Mchungaji Mbaga, asalaam alleikhum, Bwana Yesu asifiwe sana. Sipendi niwe mnafiki mbele zako na mbele za Mungu ninayemwamini; kiukweli moyo wangu unauburudisha mno kwa mafundisho yako sahihi. Nadhani kumsifu mtu au mtu kujidai kwaajili ya kumjua Mungu sidhambi. Ubarikiwe ila Morogoro tunakuhitaji mubashara.
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Amina ubarikiwe
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
IPO siku nitafika
@lugembezenzele65552 жыл бұрын
AMINA Ubarikiwe mtu wa MUNGU kwa somo zuri na kazi nzuri ya injili 🙏🙏🙏🙏
@salomengussa58972 жыл бұрын
Pr leo nimebarikiwa sana na masomo haya Mwenyezi Mungu akubariki sana,sana!!!
@jonacemanyama48582 жыл бұрын
Pr.Mmbaga wewe ni mtu wa maajabu makubwa sana Mungu akubariki sana 🙏.tuombee pia pastor
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Mungu akupe lililo hitaji lako
@jonacemanyama48583 ай бұрын
Amina naamini,nandivyo nipokeavyo
@naomikilonzo68982 жыл бұрын
Pastor Mungu akutie nguvu.
@kekechevebutoyi9531 Жыл бұрын
Looo uyu baba alishakuwa baraka sikunyingi mwenyezi mungu muzidishiye Siku zakueshi
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Amina
@Joycependopendo-dv2tb8 ай бұрын
Amen 🙏
@user-dh7yg6dl5e3 ай бұрын
Ila mchungaji naomba uwe unatujibu comment zetu mtumishi na sisi tutambe najua unachok ila ukipata nafasi utujibu at like tuu kwenye comment nitambe mm jmn nilinge mm nakupenda mtumishi MUNGU akulinde sana
@MahubiriPrMmbaga3 ай бұрын
Amina, ubarikiwe mtu wa Baba
@user-dh7yg6dl5e3 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga uwiiiiii MUNGU weee uwiii jmn nyieee njooni nimejibiwa huku mm walai Leo usiku huu wa Leo walai ni usiku mzuli toka nizaliwe uwiii nyie mtumishi Asante sana uwii hii naichukua nyiee 🤣Mungu Asante jmn yaan hii comment mchungaji na like Yako mm kila kitu kimeisha yaan hapa upako nimepokea balaka nimepokea nyieee mm nimebalikiwa sana uwiii Asante Yesu wenga mweee acha tuu Asante mwengaa du Leo nalala vizuli jmn
@ekelaalex9411 Жыл бұрын
Amen man of God ubarikiwe saana maana maisha yangu yana badirika saana nikifata mafundisho yako mungu asifiwe n'a atukuzwe milele
@NaftaliZaphania-ql9wk Жыл бұрын
Mungu akubariki pastor , nashukuru kwa mahubiri yako
@abelimalifedha17622 жыл бұрын
Hawa jamaa hawakubaliani hata na ujamaa, wanapenda kutawala mawazo ya watu, Wameleta mapinduzi mengi ya Kisayansi tunamshukuru Mungu kwa ajili ya mkono wake wenye nguvu kwetu.
@daud87852 жыл бұрын
Mungu atukuzwe Sana kwa kazi nzuri
@johanesneema591 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe,,,,, Nakushukuru mchungaji mbaga maana umenifunza mengi amabayo sikuyajua
@esterkaogo2390 Жыл бұрын
Nakosa rugha ya kuelezea ninavyobarikiwa Itoshe kusema BWANA NA AKUBARIKI NA AKUTUNZE🙏♥️
@juliasmlacha96862 жыл бұрын
Nawapata vizur kutoka ubungo Mungu awabariki
@elienew3788 Жыл бұрын
Nabarikiwa pamoja nanyi nikiwa Lebanon
@khaldn74092 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana mchungaji barikiwa sana
@alicesidi96012 жыл бұрын
Amen nabarikiwa nikiwa Saudi 🇸🇦 be blessed 🙌
@elizabethmagomamochache56842 жыл бұрын
Amen 🙏
@user-gk7ht2ig1l6 ай бұрын
amen
@zawadiamuli4186 Жыл бұрын
Natamani nami kupata kitabu baba🙏
@longheesanga71822 жыл бұрын
AMINA pastor Ubalikiwe Sana
@jaxmgoss7 ай бұрын
Me naomba soft copy
@floragatwiri3063 Жыл бұрын
Afternoon,plz sikiza hii ujisalimishe❤
@shaniachanceline27512 жыл бұрын
Amen 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💖💗❤️😍
@bahatijohn19582 жыл бұрын
Nimeelewa Mungu nipe macho ya rohon
@mabulasiminti51942 жыл бұрын
Mungu na atukuzwe
@hezekiamhapa73952 жыл бұрын
Pr umenibariki sana
@zawadiamuli4186 Жыл бұрын
Niko kwamu Uganda
@everinemasoka69232 жыл бұрын
Amen amen
@uwezomloko37592 жыл бұрын
Amen
@JC-lk3me2 жыл бұрын
Nakubali kwamba unaelewa biblia kweli kweli na umefanya reseach vizuri, na Mungu kakupa kipaji kikubwa. Lakini mabepari unaowasifia sijui kama umewafanyia utafiti mzuri. Pia hii mitandao yote tunayoitumia inaletwa na nchi moja tu, ndo ina tuwezesha kujifunza na kujadili watu wa maifa yote pamoja, Mungu anasemaje kufaidika kwa kitu tunachokinga au nchi upingayo?
