MADEREVA WA TRENI WAIVA KUIENDESHA TRENI YA UMEME

  Рет қаралды 48,350

TRC RELI TV

TRC RELI TV

8 ай бұрын

MADEREVA WA TRENI WAIVA KUIENDESHA TRENI YA UMEME

Пікірлер: 102
@mashashpastory7467
@mashashpastory7467 7 ай бұрын
R.I.P MAGUFULI,Asante kwa ujasiri wa kuanzisha mambo makubwa kama haya kupitia Kodi za wananchi sasa tunaenda kifaidi maono yako, Asante mh raisi SAMIA kwa kuendeleza usimamizi wa miradi hii ya kimkakati, thank you.
@themba.theunapologetically5966
@themba.theunapologetically5966 7 ай бұрын
This reminds me of magufuli. I so wish he was still alive to see. Long live the spirit of magufuli✊✊
@benjaminjoseph1747
@benjaminjoseph1747 7 ай бұрын
Amen 🙏 Mc him too so much. Lala mahala pema baba Magufuli
@domymerinyo8165
@domymerinyo8165 7 ай бұрын
Hili toleo la treni la mwaka gani model gani. Land cruiser 80,100,200,300
@GilbertNhigula
@GilbertNhigula 7 ай бұрын
Mambo Safi Sana !,.
@petermarwa7818
@petermarwa7818 7 ай бұрын
JPM huko uliko mambo yako uliacha hayajakwama pokea maua yako
@mimiraia2531
@mimiraia2531 7 ай бұрын
WAPIGA deal wamerudi kwa spidi ya kimbunga
@user-eb2el9kw6m
@user-eb2el9kw6m 7 ай бұрын
As normal Kazi za connection. Wazee wenye watu wao in government offices ndo wanapewa kazi wakati vijana wengi wako mtaani hawana ajira. Angalia wanaotoa mafunzo na wanaopewa mafunzo. Two different generations.We make one step ahead then three steps back. We will never go through. Mtakuja kuona.
@abroadconnectededucationlt5435
@abroadconnectededucationlt5435 7 ай бұрын
all respect to MAGU
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 7 ай бұрын
Dah huyo jamaa wa mwisho kaua 😂
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Mngeajiri vijana wanaume na wanawake na kuachana na wazee, mkiwekeza kwenye vijana itakuwa na faida sana kwa taifa!
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 7 ай бұрын
HAINA SPEED.KLMETA 160 KWA SAA 1. IMESHINDWA UWEZO NA V8.
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 7 ай бұрын
Yeah! Big up TRC.Big up the URT.
@shabanichillo6879
@shabanichillo6879 7 ай бұрын
Tufahamu kwamba hao wanaoonekana hapo ni viongozi wabobezi walioaminiwa kwa zoezi la majaribio na mafunzo kwa ajili ya kuangalia uwezo na kubaini kasoro na changamoto kama zitakuwepo zirekebishwe yaani commission team upande wa mwekezaji na commissioning staffs upande huu ikijumuisha madereva wazoefu na waalimu, wahandisi mitambo na njia, mafundi, wahandisi toka serikalini nk hukutana pamoja katika kutoa na au kupata mafunzo na zoezi litaendelea kwa vijana wote walioandaliwa kwa kazi hiyo na kisha kukabidhiwa jukumu.
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 7 ай бұрын
Gari sio tren
@shakaurembo477
@shakaurembo477 7 ай бұрын
Umeme wenyewe usije ukatukatia njian 😅
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 7 ай бұрын
Serikali ipewe maua yake 🇹🇿
@hallin9561
@hallin9561 7 ай бұрын
waTrain vijana, wazee wapumzike
@GeraldMswazi-bp2kw
@GeraldMswazi-bp2kw 7 ай бұрын
Anaye liongoza Gari la moshi anaitwa kandawala
@karimkondo3449
@karimkondo3449 7 ай бұрын
Nawashauri TRC muongeze picha ya mnyama kama ville swala kwa mbele kwenye nembo yenu. Tuendelee Kutangaza vivutio vyetu
@pabliz_
@pabliz_ 7 ай бұрын
Rest in peace Magufuli
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 7 ай бұрын
Bora muache,tunataka usafiri sio maneno
@mfaumeabdul1004
@mfaumeabdul1004 7 ай бұрын
Impressive
@DayoMarando-dz9bh
@DayoMarando-dz9bh 7 ай бұрын
Kumbe madereva wenyew ni leaner
@edrickniwamanya5665
@edrickniwamanya5665 7 ай бұрын
R.i.p JPM
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 7 ай бұрын
Tunaomba kujua umri wa kuendesha treni ni miaka mingapi maana Hawa Madereva naona kama walisha staafu au wanakaribia kustaafu au ni wa mkataba na kwann hamna vijana tunaomba mtuelezee kwann vijana hamna na wanawake hatuja waona mlizingatia criteria gani kuwapata hao Madereva wa Treni.
