Magari ya gharama yaliyonunuliwa na vijana mwaka 2017 Mwanza.

  Рет қаралды 171,539

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Saa chache kabla ya kukamilika mwaka 2017, Ayo TV, millardayo.com imepita kwenye moja ya showroom ya magari Mwanza kujua ni aina gani ya gari ambayo yameuzika kwa wingi mwaka 2017, Pia wadada wameendesha magari gani, wazee pamoja na vijana wa kuime kwa mwaka 2017.

Пікірлер: 80
@elizabethmhapa3658
@elizabethmhapa3658 5 жыл бұрын
Hata mim nitanunua gari One day Yes
@peterkimwaga8725
@peterkimwaga8725 6 жыл бұрын
Mwnangu voice kma ya millard! kaza upo juu!
@hajimamba2066
@hajimamba2066 6 жыл бұрын
crown ni gari kali sana naipenda sana Queen of saloon
@emanuelmark7419
@emanuelmark7419 6 жыл бұрын
Mungu awainue mzidi kuendelea mbele na kuzidi kutuletea vitu vyenye hadhi hapa nchini kwa faida ya jamii nzima ya kitanzania
@gilbertonesmo1010
@gilbertonesmo1010 5 жыл бұрын
Nawe ubarikiwe
@husseinmohamed5565
@husseinmohamed5565 6 жыл бұрын
Mungu yupo tuu IPO SKU na mm nitanunua mgongo wa nyani
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 4 жыл бұрын
Inshaallah, Allah akuwezeshe na iwe na kheri na wewe, 🙏
@anahanah9145
@anahanah9145 3 жыл бұрын
Naiwe hivyo
@mussangwale7720
@mussangwale7720 6 жыл бұрын
Matako ya Nyani... nyani wote wanaandamana wanataka ziitwe matako ya Sokwe
@richardkobero6988
@richardkobero6988 6 жыл бұрын
Land cruiser new model 2017 ndio my dream car....Hopefully one day nitamiliki
@youtubeisyours6417
@youtubeisyours6417 6 жыл бұрын
Audi ni ya zari sio diamond
@lossojr2074
@lossojr2074 6 жыл бұрын
Sasa 2001 ni new model na wewe?? Na ya 2017 utasemaje sasa
@kinglance9816
@kinglance9816 6 жыл бұрын
+Losso Jr sasa we kiazi Una HELA ya kununua gari 2017
@lossojr2074
@lossojr2074 6 жыл бұрын
Ni aibu kusema gari ya mwaka 2001 ni new model,Hahaha fala we isitoshe bado unakula ugali wa shkamoo nyumbani hapo
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 жыл бұрын
Thubutuuuuuuuuuuuu
@emmanuelnyansiro8636
@emmanuelnyansiro8636 6 жыл бұрын
ww hizo data unazotoa oooh tumeuza makalio ya nyani, Mara tumeuza milioni170, TRA watakufuatilia utoe kodi mara2
@albanbros7210
@albanbros7210 6 жыл бұрын
Toyota crown hatari sana wenyewe wanaiita Queen of saloon.
@stevoovlogs8645
@stevoovlogs8645 5 жыл бұрын
Ipo siku tu na mimi ntanunua matako ya nyani 😀😀😀
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 жыл бұрын
Matako yanyani au yako la nyani
@abineryantonykilulu954
@abineryantonykilulu954 6 жыл бұрын
Mbona gari bei kubwa sana?
@lutifredrumisha8987
@lutifredrumisha8987 6 жыл бұрын
Sasa na ww mtangazaj umenunua gari gani?
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 6 жыл бұрын
Toyota Vanguards mnyama
@selemanmabula6359
@selemanmabula6359 6 жыл бұрын
bei ya chini ndo ngapi xaxa?