@dasilvajr9647 Жыл бұрын
Pastor hicho kitabu nakitafuta sana nakipataje!
@trophywilson72112 жыл бұрын
Wasabato wote wangehubiri kama huyu ningeshakuwa msabato,huyu ni tofauti na wasabato 10,000
@priscambwambo10302 жыл бұрын
Wow Putin very smart
@priscambwambo10302 жыл бұрын
Da sasa Naelewa vizuri
@bahatijohn19582 жыл бұрын
Ameina
@Danielpablo92 Жыл бұрын
Kama na kwelewa hivi mwalimu
@samwelialex63102 жыл бұрын
Nimependa sana nataman kuchangia kununua hivyo vitabu japo vichache ila sijui nichangie vip
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
+255 755 932 283 wasiliana nasi kwa Whatspp
@kisonajohn3672 жыл бұрын
Barikiwa Sana Pastor
@Jr-pc3gr2 жыл бұрын
Kuna watu wako tangza nikiwatumia link wanasema hazifunguki shida ikowapi msaada tafadhali
@malkiadidoday46612 жыл бұрын
Good
@naomikilonzo68982 жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki sana, niombee mafanikio natamani na Mimi nitoe vitabu.
@jacobnyamanyi79262 жыл бұрын
Unabii unaufundisha vyema pastor lakini jiondoe kwenye mapenzi ya madikteta na wauaji. Watu wanaokiuka haki na utu wa wanadamu inaonekana unawahusudu sana. Kuna mentality potofu kwamba kila anayeipinga Marekani ni mtu mwema. Sio kweli. Wengi wao ni viongozi waovu, wakatili na wauaji wasiofaa kabisa. Wanaipinga Marekani kwasabu inapnga uovu wanaofanya na kuuchukulia hatua kuwawekea vikwazo. Ni kweli Marekanj inaeneza uchafu wa ndoa za jinsia moja na ukosefu mwingi wa maadili dunia hii. Hili ni jambo baya. Hata hivyo America sio taifa onevu. Sio taifa linaloua watu wengi dunia hii kama wengi tunavyoaminishwa na propaganda. Kwa kiwango kikubwa inazuia mauaji. Hakuna taifa lililotulia linalolinda raia wake na kuzingatia haki na uhuru wake kulinda raia wake iliyowahi kuvamiwa na Marekani. Ilipovamia nchi fulani ilivamia kwasababu kuna serikali ilikuwa inaua raia, au inatishia kuua raia au inataka kuvamia na kutiishia mataifa mengine. Syria, Libya, Vietnam, Afghanistan etc. Labda sehemu ambayo walienda bila sababu ya msingi wakitaka kumuondoa tu dikteta mkorofi ni Iraq. Sehemu zingine walikuwa na sababu. Na kilichoperekea mauaji sio Matekani kuua watu kama Urusi inavyofanya sasa hivi Ukraine. Kilichoua watu ni wenyeji wenyewe kupigana na kumallizana kwa chuki zao wenyewe. Hata sasa baada ya Marekani kuondoka bado wanauana tu.
@johnjulius69862 жыл бұрын
Nachukizwa na mafundisho yenu ya UONGO....!. Kuna siku, kuna wakati, kuna saa nitawaletea hukumu ya MUNGU, Waamini wata nyakuliwa, ila nyinyi mtakao salia mtaipokea hasiria ya MUNGU....nanyi mtamtukana mungu. Nyinyi hamjui Mungu kabisa na wala hamtaki kuisikia sauti yake.
@kisonajohn3672 жыл бұрын
Kivip ndugu
@johnjulius69862 жыл бұрын
@@kisonajohn367 ujifunze habari za mashahidi wawili...
@lizydavid26212 жыл бұрын
Nimechelewa kusikiliza ila pr Leo yamefungiwa jmni
@trophywilson72112 жыл бұрын
na africa tunafuata ushetani huo kiukweli ukija huku utalia machozi,
@priscambwambo10302 жыл бұрын
Tusimsonde Putin vidole kabisa. Ni muumini mwenzetu
@bensontemu93562 жыл бұрын
Shukranii MUNGU WA MBINGUNI AKUPE ULINZI,, ILA UWAKUMBUSHE HAO WABAPTIST WAACHANE NA JUMAPILI WAIELEKEE SIKU YA SABA YA JUMA
@malkiadidoday46612 жыл бұрын
Hao ni seventh day Baptist bro
@maulinemasistsa17262 жыл бұрын
Hio ndio injili kamali.mungu akuhifadhi kwa ajili ya wengine pia ,ninabarikiwa kila kuchao
@deusmorris10302 жыл бұрын
na wewe na siku ya saba watuwanamtafuta Yesu Bwana wa sabato bado huelewi soma kutoka 12:16