R.I.P MAGUFULI,Asante kwa ujasiri wa kuanzisha mambo makubwa kama haya kupitia Kodi za wananchi sasa tunaenda kifaidi maono yako, Asante mh raisi SAMIA kwa kuendeleza usimamizi wa miradi hii ya kimkakati, thank you.
@themba.theunapologetically59667 ай бұрын
This reminds me of magufuli. I so wish he was still alive to see. Long live the spirit of magufuli✊✊
@benjaminjoseph17477 ай бұрын
Amen 🙏 Mc him too so much. Lala mahala pema baba Magufuli
@domymerinyo81657 ай бұрын
Hili toleo la treni la mwaka gani model gani. Land cruiser 80,100,200,300
@GilbertNhigula7 ай бұрын
Mambo Safi Sana !,.
@petermarwa78187 ай бұрын
JPM huko uliko mambo yako uliacha hayajakwama pokea maua yako
@mimiraia25317 ай бұрын
WAPIGA deal wamerudi kwa spidi ya kimbunga
@user-eb2el9kw6m7 ай бұрын
As normal Kazi za connection. Wazee wenye watu wao in government offices ndo wanapewa kazi wakati vijana wengi wako mtaani hawana ajira. Angalia wanaotoa mafunzo na wanaopewa mafunzo. Two different generations.We make one step ahead then three steps back. We will never go through. Mtakuja kuona.
@abroadconnectededucationlt54357 ай бұрын
all respect to MAGU
@samoocoolingsystem937 ай бұрын
Dah huyo jamaa wa mwisho kaua 😂
@Kabwela7767 ай бұрын
Mngeajiri vijana wanaume na wanawake na kuachana na wazee, mkiwekeza kwenye vijana itakuwa na faida sana kwa taifa!
@hamadsheni89977 ай бұрын
HAINA SPEED.KLMETA 160 KWA SAA 1. IMESHINDWA UWEZO NA V8.
@alfinmbilinyi59857 ай бұрын
Yeah! Big up TRC.Big up the URT.
@shabanichillo68797 ай бұрын
Tufahamu kwamba hao wanaoonekana hapo ni viongozi wabobezi walioaminiwa kwa zoezi la majaribio na mafunzo kwa ajili ya kuangalia uwezo na kubaini kasoro na changamoto kama zitakuwepo zirekebishwe yaani commission team upande wa mwekezaji na commissioning staffs upande huu ikijumuisha madereva wazoefu na waalimu, wahandisi mitambo na njia, mafundi, wahandisi toka serikalini nk hukutana pamoja katika kutoa na au kupata mafunzo na zoezi litaendelea kwa vijana wote walioandaliwa kwa kazi hiyo na kisha kukabidhiwa jukumu.
@edrickniwamanya56657 ай бұрын
Gari sio tren
@shakaurembo4777 ай бұрын
Umeme wenyewe usije ukatukatia njian 😅
@michaelrweyemamu10687 ай бұрын
Serikali ipewe maua yake 🇹🇿
@hallin95617 ай бұрын
waTrain vijana, wazee wapumzike
@GeraldMswazi-bp2kw7 ай бұрын
Anaye liongoza Gari la moshi anaitwa kandawala
@karimkondo34497 ай бұрын
Nawashauri TRC muongeze picha ya mnyama kama ville swala kwa mbele kwenye nembo yenu. Tuendelee Kutangaza vivutio vyetu
@pabliz_7 ай бұрын
Rest in peace Magufuli
@user-xh9ko2cs1r7 ай бұрын
Bora muache,tunataka usafiri sio maneno
@mfaumeabdul10047 ай бұрын
Impressive
@DayoMarando-dz9bh7 ай бұрын
Kumbe madereva wenyew ni leaner
@edrickniwamanya56657 ай бұрын
R.i.p JPM
@JK-uq1tv7 ай бұрын
Tunaomba kujua umri wa kuendesha treni ni miaka mingapi maana Hawa Madereva naona kama walisha staafu au wanakaribia kustaafu au ni wa mkataba na kwann hamna vijana tunaomba mtuelezee kwann vijana hamna na wanawake hatuja waona mlizingatia criteria gani kuwapata hao Madereva wa Treni.
@josephstephen20477 ай бұрын
Madreva wa treni wanawake wako wengi sana tu labda wewe ndio hujawaona
@Kabwela7767 ай бұрын
@@josephstephen2047 wako wapi madereva wanawake si wawaonyeshe, ona madereva hao ni wazee ukute hata uwezo wa akili Na kuona umepungua
@petersilas42347 ай бұрын
Kwani gari likiwa na uwezo wa kutembea km 200 kwa usalama ni lazima uende zote 200. Zingatisni usalama pia. Hakuna mwenye haraka kiasi hicho.
@AwardHakimu7 ай бұрын
😂utaki kuwai
@starjay30527 ай бұрын
mtu kaachwa na mke wake uko mnampa aemdeshe tren subilini muone
@elibarikinelsonnsenga39497 ай бұрын
mzee kasema hii gari sio train.
@eddechriss26647 ай бұрын
Nashauri huduma itakapoanza kutolewa mashabiki wa SIMBA tutengewe mabehewa yetu ili tusijichanganye na UTO
Kumbe the Tanzanian Train is as ugly as that of Kenya ..i thought it would be something better as the PR potrayed in TZ ...lol!
@aloyceandrew18557 ай бұрын
Good
@sajigwelunogelominga24467 ай бұрын
Ongezeni madereva wenye umri wa kati wawe wengi maana naona wengine wanakaribia kustaafu
@Kabwela7767 ай бұрын
Akili za matope za kibonge yaani watanzania huko waliopewa dhamani wana upeo mdogo sana wa kufikiri hata haifikirii hawa wazee wamechoka hata ku adapt new technology issue Na soon watastaafu , ila imejaza wazee wakati wako vijana smart sijui akili hii imetoka wapi
@jamesmzaki60417 ай бұрын
Mbona wazee,,,vijana wako wapi???
@rogersdavis30587 ай бұрын
Shida umeme wenyewe
@benimlisa60567 ай бұрын
TRC mnatapeli watu mizigo ya Mwanza inayokuja pale yard yenu
@giftchristianmeela14097 ай бұрын
Mkimaliza kutest mkizime maana umeme hautoshi
@starjay30527 ай бұрын
mjinga chacha wabongo wasipewe jamani aya
@davidanselmo40417 ай бұрын
Wasipewe na train ni yakwao hapa na mimi najiandaa kuisomea kajinyonge nyoko wewe😂
@user-xh9ko2cs1r7 ай бұрын
Mmmmmmh
@julianmsele38807 ай бұрын
lot 3&4 imesimama mjue
@amanzuberi21387 ай бұрын
Umeme wa mgawo
@user-rl5gt7bi8r7 ай бұрын
Mmmh
@zuhurakhasimu9697 ай бұрын
Je umeme ndo umekatika ghafla?
@vintagemusicgroup92367 ай бұрын
Dar - Moro safari zinaanza lini?
@lizyonce74147 ай бұрын
NAOMBENI KAZI NDUGU ZANGU
@exaverysimon10647 ай бұрын
WA TZ TUACHE ICHOKO KILA KITU KULALAMIKA TU DAH
@josephsureeliajosephmion99977 ай бұрын
Mlizoea kuiba Diesel hapo mtaibanini mottor au!!!?
@nicholauskilosa53367 ай бұрын
Train ya mizigo au!!?
@Kabwela7767 ай бұрын
Mmechemka sana TRC kuajiri madereva wazee hawawezi kuwa Na uwezo mkubwa kwenye kuelewa, wazee wanasahau rahisi Na baada ya muda watastaafu au kuwa wagonjwa magonjwa ya uzeeni
@kambanimwanyulu75707 ай бұрын
Hapo siyo kuuza mandazi, huu ni uwekezaji mkubwa unao taka uziefu wa kuanzia mika 15 kazini, nenda merini uone kama kuna kijana anaendesha meli kubwa za abiria
@Kabwela7767 ай бұрын
@@kambanimwanyulu7570 Mimi nakaa ughaibuni Na vijana kibao wanaendesha meli Na huku first priority ni vijana , wazee hao akili imechoka macho kuona kwa shida wengine hata kumbukumbu inaanza kupotea hawako sharp na mawazo mgando baada ya miaka michache wamestaafu na sio watu wa kujifunza wakaelewa vizuri technology vizuri , huko ndio maana mnakuwa masikini kwa kujaza wazee ambao kama hao wamejichokea hawana hata idea mpya na you can’t teach an old dog new tricks! Tembea duniani uone na kujifunza wazee sio watu wa kuwapa kipaumbele kama nchi inataka iende mbele kimaendeleo!
@Kabwela7767 ай бұрын
@@kambanimwanyulu7570 sasa hao wana uzoefu gani wameendesha magari moshi ni tofauti Na treni za umeme vijana wange adapt vizuri ukute hao wazee hata smart phone ishu kutumia computer hawajui kutumia yaani zero kwenye technology Na kiingereza chenyewe cha shida au hizo instructions ziko kwa kiswahili au kisukuma?? Mwisho wa si mtakuja kuuwa watu wakorea wakiondoka kwa kuwakumbatia hao wazee !
@georgehajji97907 ай бұрын
Sawa vijana hamna?
@Kabwela7767 ай бұрын
Madereva wanawake wako wapi ?
@Hillary_Daudi_Mrema7 ай бұрын
Watanzania wenzangu naomba tuwe Wazalendo na kumuungauunga mkono Mheshimiwa Rais Dokta Samia katika Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@benimlisa60567 ай бұрын
Tatizo lipo kwenye shirika. Loose cargo ikifika tu siku ya kwanza siku ya pili wanaanza kuiongezea gharama na kwenye lisiti hicho kitu akijahainishwa. Hawa watu wakupeleka mahakamani.
@mimiraia25317 ай бұрын
Kwendraaaa zaakoooooo
@talilmluchagula4177 ай бұрын
Unatafuta iteuzi au? Hili ni wazo la magufuli sio mama
@almasrwamiye50427 ай бұрын
Safi sana hongera mama Samia Suluhu Hassan
@EmmanuelMwakyando7 ай бұрын
Hao waendeshaji ni wazee ndio maana shirika linakuwa hakiendi kwa muda muafaka
@mcback43847 ай бұрын
Akienda kijana wa miaka 25 na mzee wa miaka 55 kuomba ajira ya udereva, yupi unadhani atapata kazi kwa haraka?
@EmmanuelMwakyando7 ай бұрын
@@mcback4384 mzee automatically ndio kajadi kao waliko kaanzisha
@Kabwela7767 ай бұрын
@@mcback4384nchi zilizo serious wangeajiri kijana wa miaka 25 ndio wako vizuri kiakili na wanafundishika
@Kabwela7767 ай бұрын
Mbona madereva ni wazee mngeajiri vijana ambao akili yao bado Iko imechangamka na uwezo wao wa kuona ni mzuri . Mbona hatukuona madereva wanawake ?
@elbaricktv16327 ай бұрын
Mshazoea kupeana peana kaz kijomba mnachukua wazee waliozeeka na kuendesha tren za mizigo mnawapa tren za umeme kwani vijana waliosemea udereva wa tren hakuna???kenge kabisa
@Kabwela7767 ай бұрын
Nyie TRC hamna hata maana mbona kundi hilo la madereva ni wazee Na kwa Mimi wote ni wanaume , madereva wanawake wako wapi ?
@mayaally25127 ай бұрын
Unataka kijana aendeshe huku anawaza kuma
@Kabwela7767 ай бұрын
@@mayaally2512 sio kweli vijana akili zao ziko fast na wanafundishika kiurahisi ni watu wa ku adapt kirahisi technologia mpya, wazee wamepitwa na wakati
@Hillary_Daudi_Mrema7 ай бұрын
Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia sasa Tanzania tunaelekea Uchumi wa Viwanda kwa maboresho katika Sekta hii ya Uchukuzi. Uchumi utakimbia kwa Kasi kubwa. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@IconIcon-yz5vm7 ай бұрын
Mbona ma dreva wa zee vijana wapo wangapi maana hii nchi 😢😢😢
@saidsobongo9127 ай бұрын
Muhimu usafr naufika hyo habr ya wzee iache...maana hata baba yako nimzee lakn anakutafutia kula nawaenda choon kwahyo wacha makasiriko
@Kabwela7767 ай бұрын
@@saidsobongo912hapana sio sahihi wazee akili yao imechoka
@Kabwela7767 ай бұрын
Na sikuona madereva wanawake Pia yaani imejazana mizee tu itakuwa wapeana ajira kindugu
@nassirpemba97637 ай бұрын
@@saidsobongo912ishu sio kufika, ishu ni hio technology ibaki tz isije wakorea wakiondoka na taaluma yao,wazee wanasahau mapema na wanachelewa kuelewa mambo ya kisasa
@saidsobongo9127 ай бұрын
@@nassirpemba9763 uko sawa kimawazo lkn hao wazee ndio wanao ongoza nchi hao wazee ndio watoaji ushayri katk mambo y kijmii hao wazee ndio wanazngtia kazizao na kujal watu kuliko vijn Naukizungatia mtu alie wateuwa hao wazee kwa hajzngtuia umr bal amezngtia elimu zao py umahri wao tkta kz Hao Vijana lazma watakuwo ktk madereva 30 walio fundishwa kwahvo hao niwazee we tusiwe na sha
@IsayaSosolo-nx8zk7 ай бұрын
Wewe mzee na weee ni chawa hivyo vichwa akili yako inakutuma kuwa no vichwa vya kisasa kweli acha upumbavu wako wewe unatufanya sisi wapumbavu Kama wewe?
@jumaabas68377 ай бұрын
Wabongo tuweni na akili kidogo muundo wa kichwa ni kwa ajili ya kupamba tuuu kuchongoka kwa kichwa sio uwezo wa treniii
@vintagemusicgroup92367 ай бұрын
@@jumaabas6837kinachowashinda kuleta treni za mchongoko ni kipi hasa?!
@modestwenceslaus97 ай бұрын
@@jumaabas6837pia wengine wanataka vichwa vya kuvuta Mabehewa ya Mizigo viwe Kama vya Mabehewa ya Abiria.
@Kabwela7767 ай бұрын
Wapuuzi hawa wamejaza wazee wangeajiri vijana
@starjay30527 ай бұрын
uyo deleva mwenyewe mbona mzee ataona macho kweli sema ndio ivo kama alivosema roma wanapeana kindugu mwanangu kua uyaone uje umtunze mama ako kweli hii ndio tanzania ❌🚯
@elinamilyatuu73377 ай бұрын
Nenda wewe ukapate mafunzo
@starjay30527 ай бұрын
@@elinamilyatuu7337 ata enda mama ako kum* mamako 🖕
@hassanmpwepwe38267 ай бұрын
kazi zenyewe mnagea geana geana kijomba jomba 2
@user-xp5pb5qh9o7 ай бұрын
Madelev wenyew wazee watapotez uwezekano wa kuona
@Kabwela7767 ай бұрын
Kabisa mkuu wangeajiri vijana wanaume Na wanawake na kuachana Na wazee