Fukuzwa Hutu zanzibar na sahiv kahamia kwa mashoga zake Mombasa na tanga 😂
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
BACHU ALLAH AMHIFADHI
@SaidJangoli-hr7wwАй бұрын
Mashallah jazakallah akhy Muhammad bachu ujumbe umefika Wacha waliye haki imefika .
@abubakarhajjabubakarhajj1252Ай бұрын
Kwangu mimi ni ukweli wake niliouwona Alhamdulillah Allah amuhifadhi
@eshasaid3258Ай бұрын
Msishideni hazigatii ulimegu wa umuhimu wa watu ❤❤❤❤❤ babake mungu amuweke peponi❤❤❤ mpaka leo watu wamsikiliza babake❤❤❤❤❤❤❤❤❤hanaadabu sana❤❤❤❤❤❤❤shukrani ustadha musini❤❤❤❤❤❤❤❤
@MuniraRashid-sx3upАй бұрын
Allah amuhifadhi sheikh bachu na azidi kukupa nguvu ya kutuelimisha
@sama-_8368Ай бұрын
Pumba kabisa
@farishfarish258Ай бұрын
Buchu Allah akuhifadh ) Hawa wengine hawana elemu sindano zimewaingia Wacha wapige kelele
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Shekh Muhammad Bachu ametutowa ujingani kwa mambo mawili la kwanza kwa siku ya arafa ili tupate fadhla za arafa na la pili ni maulidi kupiga matwari na kula pilau Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@salmananwaralmaisarah1387Ай бұрын
Shukran sana ustadh...kinachomueka bachu mjini ni hizo dharau na kejeli...hana lengine na kama analo birii alidhihirishe
@abeliever6823Ай бұрын
Wallahi naiskitika sana kwa njia ya ndugu yetu anatumia. Allah amhifadhi ndugu Bachu na kiburi. Allah amwafikie kuwa na karibu na watu wema ambao watampa nasaha ya kuwa na adabu kidhogo na heshima. Bahati mbaya. Uslubu na njia ambao anaotumia ndugu yetu Bachu siwo njia ya mtumme صلى الله عليه وسلم
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
Nyi masufi pambeni na uzushi Wenu yule amumuwezi nkamwe mnachochokasirika anaumbua Yale mnayoyaficha kwenye vitabu anawaambia watu kweli ndo roho zinaenda mbio mbio pamba neni huu so wakati wa kudanganya watu tena
@FaaidaTVtzАй бұрын
Al akhy, ebu tuoneshe kibri cha Bachu kiko wapi. Bachu amejibu hoja ya Sheikh wenu Said Ali Hassan kwa ufasaha na kwa kujenga hoja sasa kibri kiko wapi, au ulitaka Sheikh wenu asijibiwe kwa kuwa yeye ni mkuuuuuuuubwa sana kama mnavyosema..? Amini nakwambia kwenye Uislam Sheikh mkubwa ni yule tu anayefuata njia sahihi na ya haki basi.
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
@@FaaidaTVtz ni sahihi hawa ndo walivyo masufi kauli ya shekhe haipingwi hata kama kakosea wao wanaichukuwa hivyo hivyo arafu huyu bachu kwakuwa analingania wasoyataka wao ndo kageuka anakibri angekuwa mlinganizi wao asingeambiwa yote hayo
@user-hr9kb7ev1iАй бұрын
Swadakta ndungu yetu Allah atakulipa inshallah kwa hikma zako kwa ilmu unayo soma kwa mafusi,mawahabi hawataki kusoma ndio hawajielewi
@sharifsayyidalmahdalАй бұрын
Haki ilifika Allah amhifadhi bachu
@saidijuma-b9vАй бұрын
mungu akuhifadhi sheikh letu
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
HAMUWEZI TUDANGANYA WATU TUSHAA ELIMIKA NA BACHU ALLAH AMHIFADHI
@abeliever6823Ай бұрын
بارك الله فيك يا أخي العزيز Maneno mazuri nto جزاكم الله خيرا Allah amhifadhi Sheikh Ustad Hasan. Ningependa sana angepeleka nguvu zake ndugu yetu Bachu kwa mambo ambao yataleta manufaa badala ya kuwashambuliya wanaziwoni Dharau na kudhalilisha watu siwo katika mafundisho ya Bwana Mtumme Muhammad صلى الله عليه وسلم
@swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын
Maa shallah maelezo mufti Nyama za maulamaa Zina simu.
