MADEREVA WA TRENI WAIVA KUIENDESHA TRENI YA UMEME

  Рет қаралды 49,027

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 102
@themba.theunapologetically5966
@themba.theunapologetically5966 Жыл бұрын
This reminds me of magufuli. I so wish he was still alive to see. Long live the spirit of magufuli✊✊
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 Жыл бұрын
Amen 🙏 Mc him too so much. Lala mahala pema baba Magufuli
@mashashpastory7467
@mashashpastory7467 Жыл бұрын
R.I.P MAGUFULI,Asante kwa ujasiri wa kuanzisha mambo makubwa kama haya kupitia Kodi za wananchi sasa tunaenda kifaidi maono yako, Asante mh raisi SAMIA kwa kuendeleza usimamizi wa miradi hii ya kimkakati, thank you.
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Mngeajiri vijana wanaume na wanawake na kuachana na wazee, mkiwekeza kwenye vijana itakuwa na faida sana kwa taifa!
@GilbertNhigula
@GilbertNhigula Жыл бұрын
Mambo Safi Sana !,.
@petermarwa7818
@petermarwa7818 Жыл бұрын
JPM huko uliko mambo yako uliacha hayajakwama pokea maua yako
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Жыл бұрын
WAPIGA deal wamerudi kwa spidi ya kimbunga
@abroadconnectededucationlt5435
@abroadconnectededucationlt5435 Жыл бұрын
all respect to MAGU
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 Жыл бұрын
Dah huyo jamaa wa mwisho kaua 😂
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 Жыл бұрын
HAINA SPEED.KLMETA 160 KWA SAA 1. IMESHINDWA UWEZO NA V8.
@FanuelAloyce
@FanuelAloyce Жыл бұрын
As normal Kazi za connection. Wazee wenye watu wao in government offices ndo wanapewa kazi wakati vijana wengi wako mtaani hawana ajira. Angalia wanaotoa mafunzo na wanaopewa mafunzo. Two different generations.We make one step ahead then three steps back. We will never go through. Mtakuja kuona.
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 Жыл бұрын
Hili toleo la treni la mwaka gani model gani. Land cruiser 80,100,200,300
@shabanichillo6879
@shabanichillo6879 Жыл бұрын
Tufahamu kwamba hao wanaoonekana hapo ni viongozi wabobezi walioaminiwa kwa zoezi la majaribio na mafunzo kwa ajili ya kuangalia uwezo na kubaini kasoro na changamoto kama zitakuwepo zirekebishwe yaani commission team upande wa mwekezaji na commissioning staffs upande huu ikijumuisha madereva wazoefu na waalimu, wahandisi mitambo na njia, mafundi, wahandisi toka serikalini nk hukutana pamoja katika kutoa na au kupata mafunzo na zoezi litaendelea kwa vijana wote walioandaliwa kwa kazi hiyo na kisha kukabidhiwa jukumu.
@Robert-p7c1k
@Robert-p7c1k Жыл бұрын
Vichwa vya kuchomgoka viko wapi?😂😂😂
@shakaurembo477
@shakaurembo477 Жыл бұрын
Umeme wenyewe usije ukatukatia njian 😅
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 Жыл бұрын
Yeah! Big up TRC.Big up the URT.
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 Жыл бұрын
Gari sio tren
@Papaa_Hillary_Mrema
@Papaa_Hillary_Mrema Жыл бұрын
Watanzania wenzangu naomba tuwe Wazalendo na kumuungauunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@benimlisa6056
@benimlisa6056 Жыл бұрын
Tatizo lipo kwenye shirika. Loose cargo ikifika tu siku ya kwanza siku ya pili wanaanza kuiongezea gharama na kwenye lisiti hicho kitu akijahainishwa. Hawa watu wakupeleka mahakamani.
@mimiraia2531
@mimiraia2531 Жыл бұрын
Kwendraaaa zaakoooooo
@talilmluchagula417
@talilmluchagula417 Жыл бұрын
Unatafuta iteuzi au? Hili ni wazo la magufuli sio mama
@DayoMarando-dz9bh
@DayoMarando-dz9bh Жыл бұрын
Kumbe madereva wenyew ni leaner
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Жыл бұрын
Tunaomba kujua umri wa kuendesha treni ni miaka mingapi maana Hawa Madereva naona kama walisha staafu au wanakaribia kustaafu au ni wa mkataba na kwann hamna vijana tunaomba mtuelezee kwann vijana hamna na wanawake hatuja waona mlizingatia criteria gani kuwapata hao Madereva wa Treni.
