Duuuhh binadamu wabaya jamani kweli mtu ghafla tu anashindwa kuapa kweli? Si bure kachezewa na kamati ya ufundi,pole sana mungu atakupa nafasi nyingine
@floridajonhmatata43653 жыл бұрын
uchawi upoo
@faustafrancis34623 жыл бұрын
Hii si bure raisi angalie kwa jicho la tatu uchawi upo jamani
@faustafrancis34623 жыл бұрын
Jamani huyu aape tena wamemchezee huyu si bure
@paschalsafari97472 ай бұрын
Duuuuh
@faudhiasalim23713 жыл бұрын
Jmn kwani aliwezaje kuapa bungeni ashindwe leo duh so sad
@scholarmawala48153 жыл бұрын
Hivi ninyi watu wa kusini mna lkn??? mnawapa wenzenu vigugumizi vya kutumwa !!!!😃😃😃hatari sana.
@greatiq78353 жыл бұрын
Dhana mbaya inaingiza dhambini
@lweshatv3 жыл бұрын
nilichofikiri ni kwamba mh.Rais angempa muda kuliko kumpa maneno mazito mbele ya kadamnasi na inatudhihirishia kuwa kiubinadamu tunatofautiana yawezekana ni imani zingine zimehusika NAMUOMBA MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ulifikirie hilo kwa mapana na inavoonesha kiutendaji mteuliwa yupo vizur sana ndio maana akamteua hyo ni wizara nyeti sana ambayo umeipigania kurudisha heshima ya wizara ya madini na inayoongoza kwa kukusanya mapato mengi serikalini.GOD BLESS MTEULIWA NA TANZANIA KWA UJUMLA
@deogratiuslwamboya40323 жыл бұрын
Fact. Ampe nafasi tena, kosa si lake. Dunia adaa walimwengu shujaa!!! 🇹🇿✍️
@bintmrisho35263 жыл бұрын
Amepigwa kipapai uyo Uchawi upo jamani😥😥😥
@tanzaniatouristsattraction16223 жыл бұрын
Si kawaida nahisi kuna kitu hapo watakuwa wamemchezea au kapaniki sijui
@joelnaja99353 жыл бұрын
Naweza kuamini maneno yako kbsa
@salehejongo27993 жыл бұрын
Pole Fransic
@upendoamani81643 жыл бұрын
Yesu wangu! Huyu alikuwa mhasibu wa Tanroad na baadae akateuliwa kuwa mkurugenzi,, na mwaka huu kachaguliwa kuwa mbunge. Mungu amjaze faraja,, hii kitu sio ya kawaida... Sasa naamini uchawi upo
@happyjohn58823 жыл бұрын
Hahaaa nadhani akumuaga mkewe hahaaaaaa
@upendoamani81643 жыл бұрын
@@happyjohn5882 yupo hapo na familia yake wanashuhudia hayo yote. Sijui ni simanzi gani iliyowakuta
@happyjohn58823 жыл бұрын
@@upendoamani8164 nadhani ni mshtuko tu wa tukio lenyewe,ila mh inaumaa sana sana
@bongofunnyJOKES58673 жыл бұрын
SUBSCRIBE kwa nyimbo kali za BONGO..kzbin.info/door/z8GpuDs61Z_Le4p_hSyCrw
@janetybubegwa52723 жыл бұрын
Hii hutokea mtu anakuwa anafanya jambo kubwa...Rais asimuondoe ampe muda atupe kisha maendeleo na kiapo
@syksyk72953 жыл бұрын
Duuuh Subhaana lah Kmb at serikaln wanalogana jamaa karogwa katiwa kigugumiz uyo il achemke kula Kiapo
@hawajohn7493 жыл бұрын
Daaa!!!! Mungu yu pamoja nawe kaka hata kuacha kama ulivo
@bongofunnyJOKES58673 жыл бұрын
SUBSCRIBE kwa nyimbo kali za BONGO..kzbin.info/door/z8GpuDs61Z_Le4p_hSyCrw
@jackjoshua36663 жыл бұрын
Raisi kua na moyo Pengne anae kigugumizi chukua mfano kwa raisie wa Zanzibar
@severnymlowe63763 жыл бұрын
Kamati ya ufundi hiyo
@christophertarimo50473 жыл бұрын
Noma sana, mtumbue chapchap
@alexanton91833 жыл бұрын
Mungu simama mwenyewe juu ya haya
@njonjodorice59263 жыл бұрын
Huyu baba ana kigugumizi ,watu wenye kigugumizi ndo walivyo wakikwama lazima waanze tena mwanzo
@obeyshadrack63413 жыл бұрын
Duuuh, kweli nimeamini uchawi upo, Au ndo malipo hapa hapa duniani
@bongofunnyJOKES58673 жыл бұрын
SUBSCRIBE kwa nyimbo kali za BONGO..kzbin.info/door/z8GpuDs61Z_Le4p_hSyCrw
@mr.elevator45673 жыл бұрын
Hayo ndo malipo ya duniani.
@cosmaskomba27233 жыл бұрын
Sijaelewa point ya kusema kashindwa kuapa, mbona kaenda sawa au ishu ni kusuasua?
@frankmathew17793 жыл бұрын
Ndio ivo itakuwa
@angelmbanga32063 жыл бұрын
Mtu anahapa anatumbuliwa macho Kama Mimi jamani duuu
@sospetercharles45753 жыл бұрын
Uchawi huu kabisa khaaa🙆♂️💀💀
@bongofunnyJOKES58673 жыл бұрын
SUBSCRIBE kwa nyimbo kali za BONGO..kzbin.info/door/z8GpuDs61Z_Le4p_hSyCrw
@hamadiyasini48103 жыл бұрын
Daah dunian kuna maajabu sana jamaa sijui kakumbwa na nini
Nimesoma koment nyingi humu nimegundua watamagonjwa ya saikologi
@bjzee19813 жыл бұрын
ccm oyeeeee
@mauwezohouseofjeansmauwezo60623 жыл бұрын
uchawi upo jamani
@alexbaynet34263 жыл бұрын
Sijaelewa logic ya yeye kuambiwa kuwa hawez kusoma wakati kasoma vizuri tu japo kasuasua kidogo sana,haijafikia hatua ya yeye kutoapishwa na kuachishwa uwaziri.
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Hatuna utawala wa sheria kaka,,,,
@isackyusuph683 жыл бұрын
Uchawi jmn
@zedianagasper94753 жыл бұрын
Masikini
@pariskatene3 жыл бұрын
Uchawi
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
Hata Wewe ungemtoa tu kwenye Uwaziri Maana Watanzania kwa kulaumu na kukosoa tungesema mengi.... Hila Kama Rais ameona hilo ilibidi amwajibishe.....
@bjzee19813 жыл бұрын
Nani kaona and bong'onezwa kwanza mbele ya magu 😂😂😂😂
@hapabongo80473 жыл бұрын
HAPO HAKUNA CHA KUROGWA WALA NINI.. HIZO NDIZO SIASA ZENYEWE, HUO NI MPANGO NA ULISHAPANGWA KITAMBO.. HEADLINES😎
@NancyMwaibula76343 жыл бұрын
Nikwamba hakupenda au sijakuelewa?
@neemamandara96293 жыл бұрын
Badilisha mwonekano sasa kwa kuipa thamani nyumba/ofisi yako Karibu follow page yetu @nitraclassic @nitraclassic