KIJANA ANAYETENGENEZA TAA ZA MAGARI, IMARA KULIKO ZA WAZUNGU, AMEISHIA LA SABA, ANAINGIZA MAMILIONI.

  Рет қаралды 59,204

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 184
@eliakitungo8642
@eliakitungo8642 Жыл бұрын
Hongera sana! Nakuona ukifika mbali,Pambana usikate tamaa na mwamini Mungu na umtangulize mbele kwenye kazi yako, Hakika atakuinua kwa namna ambayo hutegemei hata wewe.
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Amina, asante sana mkuu.
@muddykuwe4123
@muddykuwe4123 10 ай бұрын
Viva viva viva brother
@christinapaul2957
@christinapaul2957 Жыл бұрын
Wakati kuna watu wanajiita wasomi wamefika hadi uraya lakini hata kijiko hawawezi kutengeneza hongera kaka Mungu akutangulie
@meshackmuna22
@meshackmuna22 Жыл бұрын
Ulaya
@jameshonore6554
@jameshonore6554 Жыл бұрын
Hao wasomi ndo wanaozuia wenye vipaji
@leecode6135
@leecode6135 Жыл бұрын
Tatizo wasomj wengi wanataka kuwa wanasiasa
@AceB4real
@AceB4real Жыл бұрын
Na wewe kasome haujazuiwa
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Жыл бұрын
@@jameshonore6554 ni kweli kabisa
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 Жыл бұрын
Jamaa ana akili kubwa sana. Somo ni kuwa akili ni tofauti na kusoma, unaweza ukasoma bado ukawa huna akili.
@abuubakarnassor7793
@abuubakarnassor7793 Жыл бұрын
Allah akujaalie Said ufike mbali
@wamburajoseph1250
@wamburajoseph1250 Жыл бұрын
You deserve kijana, keep it up!
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 Жыл бұрын
Millady AYO wanajitaidi sana kunyanyua vipaji. ONLINE MEDIA NYINGI WAMEBAKIA KUHAMASISHA NGONO TU NA MAMBO YA KIPUUZI. JAMAA ANAFANYA KITU KIZURI TENA NI MTANZANIA MWEZETU LAKINI HUONI WAKIMSAPOTI
@MauFundiElectronics
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Kazi mzuri sana kaka ongera sana mungu akubariki sana kaka
@moureenmickyy108
@moureenmickyy108 Жыл бұрын
God is with you all the time towards your talent...keep that spirit up
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Thanks
@peterkamau12
@peterkamau12 Жыл бұрын
he kijana wa Tanzania hongera licha ya elimu yako ndogo darasa la 7?!?.unahitaji kuinuliwa na wawekezanji mbagara,nakutazama kutoka Kenya msa taa zako ni za kupendeza ,urekekibishaji ni mzuri kazi ya umeme ni rahisi kuliko engine kufunga,fanya bidii ayo tv hongera kumufungulia kijana njia ya kujulikana,material watoa wapi?za kurekebisha plastic,
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
@@peterkamau12 Asante Sana. Karibu sana Tanzania, nakushukuru sana kwanitia moyo
@rehemasaadan3450
@rehemasaadan3450 Жыл бұрын
Wow hongeraa sanaa 🔥🔥👏👏👏
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Жыл бұрын
mashaallah naleta taa zangu mara moja
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Tanzania tuna vipaji sana sema hatupendi kuaminiana alafu tunawaamin wachina na vitu vyao feki
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Жыл бұрын
Nashangaa kwakwel
@deodartngaiza6664
@deodartngaiza6664 Жыл бұрын
Hongera sana Mtani wangu. Kama kuna uwezekano hebu tengeneza taa za SUZUKI ESCUDO/VITARA na SUZUKI GRAND VITARA taa za mbele na nyuma kwa mtindo wa kisasa.