Maadam quran na sunna za mtume tunazo uelewa nahau twawaachia nyie makhurafi
@DiudaKozi-qu8slАй бұрын
Sheikh Muhammad bachu ametutoa kwenye ujinga
@muktarkassim6647Ай бұрын
Maoni ya kubalika
@user-ix8bu3yy5zАй бұрын
Mohd bachu amesingizia sheikh uthaymeen na kufanya uthaymeen ni mtu wa kauli mbili mbili
@mohagurey2214Ай бұрын
Mashallah
@DiudaKozi-qu8slАй бұрын
Sheikh Muhammad bachu yuko vizuri sanaaaaaa.Ameniondoa kwenye wajinga wa kitwariqa na kisufi
@fauznuhu9981Ай бұрын
Kkkkk bado mwa zama kwa uchinga pole mana chongo ni mfalme kwa vipofu
@taurehassan7399Ай бұрын
Allah akuhifadhi ost letu,endelea kufanya twakuelewa vzr sna❤
@waladulikhlaas7870Ай бұрын
Mashallaah shukran sana ustadh muhsin....Bachu akajifunze adabu kwanza...na tutamnyorosha...Na msa pia tutamtoa
@suleimanahmadaali5989Ай бұрын
Acha ubaguzi ndugu yangu, uislamu umekataza kubagua watu kwa utaifa, urangi, ukabila, usehemu Hayo ni maneno ya wasio kua waislamu, eti msa tutamtoa ndo umesema nin sasa
@KhamisQays-ur1dmАй бұрын
Ahasanta Habibi Barakallahu fiyk
@hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын
الله يحفظك سيخنا محمد با جو
@MaulidiJongoАй бұрын
Bach Bado allh ajampa uwongof ila tumuombe allh san
@AshrafAKhan-ql1tb8 күн бұрын
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakaatu Sheikh naomba unipe link au uniandikie swali na jibu yote kwa ukamilifu alioulizwa Sheikh Ibn Uthaymeen na alivojibu yeye Sheikh Ibn Uthaymeen kwa ukamilifu Shukran
@WilliamMaina-xh4sfАй бұрын
Mchenni Allah, mitandao mmejaza uislamu-siasa za makundi jameni, barabara ya sawa na malengo ya uwepo wa mwanadamu imesahaulika
@issaabdallah1205Ай бұрын
Ukweli tu unuma.. haki watu wanaielewa sasa... hadithi nyingi za uwongo za watu watwarika zinabainishwa simameni kwenye haki alokujanayo mtume enyi watu wa twarika. Acheni ibada za kuzuwa zuwa فان كل بدهة ضلالة
@user-go3bk6wr8uАй бұрын
masufi mnatabu.
@issaabdallah1205Ай бұрын
Hasira nyingi sana
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Hayaaaa fuateni ara yenuuuuuuuuuuu mausufi
@Hamis-ks1syАй бұрын
Kupitia vitu vingi sana alhamdulillha tumemjua ikiwemo ujinga ulodhihir kwenye maulid na kukataza baadhi ya vitu vya kijinga ikiwa pa1 na masufi kuwaaminisha wa2 kwamba Mtume wa Allah aonekana hata ukiwa macho.
@hassanmohamedabdalla4108Ай бұрын
اللهم اهدي الصوفي ضاله
@issaabdallah1205Ай бұрын
Eeee bwana hajazarauliwa munatengeneza huruma
@user-xb6tr5vq4bАй бұрын
Bachu nikipenzi chetu allah amuhifadhi katutoa kwenye ujinga
@Hamis-ks1syАй бұрын
Sana Wallah
@sama-_8368Ай бұрын
@@Hamis-ks1syANAKUTIA KWENYE UJINGA SIO KUKUTOA
@user-nh2wt4yd7wАй бұрын
Shekh Muhammad Bachu amewashinda ilimu nyinyi Muna chuki zenu muogopeni Allah Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu
@slimshah9460Ай бұрын
Ilimu gani kama si kejeli
@mngwaliis-haka5348Ай бұрын
Allah amuhifadhi sheikh Hajji upepo
@abdallamassoud53Ай бұрын
Kutukana mashekh
@Hamis-ks1syАй бұрын
Yaani masufi bna Akimrekebisha mwasema anamtukana baba ake akikaa kimya nongwa mnatakaje sasa?
@user-uy8en4fj6rАй бұрын
Wafahamishe ukwell shekhe muhsin huyo mkosefu wa adabu m.s bachu na mungo akuhifadh shekhe muhsin tuzidi kufaidika
@HemedSeriousАй бұрын
Watumwa wa fikra wa bachu Hawana haja ya kusikiliza hoja Bali ni ujuha kwenda mbele
@MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын
Musidanganywe na comments zetu ndio zikawapamoyo wa kutukanana na kukashfiana mitandaoni.
@DhaharanMussaАй бұрын
Mawahabi wote wamenyimwa ufahamu,ndio maana wengi wamekuwa magaid
@TaufiqMenejaАй бұрын
Sisi wasikilizaji tuna Ona Mohammed Bachu yuwajitahidi kututoa kwenye ujinga sisi waislamu wadogo wadogo ambao hatukubahatika kupata elmu... Fatwa za Bachu Zina nguvu kuliko zenu....
