
Amen
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 11 ай бұрын
Shetani ameyatimba
Uoga ni adui wa Imani, ni uadui na Mungu || Brown Mwakipesile
27:30
eagtmlimwawest
Рет қаралды 6 М.
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 51 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 7 МЛН
CASSIAN AFUNUA UKWELI JUU YA KANISA LA EAGT ASIKOFU MKUU MWAKIPESILE
28:34
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 12 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 100 М.
ASKOFU MKUU WA EAGT REV. B.MWAKIPESILE AZINDUA OFISI ZA EAGT
51:00
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 11 М.
Askofu Asumwisye Mwaisabila Amvaa Askofu Mwaipesile Wa EAGT
14:30
UKWELI KUHUSU ASKOFU MWAKIPESILE  WA EAGT  CASSIAN AFAFANUWA.
6:54
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 2,3 М.