@baseonline4178
@baseonline4178 Жыл бұрын
Hata hzo material anazotumia ni za mchina lkn
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
@@deodartngaiza6664 Asante Sana, natengeneza taa zote
@vicentmlumba591
@vicentmlumba591 Жыл бұрын
Na utafikia Malengo yako Mungu Akuongozee 🙏🙏🙏
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Amina. Asante Sana
@shukurumsuwakollo2264
@shukurumsuwakollo2264 Жыл бұрын
Umepambana sana tena kwa njia halali. Hongera sana !!! Vijana wajifunze kuwa wabunifu watafanikiwa.
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Amina. Asante Sana
@cojicode4206
@cojicode4206 Жыл бұрын
Hello hongera sanaa Said ingependeza kama unge weka na mawasiliano yako ili kwa mtu anae hitaji huduma yako aweze kukupata
@MichaelMwakibolwa
@MichaelMwakibolwa Жыл бұрын
@@saidijuma5843 Hongera sana said Juma.
@vicentmlumba591
@vicentmlumba591 Жыл бұрын
Huwaa nakubali sanaaaa navoona Vijana tunapambana maana hakuna namna Ni kuupiga adi kieleweke japo Ni Ngumu
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Asante Sana mkuu
@michaelodhiambo428
@michaelodhiambo428 Жыл бұрын
Keep it up my God bless your hands
@petersulle1937
@petersulle1937 Жыл бұрын
Hawa ndiyo wasomi, ambao amebuni jambo kubwa na kutengeneza ajira, leo tuna wasomi wengi wanatembea na bahasha. Safi sana Mungu akubariki.
@walterp.makundi5640
@walterp.makundi5640 Жыл бұрын
Hongera Sana kijana utafika mbali sana. Mungu azidi kukupigania. Sky is the limit
@Beautiful-Place
@Beautiful-Place Жыл бұрын
Africa tunaweza Mungu akubariki nakipaji chako ufanikiwe zaidi👍
@christophergambi8639
@christophergambi8639 Жыл бұрын
Nakubali sana kaka tuko pamoja nimeipenda kazi yako
@alexofficefurniture5797
@alexofficefurniture5797 Жыл бұрын
safi sana , Kazi Maisha
@mabuyewakabalekyamtwara5205
@mabuyewakabalekyamtwara5205 Жыл бұрын
Hongera sana keep it up
@richinda4799
@richinda4799 Жыл бұрын
Hongera sana kijana, Mungu atakupa kulingana na mipango yake juu yako.Endelea kumwamini, kumuomba na kumshukuru kwa kila hatua unayofikia
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Asante Sana
@tanzaniafxlab
@tanzaniafxlab Жыл бұрын
Najua lazima vipaji hivi ni vingi, asante milard kwa kutuibulia hawa, uendelezaji wa vipaji na upanuzi wa vipaji hivi ni muhimu sana
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Жыл бұрын
Serikali ingekuwa makini kuwekeza kwenye watu wenye vipaji hakika nchi hii ingegundua hata teknelojia yake"ila sasa watu wenye vipaji serikali haiwajali, iko bize Kuwaita bungeni walevi
@danielmiano6798
@danielmiano6798 Жыл бұрын
Innovation at its best
@enockmwalugi5927
@enockmwalugi5927 Жыл бұрын
Kaka umetiiisha sana bosi wangu.
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Asante Sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana utabarikiwa kwa maono yako
@salamasefu5494
@salamasefu5494 Жыл бұрын
Inshaallah utafikisha malengo yako taratibu .utafahamika.hongera mungu akubariki
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Amina. Asante Sana
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 Жыл бұрын
Safi sana vipaji hivo tuvienzi na kuvilinda mungu ibariki Tanzania..
