Magufuli amng'oa Naibu Waziri mteule wa Madini aliyeshindwa kuapa, kuchunguzwa 'Degree' yake.

  Рет қаралды 118,865

ITV Tanzania

ITV Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 138
@rehemasaid6876
@rehemasaid6876 3 жыл бұрын
Usijar baba Kaa ktk nafas yako mungu aliyokupangia uwenda kuna kitu umeepushiwa
@christinabageze3188
@christinabageze3188 3 жыл бұрын
Kabisa rehema
@eastcuisines124
@eastcuisines124 3 жыл бұрын
kabisa aise Mungu ana mengi tusiyoyajua
@asteliamwashiuya5433
@asteliamwashiuya5433 3 жыл бұрын
kwer Mungu anamaksud yakee bab usjar kaaa tu sehmu yakoo nzur tu
@somyfrank1
@somyfrank1 3 жыл бұрын
Sijajua mwenye makosa ni Nani hapo, Ila nafsi yangu hainitumi kumlaumu huyu waziri mteule...ni hayo tuu
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 2 жыл бұрын
Ahaaa. Mwisho kukawaje???
@jeremiacoronery9213
@jeremiacoronery9213 3 жыл бұрын
Hatareee!! Kuna nguvu flan hapo bilashaka
@olivervalentino9788
@olivervalentino9788 3 жыл бұрын
Kabisa
@jessicastephano5974
@jessicastephano5974 3 жыл бұрын
Hatari jamani
@tecnof235
@tecnof235 3 жыл бұрын
Jaman wangempa nafac yawezekana kuna shida
@judithakoth1834
@judithakoth1834 3 жыл бұрын
Eeh Mungu bila wewe hatuwezi chochote tutetee,kwa kweli inatia huruma sana, pole sana Mungu yupo pamoja na wewe.
@annamitumba3981
@annamitumba3981 3 жыл бұрын
Yaan hii dunia bila kumtanguliza Mungu kwa akili zetu hatuwez kitu. Shetani yupo kazini.
@fadhilimahonya4575
@fadhilimahonya4575 3 жыл бұрын
uchawi upo shehee
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 жыл бұрын
Shetani kapewa kazi ni nani?
@RafikimediaTZ
@RafikimediaTZ 3 жыл бұрын
You touch my Soul. Very true my Brother. Mungu tumuweke mbele kabla ya kufanya lolote.
@goodluckjoseph2203
@goodluckjoseph2203 3 жыл бұрын
Pengine hiyooo hali siyooo yey lakin kwa kuwaa shetan yupo kazin ndoo mana mmetowa
@robinsonmaleo37
@robinsonmaleo37 3 жыл бұрын
Ukisikia uchawi ndo huu sasa. Wewe kuitwa kwenda kuapishwa umeshatangazia kijiji kizima. Unatarajia nn
@abdulazizchilwan5202
@abdulazizchilwan5202 3 жыл бұрын
Haha
@manaseelias2351
@manaseelias2351 3 жыл бұрын
Jamii inajua coz taarifa vyombo vya habari vilitangaza hiyo ni nguvu za giza na fitina , , Mungu atamsaidia kwa upande mwingine
@tecnof235
@tecnof235 3 жыл бұрын
Mungu msaidie
@vicenttheophil9254
@vicenttheophil9254 3 жыл бұрын
Jamani jaman hata kama ndo imani potofu huo ni uchawi tena ugwiji wa uchawi
@falzfalz7678
@falzfalz7678 3 жыл бұрын
Yesu wangu
@philipo_llovilov1311
@philipo_llovilov1311 3 жыл бұрын
Ukiskiliza kwa makini kasema "macho"kwa sauti ya chini ikionesha kuna shida hapo
@vitalisntahindwa5329
@vitalisntahindwa5329 3 жыл бұрын
Daaah pole yake
@myalekulwa
@myalekulwa 3 жыл бұрын
Daaaaaahhhhhh anatia huruma xna ,
@zacharymusungu8544
@zacharymusungu8544 8 ай бұрын
Rest in peace
@ukk9798
@ukk9798 3 жыл бұрын
YATUPASA KUMTANGULIZA MUNGU KWA KILA JAMBO HATA KAMA UNAONA LA KAWAIDA
@geroldmwinuka6411
@geroldmwinuka6411 3 жыл бұрын
upo sahh
@vicentshija5230
@vicentshija5230 3 жыл бұрын
Binadamu mdudu mbaya sana .akiamua kukuharibia anakuharibia usipomtanguliza mungu
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 3 жыл бұрын
Duuuh ii ndyo Dunia Mweken Mungu mbele jaman bola wamekuganya tu ukashindwa kusoma wengine siku unasimama apo ndyo mwisho wako Wa kuish mchen Mungu jaman
@rehemamaduhu5642
@rehemamaduhu5642 3 жыл бұрын
Pole
@ednamanji
@ednamanji 3 жыл бұрын
Jamani labda ana matatizo ya Macho, angevaa miwani.
