VILLAZA ''Sehemu ya Kwanza''

  Рет қаралды 163,679

Madebe Lidai

Madebe Lidai

Күн бұрын

#MADEBE_LIDAI #NABIIMSWAHILI
HII NI FILAMU INAYOUSIANA NA MASUALA YA KUKEMEA WIZI PAMOJA NA TAMAA YA MALI KUPITIA KITEGA UCHUMI CHA KUMUOZA MTOTO WA KIKE

Пікірлер: 240
@zou7470
@zou7470 3 жыл бұрын
Tujuwane tulokuwa tume miss madebe🤗🤗🤗
@omanbarka2053
@omanbarka2053 3 жыл бұрын
Leo wakwanza naiangalia live nikiwa omani ahsante madebe nikiangaliya move zako najifunza
@barakamtabwigwa1726
@barakamtabwigwa1726 3 жыл бұрын
Unafanyeje huko kaka
@nooragana9668
@nooragana9668 3 жыл бұрын
Safi sana madebe Hongera yko tunasubir mwendelzo tafadhali uko sawa Nakkubali
@jumakandy2075
@jumakandy2075 2 жыл бұрын
Classic movie madebe nakukubali bro big up kazi nzuri
@mashauriwapwani
@mashauriwapwani 3 жыл бұрын
Villaza..... Wakenya pitieni huku
@rahmamwalim9088
@rahmamwalim9088 3 жыл бұрын
Kumbe upo??
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 3 жыл бұрын
Tupo sana
@safarisilas4999
@safarisilas4999 3 жыл бұрын
VIP kiongozi
@abdallahshaibu8860
@abdallahshaibu8860 3 жыл бұрын
Unatisha madebe
@aminaissa8581
@aminaissa8581 3 жыл бұрын
Nakukubali sana madebe aukoseagi kazi nzuli
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
NIPENI likes ZA MTAALAMU WA SANAA TZ NA AFRICA MASHARIK
@aminasuleiman6867
@aminasuleiman6867 3 жыл бұрын
Hongereni nyote no one like u madebe big up mwenye hajaangalia yuapitwa
@akimanasalim9063
@akimanasalim9063 3 жыл бұрын
Ongera saana Kaka kazi nzuri saana Ila sio uchelewe kutupatia sehem inayo fwata🙏
@rockxiadacaptain6559
@rockxiadacaptain6559 3 жыл бұрын
Madebe movie zako ni kali sana Ila cku ukitoa movie na Gabo itapendeza mnoooo
@abdulhemedabdulhemed7110
@abdulhemedabdulhemed7110 3 жыл бұрын
Ukisikia kustakiwa ndio huku madebe haki usipo tupa hii part 2 na matusi tunakushitaki bila uoga wangapi wanasopot hilo wanipe like hapo
@musaathumani1545
@musaathumani1545 3 жыл бұрын
Hiii move ya mdaaa sana tupee mwendelezoo wake
@abdulhemedabdulhemed7110
@abdulhemedabdulhemed7110 3 жыл бұрын
Mm kazi yangu kuu kuangalia move za madebe nauhakika hua anatupa vile tunavyo vitaka ila hua yuatuumiza hatupi mpaka mwisho wangai wanamdai madebe wanipe like ....+254
@mukaplatnumz2313
@mukaplatnumz2313 3 жыл бұрын
Daah! Hii muvie inamaana sana haswa kwa watu wenye kusaidiana, pole madebe kwakukabiliana namzigo usiyo kuhusu. Tusubiri part 2😢
@ladyyes4394
@ladyyes4394 3 жыл бұрын
Mbona tayari. Part 2
@kanaanimpya2340
@kanaanimpya2340 3 жыл бұрын
Unakuja juu sana kaka lakini wakati mwingine ni muhimu pia kuwasikiliza mashabiki wako wanataka nini. Filamu zako nzuri sana na zinafaa kutazamwa na kila rika lakini pia zinafundisha wakubwa kwa wadogo tatizo kubwa ninaloliona na wanalolipigia kelele watu wengi ni mwendelezo wa movie. Hakuna sababu ya kutunga story nyingin kama ya kwanza haijaisha ni bora upige mwanzo mwisho then uanzishe nyingine, hivi vipandevipande vinaboa sometime manake mpk utoe mwendelezo wake tayari mtu ashasahau story yenyew ilianzia wapi na aliishia wapi kwahiyo inakuwa inatoa utamu wa movie.