@cleophacephelician6739
@cleophacephelician6739 Жыл бұрын
Dongo hongera na chapa kazi, wadau tumekuelewa kuna siku utapata hata taa 500 kwa siku
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Hongera sana
@frankngowi-vy7bx
@frankngowi-vy7bx Жыл бұрын
Hongera sana brother
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Жыл бұрын
Mungu akuinue zaidi
@shemelaruhinda6113
@shemelaruhinda6113 Жыл бұрын
Manshahallah
@tifadent1112
@tifadent1112 Жыл бұрын
Good work 👏👏
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Thanks
@morjanoman5181
@morjanoman5181 11 ай бұрын
Ongera Sana kijana kwa ubunifu mungu akusimamie katika upambanaji wako
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Safi sana mzee
@aryanamendes8700
@aryanamendes8700 Жыл бұрын
Hongera mnooo
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
Safi sana!!
@emanuelmichael1616
@emanuelmichael1616 Жыл бұрын
Hongera Sana kaka. Hayo ni maono ya ajabu. Endelea kutangaza (redioni na TV) biashara maana wengi hawakufahm aisee naamini wateja wapo wengi sana
@emiryfaida2437
@emiryfaida2437 Жыл бұрын
Good kija bt suruhisho tengeneza nyingi zisambaze Kwa wauza spea za magari hapo ndo utakua umeriza coz Kila mwenye gari ikiharibika anakimbia dukani akienda huko anakukuta
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Жыл бұрын
Napenda vijana wenye uthubutu
@ChoroTesla
@ChoroTesla Жыл бұрын
NI GOOD IDEA VIPI ANA VYOTENGENEZA AU KU REPAIR KUNA VITU VYA KUZINGATIA MFANO INTESITY YA LIGHT ,WAVELENGTH YA MWANGA MTU AKIWASHA TAA. MANAKE HVYO NDO VITU MUHIMU.
@daudiedsonrichard509
@daudiedsonrichard509 Жыл бұрын
hadi kuaminiwa na kampuni kubwa la usafirshaji basi ujue kila kitu kipo sawa
@meshackkalinga5915
@meshackkalinga5915 Жыл бұрын
Hongera pambana sana mungu akulinde
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Amina
@amanmalima940
@amanmalima940 Жыл бұрын
Ukimwamini YESU Kuwa BWANA na MWOKOZI utaokoka na utaenda mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
@kassimungemba5830
@kassimungemba5830 Жыл бұрын
Mnaoomba namba kwani hamjaangalia video mpaka mwisho? Mbona namba zimetolewa kwenye hiyo video?!!!!
@jamesmugwanja1659
@jamesmugwanja1659 Жыл бұрын
African should unite and support each other on items they can manufacturer....sio kilakitu kununua china....and governments should offer assistant to such people
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Жыл бұрын
Kijana said mungu akuongezee maarifa zaidi, maana umeonyesha ushujaa
@mirroyjunior8348
@mirroyjunior8348 Жыл бұрын
Nimependa iyo
@nehemiaayo9527
@nehemiaayo9527 Жыл бұрын
Good work ila sijawai ona serekali ikishulika vizuri na awa watu kidogo msema kweli JPM alikuwa aikiwapa sapoti
@avelindaniel2692
@avelindaniel2692 Жыл бұрын
Big up bro
@abelmwangangi5808
@abelmwangangi5808 Жыл бұрын
Kuja Kenya boss kazi iko mingi
@Bojak079
@Bojak079 Жыл бұрын
Respect
@mohamedbashir4344
@mohamedbashir4344 Жыл бұрын
Kaka hongera angetupa number zake nahitaji number nimpe kazi nipo Kenya Nairobi
@ShaskaMakota
@ShaskaMakota Жыл бұрын
Duuuh noma SANA
@iddirajabu4577
@iddirajabu4577 Жыл бұрын
Allah akubarik kaka
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Amiin. Asante Sana
@sabasshayo
@sabasshayo Жыл бұрын
Hiyonikazi nzuri sana, sanene pande gani upo tukutembelee.