@masundelwa
@masundelwa 3 жыл бұрын
Labda tatizo ni MIWANI jamanii
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Kama kuna binadamu alye mfanyia ubaya huyo Baba wa watu Mw/Mungu atamlipia
@pendosisiu1230
@pendosisiu1230 3 жыл бұрын
Hili ni ttzo la macho bn poleeeeeee ucjl bn
@nasrayahaya5007
@nasrayahaya5007 3 жыл бұрын
Pole sana
@jalexandergroupcompany2099
@jalexandergroupcompany2099 3 жыл бұрын
Safi sana
@wemabakari6605
@wemabakari6605 3 жыл бұрын
maskin au ni uoga wa kuwa mbele na mkuu labda
@ahadimastonesinkwembe6907
@ahadimastonesinkwembe6907 3 жыл бұрын
Mungu amtetee huyu waziri uchawi upo munge msaidia
@praxedakimario2928
@praxedakimario2928 3 жыл бұрын
Mmmh 🤔🤔🤔
@kelvinvenance3627
@kelvinvenance3627 3 жыл бұрын
Kuna kitu hakipo sawa
@jacquelineijumba248
@jacquelineijumba248 3 жыл бұрын
Kwani alitumia vigezo gani kwenye uteuzi?
@georgealila7003
@georgealila7003 3 жыл бұрын
Alikua haoni maandishi vizuri sio kama hawezi kusoma
@LISSA028
@LISSA028 3 жыл бұрын
Mungu anisamehee lkn hapa kuna mchezo mchafuuuu wa kishetani wamuhoji curio
@rhodanangoma7386
@rhodanangoma7386 3 жыл бұрын
Mshukuru Mungu Kaka ! Kwani yeye ndiye mwamuzi wa Haki.
@jeremiacoronery9213
@jeremiacoronery9213 3 жыл бұрын
Hapo alifanyiwa ukemia wa hali ya juu hyo kituu haiwezkani jamanii
@dayanashadrack3475
@dayanashadrack3475 3 жыл бұрын
Jamani hapa ndipo naiogopa dunia
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 3 жыл бұрын
Dunia hii ina watu ambao mungu anataka kuwaokoa lakini inawafanya wawe wagumu kweli kweli
@violetpaulsen1741
@violetpaulsen1741 3 жыл бұрын
Uchawi upo tumtangulize Mungu kwa kila jambo pole mheshimiwa wakati wako upo
@mwajabushaban6825
@mwajabushaban6825 3 жыл бұрын
Mmmmh 🙄🙄🙄🙄
@yudamwakinyala6381
@yudamwakinyala6381 3 жыл бұрын
Nakupenda Sana rais wangu ila ungemtanguliza Mungu kumstili huyo wazili ingependeza Sana kusoma kwa sauti sio kujua kikubwa utendaji km wako ulio tukuka utukufu baadhi ya walio apa vizuri huwenda nao wakawa sio waminifu kwenye utendaji unaona bola yupi mzee kazi njema..
@ericknchimbi6875
@ericknchimbi6875 3 жыл бұрын
Jamani uchawi hupo hadi kiswahili
@hopemusictz9353
@hopemusictz9353 3 жыл бұрын
Mh!
@colethamyonga8228
@colethamyonga8228 3 жыл бұрын
Adi huruma duuh,ndumba izi.
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Na avae miwani mngempa second chance jamani dah
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Binadamu sisi je ungekuwa wewe ndio umeshachaguliwa kuwa raisi alafu wakati wa kuapa kunatokea kitu kama hicho unanyanganywa uraisi ungejisikiaje wangesubiri siku ya pili angeenda kuapa tena watu wanapanick saa nyingine hata rais obama wa marekani alikosea kuapa wakamuapisha tena sijui nyumbani kuna nini was not fair upande wangu imagine saa nyingine huyo kaka angesaidia jambo kubwa sana kwa nchi yetu mbona Mungu anatupa second chance dah it’s sad
@estersaimon1825
@estersaimon1825 3 жыл бұрын
Dhuuu pore sana
@saheedali7467
@saheedali7467 3 жыл бұрын
Kusoma anajua ila macho yake yanahitaji kupimwa
@MrKhatibu
@MrKhatibu 3 жыл бұрын
Mtihani kwakweli, ila uongozi ni hekima na busara
@olivervalentino9788
@olivervalentino9788 3 жыл бұрын
Mungu amsaidie kuna nguvu za giza sio bule
@peterbenerd7367
@peterbenerd7367 3 жыл бұрын
Huyo jamaa nguvu ya giza imemshikilia raisi kipindi Kama bunge mwombeeni mungu
@mussamnyama3755
@mussamnyama3755 3 жыл бұрын
Amini kuwa uchawi hupo
@allykazoa7065
@allykazoa7065 3 жыл бұрын
YANI UYU kuna Kitu Siyo Bure Ndomana Unaambiwa Kabla Ya kwenda Kuomba Kazi Mtangulize Mungu Kwanza Yani Kuna Mkono Wa Mtu Siyo buree pole wazili Aikuwa Bahat yako.
@jacquelineijumba248
@jacquelineijumba248 3 жыл бұрын
Mkeo na watoto wako utawambia nini!
@merymwamwezi9273
@merymwamwezi9273 3 жыл бұрын
Duuuuuu umeshindwA kuapaaaaa. Hatareeeeee
@allykiwembo3043
@allykiwembo3043 3 жыл бұрын
atawambia nn kwan wao hawajuwi kama dunia ina mambo
@ericknchimbi6875
@ericknchimbi6875 3 жыл бұрын
Duuuuu
@ombenmunisi8301
@ombenmunisi8301 3 жыл бұрын
Huyo sio kwamba hajui kusoma kunatatizo wajanja wameshamuwahi
@samwelpaulo7399
@samwelpaulo7399 3 жыл бұрын
Jesus
@mrmarwayosiayakobo5209
@mrmarwayosiayakobo5209 3 жыл бұрын
Ziko sababu nyingi ambazo zinaweza zikamfanya asiweze kisoma vizuri.. Ila siamini kama jamaa hawezi kufanya kazi au kisomo chake ni cha mashaka. Maana naamin hata kuteuliwa kwake walitumia vitu vingi sasa inakuwaje inakuwa hivi.
@mrikariakulwa3184
@mrikariakulwa3184 3 жыл бұрын
Hii ni kawaida kabisa me ningekuwa raisi ningemwambia mh waziri ushapita tayari umeshahapa me nataka ukafanye kazi
@elizabethbusigara4568
@elizabethbusigara4568 3 жыл бұрын
Mbn kaongea tu vzr
@mjakazijuma
@mjakazijuma 7 ай бұрын
Lakin rais magufuli wakati mwengine aangalie Kuna mengine inakuwa ni mazaifu ya mwanadam Mimi Sina hata diploma Lakin kwa pale kusoma ninaweza unaweza kuona sio kwamba hawezi kusoma huenda Kuna sababu nyengine
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 2 жыл бұрын
Kaonewa tu wala sio mbaya kama alivyokaripiwa we sema simba hachezewi sharubu
@ilove6060
@ilove6060 3 жыл бұрын
Yani happy nanzi na mbuzi na jogoooo wamehusika hapo
@tazedrochannel9097
@tazedrochannel9097 3 жыл бұрын
Mh. Rais huyu ana Dyslexia, dyslexic wanakipaji cha pekee katika utendaji & ufanisi wao, tafadhali mfikilie tena nakusihi utaona matunda yake. Dyslexia ni ulemavu wa kusoma, ugonjwa unaoathiri maeneo ya ubongo ambayo huchaka lugha kati ya ubongo & ulimi inajumuisha ugumu wa kusoma kwa sababu ya shida kutambua sauti za hotuba na kujifunza jinsi zinavyohusiana na herufi na maneno au decoding. Hii inamaana gani? Anaposoma kwa sauti moja kati ya mawili yatatokea, akitaka kuelewa anachokisoma wasikiliza hawata elewa au wasikilizaji wakielewa yeye hataelewa anachokisoma, hivyo kumlazimu arudie anachokisoma ili aelewe, na hiki ndo kilitokea jana . Huyu mweshimiwa hana shida yoyote & wala si uchawi ila anahitaji professional help. Kwa sababu ya upungufu wa taaluma hii watu wengi duniani hususani nchi zinazo endelea hata hawajui wako dyslexic. Hivyo basi ningemsihi mweshimiwa rais amsaidie kama anavyo saidia & kuthamini mchango wa walemavu wengine kwenye serikali yake na jamii kwa ujumla. Hii ni orodha ya baadhi ya watu maarufu wenye dyslexia duniani m.imdb.com/list/ls071872465/
@felixmahiri4926
@felixmahiri4926 3 жыл бұрын
Jaman kila kitu ametekeleza lakini kuapa ndo shida duh mi siamin kuna mkono wa mtu apo
@hazibonplatformafrica9617
@hazibonplatformafrica9617 3 жыл бұрын
Wengine ibilisi tu,inamana mpaka anateuliwa serikali haikujiridhisha au ndo tuamini kwamba serikali haiko makini mahali🙆
@riphatmashaka7147
@riphatmashaka7147 3 жыл бұрын
Dah yani acha tu ndugu yangu
@ellywillisgotora1473
@ellywillisgotora1473 3 жыл бұрын
Wenge ilo
@halimamsoma430
@halimamsoma430 3 жыл бұрын
Pengne panikt hajaamin kama late ulikuwa
@hasybite8451
@hasybite8451 3 жыл бұрын
mh
@venstonvedasto
@venstonvedasto 3 жыл бұрын
Mheshimiwa nipo hapa.
@JoyceChaleswahili
@JoyceChaleswahili 3 жыл бұрын
Labda macho mabovu
@khalidkhazab2348
@khalidkhazab2348 3 жыл бұрын
aibu gani hii
@redemptamulokozi5841
@redemptamulokozi5841 3 жыл бұрын
Nguvu za Giza jamani
@rgtanzania4350
@rgtanzania4350 3 жыл бұрын
Omg 😁😬😬
@makunjatumbo
@makunjatumbo 3 жыл бұрын
Naamini kuwa hicho in kitete tu wangemwacha tuu aendelee na majukumu yake
@chibujongo8144
@chibujongo8144 3 жыл бұрын
aababa umuamnakitu
@sekiondowarema1786
@sekiondowarema1786 3 жыл бұрын
Mmmmmh huu n uchawi 😂
@jobjex6362
@jobjex6362 3 жыл бұрын
hahahahah
@mrkessi2683
@mrkessi2683 3 жыл бұрын
Tatizo ww haukum tanguliza mungu kwanza
@jumanneasumn2679
@jumanneasumn2679 3 жыл бұрын
Man
@aviwaomar439
@aviwaomar439 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ilove6060
@ilove6060 3 жыл бұрын
Kalogwa uyo
@yonamwansasu2578
@yonamwansasu2578 3 жыл бұрын
Kuna makubwa mengi chin ya jua tatizo sio kushindwa kusoma ni iblisi tu utajuaje labda akawa ana ona giza
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 3 жыл бұрын
Kabsa apo alikuwa aon kabsa bas tu wanadam tunapenda kulaumu Mm nimeumia sana jaman Watu tuwe na huruma unamuharibia mwenzako namna iyo apana jaman
@naturelle1097
@naturelle1097 3 жыл бұрын
Kusoma anajua maybe ana eye problemme
@juhudinyamike2189
@juhudinyamike2189 3 жыл бұрын
Uchawi upo
@masuzyatz8824
@masuzyatz8824 3 жыл бұрын
Huyo mbunge mwenye vyet hewa wa kwetu
@mansa_islam9898
@mansa_islam9898 3 жыл бұрын
Kipapai kimehusika sio siri
@sammabula7359
@sammabula7359 3 жыл бұрын
Aliyemteua ni nani
@charlescharles6664
@charlescharles6664 3 жыл бұрын
hajuwi hadikuapa kweri hafai
@basumegembotwa4167
@basumegembotwa4167 3 жыл бұрын
Nimeshindwa koment
@ramadhanmazije3882
@ramadhanmazije3882 3 жыл бұрын
Nini kimempata huyu mzee wa watu maskin!!!