@janethkomba4485
@janethkomba4485 2 жыл бұрын
🙏
@emmanuelpaul7646
@emmanuelpaul7646 Жыл бұрын
fact
@mariamahmad1716
@mariamahmad1716 3 жыл бұрын
Madebe allahubarik wajua kutufurahisha
@egoistdelikertz6607
@egoistdelikertz6607 3 жыл бұрын
Hongera kwa kaz nzuri unayo ifanya kaka
@xyz0156
@xyz0156 3 жыл бұрын
Madebe hubaatishi hongera sana... Usitucheleweshee muendelezo
@halifahemedi7776
@halifahemedi7776 3 жыл бұрын
Kama umemuona mwizi amevaa kanzu..gonga like
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Movie Kali Sana MY KING BROTHER .@JOHN MARCELLO 🎬📧
@cetus7885
@cetus7885 3 жыл бұрын
Madebe dah uko vizuri sana aisee big up sana kaka
@fatumasalumu9086
@fatumasalumu9086 3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@ladyyes4394
@ladyyes4394 3 жыл бұрын
Japo nimechelewa naomba like za kichelewa njamani....huku tukisubiri matusi sehemu 6.sijuwi hitakuja lini😷
@jamilaingu7922
@jamilaingu7922 3 жыл бұрын
Mindio nimechelewa
@ladyyes4394
@ladyyes4394 3 жыл бұрын
Karibu bado mapema
@jamilaingu7922
@jamilaingu7922 3 жыл бұрын
@@ladyyes4394 huwa napenda kiona live
@nancysanga4653
@nancysanga4653 3 жыл бұрын
Hahaha 😁😁😁😁tayar imeshatoka sehemu ya6
@nancysanga4653
@nancysanga4653 3 жыл бұрын
Ujaiona umechelewa wap
@r.kassimtoutautre3432
@r.kassimtoutautre3432 3 жыл бұрын
Kitu bomba 🇧🇮Who lives 🇹🇷
@bwankakaseif5500
@bwankakaseif5500 3 жыл бұрын
upo uturuki sehemu gani kwani ht mm nipo instabul
@r.kassimtoutautre3432
@r.kassimtoutautre3432 3 жыл бұрын
@@bwankakaseif5500 piyalepaşa W kwan uko Sehemu gani ??
@sirnyongesa7455
@sirnyongesa7455 3 жыл бұрын
Daah, hii nayo kali mkuu, imenisisimua hisia sana. Huyu jamaa wa kipekee kwenye sanaa. Mola azidi kukurehemu Bw. Madebe.
@chamastorch
@chamastorch 3 жыл бұрын
Anazingua huyu jamaaakwa mwendelezo
@sirnyongesa7455
@sirnyongesa7455 3 жыл бұрын
@@chamastorch tena sana, wa kipekee tena sana
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 3 жыл бұрын
Ebana hiii ni noma kweli bint afie chumbani kwako allah atuepushe na hiii kitu hapo ni jela tu
@asmatabdallah1368
@asmatabdallah1368 3 жыл бұрын
Na kukubali sana jembe langu
@othmanraphael7517
@othmanraphael7517 3 жыл бұрын
Love you madebe
@allymazige985
@allymazige985 3 жыл бұрын
Amazing dialogue, Madebe una deserve Crown
@salehalmujaini7633
@salehalmujaini7633 3 жыл бұрын
Wakusoma comment tujuane
@ladyyes4394
@ladyyes4394 3 жыл бұрын
Tuko wengi 😂
@johnfagens293
@johnfagens293 3 жыл бұрын
Nipo
@jamilaingu7922
@jamilaingu7922 3 жыл бұрын
Ndio mimi hapa
@rahmaomar9646
@rahmaomar9646 3 жыл бұрын
✌✌✌
@safiasalat3877
@safiasalat3877 3 жыл бұрын
Hhhh
@vicentpaul5814
@vicentpaul5814 3 жыл бұрын
Nakubali hii Kali kinoma
@mashawarioba5388
@mashawarioba5388 3 жыл бұрын