@kamanda007
@kamanda007 Жыл бұрын
Safi sana, sasa nunua machines za hiyo kazi ili zionekane vizuri zaidi na kazi iwe ya haraka, hakuna kurudi nyuma mpaka ufungue kiwanda kikubwa cha taa za magari
@rashidmsuya5721
@rashidmsuya5721 Жыл бұрын
nakubali sana mwamba uyo
@iTargetMediaCommunications
@iTargetMediaCommunications Жыл бұрын
Commendable innovation. How can we collaborate?
@hudsson75
@hudsson75 Жыл бұрын
Hapo anatakiwa aongeze kitu kinaitwa vacuum forming machine, itamsaidia sana kupata shape ya taa kirahisi na kwa ubora zaidi
@1stnews283
@1stnews283 Жыл бұрын
Kaka pls embu nipe link ya hiyo vacuum forming nachine maana zipo nyingi
@hassangauday6272
@hassangauday6272 Жыл бұрын
Hongera haisee
@soothingrelaxingtime8976
@soothingrelaxingtime8976 Жыл бұрын
Njoo Nairobi tutengeneze pesa
@shadrackkassale2968
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Ila kigoma Kuna vipaji sana
@0107Funkid
@0107Funkid Жыл бұрын
Kuishia La Saba ni shida!!!!!isack newton aliishia la ngapi mnikumbushe?😏
@piustombili9921
@piustombili9921 Жыл бұрын
Usicheze na mtu wa Kigoma popote pale duniani asante sana homeboy
@vannyonlinetv6643
@vannyonlinetv6643 Жыл бұрын
Yooooh
@josephvenus3259
@josephvenus3259 Жыл бұрын
Watanzania tunavipaji na tunauwezo mkubwa wakufanya mambo makubwa sana, tatizo SERIKALI yetu haisapoti vijana kama hawa kabisa. Ndio kwanza wataanza kumwekea vikwazo kama Ukren na Urusi😏 Wanatia hasira 😠😠 Wakati China kijana kama huyo tayari angesha wezeshwa mitambo ya kisasa kurahisisha kazi zake na kuongeza ajira kwa vijana wengine.
@josephmwamalumbili8011
@josephmwamalumbili8011 Жыл бұрын
Mtu wa Mungu naomba namba zako Nina TAA MBILI za platzi naomba tuwasiliane
@michaelipius2660
@michaelipius2660 Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏💪💪💪
@mlionea
@mlionea Жыл бұрын
Njoo kenya
@rauliandismasi4027
@rauliandismasi4027 Жыл бұрын
Ongera sana broo, je mawasiliano tunayapata vp?
@simaiabdala6565
@simaiabdala6565 Жыл бұрын
Namba za sim
@vaskosamweli3556
@vaskosamweli3556 Жыл бұрын
Mjomba upo vzur
@saidijuma5843
@saidijuma5843 Жыл бұрын
Asante Sana
@nassirali7499
@nassirali7499 Жыл бұрын
Nyinyi waandishi wasenge sana mwenyewe anasema kafika form 2 nyinyi mnaandika kaishia la 7, mbona mnaleta usenge mnakosa maadili ya habari?
@fauzibinzoo6563
@fauzibinzoo6563 Жыл бұрын
Kwa siasa za kibongo navozijua mm huyu ataambiwa akasome veta wakat huko veta kwenyewe hawana utaalam huo bado kila kitu kwetu ni siasa tu
@nelsonkileo3247
@nelsonkileo3247 Жыл бұрын
This is Big
@soaregttz65
@soaregttz65 Жыл бұрын
Hapo Elimu sio issue muhimu anafanya nini mnakosea kuuliza watu elimu wakati anachofanya ndio Elimu yake hongera sana Elimu isikukatishe tamaa hicho unachofanya ni zaidi ya Phd
@0610John
@0610John Жыл бұрын
Ametisha lakn kwenye bei ajalibu kupandisha
@morjanoman5181
@morjanoman5181 11 ай бұрын
Tz. Wapo vijana wengisana wenye vipani ila tatizo nchiyetu inamaindi Sana vitu vya njeya tz
@martinisadru9899
@martinisadru9899 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa wasomi wengi, hawawezi kitu, Kuna akili za kusoma na akili za maarifa! Kwa watu weusi wenye akili za kusoma Huwachukia wenye akili za maarifa, maana mwenye akili za maarifa anatafuta elimu kidogo anaifanyia kazi kubwa.