@josephstephen2047
@josephstephen2047 7 ай бұрын
Madreva wa treni wanawake wako wengi sana tu labda wewe ndio hujawaona
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
@@josephstephen2047 wako wapi madereva wanawake si wawaonyeshe, ona madereva hao ni wazee ukute hata uwezo wa akili Na kuona umepungua
@petersilas4234
@petersilas4234 7 ай бұрын
Kwani gari likiwa na uwezo wa kutembea km 200 kwa usalama ni lazima uende zote 200. Zingatisni usalama pia. Hakuna mwenye haraka kiasi hicho.
@AwardHakimu
@AwardHakimu 7 ай бұрын
😂utaki kuwai
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
mtu kaachwa na mke wake uko mnampa aemdeshe tren subilini muone
@elibarikinelsonnsenga3949
@elibarikinelsonnsenga3949 7 ай бұрын
mzee kasema hii gari sio train.
@eddechriss2664
@eddechriss2664 7 ай бұрын
Nashauri huduma itakapoanza kutolewa mashabiki wa SIMBA tutengewe mabehewa yetu ili tusijichanganye na UTO
@stanslausmteme8455
@stanslausmteme8455 7 ай бұрын
Utakua chizi
@user-mx2tx5eg9x
@user-mx2tx5eg9x 7 ай бұрын
Vichwa vya kuchomgoka viko wapi?😂😂😂
@user-yr3yi2yr6i
@user-yr3yi2yr6i 7 ай бұрын
Mbona madereva ni wazee sasa
@aqudreamer
@aqudreamer 7 ай бұрын
Kwanini musifundishe vijana wadogo . Madereva wakuwe wazee
@josephkauki6094
@josephkauki6094 7 ай бұрын
Madereva wazee sanaa
@sylvianm3170
@sylvianm3170 7 ай бұрын
Wow
@Cruxtrend
@Cruxtrend 6 ай бұрын
Kumbe the Tanzanian Train is as ugly as that of Kenya ..i thought it would be something better as the PR potrayed in TZ ...lol!
@aloyceandrew1855
@aloyceandrew1855 7 ай бұрын
Good
@sajigwelunogelominga2446
@sajigwelunogelominga2446 7 ай бұрын
Ongezeni madereva wenye umri wa kati wawe wengi maana naona wengine wanakaribia kustaafu
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Akili za matope za kibonge yaani watanzania huko waliopewa dhamani wana upeo mdogo sana wa kufikiri hata haifikirii hawa wazee wamechoka hata ku adapt new technology issue Na soon watastaafu , ila imejaza wazee wakati wako vijana smart sijui akili hii imetoka wapi
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 7 ай бұрын
Mbona wazee,,,vijana wako wapi???
@rogersdavis3058
@rogersdavis3058 7 ай бұрын
Shida umeme wenyewe
@benimlisa6056
@benimlisa6056 7 ай бұрын
TRC mnatapeli watu mizigo ya Mwanza inayokuja pale yard yenu
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 7 ай бұрын
Mkimaliza kutest mkizime maana umeme hautoshi
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
mjinga chacha wabongo wasipewe jamani aya
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 7 ай бұрын
Wasipewe na train ni yakwao hapa na mimi najiandaa kuisomea kajinyonge nyoko wewe😂
@user-xh9ko2cs1r
@user-xh9ko2cs1r 7 ай бұрын
Mmmmmmh
@julianmsele3880
@julianmsele3880 7 ай бұрын
lot 3&4 imesimama mjue
@amanzuberi2138
@amanzuberi2138 7 ай бұрын
Umeme wa mgawo
@user-rl5gt7bi8r
@user-rl5gt7bi8r 7 ай бұрын
Mmmh
@zuhurakhasimu969
@zuhurakhasimu969 7 ай бұрын
Je umeme ndo umekatika ghafla?