Upo vizuri kaka napenda kazi yako......🙏🙏🙏
@mikyfosikama8752
@mikyfosikama8752 3 жыл бұрын
Move nzuri sana nangalia nikiwa saudi.arabia
@Atb300
@Atb300 3 жыл бұрын
Niliwahi kuangalia bongo movie story IPO ivi ivi😀😀wabongo bahn cjui tunafeli wapi Ila nakukubali bro 👍
@salhatphidelis8884
@salhatphidelis8884 3 жыл бұрын
Kweli tena alikuwepo na riyama ally ndio Alikuwa dada mtu wa marehemu
@omarikingo617
@omarikingo617 3 жыл бұрын
Tatizo lako lipo kwenye mwendelezo unachelewa sana kutuma mpaka movie tunasahau tuliiishia wap Tuma kitu weka kitu hapo hapo
@danielmkama24
@danielmkama24 3 жыл бұрын
Ndiomaana zinauzwa kaka! Kwaiyo ni vizur ukamchangia
@travellerjohn1169
@travellerjohn1169 3 жыл бұрын
Big up sana kwa movie nzuri kaka madebe like zake please wazee💯💯💯💯
@aziboyleonard434
@aziboyleonard434 3 жыл бұрын
Big up Sana hii ni more than pain Isikie tyuu usiombe ikakukuta mzeee
@mariammussa4593
@mariammussa4593 3 жыл бұрын
Nzuriii xana ❤️❤️❤️😘😘
@kilungule
@kilungule 3 жыл бұрын
Bwana harakisha nyingine mkuu mambo ni fire
@safarisilas4999
@safarisilas4999 3 жыл бұрын
Madevu kutoka Mombasani hii film iko majuu
@hamisirajabu8872
@hamisirajabu8872 3 жыл бұрын
Hii song iliyoimbwa humu ndani nzuri sanaa
@gracesikalion9486
@gracesikalion9486 3 жыл бұрын
duh pole sana madebe
@pendomacha3355
@pendomacha3355 3 жыл бұрын
Mwenelezo madebe ufanye mapema bro ni nzuri inafunza mie misaad kumpea mtu no
@Thebking
@Thebking 3 жыл бұрын
series nzuri saaana.
@PH10735
@PH10735 2 жыл бұрын
Of course madebe unajua brother 🙏🙏
@supaboytz2729
@supaboytz2729 3 жыл бұрын
Daaahh Yaan Huwaga Nawaza Sana Unapoandaa Filamu Zako Unatumia Muda Gani Kukamilisha..!! Maana Unatumia Akili Nyingi Sana..
@kaliuaonlinetv5166
@kaliuaonlinetv5166 3 жыл бұрын
Nice movie
@stephenstephen5586
@stephenstephen5586 3 жыл бұрын
Madebe una feli sana malizaga movie
@khaliddesire0084
@khaliddesire0084 3 жыл бұрын
Sure Madebe👍
@aminasaid7657
@aminasaid7657 3 жыл бұрын
Hyo nyimbo ni moto
@georgethomy1212
@georgethomy1212 3 жыл бұрын
Keep it up broe,
@samsonbaruani865
@samsonbaruani865 2 жыл бұрын
is good god bless you
@zahariasongolo9362
@zahariasongolo9362 2 жыл бұрын
Bonge moja la idea mzee baba
@rahmaomar9646
@rahmaomar9646 3 жыл бұрын
nimeipenda sana tena sana ila sjui mwisho itakuaje
@Mwl_Swalo
@Mwl_Swalo 3 жыл бұрын
Mkuu tunaomba utukumbukemo na sisi wafuasi wa series ya Matusi
@ashiraally527
@ashiraally527 3 жыл бұрын
Ile mbona ishaisha
@Mwl_Swalo
@Mwl_Swalo 3 жыл бұрын
@@ashiraally527 imeishia episode ya ngapi
@aishamsangi983
@aishamsangi983 3 жыл бұрын
@@Mwl_Swalo ya 5
@Mwl_Swalo
@Mwl_Swalo 3 жыл бұрын
Anhaa sawa sikujua
@kasigwaiddy9045
@kasigwaiddy9045 3 жыл бұрын
Nice bro
