Рет қаралды 3,010
Ni miaka 21 sasa Tanzania inahadhimisha kifo cha baba wa Taifa. Mwalimu alikuwa ni mtu wa aina yake aliyeamini kwenye falsafa ya kujitemea kama Taifa.
Aliweka mikakati mingi na Sera kwenye sekta mbali mbali za kiuchumi ikiwa ni pamoja na viwanda. Leo #MadeinTanzania tupo alive #CloudsTv saa 0230usiku tukiangazia mambo mtambuka aliyoyafanya mwalimu Nyerere kwa Taifa hususani kwenye Sekta ya viwanda.
Sisi tumeshawasha mitambo kwa ajili yako, kaa tayari kwenye Luninga yako na endelea kutufuatilia kupitia
#KumbukumbuYaNyerere
#NyererenaViwanda
#MadeinTanzania