Niliwah kutoka mbeya kwenda dsm kwenye gari nilikua na lalamika mim tu japo dereva alitukosakosa ajal mara 3. Sometimes unakosa support unaonekana kama hujui magari au mshamba
@Heniryahaz9 күн бұрын
ABILIA ndo TUNASABABISHA AJALI
@lymsannouncement23219 күн бұрын
Hii iliwai kunikuta Mimi ila nilisimama nikamfwata DEREVA nikamkabaa
@CynthiaMokiwa9 күн бұрын
Uwe unalalamika tu me huwa sijali nasema hata niwe peke yangu nikiona yananizidia nipo radhi wanishushe tu kwanini tukatishane uhai
@TeophilBuilding9 күн бұрын
Na unaonekan una kidomo Domo san
@user-ib2ew9ec3d8 күн бұрын
Hutaki kutangulia kufa?
@JechaMakameIssa-gs2bl9 күн бұрын
Gari anavikia kuangusha hasi mizigo kwa mwendo kasi mnaokota mnaulizwa na Polisi vp mnajibu salama tu mnarudi kwenye gari dereva anaondoka mwendo kushinda ule mko kimyaa tu kweli siku yko ikifika alokupngia Allah hata ufanyeje utarud kwa muumba tu muwe pole wafiwa na majeruh wte
@SalmanMughal-lq5lt8 күн бұрын
Allahu Akbaru siku ilifika ajali hainakinga kila siku zinzungumzawa naHaziishi
@christaoman88909 күн бұрын
Kuna baadhi ya abiria ni washenzi sana wanaona dereva anaendesha mwendo kasi wametulia ili wafike haraka wamekaa km mizigo mwisho wa siku ajali inatokea ndio utasikia mwendo ulikuwa wakasi mbona hamkupiga kelele dereva punguza mwendo loooh pole kwa familia mliopoteza ndug zenu
@gabrielsagikwa33059 күн бұрын
Wajinga hawa
@jacksonjohn56869 күн бұрын
Kwenye gari ukiongea au kulalamika kuhusu mwendo hakuna atakayekisapoti na utaonekana wwe ni mchawi
@leokamil62849 күн бұрын
Kweli kabisa
@richytarimo46569 күн бұрын
kwel kabisa
@theprincejr14179 күн бұрын
Mimi mwendo km ni mkali lazima nipige kelele kwa driver , jpo kuna baadhi ya abiria watakwambia Acha tunawahi
@marcokatigula21269 күн бұрын
Poleni sana majeruhi wa ajali Mungu awape wepesi mpone haraka na pia azipumzishe Kwa amani roho za wenzetu waliotangulia mbele ya haki
@JeeyAmanzi9 күн бұрын
Abiria wengine sijui mpoje,maana kipindi polisi wamefika kwann msimseme dereva kwa mwendo anaoendesha
@christaoman88909 күн бұрын
Hata mimi nashangaa yaani wametulia km mizigo
@hapi61139 күн бұрын
Abiria ni wanafiki sana in short mm siwapendi
@leokamil62849 күн бұрын
Itikadi na uoga wetu watanzania utadhani tumepumbazwa kusema ukweli kwetu ni mwiko .Kila mmoja anaogopa kuanza kusema ukweli na kunadesturi akitokea wa kusema ukweli utasikia nyamaza wewe sisi tunaharaka zetu kama huwezi shuka yote hiyo wakidhani wapo salama.
@theprincejr14179 күн бұрын
Mimi lazim niseme asee😢😢 bas tu nasafirg na private
@drdd7749 күн бұрын
Dereva alikuwa kwenye mwendo mkali, Kwa nini msitoe taarifa police? Mpaka mnasubiri tatizo linatokea
@nancyg86649 күн бұрын
wape pole sio muda wa kuwalaumu
@drdd7749 күн бұрын
Unajua maana ya kulaumu? Mimi sijalaumu but, ninashangaa mnaendeshwa Kwa mwendo mkali na hanchukui action yeyote kwa dereva
@nancyg86648 күн бұрын
@@drdd774 siwezi kuandika kitu nisichojua maana yake. kikubwa kuwaombea waliofariki pia majeruhi
@GladnessSamson-xk2ii9 күн бұрын
Me ndo maana nafokewa na madereva ila ukweli huwa nawambia,, mmebeba watu siyo mawe.. speed ya Nini?? Khaaaa
@tumlakimwaitumule9 күн бұрын
Yani mtu anawapeleka mpelampela Abiria mmekaa kimya,hadi mizigo inaanguka,Huo ni uzembe wa abiria wala si Dereva tena
@MeshackLoripo6 күн бұрын
Poleni sana
@MwanahamisNyenzi9 күн бұрын
Mama sema chochote ajali ubakaji, ulawiti
@abdallahlugendo32219 күн бұрын
Duh poleni Sana kwa woteuliopata ajali
@user-bl6rd4pq4k8 күн бұрын
😭😭😭😭😭 serikali yetu mko wapi mbona mmewapa uhuru sana waendesha magari watatumaliza jamani
@temuramadhani51342 сағат бұрын
Madarali wa kubeti ndio chanzo Cha Aj
@EsterPaul-jt5im9 күн бұрын
Mimi mwenyewe binafisi abiliya tuache unafiki wengi wenu ndo utasikia yaani saa saba tu tupo sehemu furani kumkandamiza dereva cyo powa kwani namba za police zipo za ratira zipo
@Esterkomba-ef7eb8 күн бұрын
Shida sisi abiria tukiona dereva anaendesha mwendo Kasi hatusemi ikitokea ajali ndiyo tunashuhudia haya.