@josephstephen2047
@josephstephen2047 Жыл бұрын
Madreva wa treni wanawake wako wengi sana tu labda wewe ndio hujawaona
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
@@josephstephen2047 wako wapi madereva wanawake si wawaonyeshe, ona madereva hao ni wazee ukute hata uwezo wa akili Na kuona umepungua
@GeraldMswazi-bp2kw
@GeraldMswazi-bp2kw Жыл бұрын
Anaye liongoza Gari la moshi anaitwa kandawala
@hallin9561
@hallin9561 Жыл бұрын
waTrain vijana, wazee wapumzike
@elibarikinelsonnsenga3949
@elibarikinelsonnsenga3949 Жыл бұрын
mzee kasema hii gari sio train.
@petersilas4234
@petersilas4234 Жыл бұрын
Kwani gari likiwa na uwezo wa kutembea km 200 kwa usalama ni lazima uende zote 200. Zingatisni usalama pia. Hakuna mwenye haraka kiasi hicho.
@AwardHakimu
@AwardHakimu Жыл бұрын
😂utaki kuwai
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 Жыл бұрын
Serikali ipewe maua yake 🇹🇿
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 Жыл бұрын
kazi zenyewe mnagea geana geana kijomba jomba 2
@VENANCEAUGUSTINO
@VENANCEAUGUSTINO Жыл бұрын
Bora muache,tunataka usafiri sio maneno
@VENANCEAUGUSTINO
@VENANCEAUGUSTINO Жыл бұрын
Mmmmmmh
@sylvianm3170
@sylvianm3170 Жыл бұрын
Wow
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 Жыл бұрын
R.i.p JPM
@karimkondo3449
@karimkondo3449 Жыл бұрын
Nawashauri TRC muongeze picha ya mnyama kama ville swala kwa mbele kwenye nembo yenu. Tuendelee Kutangaza vivutio vyetu
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Жыл бұрын
Nashauri huduma itakapoanza kutolewa mashabiki wa SIMBA tutengewe mabehewa yetu ili tusijichanganye na UTO
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 Жыл бұрын
Utakua chizi
@josephkauki6094
@josephkauki6094 Жыл бұрын
Madereva wazee sanaa
@pabliz_
@pabliz_ Жыл бұрын
Rest in peace Magufuli
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 Жыл бұрын
Mbona wazee,,,vijana wako wapi???
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Mmechemka sana TRC kuajiri madereva wazee hawawezi kuwa Na uwezo mkubwa kwenye kuelewa, wazee wanasahau rahisi Na baada ya muda watastaafu au kuwa wagonjwa magonjwa ya uzeeni
@kambanimwanyulu7570
@kambanimwanyulu7570 Жыл бұрын
Hapo siyo kuuza mandazi, huu ni uwekezaji mkubwa unao taka uziefu wa kuanzia mika 15 kazini, nenda merini uone kama kuna kijana anaendesha meli kubwa za abiria
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
@@kambanimwanyulu7570 Mimi nakaa ughaibuni Na vijana kibao wanaendesha meli Na huku first priority ni vijana , wazee hao akili imechoka macho kuona kwa shida wengine hata kumbukumbu inaanza kupotea hawako sharp na mawazo mgando baada ya miaka michache wamestaafu na sio watu wa kujifunza wakaelewa vizuri technology vizuri , huko ndio maana mnakuwa masikini kwa kujaza wazee ambao kama hao wamejichokea hawana hata idea mpya na you can’t teach an old dog new tricks! Tembea duniani uone na kujifunza wazee sio watu wa kuwapa kipaumbele kama nchi inataka iende mbele kimaendeleo!
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
@@kambanimwanyulu7570 sasa hao wana uzoefu gani wameendesha magari moshi ni tofauti Na treni za umeme vijana wange adapt vizuri ukute hao wazee hata smart phone ishu kutumia computer hawajui kutumia yaani zero kwenye technology Na kiingereza chenyewe cha shida au hizo instructions ziko kwa kiswahili au kisukuma?? Mwisho wa si mtakuja kuuwa watu wakorea wakiondoka kwa kuwakumbatia hao wazee !