@yasminali6195
@yasminali6195 3 жыл бұрын
Nakubali movies za bwana madebe kwa kweli elimu tosha
@suleimanjembe3493
@suleimanjembe3493 2 жыл бұрын
Wonderful 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mtitagirloriginal6890
@mtitagirloriginal6890 3 жыл бұрын
Hii nyumba aliyopanga lidai pambe🤗🤗 ipo changalamu
@bertinaafonsorapaz8345
@bertinaafonsorapaz8345 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂ila waaatuuu
@resas_nation210
@resas_nation210 3 жыл бұрын
10:45 naombeni munisaidie jina la huyo msanii n nyimbo
@jamilaingu7922
@jamilaingu7922 3 жыл бұрын
Villaza yaelekea kuwa moto ,lkn tamthilia za madebe zaishia namba 5 mlijue ilo wadau ,anayenikubal naomba like yake 👍
@ramadhanimrina3968
@ramadhanimrina3968 3 жыл бұрын
Upo vizur ww mkali madebe
@abubakarsalim1505
@abubakarsalim1505 3 жыл бұрын
Binge la jicho mzee madebe
@asmatabdallah1368
@asmatabdallah1368 3 жыл бұрын
Kama ume muona mwizi ame vaa kanzu gonga like 🤣🤣🤣
@rahmaomar9646
@rahmaomar9646 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@prosperkonokono5716
@prosperkonokono5716 3 жыл бұрын
Madebe unnaanza kukwama. Mwizi anavaa kanzu
@hajielmi7518
@hajielmi7518 3 жыл бұрын
Matusi imefikia wapi
@twalhamkanya8116
@twalhamkanya8116 3 жыл бұрын
Imeshaisha kitambo
@ramadhanimrina3968
@ramadhanimrina3968 3 жыл бұрын
Ndo kwanza ipo bandarini
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@ramadhanimrina3968 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@magrethmaganga1983
@magrethmaganga1983 3 жыл бұрын
Bro madebe upo vzr xn bc tunaomba muendelezo wa matusi jmn
@issamchocho4623
@issamchocho4623 3 жыл бұрын
Good work
@amlanniamimuafricatz5745
@amlanniamimuafricatz5745 3 жыл бұрын
kwastairi hiii bongo movie yakwako2 bira kupingwa kaka
@abokeasukulu7608
@abokeasukulu7608 3 жыл бұрын
😯😝😝😀😀😀😀sasa hapo itakuwa aje jamani naona bwana madebe macho kodo nyuma kwa nyuma😀😀😀 jamani niatari sana mazee ilakwautaratibu bado tunasubiria seem ya pili 2 sawasawa
@salimsaleh6423
@salimsaleh6423 3 жыл бұрын
P tunasubir muendelez
@azwedymursal9397
@azwedymursal9397 3 жыл бұрын
Kali
@congofizi25K
@congofizi25K 3 жыл бұрын
Nice
@lennyally5526
@lennyally5526 3 жыл бұрын
Daah...!
@mariamshaban7555
@mariamshaban7555 2 жыл бұрын
Mwendelezo napataje
@shabanisaidi6294
@shabanisaidi6294 3 жыл бұрын
Wimbo unaitwaje jaman
@nderindichu8754
@nderindichu8754 3 жыл бұрын
Wa kwanza kutoka kenya +254
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 3 жыл бұрын
Madebe punguzeni muzic nimukubwa sana jamani 👂🙏
@othmanshaib9089
@othmanshaib9089 3 жыл бұрын
Mzee baba madebe lidai wanao haututendei haki matusi wapi sasa imeishia
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Kitambo Sana ndugu!!