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 7 ай бұрын
Dar - Moro safari zinaanza lini?
@lizyonce7414
@lizyonce7414 7 ай бұрын
NAOMBENI KAZI NDUGU ZANGU
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 7 ай бұрын
WA TZ TUACHE ICHOKO KILA KITU KULALAMIKA TU DAH
@josephsureeliajosephmion9997
@josephsureeliajosephmion9997 7 ай бұрын
Mlizoea kuiba Diesel hapo mtaibanini mottor au!!!?
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 7 ай бұрын
Train ya mizigo au!!?
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Mmechemka sana TRC kuajiri madereva wazee hawawezi kuwa Na uwezo mkubwa kwenye kuelewa, wazee wanasahau rahisi Na baada ya muda watastaafu au kuwa wagonjwa magonjwa ya uzeeni
@kambanimwanyulu7570
@kambanimwanyulu7570 7 ай бұрын
Hapo siyo kuuza mandazi, huu ni uwekezaji mkubwa unao taka uziefu wa kuanzia mika 15 kazini, nenda merini uone kama kuna kijana anaendesha meli kubwa za abiria
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
@@kambanimwanyulu7570 Mimi nakaa ughaibuni Na vijana kibao wanaendesha meli Na huku first priority ni vijana , wazee hao akili imechoka macho kuona kwa shida wengine hata kumbukumbu inaanza kupotea hawako sharp na mawazo mgando baada ya miaka michache wamestaafu na sio watu wa kujifunza wakaelewa vizuri technology vizuri , huko ndio maana mnakuwa masikini kwa kujaza wazee ambao kama hao wamejichokea hawana hata idea mpya na you can’t teach an old dog new tricks! Tembea duniani uone na kujifunza wazee sio watu wa kuwapa kipaumbele kama nchi inataka iende mbele kimaendeleo!
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
@@kambanimwanyulu7570 sasa hao wana uzoefu gani wameendesha magari moshi ni tofauti Na treni za umeme vijana wange adapt vizuri ukute hao wazee hata smart phone ishu kutumia computer hawajui kutumia yaani zero kwenye technology Na kiingereza chenyewe cha shida au hizo instructions ziko kwa kiswahili au kisukuma?? Mwisho wa si mtakuja kuuwa watu wakorea wakiondoka kwa kuwakumbatia hao wazee !
@georgehajji9790
@georgehajji9790 7 ай бұрын
Sawa vijana hamna?
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Madereva wanawake wako wapi ?
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 7 ай бұрын
Watanzania wenzangu naomba tuwe Wazalendo na kumuungauunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@benimlisa6056
@benimlisa6056 7 ай бұрын
Tatizo lipo kwenye shirika. Loose cargo ikifika tu siku ya kwanza siku ya pili wanaanza kuiongezea gharama na kwenye lisiti hicho kitu akijahainishwa. Hawa watu wakupeleka mahakamani.
@mimiraia2531
@mimiraia2531 7 ай бұрын
Kwendraaaa zaakoooooo
@talilmluchagula417
@talilmluchagula417 7 ай бұрын
Unatafuta iteuzi au? Hili ni wazo la magufuli sio mama
@almasrwamiye5042
@almasrwamiye5042 7 ай бұрын
Safi sana hongera mama Samia Suluhu Hassan
@EmmanuelMwakyando
@EmmanuelMwakyando 7 ай бұрын
Hao waendeshaji ni wazee ndio maana shirika linakuwa hakiendi kwa muda muafaka
@mcback4384
@mcback4384 7 ай бұрын
Akienda kijana wa miaka 25 na mzee wa miaka 55 kuomba ajira ya udereva, yupi unadhani atapata kazi kwa haraka?
@EmmanuelMwakyando
@EmmanuelMwakyando 7 ай бұрын
@@mcback4384 mzee automatically ndio kajadi kao waliko kaanzisha
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
@@mcback4384nchi zilizo serious wangeajiri kijana wa miaka 25 ndio wako vizuri kiakili na wanafundishika
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Mbona madereva ni wazee mngeajiri vijana ambao akili yao bado Iko imechangamka na uwezo wao wa kuona ni mzuri . Mbona hatukuona madereva wanawake ?
