Ameen mtumishi wa Mungu , Mungu azidi kukupa mwisho mweemaa Asante , Kwa kitendo Cha kishujaa ulichokifanya, naamini mbingu zimeshangilia🙏🙏🙏
@sojipaul50212 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mch mahene umefanya jambo jema sana sana sana...sasa tu kitu kimoja tena...Mungu kasikia maombi yetu.🙏
@bethaelnsumyirambobpraise77942 жыл бұрын
Mungu yupo kazini mahene Mungu akutunze Maliza uzee vzur, najua wasukuma huwa tunamalza mambo vzur hakuna haja ya kugombania mambo ya mwili, vyeo siyo ishu tunaweza shangilia ila kuna hekima ya Mungu ya kujifunza but migogoro ya ajabu ktk mambo ya ajabu na kuyaweka public siyo mambo mazur kwa ajili ya Mungu na mambo ya Mungu kuyapeleka kimwili ni tatzo sana kuna mambo mengine hata kama yanatakiwa kuwekwa ndani cyo hi mnavofanya
@yusuphmagetta79692 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi hakika Mungu nimwema sana
@imanimasasa70422 жыл бұрын
Glory and honor be to God Almighty for His abundant grace and mercy on his servants. Nimefurahi sana kusikia habari hii njema za ushindi katika ufalme wa Mungu.
YESU AHSANTE SANA, AHSANTE MNO Watumishi wote Yesu YESU awalinde. Adui Hana nafasi mbele Tunaendelea 🔥🔥
@LucasMayungaАй бұрын
Ningu ya mungu,
@alfrednyamnini73522 жыл бұрын
Inapendeza sana mbele za Mungu hakika Mungu ni mwema.
@elishakayagwa93712 жыл бұрын
Mzee Mahene ww ni shujaa sana. Ni watu wachache wenye kushuka na kutaka kumaliza mwendo vizuri. Hata ukiondoka leo utakuwa umemaliza mwendo vizuri
@mchungajiboscomaliga57022 жыл бұрын
Acheni Mungu aitwe Mungu
@yusuphchankwa47592 жыл бұрын
Mungu akubariki akutende mema wewe uliyeomba msamaha mm sijui kosa lako Ila umefanya la maana sana
@peternyambo14392 жыл бұрын
Naamini shetani kweli yupo kazini kwa kinachoendelea ndani ya EAGT! Maombi muhimu
@aishaabdul69712 жыл бұрын
Mchungaji wangu mchungaji John mahene muujiza wako Bado unaishi baba,
@danielkwilemba47152 жыл бұрын
Utukufu kwa Mungu
@isackmtawa152 жыл бұрын
Barikiwa saaaaaana
@benjaminlijongwa37152 жыл бұрын
BABA ASKOFU MWAKIPESILE UBARIKIWE KUMPOKEA. MZEE MAHENE. NA MZEE MAHENE UBARIKIWEEEEE. KWA KUOMBA MSAMAHA NA TOBA NAMIMI NAITAKA EAGT. NATAMANI KUHAMIA HUKO
@saadamartin88662 жыл бұрын
Haleluya Mungu ni mwema
@sebonikegobi62442 жыл бұрын
Mungu ashukuriwe naomba watumishi wengine waige mfano guy wa kutubu na kurudi lakini pia wa kuwapokea watumishi wanaotubu
@eligiuselias44692 жыл бұрын
Jina la Yesu Kristo litukuzwe sana
@eliakingu6282 Жыл бұрын
Glory to God 🙏🙏
@elikakishai99232 жыл бұрын
Mungu bado anawapenda na mwingi warehema Jambo njema Mungu hapend hata moja apotee
@lugendodaniel52662 жыл бұрын
Moses Kulola aliwapa mwanga na namna ya kumtumikia MUNGU kwa Roho na kweli , tumikeni kwa mfano wa mtangulizi wenu Moses Kulola.
@reachglobal99392 жыл бұрын
Amina kwa kumsafisha MTU wa MUNGU na kusafisha kanisa
@healingclinic9782 жыл бұрын
Ameungama Je huduma iko chini ya Nani?
@lucasbaluhya37872 жыл бұрын
Mungu ametenda
@christopherchisuligwe5122 жыл бұрын
Ameni! YESU ni mwema sana
@festosalimo78632 жыл бұрын
Mungu amejibu maombi
@reachglobal99392 жыл бұрын
Mungu kasikia maombi
@bishopmtambo65622 жыл бұрын
Amen
@fidelis5777 Жыл бұрын
Nijambo jema lakini ata askofu mkuu uyo mwakipesile aende akatengeze kwenye makanisa Kama Rehema temple EAGT mbeya ilemi B bado tunamuheshimu Kama mtumishi wa mungu
@bakundukizetz38802 жыл бұрын
Mungu ni mwema Sana.
@hassanimsile8742 жыл бұрын
Jambo la kheri
@prophetmusasimon92812 жыл бұрын
Haaaaaaa EAGT Moto unawamaliza ninyi kwa ninyi acheni Vita mtamalizana munapiga Vita manabii usiku na mchana sasa mutamalizana
@odilomwemeziernest6468 ай бұрын
Swala la manabii wa uongo halipingwi na EAGT peke yao,bali kila aliye na injili ya kwelii atawapinga tu.