@automotivetz1275
@automotivetz1275 6 жыл бұрын
Good, thou diamond doesn’t have an audi
@marymwakangale7673
@marymwakangale7673 2 жыл бұрын
Mandhari yanayouzwa sumbawanga
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 жыл бұрын
Allah anijalie na mm ja bajaji maana hata baskel ckapata mwaka ulopita
@chelakhafija762
@chelakhafija762 6 жыл бұрын
Ashmina Abdullah 😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😃😃👍
@devidpanja115
@devidpanja115 3 жыл бұрын
Nakuombea akupe gari
@lyimoej7198
@lyimoej7198 6 жыл бұрын
Harrier NI WAZFA LAKINI CROWN NI BABA LAO,, rush iko makini na off road capabilities zake with luxury
@idreamfoto
@idreamfoto 6 жыл бұрын
Hahaa team Mondi wewe sio bure mubuloo
@piusjohn2588
@piusjohn2588 4 жыл бұрын
Naomba namba ya cm
@chandelankwabi4330
@chandelankwabi4330 4 жыл бұрын
Naomba no za zamzam motors
@mohamedikibasa418
@mohamedikibasa418 6 жыл бұрын
Duh aiseeeeeee hilo audi ni hatari
@greonpeter6984
@greonpeter6984 6 жыл бұрын
Mwanangu mwenyewe yaqub neja
@dullyprinc7886
@dullyprinc7886 6 жыл бұрын
makalio ya nyan mung nijalie nami niendeshe makalip ya nyan
@exitingmomentsmovie2815
@exitingmomentsmovie2815 6 жыл бұрын
Hivi kama hukuelewa si ungekaa tu kimya , Mara wachezaji Mara Diamond hawatumii gari hizi , wote wana magari ya bei za juu na za chini"
@majigeelieza6222
@majigeelieza6222 6 жыл бұрын
emily phillemon SWA
@simonringo4701
@simonringo4701 6 жыл бұрын
Hahaha....ongea tu kiswahili. Ni consumption sio comfession ya mafuta brother.
@jamalsaedkivuruge4080
@jamalsaedkivuruge4080 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣Uko makini kumbe umemskia
@patrickKitambo
@patrickKitambo 2 жыл бұрын
Very expenses car😂😂😂😂😂
@shabanijuma9478
@shabanijuma9478 6 жыл бұрын
Bajaj new modal bei gan
@iddypandu4285
@iddypandu4285 3 жыл бұрын
V8 ipo
@lucialeonard6734
@lucialeonard6734 3 жыл бұрын
Tusisahau kuwa kuna watanzania wanahitaji msada wapo wanaoumwa sio kununua msgari
@tadeikilumbe4533
@tadeikilumbe4533 6 жыл бұрын
daa jamaa umeshka ndoto za wtu unagawa ongera Mungu kakupa kibri cha kuuza magri ambyo wengi upiga goti kumuomba mola wao hawafanikishe duuu
@praisekavy
@praisekavy 6 жыл бұрын
bro sio kwel 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mondi anamiliki BMW X6 co Audi babu
@mbandoramadhan8787
@mbandoramadhan8787 6 жыл бұрын
Hizo gali za kuendea sokoni wakin mm japan zikij Tanzania tunaon magali ya kifahali
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 жыл бұрын
Kaendeshe na wewe Japan Uende nayo sokoni
@ammaherman3391
@ammaherman3391 6 жыл бұрын
Hizo ndo gari za bei ghali kweli...??
@sadxkyando5456
@sadxkyando5456 6 жыл бұрын
Sponsored by WCB CEO gonga like no body else NICHANE Kama nmezngua
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 6 жыл бұрын
Wewe acha kuwazalilisha wachezaji mastaa wakubwa km hawo wanaendesh gari frani zaitwa bugati na hiyo gari inaweza ikafika Mpk billion 3 na hawo hawo wachezaji wana miliki Mpk helicopter na boti zao Za kula bata baada y ligi kusimama
@Rashidmhedhery
@Rashidmhedhery 6 жыл бұрын
BMW X6 ni ghali sana kuliko audio Q7...., for your information
@lupyanakilasi2395
@lupyanakilasi2395 5 жыл бұрын
Q7 gari yenye thamani
@estherpie8985
@estherpie8985 6 жыл бұрын
Duh..matako ya nyani🤣🤣🤣
@dominickshoo9214
@dominickshoo9214 6 жыл бұрын
Q7 Moshi tumezichoka kitambo!!