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 7 ай бұрын
Mshazoea kupeana peana kaz kijomba mnachukua wazee waliozeeka na kuendesha tren za mizigo mnawapa tren za umeme kwani vijana waliosemea udereva wa tren hakuna???kenge kabisa
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Nyie TRC hamna hata maana mbona kundi hilo la madereva ni wazee Na kwa Mimi wote ni wanaume , madereva wanawake wako wapi ?
@mayaally2512
@mayaally2512 7 ай бұрын
Unataka kijana aendeshe huku anawaza kuma
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
@@mayaally2512 sio kweli vijana akili zao ziko fast na wanafundishika kiurahisi ni watu wa ku adapt kirahisi technologia mpya, wazee wamepitwa na wakati
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 7 ай бұрын
Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia sasa Tanzania tunaelekea Uchumi wa Viwanda kwa maboresho katika Sekta hii ya Uchukuzi. Uchumi utakimbia kwa Kasi kubwa. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@IconIcon-yz5vm
@IconIcon-yz5vm 7 ай бұрын
Mbona ma dreva wa zee vijana wapo wangapi maana hii nchi 😢😢😢
@saidsobongo912
@saidsobongo912 7 ай бұрын
Muhimu usafr naufika hyo habr ya wzee iache...maana hata baba yako nimzee lakn anakutafutia kula nawaenda choon kwahyo wacha makasiriko
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
@@saidsobongo912hapana sio sahihi wazee akili yao imechoka
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Na sikuona madereva wanawake Pia yaani imejazana mizee tu itakuwa wapeana ajira kindugu
@nassirpemba9763
@nassirpemba9763 7 ай бұрын
​@@saidsobongo912ishu sio kufika, ishu ni hio technology ibaki tz isije wakorea wakiondoka na taaluma yao,wazee wanasahau mapema na wanachelewa kuelewa mambo ya kisasa
@saidsobongo912
@saidsobongo912 7 ай бұрын
@@nassirpemba9763 uko sawa kimawazo lkn hao wazee ndio wanao ongoza nchi hao wazee ndio watoaji ushayri katk mambo y kijmii hao wazee ndio wanazngtia kazizao na kujal watu kuliko vijn Naukizungatia mtu alie wateuwa hao wazee kwa hajzngtuia umr bal amezngtia elimu zao py umahri wao tkta kz Hao Vijana lazma watakuwo ktk madereva 30 walio fundishwa kwahvo hao niwazee we tusiwe na sha
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 7 ай бұрын
Wewe mzee na weee ni chawa hivyo vichwa akili yako inakutuma kuwa no vichwa vya kisasa kweli acha upumbavu wako wewe unatufanya sisi wapumbavu Kama wewe?
@jumaabas6837
@jumaabas6837 7 ай бұрын
Wabongo tuweni na akili kidogo muundo wa kichwa ni kwa ajili ya kupamba tuuu kuchongoka kwa kichwa sio uwezo wa treniii
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 7 ай бұрын
@@jumaabas6837kinachowashinda kuleta treni za mchongoko ni kipi hasa?!
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 7 ай бұрын
​@@jumaabas6837pia wengine wanataka vichwa vya kuvuta Mabehewa ya Mizigo viwe Kama vya Mabehewa ya Abiria.
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Wapuuzi hawa wamejaza wazee wangeajiri vijana
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
uyo deleva mwenyewe mbona mzee ataona macho kweli sema ndio ivo kama alivosema roma wanapeana kindugu mwanangu kua uyaone uje umtunze mama ako kweli hii ndio tanzania ❌🚯
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 7 ай бұрын
Nenda wewe ukapate mafunzo
@starjay3052
@starjay3052 7 ай бұрын
@@elinamilyatuu7337 ata enda mama ako kum* mamako 🖕
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 7 ай бұрын
kazi zenyewe mnagea geana geana kijomba jomba 2
@user-xp5pb5qh9o
@user-xp5pb5qh9o 7 ай бұрын
Madelev wenyew wazee watapotez uwezekano wa kuona
@Kabwela776
@Kabwela776 7 ай бұрын
Kabisa mkuu wangeajiri vijana wanaume Na wanawake na kuachana Na wazee
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
Wait for the last one! 👀
00:28
Josh Horton
Рет қаралды 173 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
HII HAPA  SAFARI SGR  DAR HADI MORO, NDANI YA TRENI YA SGR
10:07
TRC RELI TV
Рет қаралды 37 М.
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 20 М.
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН