Magari yanayoongoza kwa kuharibika Injini DSM

  Рет қаралды 63,958

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

AyoTV imetembelea ILALA Dar es salaam eneo ambalo ni maarufu kwa kuuza vifaa vya magari vilivyotumika ambapo pamoja na kufahamu kuhusu mauzo ya spea, tumeambiwa Injini za magari ambazo zinanunuliwa sana kwa sasa.

Пікірлер: 30
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu 5 жыл бұрын
Umetisha brother umewahoji vizur na ume watangazia biashala pia 💪
@geofreymilinga1042
@geofreymilinga1042 5 ай бұрын
Bro. Ulaji wa mafuta unatofautiana hauwezi kuwa ni ule ule land Cruiser V8 haiwezi kuwa sawa sawa na Carina TI hata kama ziwe mpya kabisa hapo kidogo umechapia
@xxhotupo928
@xxhotupo928 2 жыл бұрын
bumper ya Grande Mark two bei gani?
@mgallason...5686
@mgallason...5686 2 жыл бұрын
Sasa gari ya kubeba kilo 500 Nyie mnazibebesha kilo 2000 mzigo wa toyota stout, Mnategemea nini.
@mamahustru
@mamahustru 7 жыл бұрын
hawa wauza spares wadhibitiwe na wawe registered. Maana ndo nguli wa wizi wa magari mjini, wanawezi wao, wanao iba magari na kuwaletea spares. Wawe a registration ya kila spare iweze kuwa traced inakotoka. Wameshaniliza sana hawa watu.
@real_a0794
@real_a0794 7 жыл бұрын
Moyosafi 1) usiongee kitu ambacho hukufahamu 2) wauza spare wako registered na kila duka lina lipia mapato ya serikali 3)wako na kamati ya wafanyabiashara ya spares ambayo inatambulika na serikali 4)kuna maduka zaidi ya 300 ya spare na kila duka halipungui engine 30 kwenda juu kwa akili yako wanaiba magari mangapi kuwa na duka mmoja tu 5)kila gari ina engine na kila engine ina serial namba mpka kwenye kadi za gari zimeandikwa na kisheria unapo badilisha engine ya gari lazima ukabadilishe na kadi 6)unapotoa kontena za spare bandarini unaandikisha kuna engine ngapi kwenye kontena na majina yake 7)kwenye risiti unayopewa ni lazima waandike jina la engine ili ikiwa na tatizo unaporejesha usirejeshe engine yako mbovu 8)wauza spare ndio wana safiri kwa wingi kwenda dubai kwa mwaka mmoja mtu mmoja kiuchache ana safiri tripu 5 9)unapo nunua spare dubai wanakaa na risiti zao ilikuwepuka mambo kama hayo unayodhani 10)samahani kama nitakuwa nimekukosea ni just kukuelewesha tu ahsante
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 6 жыл бұрын
Ahmed Mohammed ..Kwelio 100%Kuna Miwatu inajua Kujiropokea tu Hukuuu
@devidpanja115
@devidpanja115 3 жыл бұрын
@@real_a0794 safi sn nmekupata kaka
@masetomuhafiwa4546
@masetomuhafiwa4546 Жыл бұрын
mswaki ist Bei gani 2NZ
@innocentkyungai480
@innocentkyungai480 6 жыл бұрын
Natalia ya Noah VP inapatikana
@hassanhamudy6639
@hassanhamudy6639 4 жыл бұрын
Kitu poa xana hii mmefanya kwa biashara yenu na ya hao jamaa pia....tumepata kujua kuusu wao especially aina za magar na ubovu wao lakin pia nyinyi mmepata faida pia
@harounali1626
@harounali1626 7 жыл бұрын