@aqudreamer
@aqudreamer Жыл бұрын
Kwanini musifundishe vijana wadogo . Madereva wakuwe wazee
@MgasaEmanoeli
@MgasaEmanoeli Жыл бұрын
Mbona madereva ni wazee sasa
@zuhurakhasimu969
@zuhurakhasimu969 Жыл бұрын
Je umeme ndo umekatika ghafla?
@aloyceandrew1855
@aloyceandrew1855 Жыл бұрын
Good
@Cruxtrend
@Cruxtrend Жыл бұрын
Kumbe the Tanzanian Train is as ugly as that of Kenya ..i thought it would be something better as the PR potrayed in TZ ...lol!
@sajigwelunogelominga2446
@sajigwelunogelominga2446 Жыл бұрын
Ongezeni madereva wenye umri wa kati wawe wengi maana naona wengine wanakaribia kustaafu
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Akili za matope za kibonge yaani watanzania huko waliopewa dhamani wana upeo mdogo sana wa kufikiri hata haifikirii hawa wazee wamechoka hata ku adapt new technology issue Na soon watastaafu , ila imejaza wazee wakati wako vijana smart sijui akili hii imetoka wapi
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 Жыл бұрын
Mkimaliza kutest mkizime maana umeme hautoshi
@starjay3052
@starjay3052 Жыл бұрын
mtu kaachwa na mke wake uko mnampa aemdeshe tren subilini muone
@starjay3052
@starjay3052 Жыл бұрын
mjinga chacha wabongo wasipewe jamani aya
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 Жыл бұрын
Wasipewe na train ni yakwao hapa na mimi najiandaa kuisomea kajinyonge nyoko wewe😂
@mfaumeabdul1004
@mfaumeabdul1004 Жыл бұрын
Impressive
@benimlisa6056
@benimlisa6056 Жыл бұрын
TRC mnatapeli watu mizigo ya Mwanza inayokuja pale yard yenu
@josephsureeliajosephmion9997
@josephsureeliajosephmion9997 Жыл бұрын
Mlizoea kuiba Diesel hapo mtaibanini mottor au!!!?
@Papaa_Hillary_Mrema
@Papaa_Hillary_Mrema Жыл бұрын
Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia sasa Tanzania tunaelekea Uchumi wa Viwanda kwa maboresho katika Sekta hii ya Uchukuzi. Uchumi utakimbia kwa Kasi kubwa. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@rogersdavis3058
@rogersdavis3058 Жыл бұрын
Shida umeme wenyewe
@EmmanuelMwakyando
@EmmanuelMwakyando Жыл бұрын
Hao waendeshaji ni wazee ndio maana shirika linakuwa hakiendi kwa muda muafaka
@mcback4384
@mcback4384 Жыл бұрын
Akienda kijana wa miaka 25 na mzee wa miaka 55 kuomba ajira ya udereva, yupi unadhani atapata kazi kwa haraka?
@EmmanuelMwakyando
@EmmanuelMwakyando Жыл бұрын
@@mcback4384 mzee automatically ndio kajadi kao waliko kaanzisha
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
@@mcback4384nchi zilizo serious wangeajiri kijana wa miaka 25 ndio wako vizuri kiakili na wanafundishika
@OgivePeter-y7y
@OgivePeter-y7y Жыл бұрын
Mmmh
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Madereva wanawake wako wapi ?
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 Жыл бұрын
Train ya mizigo au!!?
@RajabuShaibu-m6d
@RajabuShaibu-m6d Жыл бұрын
Madelev wenyew wazee watapotez uwezekano wa kuona
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Kabisa mkuu wangeajiri vijana wanaume Na wanawake na kuachana Na wazee
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
Dar - Moro safari zinaanza lini?
@amanzuberi2138
@amanzuberi2138 Жыл бұрын
Umeme wa mgawo
@julianmsele3880
@julianmsele3880 Жыл бұрын
lot 3&4 imesimama mjue
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 Жыл бұрын
WA TZ TUACHE ICHOKO KILA KITU KULALAMIKA TU DAH
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Nyie TRC hamna hata maana mbona kundi hilo la madereva ni wazee Na kwa Mimi wote ni wanaume , madereva wanawake wako wapi ?