@RenoceMweli9 күн бұрын
Poleni sana wote mungu awaponye majeruhi wote
@temuramadhani5134Сағат бұрын
Ndio tatizo lenu habiria
@emmanuelsikamkono8 күн бұрын
hawa madeleva wa mabasi wanakuwaga wanazalau sana na ndomana wanapigwa na nondo za kichwa
@GdFf-ik2eo8 күн бұрын
Siku ikifika imefika haina kipengamizi Maanalipoulizwa vipi mngejibu dereva anakimbiza gari hatari
@JustinMwashilindi9 күн бұрын
Polen sana madereva hawasikii jaman duullh
@NowelaRaymond-zq4ys9 күн бұрын
Tujifunze kuheshimu sheria, leo kuna yatima yarabi watoto wadogo kisa mtu mzima anatafuta sifa.
@inviolatamalifa68719 күн бұрын
Pole sana baba .
@aishahaji31289 күн бұрын
Huo ulikua uzembe wenu Polisi waliuliza wakatimiza wajibu wao mukome nashukuru angalau hamukjwapa lawama polisi
@gervaslukaya9 күн бұрын
Wazili aweke sheria kali kama inchi ya Ruanda wenzentu wanamilima mikali na miteremko mikali akuna ajali lakini sisi kila kukicha speed 100 na akamatwi pita wa Lori ukikamatwa na unaambiwa wewe moja kwa moja maakamani
@TellaaxisTz9 күн бұрын
Here we go
@StaphelyMganji21 сағат бұрын
Polen San
@iddimngazija19578 күн бұрын
Abiria tujifunze kukemea mwendo kasi
@user-yv3wh3on8h9 күн бұрын
Polen san
@johngasto41549 күн бұрын
Abiria wengi waga hatujitambui uoga wa kusema apa dereva sio kama ivo Sasa had polisi wamepita wameuliza Nini shida mtu unasema salama tu dah
@AnnaMwantende9 күн бұрын
Pole jamn
@LaizerSaitoty9 күн бұрын
Poleni sn kwa ajali
@gabrielsagikwa33059 күн бұрын
Kwa nini mlikaa kimya?
@angelaminde12479 күн бұрын
Poleni sana jamn. RIP
@harounsaid5809 күн бұрын
Cjui huwa wanawahi wapi
@Sidewanaman8 күн бұрын
Peleni sana
@AljuhaniAllyy-dg4ld9 күн бұрын
Mbeya kila cku ajali kulikoni mbeya? Juzi tu ajali imeua watu tisa leo tena 12 du!
Tatizo la abiria dereva akiwa na mwendo kasi hamsemi hadi ajari inapotokea Ndiyo tunasema sasa haisaidii
@HadijaZabroni-pu1lt9 күн бұрын
Apo nikushukuru mungu tu kwasababu ata ukisema dereva alikuwa sipidi aisaidi kwenye basi apo mbele Kuna namba ya police 🚓 why ukuoigia police
@yukundapeter82009 күн бұрын
Mara wa2 12 mara 14,mwandishi boya
@successfulyoutubersyt9 күн бұрын
Konaa za mkoa ni mbaya sana😢😢
@TrustElbashil9 күн бұрын
Abiri siku zote yakitokea ndipo mnaanza kulaumu madreva mlikuwa wapi kwanini
@MalitiniLubeni9 күн бұрын
Polen wapendwa 2:21
@hamisliguta5889 күн бұрын
Palen
@Heniryahaz9 күн бұрын
ABILIA WENYEWE HUWA TUNAKUWANWAJINGA UNAKUTA DREVA YUPO MWENDONILA UKIONGEA TUUU ABILIA WOTE WANAKUAMBIA ACHA KBELEMBE. ABILIA TUNASABABISHA AJALI NA SISI
@eloybaraka58999 күн бұрын
Fact
@omarsirleem71059 күн бұрын
Naibu mganga 😳.....ama me ndio sijaona vizuri,kwani neno mganga huko TZ linamaanisha nini
@Hamy11099 күн бұрын
Daktari wa Binadamu (Medical Doctor). Mganga wa Kienyeji ni witch doctor. Mitishamba ni Herbalist.
@MasterOil-qm6vw9 күн бұрын
Dereva mzuka ulipanda
@MasterOil-qm6vw9 күн бұрын
Huyo dereva alipona kweli
@Hamy11099 күн бұрын
Kadanja
@JeeyAmanzi9 күн бұрын
Abiria wengine sijui mpoje,maana kipindi polisi wamefika kwann msimseme dereva kwa mwendo anaoendesha
@MashakaMagesa9 күн бұрын
Waga tunasubilia yatupate majanga ndiyo tuseme eti
@CynthiaMokiwa9 күн бұрын
Angetokea hata mmoja tu wa kuongea pengine ingesaidia ona sasa mtu mmoja kakatisha ndoto za watu wengi