MAGUFULI AMSEMA WAZI WAZI KAMISHNA WA TRA ALIYEMTUMBUA

  Рет қаралды 14,571

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

#ProfesaKabudi
#WaziriMpango
#RaisMagufuli

Пікірлер: 17
@edsonlaurencemwagamasasi9074
@edsonlaurencemwagamasasi9074 5 жыл бұрын
Nakuelewa Sana Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@anthonygikuri
@anthonygikuri Жыл бұрын
Untouchable, touch them seriously🎉🎉🎉🎉
@victormanqa3879
@victormanqa3879 5 жыл бұрын
Yani uyu mzee sijui nisemeje ila munqu akupe maisha marefu
@saeedisa9798
@saeedisa9798 5 жыл бұрын
Jameni huyu rais halali.
@allykinama7450
@allykinama7450 5 жыл бұрын
Uko sawa
@minjacsd1874
@minjacsd1874 5 жыл бұрын
Fukuza watu wote wa TRA ajili wapya
@nachatvonline2996
@nachatvonline2996 5 жыл бұрын
Daa !mr president kwel wanakuangusha sanaa.
@stanelynjimbi7975
@stanelynjimbi7975 5 жыл бұрын
Tunakuelewa baba
@mrafm7285
@mrafm7285 5 жыл бұрын
Unachozungumza mkuu ni ukweli kabisa bila ya kodi huwezi kuijenga nchi na mwisho wa siku haohao ndio watakusema umeshindwa kuijenga nchi kuwa mkali mzee kwa maslahi ya nchi
@billgussy6099
@billgussy6099 5 жыл бұрын
Siasa hizo...haiwezekani ndani ya miaka 3 ufukuze kazi makamishna 4 halafu unatuambia mapato yako juu. Kama mapato yako juu kwanini wanao kusanya uwafukuze? Kitillya alikua kamishna kuanzia utawala wa Mkapa hadi utawala wa kikwete yaani miaka 20,. Mwanaume anae oa na kuacha mara kwa mara mara nyingi yeye ndo mwenye matatizo na wala sio wanawake anao waoa., wenye akili wananielewa.
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 5 жыл бұрын
Ww elewa kwanza sababu, Amesema malalamiko yalikuwa mengi
@billgussy6099
@billgussy6099 5 жыл бұрын
yahya majid yahya hilal al -harthi kwa hiyo leo ndo anakiri kuna malalamiko?? Najua uchaguzi mwakani tutaona mengi.
@adrianvandervalk6734
@adrianvandervalk6734 5 жыл бұрын
tanzania ni nchi kati ya nchi zinazokomba makodi kwa wingi kwa raiya lakini hatimae raiya wananjaaa miundo mbinu hamna majumba ya raiya mabovu. lakin nchi za wenzetu wanachukuwa kodi kwa raiya lakini hawatumii kwa vitu vengine zaid kuwajengea majumba raiya wake maskini na kutoa huduma za afya bure . elimu bure, masikini wanalipwa posho kila mwezi pesa ya kula yeye na wanawe. je tanzania lini?
@chambimagele6726
@chambimagele6726 5 жыл бұрын
Politics
@ChangchunRealstateDragon
@ChangchunRealstateDragon 5 жыл бұрын
We uache kujituma serekali ukijengee nyumba
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
@yahyamajidyahyahilalal-har8762 5 жыл бұрын
Ww Shukuru Elimu ni Bure na miradi mingine inaendelea mikubwa. Hizo nchi hazikupata Elimu Bure, posho na Afya Bure bila viongozi kuchapa kazi
@ivanmbuyah9077
@ivanmbuyah9077 5 жыл бұрын
Not true.... duniani hakuna kitu cha bure bure...
Rais MAGUFULI Alivyowabana TANESCO, Nusura AWATUMBUE!
27:53
Global TV Online
Рет қаралды 304 М.
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 3,4 МЛН
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 77 МЛН
HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOWATUMBUA WAFANYAKAZI WA 3 WA TRA
4:21
Mwananchi Digital
Рет қаралды 39 М.
Kisa Wasanii, Msukuma Awalipua TRA kwa JPM, Maagizo Mazito Yatolewa
12:08
Global TV Online
Рет қаралды 141 М.
BREAKING: JPM Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM
42:08
Global TV Online
Рет қаралды 138 М.
RAIS MAGUFULI AMTUMBUA MENEJA WA TENESCO MKOA WA MBEYA
11:53
barmedastv
Рет қаралды 346 М.
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 3,4 МЛН