@gracemwakikono4774
@gracemwakikono4774 3 жыл бұрын
Huuu ni uchawi
@ceciliaonyango5488
@ceciliaonyango5488 3 жыл бұрын
Huyo haoni anatizo la macho labda kasahau miwani
@beberurafiki3534
@beberurafiki3534 3 жыл бұрын
KUNA vitu ameshndwa kuongea lbd hawez kuongea unafiki. Mfano kwny neno kuilinda katiba, na kumshauri rais. sio kwmb hawezi kusoma.
@moikegandu7996
@moikegandu7996 3 жыл бұрын
Kenya hauwezi toa mtu Cheo hivo tu
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Yani mtu akikuita ndulane ni tusi kubwa sanaaa 😀
@seefeldeen797
@seefeldeen797 3 жыл бұрын
(( Coronavirus na kutangaza muujiza wa uponyaji bila chanjo wala dawa .. Imam Mahdi Nasser Mohammad Al-Yemeni. 09 - 12 - 2020 )) 👇👇 www.mahdialumma.com/showthread.php?p=340456
@saheedali7467
@saheedali7467 3 жыл бұрын
Pengine macho yake hayavuti
@godlackkitomari9019
@godlackkitomari9019 3 жыл бұрын
Itakuwa kalogwa jaman
@elizabethmbunda9514
@elizabethmbunda9514 3 жыл бұрын
Dah! jaman
@happykimaya2762
@happykimaya2762 3 жыл бұрын
Mmmmmh. Haibu ya mwaka
@riphatmashaka7147
@riphatmashaka7147 3 жыл бұрын
Sio haibu ila haijawahi kukuta ww, uchawi ipo ila mwenyez mungu amemuepuxha nakitu kwny hiyo nafas ya uwazir
@lukacosta3502
@lukacosta3502 3 жыл бұрын
Kakosa kazi kizembe
@tmedia9226
@tmedia9226 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eqirhIxnoK13oKs Angalia Ndulane akiwa anaomba Msamaha Jimboni kwao
@hotnews2637
@hotnews2637 3 жыл бұрын
Why selecting illiterate personnel
@rwemamutemi9572
@rwemamutemi9572 3 жыл бұрын
Tatizo la wizi wa kura huwa hivyo. Cha wizi hakidumu. ZABURI 89:14-15 Cv ziwe zinaangaliwa kwanza kabla ya kuteuliwa, Tanzania inatakiwa kuwa tajiri kuliko Russia ila tukiamua kizalendo!
@Waberoya
@Waberoya 3 жыл бұрын
ni huyo tu aliiba kura?
@wilbroadgrarcian1259
@wilbroadgrarcian1259 3 жыл бұрын
Uchawi upoi
🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU, 19 OKTOBA, 2024
1:00:36
ITV Tanzania
Рет қаралды 9 М.
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4,1 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,6 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 61 МЛН
Kilicho mtoa Ummy Mwalimu Afya na Kupelekwa Mazingira chabainika.
2:44
MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
35:46
WAZIRI ATETEMEKA AKILA KIAPO, ASHINDWA KUSOMA MBELE YA MAGUFULI
3:17
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI, 19 OKTOBA, 2024
29:51
ITV Tanzania
Рет қаралды 4,2 М.
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4,1 МЛН