@wilsonchallange4420
@wilsonchallange4420 Жыл бұрын
Namba ya simu
@mshua337
@mshua337 Жыл бұрын
Millard mshauri Jamaa atafute mtaji awe anatengeneza taa za gari ndogo anaziuza.mteja akifika anafungiwa na kuondoka
@moshirayheem8449
@moshirayheem8449 Жыл бұрын
Umeubinda mwingi sn kak
@marymanoni5536
@marymanoni5536 Жыл бұрын
Mbagara kuna nini vipaji vyote mbagara mmmm mbagara
@JohnMwangi-jv3pp
@JohnMwangi-jv3pp Жыл бұрын
Naomba nafasi ya kusoma huu ufundi , natoka nairobi , nipe jibu
@michaelodhiambo428
@michaelodhiambo428 Жыл бұрын
Am from Kenya I would like to have your contacts
@mabuyewakabalekyamtwara5205
@mabuyewakabalekyamtwara5205 Жыл бұрын
Contact please ili tununue hizo Taa?
@mosesnjorosh9717
@mosesnjorosh9717 Жыл бұрын
Vip namna ya kuwasiliana nae kwajili ya huduma iyo?
@nururaymond5
@nururaymond5 Жыл бұрын
Pongezi sana
@yusuphmruma1232
@yusuphmruma1232 Жыл бұрын
Namb za mshikaji napataje
@abdulyamiri3546
@abdulyamiri3546 Жыл бұрын
TRA karibuuu yko mud si mwngii
@foncetecelectricalandelect34
@foncetecelectricalandelect34 Жыл бұрын
Ndo shida hiyo
@nzitogondwe9976
@nzitogondwe9976 Жыл бұрын
Mild ayo naomba namba zake uyo mwamba nifanye nae biashara
@hamisihassankengejr4375
@hamisihassankengejr4375 Жыл бұрын
Wachina mwisho wenu umefika tunatengeneza wenyewe na hazipauki kama zenu bei rahisi Mspoti mtanzania mwenzako Kwa manufaa ya taifa
@mwami_the_don_
@mwami_the_don_ Жыл бұрын
Mbona ni mambo yamuda sana ayo jamani
@foncetecelectricalandelect34
@foncetecelectricalandelect34 Жыл бұрын
Unamaanisha nini?
@kassimubilali5259
@kassimubilali5259 Жыл бұрын
Naomba namba za jamaa
@mcno1noah
@mcno1noah Жыл бұрын
Safi jamaa anafanya kitukikubwa sana
@fahadfahmy
@fahadfahmy Жыл бұрын
Kijana ana Tallent mashaallah,ila hiyo kofia ngumu sio sehemu yake kuvaliwa
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 Жыл бұрын
Unajuaje
@fahadfahmy
@fahadfahmy Жыл бұрын
@@mohamedhaji2200 basi unajua wewe
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 Жыл бұрын
magu alisema tunaweza lakini tatizo letu hatuna marifa
@karibupemba5981
@karibupemba5981 Жыл бұрын
Weka namba zako za simu
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,2 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 17 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 24 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 25 МЛН
Leo Nimeenda kutafuta Mercedes’ Kama ya Kifee!!
13:27
Huku Yues
Рет қаралды 441 М.
#USAFIRIWAKO: Umeme wa Magari.
29:25
ITV Tanzania
Рет қаралды 6 М.
SAUTI YA VIJANA - Utengenezaji wa magari
36:36
IBN TV Africa
Рет қаралды 425
JINSI YA KUENDESHA GARI WAKATI WA MVUA
15:10
KYANDO MOTORS TV
Рет қаралды 3,6 М.
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,2 МЛН