Kama na ww umesikia Baba lao husininyime walao like 1 tu
@swaphiatysaid2944 жыл бұрын
Hata magufuli anfekuwa raisi wa Tz yote namaanisha Bara na visiwani pia angeweza na nchi ingekuwa ngangari zaid. maana huku Visiwan mh tuliokuwa huku tunajuwa hasa katika kipindi hiki cha ugonjwa huu. Kwa ushauri Mzee magufuli aungane na Shein ili Tz Visiwani iwe ngangar km Tz bara. Visiwan tuache ubinafsi tutakwisha
@mtanzaniahalisimungunimwem6734 жыл бұрын
Natamani ningekuwepo hapo nimuone kwa macho yangu.. nampenda sana Rais wetu mzuri
@alwyjahdhamy80944 жыл бұрын
Sijaonapo Africa rais humble Kama huyu. Huyu wa kwetu angekuwa robo tu ya Mr. Magufuli tungekuwa Mbali sana
@captenndunga61994 жыл бұрын
BABA LAO OGOPA SANA HUYO MTU AKITEMBELEA KWENYE OFISI YAKO UTAHISI TUMBO LA KUHARA LINAKUSHIKA.
@allyhamic12554 жыл бұрын
daah kwa hili mzee UMENIGUSA SAANA... KM NA WEW UMEGUSWA LIKE TUJUANE...
@MaryamAli-qt4wz4 жыл бұрын
Magufuli mungu akupe maisha marefu
@aishajuma77393 жыл бұрын
Hakika huyu ni wetu tunampenda
@waleoofficial68164 жыл бұрын
Tunaempenda Rais wetu,. Gusa picha Yangu kisha Subscribe Channel yangu ,,Twende sawa Twenty twenty
@moseskimwati51854 жыл бұрын
Kweli huyu narahisi mwema sana
@pilikhamis29244 жыл бұрын
Duuh anko ume nigusa sana yan nime furahi kupindukia kuja kwetu ww ndo baba Lao hasa mung akubariki maisha yako yote amin
@kulwasalum15384 жыл бұрын
Kwa kweli wa Zenji mmenifurahisha.Kweli huyu ni Baba lao👏👏👏👏
@shamsatambwe94174 жыл бұрын
President oyeeee
@onanarosse96574 жыл бұрын
Very humble president ubarikiwe Mheshimiwa for loving your people.
@gosbertrwezahura36454 жыл бұрын
Huyu Mkuu ni mtu mwenye ubinadamu na huruma sana. Ubarikiwe sana.
@benjohnson17634 жыл бұрын
Umpende, usimpende ni vigumu kumchukia Magufuli
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Kweli kbs
@fatumaabdhul86204 жыл бұрын
Kabisa
@christinemugo9694 жыл бұрын
Their prezzo I admire how he's good hearted and God fearing.....Kenya tulikosea nani jamenii
@mabyserolouchcraig24314 жыл бұрын
Imagine
@Wastara0014 жыл бұрын
Kaka, wakenya hatujaweka nchi yetu mbele
@kareemalamoody63454 жыл бұрын
Wajinga nyinyi nyinyi
@Wastara0014 жыл бұрын
@@kareemalamoody6345 matusi si uungwana
@abuuhudhaify51954 жыл бұрын
hhg
@hajdawoozanzibar58684 жыл бұрын
Tinga tinga piga saave. Zanzibar madudu majipu mengi. Ukimaliza Muda wakao bara uje zanzibar kuwa rais wetu. Kila lakheri 😎
@dicksonaroka69614 жыл бұрын
Aje wap??? s mtakuja kuhama nchi nyie au mpo tayar ki saikolojia pia
@jacklinamani75194 жыл бұрын
Wajanja Sana selikali ya Zanzibar wamempeleka hospital mpya kwann wasimpeleke Ile ya zamn
@mwajumajumamwajumajuma5934 жыл бұрын
Huyu rais mungu ampe maish maref San yaan ktk malais waliopita wote hawamfikii maguful
@ibrahimbakar6224 жыл бұрын
Kama ivyo fresh maana Z'bar nayo yako kiongozi
@fortunatusabraham84324 жыл бұрын
vitanda vya hospital havina mashuka(cover) so strange and unhealthy
@daudcharlesmhoja16144 жыл бұрын
Hvy n vtanda vya kupokelea wagonjwa Opd na wala s vingnevyo
@mamazenadotomlela16964 жыл бұрын
Yani jamani amna ata shuka moja
@kakaucholo1604 жыл бұрын
Magufuli your are good person
@ommymaconcept64204 жыл бұрын
Big Up Sana...He is hard working
@loner_wolf4 жыл бұрын
Mpeni tuhuma za Mr Kiringo.......sio mnachekacheka tu. Wazenji bana
@kulwaswetu44574 жыл бұрын
Kn mbowe mtaweza kuwakalimu wtz wenye shida mkshika dola?kwaleomtasemamnaweza kiukweli hamtoweza endapo mtashika dora kwani unaupungufu mkubwa wa utu
@hindisaidi50974 жыл бұрын
Kumchukia MAGUFULI ni kujipa ugonjwa wa moyo wewe mwenyeeewe.
@jimmymberesero73504 жыл бұрын
Amenibariki Kuuliza "Huyu Kapewa Huduma? Hebu Njoo Tueleze Dakitari.. Hlf Ndio Akawafata Wengine na Kuwapa za Sodaaa... Hongera Mingi Kwa BABA LAO 💪
@lilianelias41374 жыл бұрын
Like kwa baba lao...Magufuli baba lao.
@rayambarouk99724 жыл бұрын
Kwann tusiw km oman nss tukamueka magufuli mpak atakapokufa ndotukaeka mwingin magufuli anaweza san kutuongozwa inavopaswa anahurum nawananchi napia anawajibik ipaswavyo honger san rais wet maguful ila kwass wanzanzibar tunakuomba babalao uwatoe na mashekh wet waonee huruma familia zao zinatesek nawao ndomababa wafamilia tunakuomba rais wet
@mariamukajiru18984 жыл бұрын
MBONA VITANDA VYA HOSPITALI HAVIJATANDIKWA MASHUKA WAMELALIA KWENYE MPIRA MTUPU?
@karimjafari21014 жыл бұрын
Wangejua kama raisi atatembelea siku hiyo wangeenda hata kutafuta mashuka hata ya mtumba waweke maana kulalia mipila mitupu ni hatari kwa wagonjwa maana wanawezapata mambukizi kengine
@daudcharlesmhoja16144 жыл бұрын
Jaman hapo ni Opd namaanisha reception akiwa anafanyiwa uchunguzi baadae ndo watapelekwa sehemu ya kulalia
@swaphiatysaid2944 жыл бұрын
Eeh mola mpe maisha mareef magufuli
@marymusi82354 жыл бұрын
Yaani wanakuja Zanzibar mwaka wa uchaguzi tena
@gzodewizy8854 жыл бұрын
Mungu atubalik
@zephaniamosses94424 жыл бұрын
Hospitalini hakuna mashuka serikali muangalie
@anthonymchilika32244 жыл бұрын
Diamond ankufanya umpende Magu😂😂😂😂😂baba lao
@mamafatuma1384 жыл бұрын
Mm kenya lkn nampenda sana RAISI wa Tanzania sio huyu watu tabu tupu
@hassanjuma71644 жыл бұрын
Dah tunajivunia sana kua na Rais wetu huyu
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Nimkenya ila kwa hili rais najiskia machozi yataka nitoka
@binaliy64564 жыл бұрын
khadija Omar pole sn karibu sana Zanzibar
@zakayocyprian71174 жыл бұрын
Nasikia dogo mmoja kaifanyia lamination ela aliyopewa na mkuu
@thamiyuucute70984 жыл бұрын
Dah😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭unanilizaaaa😭😭😭😭😭
@ephronemboje90523 жыл бұрын
Iozi mado
@ephronemboje90523 жыл бұрын
Eyaisi shanyaga
@ephronemboje90523 жыл бұрын
Kwaya iseramagain
@ephronemboje90523 жыл бұрын
Viatu
@hassanmkwama99004 жыл бұрын
Raus wa tanzania, safiii sana kutembelea mnazi mmoja hospital
@simonjr_sparta4 жыл бұрын
Hawa jamaa waliovaa nyeusi mbona wako tepwe tepwe hvi wana mafunzo yoyote kwel ama ni kula kula ovyo na kusindikiza msafara
@henryking48364 жыл бұрын
Jamani mimi ni mkongomani nahishi marekani sasa hivi ila siku moja nitachukuwa uraia wa Tanzania
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Mm magufuli akisema haya jamani kwaherini moyo unaniuma haki ya mungu magufuli akienda sehemu akimaliza Ile ishu alafu aseme haya jamani Asanteni EE NAENDA moyo unaniuma nahisi Malaika Ananitoka huyu baba nampenda sana mungu a mjalie maisha malefu umri unaompendaza mungu AMINA
@ramakijiko11554 жыл бұрын
Huyu ndie Rais wa wanyonge kabisa.
@angelinacharles45874 жыл бұрын
Nakupenda rais wetu Mungu akuongoze vyema
@fatmahamad24484 жыл бұрын
Zanzibar kumeoza Huduma mbovu spitali
@abdulhakim76384 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu mh magufuli tunakupenda baba tuone znz
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Masikini huyu baba nyie mbona ziara zake ni istria nzuri sana? Mungu akufanye jpm uwe chombo cha sifa zake amina nakupenda Sana babaangu
@rugijofrey36854 жыл бұрын
Mkuu shitukiza na olasiti Arusha barabarani mbovu utadhani sio Tanzania hii
@aliyhamim16834 жыл бұрын
Maguful usikae sana iwe unakuja zanziba wahuju uchumi wapo weng sana
@imeldabamba37794 жыл бұрын
Baba laoooo😂😂👍👍👍
@naamohamed99644 жыл бұрын
Huyu rais kwakweli anashangaza watu sana ni rais wa istoria tz
Hello marafiki!! Jina langu ni rafiki, naishi Canada. tafadhali Subscribe kwenye KZbin channel yangu. mimi huzunguka ulimwenguni. Tafadhali subscribe ili upate kujua mengi kuhusu DUNIA. Asante kwa wale ambao watajiunga na mimi.
@amoury14814 жыл бұрын
Unazunguka afu unatuketea kitu gani special tukae tuangalie
@amoury14814 жыл бұрын
This is president baba lao
@sarahabdulatif73914 жыл бұрын
KATIKA JINA LAYESU RAISI NIVIZURI AW MMOJA TU WATAKE WASITAKE BWANA MUWEZ WAYOTE
@rahabujohn26914 жыл бұрын
Mbona vitanda havina mashuka?!!
@khamiskhamis9034 жыл бұрын
Nawajikaze babalao tu sie tukinatukilala kwenye misumar
@neveragainneveragain18804 жыл бұрын
Asante sanaaaa baba wa taifa. Wangonjwa watafutiwe mavazi ya wagonjwa amelazwa na Jeans😭🙆♂️🙆♂️
@mwafrikahalisi25494 жыл бұрын
Amekwenda na kujionea mwenyewe bila kusimuliwa na mtu yeyote. Hongera sana rais. 254
@hawa49684 жыл бұрын
Huduna mbuvuu sanaa
@ameyashey31744 жыл бұрын
Mh uyo afsa usalama yupo salama kweli maana 🤗sio kwa minyama hiyoo
@ameyashey31744 жыл бұрын
🤣
@mariyamdotto22454 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@yussufhassan51794 жыл бұрын
Much respect Baba magu 👏🙏
@patoo89534 жыл бұрын
Kama unakubaliana na mm hatutowahi pata Raisi kaa Magufuli gusa like
@moodkhamis38504 жыл бұрын
ukitaka kujua hiyo hosptl ni ovyo nenda ukatibiwe hapo au peleka mgonjwa wako
@hawa49684 жыл бұрын
Tena wanadharau sana wanakuona kama kidudu mbuyuu tuu
@MuslimChannelTZ4 жыл бұрын
Huyu ndo Raisi wangu 💓
@antimiss28954 жыл бұрын
SHABBY TZ wetu sote
@winndelule23024 жыл бұрын
😭😭😭😭nmejikuta nalia dah
@neemasanga45364 жыл бұрын
Magufuli nakupendaaa,,, Yesu asikupite
@rizikisalum96784 жыл бұрын
Mi kura yangu nitampa akitutolea mashekhe wetu ndani laaa aiivyo hata Tanzania nzima wampe simpi ngoo😏
@benjohnson17634 жыл бұрын
Kaa na hiyo kura yako moja, si lazima. Huko nje tuko wengi
@rizikisalum96784 жыл бұрын
@@benjohnson1763 itakuwa sio mie mie ni muislam lazimu ni lazima niumie anapoumiswa muislamu mwezangu
@hawaali81074 жыл бұрын
Wazanj wamefurah mashaallah
@mpendaomary57054 жыл бұрын
Mzee mm nakukubali cn mkuu wetu
@jriyadahmad56174 жыл бұрын
Ciipendi ccm ila dah magufuli ww unahuruma
@top20africamusics314 жыл бұрын
Diamond Platnumz BABA LAO
@robertnoel52324 жыл бұрын
Team Kiba Tutambuane
@aliebrahim94234 жыл бұрын
Afadhali umetembelea hapo,huku kwetu shida sana.
@ritchiexanti95874 жыл бұрын
huyu jamaa wa usalama mbona kama yuko out of shape hivi....anaweza kukimbizana na vile vijamaa vya Al Shabaab kweli?
@karanjanjuguna43434 жыл бұрын
Nashangaa pia na mimi. Huyo akastaafu😂
@babamicah87874 жыл бұрын
🤣🤣🤣 anatingisha kabs unono steki
@benjohnson17634 жыл бұрын
Rais anamuamini ndio maanake
@ezekielpaul92924 жыл бұрын
Aachie wengine
@mamachris68114 жыл бұрын
Anamudu idara yake
@dintazdintaz73114 жыл бұрын
Vx v8 landcruser is best in africa
@chuimnyama90744 жыл бұрын
Magufuli chuma cha pua V12 petrol engine
@mcrecho52394 жыл бұрын
Yani ata vtanda avina mashuka jaman watoto wanalalia plastik tupu
@ilynpayne74914 жыл бұрын
Kweli DIAMOND ni noma sana hadi watu wana muita magufuli BABALAO 🙏🙏
@jssaa47334 жыл бұрын
😀😀
@ahmadseif72414 жыл бұрын
Dk sheni na wewe lini utatembelea?
@abdulmarhaba39184 жыл бұрын
I wish znz tungelikua na kiongozi kama huyu
@hawa49684 жыл бұрын
Ndio uyooo !!!
@gregorychogelo20134 жыл бұрын
Inaleta raha sana!!
@queensjuma18324 жыл бұрын
Baba laoo 🤣🤣🤣🤣Kong master 👍👍CCM mbele kwa mbele,, mung akueke rais watu jembe letu
@StephenKasolo4 жыл бұрын
Magufuli Mungu akubariki
@nihifadhiabdul52114 жыл бұрын
Maguful baba laooo😍
@pksailortz44044 жыл бұрын
Naona mnamdisi uyo afisa usalama!! kwaupande wangu Sina mashaka sababu najua kila aliemzunguka Rais amekwiva kimafunzo ... GUSA UNASE mama ako atakulilia😎
@jssaa47334 жыл бұрын
😀😀
@hawamtambwa4024 жыл бұрын
Huyu Kiongozi hatari sana yaani anajali wananchi wake anahofu ya mungu, anahuruma hatari duuh mungu akuongoze kwenye kila gumu ulipitalo na uyapangayo Kwa ajili ya nchi yako yatimie
@ezekielnjau88304 жыл бұрын
Baba lao, nice
@vincentauxerbius75544 жыл бұрын
Magufuli baba lao ni jembe😁😁😂😂😂
@mwanatz59804 жыл бұрын
Amiin wapone kabisa.
@aishaomari18814 жыл бұрын
Rais unatoa elfu kumi kweli
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Weye ulitoa ngapi?
@hisanmwakijungu104 жыл бұрын
Wew umetoa ata mia kuku wew , kichwa kikubwa ubongo Wa kuku
@ameyashey31744 жыл бұрын
Mh Asha sema Alhamdulillah hata km kidogo maana wewe hukujaaliwa hata mia kuwapa
@niaanthony95884 жыл бұрын
@@arqamibnarqam.7185 😂😂😂😂Bora umemuuliza maana huyo alopewa kashukuru sana
@benjohnson17634 жыл бұрын
Peleka zako nyingi tukuone. Pambana na matatizo yako ya ki' ndoa kwanza ndio uongee hapa😂😂😂😂😂
@jenniferfenty1644 жыл бұрын
Ni mkarimu sana.
@simonthomas79694 жыл бұрын
Hakika ni baba lao
@yohanaernestbujiku33404 жыл бұрын
He always show humanity..this is very touching..may God protect you mr President
@ramaccr75254 жыл бұрын
Magufuli baba lao
@zoubertnassoro17164 жыл бұрын
Bonne rétablissement incha Allah zuberi avec les autres aussi incha Allah