@anitanahimana2115
@anitanahimana2115 3 жыл бұрын
Nzuri sana kabisa
@shidasamson1435
@shidasamson1435 2 жыл бұрын
Noma
@ozagreatestvideoever943
@ozagreatestvideoever943 3 жыл бұрын
Filamu Nzuri Ila kosa la kwanza nililoliona ni huyo dada wakati ameingia ndani anakuelezea hali ya nje kosa alilofanya ni kumuangalia camera Man
@geewara6385
@geewara6385 3 жыл бұрын
Oyaaaa hili ni bonge moja LA msala 😂😂😂😂
@boscoyagga5199
@boscoyagga5199 3 жыл бұрын
Madebe ww number 1 Tanzania
@ramadhanimrina3968
@ramadhanimrina3968 3 жыл бұрын
Movie kali kinma
@asumaniialii
@asumaniialii 8 ай бұрын
fidodido ni bonge la komediani anajua sana
@Collinscj
@Collinscj 3 жыл бұрын
Madebe Lidai mtaalamu wa sanaa Afrika.
@charlssimon228
@charlssimon228 3 жыл бұрын
Iko pow
@octavianngobadike4804
@octavianngobadike4804 3 жыл бұрын
muvie hii mecheza kwel yan
@munirachangawa2776
@munirachangawa2776 3 жыл бұрын
Wah hii movie Kali.ndio inaanza lkn motooo
@emmanueldrawerhq7526
@emmanueldrawerhq7526 3 жыл бұрын
Hussein Machozi uko wapi huku mambo yamejirudia. Njoo utupe mbinu ulifanya vipi kile kipindi asee!
@prosperkonokono5716
@prosperkonokono5716 3 жыл бұрын
Umetisha
@ghostyoooh327
@ghostyoooh327 3 жыл бұрын
We noma
@3kings63
@3kings63 3 жыл бұрын
Nime penda hii cheni Dada wa marehemu ni danga tena jirani+dereva baba wa mtoto Kaka wa mwalifu ni anaye dai
@brain_ujazo
@brain_ujazo 3 жыл бұрын
Nomaa sana hapooo
@ernestbigirindavyi3016
@ernestbigirindavyi3016 3 жыл бұрын
Snema ni nzur na ina mafunzo sem tu imeisha vibaya
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 3 жыл бұрын
Madebe kiboko unalala ndani na MTU anakufia hiyo kesi utaipeleka wapi ndugu yangu sijui wacha🏃🏃 nikufuatilie Zaidi
@mussahsaidy37
@mussahsaidy37 3 жыл бұрын
Madebe wewe ni fundi sana, kazi nzur
@Bk-jd1im
@Bk-jd1im 3 жыл бұрын
Nmeilewa vilaza
@faithshamala3334
@faithshamala3334 3 жыл бұрын
Iyo wimbo naeza pataje
@sultansoule2571
@sultansoule2571 3 жыл бұрын
Matusi imeishia njiyani vipi?
@fatumaomar2542
@fatumaomar2542 3 жыл бұрын
Matusi umekatisha umetuletea hii nayo sijui vipi km tutaletewa mpk iiishe mwisho au ni ayo ayo.....
@brain_ujazo
@brain_ujazo 3 жыл бұрын
Matusi IPO hadi namba 5 imeisha vizuri tu
@radi902
@radi902 3 жыл бұрын
Hyo wimbo inaimba background ni ya Nani jamani
@ambrocmosses9380
@ambrocmosses9380 3 жыл бұрын
Iko vizur mtaalam
VILLAZA ''Sehemu ya Pili''
23:10
Madebe Lidai
Рет қаралды 123 М.
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 37 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 38 МЛН
Modus males sekolah
00:14
fitrop
Рет қаралды 21 МЛН
KWETU Sehemu ya Pili
20:56
Madebe Lidai
Рет қаралды 136 М.
TISHIO; NGOMA NAGWA EP.1 NI MOVIE NZULI YENYE KUELIMISHA NA KUFURAHISHA.
22:05
NGONDO Sehemu ya Kwanza
19:51
Madebe Lidai
Рет қаралды 278 М.
MAHARI Sehemu ya Kwanza ( 1 )
16:23
Madebe Lidai
Рет қаралды 122 М.
UCHUNGU 001
27:21
MPAYU FILM
Рет қаралды 67 М.
DALALI
7:25
Joti TV
Рет қаралды 470 М.
MKWAJU Sehemu ya kwanza
23:39
Madebe Lidai
Рет қаралды 319 М.
哈莉奎因怎么变骷髅了#小丑 #shorts
00:19
好人小丑
Рет қаралды 37 МЛН