@pastorbaharia5982 жыл бұрын
Nimejikuta machozi yananitoka.
@brunopeter97762 жыл бұрын
Njaaa zitawapeleka kuzimu
@lugendodaniel52662 жыл бұрын
Msamehe kabisa siyo kubaki kulipiza kisasi
@johnwilson51062 жыл бұрын
Hakuna KITU hapo.Msimamo WETU UKO palepale
@blandinajoseph1291 Жыл бұрын
Msimamo wenu upo??
@mtakatifubony552511 ай бұрын
Shetani Ameyakanyaga
@barakanatus56762 жыл бұрын
Kanisa litasimama
@reachglobal99392 жыл бұрын
MUNGU kalipigania kanisa,pia aliye omba msamaha katumia akili,pia asamehewe
@mtakatifubony552511 ай бұрын
Shetani amemeza wembe
@philbertcelestin70572 жыл бұрын
EAGT hakuna kustaafu,mbona Kama Mzee wa kustaafu na Ana shida ya kutembea
@mtakatifubony552511 ай бұрын
Shetani Amepigwa kombola
@healingclinic9782 жыл бұрын
Mnadanganya watu alafu ninyi viongozi wakubwa Kama amekabidhi kanisa emmh tuambieni mchungaji alieshikilia kanisa Hilo anaitwa Nani ninyi msidanganye watu
@reachglobal99392 жыл бұрын
Samehe na kusahau
@venitarugemalila92902 жыл бұрын
Afadhali maana watoto wetu wapo huko
@reachglobal99392 жыл бұрын
Nimeamini kukaa mbali na dhambi inakulinda
@blandinajoseph1291 Жыл бұрын
Msimamo wako sio wenu
@prophetmusasimon92812 жыл бұрын
Eagt munavyopiga makanisani mengine ila ninyi Moto unawala ninyi kwa ninyi mutamalizana ache Vita ya kuwapiga Vita watumishi wengine mutamalizana na vyeo vyenu hivyo munavyopigania
@michaelkhalid32262 жыл бұрын
Tunajifunza mengi sana kupitia jambo hili tunatiwa moyo sana MUNGU ni mwema sana
@mussamlowendiotunatakamdah73932 жыл бұрын
Tume tumia ghalama nyingi sanaaaa lakini hatuhesabu ghalama kama yesu alivyo jitoa Bila kuhesabu.ghalama ya mateso nakucha enzi mbinguni kwajili yetu tumekusameheeee
@monalisalebasoto25382 жыл бұрын
Hamna kitu apoooo
@depaolo34612 жыл бұрын
Unacho ww basi
@monalisalebasoto25382 жыл бұрын
@@depaolo3461 eeeeeh mm ninacho endeleeni kumsaliti Moses kulola bwana atawalipaa
@depaolo34612 жыл бұрын
@@monalisalebasoto2538 nani aliyemsaliti Moses kulola hujui lolote unakulupuka, mahene kurudi yupo sahihi na yy ndo chanzo Cha mpasuko Kwa mambo aliyotenda acha kujipendekeza ww kwanza amefanya jambo la ki Mungu kuomba msamaha Sasa endelea kushupaza shingo na kigenge chenu Cha wahuni wasiofika hata wachungaji hamsin
@monalisalebasoto25382 жыл бұрын
@@depaolo3461 yaani nyie na vizazi vyenu Mungu atawalipaaa tuuuh endeleeni na Roho zenu mbaya mumemtelekeza Mama kulola Mwaisabila mumemfanyia baba wa watu mnayoyajua nyie mama Moses kulola mnayomfanyia Endeleeni tuuuh Mungu atawahukumu cku inakuja endeleeni kulipana Milioni 12 kwa mwezi huku mama kulola mnajua mnachompa na roho zenu mbaya hizooo
@frankmwansile67562 жыл бұрын
@@monalisalebasoto2538 Nafikiri huna unacho jua lakini kwa faida yako unatakiwa kujua kanisa la EAGT lilianzishwa namna gani sio kama GWAJIMA, MABOYA, KAKOBE, GAMANYWA NA MWINGIRA hawa walianzisha kanisa moja baadaye wamekuwa wakifungua matawi mengine kwa lugha nyepesi hayo ni makanisa yao. Lakini EAGT sio kanisa la mtu ila ni Kuna wahasisi ambao lazima waheshimike na pia wahudumiwe na mama KULOLA ANAPEWA SH 5,000,000 kila mwezi nafikiri kwa mama hiki ni kiasi kinachotosha kabisa.
@marymremi80852 жыл бұрын
alifanya nn.
@PeterKamera Жыл бұрын
MUNGU ni mwema Sana kwetu Mana hata neno la MUNGU linasema mtu mmoja mwenye dhambi akitubu malaika hushangilia mbinguni
@RoseMtetetemela-jv1dh Жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba wakati wakutubu hakuna aibu nahuo ndio ujasiri wa toba