Omar Said Ume zungumza kiufundi muhimu kujuwa Engine imeshatemba miles ngapi na service unafanya kila baada ya mileage ngapi hapo sawa. Suala langu wewe unaetuletea Engine kabla huja iweke dukani unajuwa ilisha tembea how many miles? Ili nikija kununuwa unaniambia engine hii ni mileage fulani. Kwani uzeekaji wa engine ni mileage na siyo miaka.
@real_a0794
@real_a0794 7 жыл бұрын
Haroun Ali unaponunua engine dubai gari zinakuwa zishakatwa from japan dubai ni soko tu ila kwa swali lako linajibika hivi unapouziwa engine hapa unapewa guarantees na unapo ifunga tu engine kwenye gari kama ina smoke au shafts inagonga au inachemsha unaijua mara baada ya kuifunga tu kwenye gari yako so cha muhimu umeshafunga engine yako kwenye gari engine ikawa haina tatizo kinachofuata ni service kwa time na utunzaji wa gari lako
@harounali1626
@harounali1626 7 жыл бұрын
Shukran kwa kunijibu nime lipokea jibu vizuri. Jazaakum khayra
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg 10 ай бұрын
😢
@laurentnkanga5449
@laurentnkanga5449 6 жыл бұрын
Mko sawa, shida iko kwetu watumiaji
@sammybrown5952
@sammybrown5952 6 жыл бұрын
shingapi!!!!
@malelabmalela5016
@malelabmalela5016 3 жыл бұрын
kwel
@ابنعثمن
@ابنعثمن 4 жыл бұрын
Suzuki Carry biashara kichaa,bora ununue bodaboda utapata pesa kuliko kujiona unamiliki gari kumbe gari ndio inakumiliki wewe, kwanza lazima uwe na gari?
@theresiamoyo3855
@theresiamoyo3855 3 жыл бұрын
Nina carry hp ina MIAKA 6 ijafunguriwa injini na ipo ok na inafanya kz kikubwa cha kutazama maji na ubora wa oil
@keflengeorge81
@keflengeorge81 3 жыл бұрын
Tunaomba no
@petrojacob3509
@petrojacob3509 5 жыл бұрын
NISSAN FUGA Inanitesa sana
@rashidyussufsaid6575
@rashidyussufsaid6575 3 жыл бұрын
Ilo jini mjomba acha tu likuuwe likikushinda uza fuga ni jini
@ahmedyoung7300
@ahmedyoung7300 7 жыл бұрын
ufafanuz mzur sana ah santeni
@moteshaenterpred3995
@moteshaenterpred3995 6 жыл бұрын
Na kama rings zimeshastik kwenye piston MTU atajuaje maana kitamu zili zote na rings zina mda wake kilometa laki moja tuu' baada ya hizo kilometa inatakiwa ovahall
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын
Gari itatoa moshi
@jumamichael4083
@jumamichael4083 7 жыл бұрын
Ndio
Jifunze namna ya kufanya engine diagnosis
29:15
ITV Tanzania
Рет қаралды 22 М.
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4 МЛН
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 32 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
MY HEIGHT vs MrBEAST CREW 🙈📏
00:22
Celine Dept
Рет қаралды 46 МЛН
USIICHUKULIE POA HII KARATASI  "KWAKO UNAETAKA KUNUNUA GARI USED"
16:03
Hali tete daraja la Zingiziwa Dar, wananchi watozwa buku kuvuka
2:13
Mwananchi Digital
Рет қаралды 11 М.
USAFIRI WANGU
11:59
KYANDO MOTORS TV
Рет қаралды 27 М.
MATUMIZI YA TAA YA OILI YA INJINI (ENGINE OIL LIGHT)
6:45
KYANDO MOTORS TV
Рет қаралды 1,3 М.
MAGARI MAPYA KABISA BEI SAWA NA BURE
10:20
Cheni tv Online
Рет қаралды 56 М.
Jinsi yaku endesha gari inayo tumia engine yenye Turbo.
6:12
East Cars
Рет қаралды 2,2 М.
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4 МЛН