@babylonyNgwembe
@babylonyNgwembe 3 жыл бұрын
UMEZICHOKA UNAYO
@eliastawete6020
@eliastawete6020 6 жыл бұрын
yani mnavyozungumzia haya magari utafikiri kuuzwa utadhani mapeazi kumbe gari, afu mambo ya kusema vyuma vimekaza muache jisemee mwenyewe ss wenngne huku tunanunua matako ya nyani kila siku..
@halimamohamedy3571
@halimamohamedy3571 6 жыл бұрын
tawete elias hahaha daaaah unawaz kam mie apaa
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 6 жыл бұрын
Iko poa
@eliabusanga7913
@eliabusanga7913 6 жыл бұрын
sijaona gari hapo zaidi ya rollys royce
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 6 жыл бұрын
diamond anatumia bmw x6 acha ujinga wewe
@kipsjr3664
@kipsjr3664 6 жыл бұрын
ukinunua stalet mwaka huu usinipe lift niache nikapande daladala...
@agnestamajaliwa142
@agnestamajaliwa142 6 жыл бұрын
kips jr ndo maana huna ata boda boda Mungu huyu anaelewa kuwapa watu kama wewe
@kipsjr3664
@kipsjr3664 6 жыл бұрын
Agnesta Majaliwa usitake kuanzisha kubishana mitandaoni kama huna kazi ya kufanya kalale ayo ni maoni yangu kwa anaenijua atayafanyia kazi kama unijui fanya yako
@abumasoud1996
@abumasoud1996 6 жыл бұрын
anashangaza sana huyu mkaka anamtangaza diamond kama anagari diamond hana gari unayoisema wewe usipende kusema uongo.au umetumwa umfagilie diamond?
@gonggongo2140
@gonggongo2140 6 жыл бұрын
ww una ukaribu gan na diamond mpaka useme ivyo? acha upuuzi ww unadhan utampunguzia chochote?
@timszon
@timszon 6 жыл бұрын
Matako ya nyani Lol!
@charlesgiiti8629
@charlesgiiti8629 6 жыл бұрын
mh eti Neymar, Ronaldo wanatumia gar zenye thamani ya million 140 shit kabsa hii
@felixmsigwa9332
@felixmsigwa9332 6 жыл бұрын
Adam Singaile hizi ni used bro usipaniki
@lesterlester7563
@lesterlester7563 6 жыл бұрын
Inategemea ya mwaka gani ingia kwenye website ya audi hiyo Q7 ya 2018 ni balaaa hiyo ni ya zamani iliyoletwa apa
@amaniminjaa6958
@amaniminjaa6958 6 жыл бұрын
Adam Singaile v
@mwandumazaoidrossa1702
@mwandumazaoidrossa1702 6 жыл бұрын
Charles Giiti huyo jamaa mwehu yaani Ronaldo na neyma atumie garii ya mbovu hiyo ya euro elfu sitini wewe kweli kiaz
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Acheni kiki bhana! Gari ya milioni 140 wapo watu wa kawaida tu wanaendesha, ukiende visiwani Z'bar hizo gari watu wanaendea sokoni tu, afu wachezaji wakubwa wanaweza wakaendesha hata gari ya dola elfu 30 tu ikawa ni bei ya chini ya hiyo unayosema hata Bill Gates mwenyewe anapanda gari za kawaida tu za chini sana ambapo kwenye tuta lazima awe makini, gari yake kubwa ni Ferrari peke yake.
@MrKingsalim
@MrKingsalim 6 жыл бұрын
haha
@mburugithinji7204
@mburugithinji7204 6 жыл бұрын
barabara za kenya hakuna magari model za zamani hivyo.. gari zenu sura mbaya za kitambo, tembeeni kenya muone model mpya mpya sio kama hizo , mnatuonyesha harrier model ya kitambo . mnaendesha meuseum
@Mika-pv1er
@Mika-pv1er 5 жыл бұрын
hahaahahha
@wamburamahora597
@wamburamahora597 4 жыл бұрын
Mahari yemi nawe za kulipwa kwa swami ngamia
@EmmanuelMahiya
@EmmanuelMahiya 4 жыл бұрын
Usiwadharau wenzako ww
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 3 жыл бұрын
We mbwa una matatizo
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 18 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,2 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 107 МЛН
Prices of Cars in Dar es Salaam Tanzania 🇹🇿
8:20
Tideone
Рет қаралды 11 М.
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН