Nakuelewa Sana Mheshimiwa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania
@anthonygikuri Жыл бұрын
Untouchable, touch them seriously🎉🎉🎉🎉
@victormanqa38795 жыл бұрын
Yani uyu mzee sijui nisemeje ila munqu akupe maisha marefu
@saeedisa97985 жыл бұрын
Jameni huyu rais halali.
@allykinama74505 жыл бұрын
Uko sawa
@minjacsd18745 жыл бұрын
Fukuza watu wote wa TRA ajili wapya
@nachatvonline29965 жыл бұрын
Daa !mr president kwel wanakuangusha sanaa.
@stanelynjimbi79755 жыл бұрын
Tunakuelewa baba
@mrafm72855 жыл бұрын
Unachozungumza mkuu ni ukweli kabisa bila ya kodi huwezi kuijenga nchi na mwisho wa siku haohao ndio watakusema umeshindwa kuijenga nchi kuwa mkali mzee kwa maslahi ya nchi
@billgussy60995 жыл бұрын
Siasa hizo...haiwezekani ndani ya miaka 3 ufukuze kazi makamishna 4 halafu unatuambia mapato yako juu. Kama mapato yako juu kwanini wanao kusanya uwafukuze? Kitillya alikua kamishna kuanzia utawala wa Mkapa hadi utawala wa kikwete yaani miaka 20,. Mwanaume anae oa na kuacha mara kwa mara mara nyingi yeye ndo mwenye matatizo na wala sio wanawake anao waoa., wenye akili wananielewa.
@yahyamajidyahyahilalal-har87625 жыл бұрын
Ww elewa kwanza sababu, Amesema malalamiko yalikuwa mengi
@billgussy60995 жыл бұрын
yahya majid yahya hilal al -harthi kwa hiyo leo ndo anakiri kuna malalamiko?? Najua uchaguzi mwakani tutaona mengi.
@adrianvandervalk67345 жыл бұрын
tanzania ni nchi kati ya nchi zinazokomba makodi kwa wingi kwa raiya lakini hatimae raiya wananjaaa miundo mbinu hamna majumba ya raiya mabovu. lakin nchi za wenzetu wanachukuwa kodi kwa raiya lakini hawatumii kwa vitu vengine zaid kuwajengea majumba raiya wake maskini na kutoa huduma za afya bure . elimu bure, masikini wanalipwa posho kila mwezi pesa ya kula yeye na wanawe. je tanzania lini?
@chambimagele67265 жыл бұрын
Politics
@ChangchunRealstateDragon5 жыл бұрын
We uache kujituma serekali ukijengee nyumba
@yahyamajidyahyahilalal-har87625 жыл бұрын
Ww Shukuru Elimu ni Bure na miradi mingine inaendelea mikubwa. Hizo nchi hazikupata Elimu Bure, posho na Afya Bure bila viongozi kuchapa kazi