@mayaally2512
@mayaally2512 Жыл бұрын
Unataka kijana aendeshe huku anawaza kuma
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
@@mayaally2512 sio kweli vijana akili zao ziko fast na wanafundishika kiurahisi ni watu wa ku adapt kirahisi technologia mpya, wazee wamepitwa na wakati
@lizyonce7414
@lizyonce7414 Жыл бұрын
NAOMBENI KAZI NDUGU ZANGU
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 Жыл бұрын
Mshazoea kupeana peana kaz kijomba mnachukua wazee waliozeeka na kuendesha tren za mizigo mnawapa tren za umeme kwani vijana waliosemea udereva wa tren hakuna???kenge kabisa
@georgehajji9790
@georgehajji9790 Жыл бұрын
Sawa vijana hamna?
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Mbona madereva ni wazee mngeajiri vijana ambao akili yao bado Iko imechangamka na uwezo wao wa kuona ni mzuri . Mbona hatukuona madereva wanawake ?
@almasrwamiye5042
@almasrwamiye5042 Жыл бұрын
Safi sana hongera mama Samia Suluhu Hassan
@IconIcon-yz5vm
@IconIcon-yz5vm Жыл бұрын
Mbona ma dreva wa zee vijana wapo wangapi maana hii nchi 😢😢😢
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
Muhimu usafr naufika hyo habr ya wzee iache...maana hata baba yako nimzee lakn anakutafutia kula nawaenda choon kwahyo wacha makasiriko
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
@@saidsobongo912hapana sio sahihi wazee akili yao imechoka
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Na sikuona madereva wanawake Pia yaani imejazana mizee tu itakuwa wapeana ajira kindugu
@nassirpemba9763
@nassirpemba9763 Жыл бұрын
​@@saidsobongo912ishu sio kufika, ishu ni hio technology ibaki tz isije wakorea wakiondoka na taaluma yao,wazee wanasahau mapema na wanachelewa kuelewa mambo ya kisasa
@saidsobongo912
@saidsobongo912 Жыл бұрын
@@nassirpemba9763 uko sawa kimawazo lkn hao wazee ndio wanao ongoza nchi hao wazee ndio watoaji ushayri katk mambo y kijmii hao wazee ndio wanazngtia kazizao na kujal watu kuliko vijn Naukizungatia mtu alie wateuwa hao wazee kwa hajzngtuia umr bal amezngtia elimu zao py umahri wao tkta kz Hao Vijana lazma watakuwo ktk madereva 30 walio fundishwa kwahvo hao niwazee we tusiwe na sha
@starjay3052
@starjay3052 Жыл бұрын
uyo deleva mwenyewe mbona mzee ataona macho kweli sema ndio ivo kama alivosema roma wanapeana kindugu mwanangu kua uyaone uje umtunze mama ako kweli hii ndio tanzania ❌🚯
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Жыл бұрын
Nenda wewe ukapate mafunzo
@starjay3052
@starjay3052 Жыл бұрын
@@elinamilyatuu7337 ata enda mama ako kum* mamako 🖕
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk Жыл бұрын
Wewe mzee na weee ni chawa hivyo vichwa akili yako inakutuma kuwa no vichwa vya kisasa kweli acha upumbavu wako wewe unatufanya sisi wapumbavu Kama wewe?
@jumaabas6837
@jumaabas6837 Жыл бұрын
Wabongo tuweni na akili kidogo muundo wa kichwa ni kwa ajili ya kupamba tuuu kuchongoka kwa kichwa sio uwezo wa treniii
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
@@jumaabas6837kinachowashinda kuleta treni za mchongoko ni kipi hasa?!
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Жыл бұрын
​@@jumaabas6837pia wengine wanataka vichwa vya kuvuta Mabehewa ya Mizigo viwe Kama vya Mabehewa ya Abiria.
@Kabwela776
@Kabwela776 Жыл бұрын
Wapuuzi hawa wamejaza wazee wangeajiri vijana
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН
1% vs 100% #beatbox #tiktok
01:10
BeatboxJCOP
Рет қаралды 67 МЛН
Quando A Diferença De Altura É Muito Grande 😲😂
00:12
Mari Maria
Рет қаралды 45 МЛН
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 455 М.
TAZAMA MELI YA TAITANIC ILIVYOZAMA NA KUUA MAELFU YA WATU
19:08
Wasafi Media
Рет қаралды 10 МЛН
Inside the V3 Nazi Super Gun
19:52
Blue Paw Print
Рет қаралды 2,9 МЛН
KIPINDI CHA SONGA NA SAMIA (SS) EPISODE ONE - MRADI WA SGR
20:20
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 6 М.
The Best Band 😅 #toshleh #viralshort
00:11
Toshleh
Рет қаралды 22 МЛН