@mhusinigau3231Ай бұрын
Wewe bado mjinga ndio mana jitahidi usome
@Ahbabrasulintegratedacad-ok7uhАй бұрын
Shida ya buchu hajielewi
@slimshah9460Ай бұрын
Chizi fresh
@user-qv9ep6wq1tАй бұрын
Nawaona mawahabi wanavyo haha kukoment ila safarihii wasipewe nafasi jino kwa jino hadi waelewe
@HemedSeriousАй бұрын
Kazi mzr mashallah kama wakiachwa wanazidi sifa
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA
@khamisothman1154Ай бұрын
Acheni porojo
@ahmadabdallah740Ай бұрын
Mbona hamumsemi al hatimy alipokua akimtukana sheikh ali bahero ama vile ni mwenzanu muogopeni Allah na kueni na uadilifu
@KakaOmmy-xx6piАй бұрын
Nasoma comments alafu nawafuatilia sana .( huenda wamesahau)
@allyhamza9969Ай бұрын
naswaha yangu tusivunje udugu wetu kwa jambo la kupita.Eid itakuja na itaondoka ila udugu ukiondoka ni ngumu kuurudisha
@hassanWanjikuАй бұрын
Angalieni nyinyi masufi makhurafi hamtaki kufanyiwa raddi kwa uzushi wenu sasa lazima mwambiwe ila mkikosa kuambiwa ndo mnasema eti dharau mkiwasoma masheikh zetu mtajua kua nynyi wanafunzi tuu kubalini kurudi nyuma mfanye tawba kwa Allah sababu ya uzushi mmezidisha sana
@mhusinigau3231Ай бұрын
Umesikiliza ukaelewa lkn au umeziba masikio
@salimuawadhi8043Ай бұрын
Haki imefika ndiomaana mwatapatapa Sasa ndiomaa mwapingana wenyewe. Kwa wenyewe mbona mmemhalifu kadh wenu
Sasa kama waongoka kwa ufaasiq Kasome dini yako uijue usitegemee darsa ndo zitakazokutoa kwenye ujinga
@FaaidaTVtzАй бұрын
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Mtoa hoja umejitahidi katika kumtetea sheikh wako Ustadh Said Ali Hassan laakin haujavunja hoja ya Muhammad Bachu hata moja. Ustadh Said Ali Hassan ametoa hoja yake hadharani kwenye media sasa wewe ulitaka ajibiwe msikitini kwake peke yake.? Kwa ukubwa unaompamba nao asingethubutu kupotosha hadharani kuhusu Arafa, Sheikh Bachu yuko sahihi kumjibu hadharani kwa sababu kakosea hadharani na wala hakumvunjia heshima kama unavyotaka wewe ionekane. Kama heshima amejivunjia yeye mwenyewe kwa kuanza kupotosha hadharani.
Tatizo kubwa hatutaki kusoma sasa tukimsikia bachu twaona asoma jamani tusomeni bachu bado hajujua swarfa na nakhau sawa wafuasi wa bachu acheni kutukana watu
@suuahmed71Ай бұрын
Huyu Bachu hajui kama nyama za wana zuoni zina Sumu. Mtizameni tu mwisho wake.
@AllyAhmad-zg2ypАй бұрын
Alikuwa haradiwi ni mtume muhammad sala na Salam ziwe juu yake tuuuu
@user-xb6tr5vq4bАй бұрын
Nyinyi hamna elim nibala bala tu
@MBAROUKSAADHUSSEINАй бұрын
Mashekhe acheni ayo mambo yenu ya ufasiki munayofanyiana mitandaoni kama kik nyote mshapata na viewer wengi mushawapata, hebu tafuteni mambo bora kwa waislam muwafnye.
@kasimubangu1875Ай бұрын
We mwenyewe ni mrongo kama nihivyo
@NURRPRODUCTIONАй бұрын
Ustadh huyu jamaa lazma aambiwe ,anaumbungufu sana wa elimu
@amadeomarsaide5023Ай бұрын
Kwa hiyo nyie hamuezi kuanzisha mada mpaka bachu aongee ndio mupate mada? Na hamupati usingizi kufikiria vipi mummalize bachu? Basi Allah atamlinda kwa husda na chuki zenu mpaka haqqi ifahamike
@HemedSeriousАй бұрын
Uyo bachu hana adabu, yeye kwnz hana sheikh
@Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын
ukiongea usiwe na hasira kia mpole ili jamii isijue kua umekasirika
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
MWATAFUTA UMAALUFU KWA KUTETE BIDAAA NA BAATWIRI
@mngwaliis-haka5348Ай бұрын
Bachu aende akasome
@slimshah9460Ай бұрын
Alifu kwa kijiti😂
@mohagurey2214Ай бұрын
Masufi mmepoteza wafuasi kupitia kina bachu na kina bahero mungu awalipe
@darajanidaАй бұрын
kila mtu anakaburi lake ndugu yangu epukana na upotovu wa mawahabi
@mohagurey2214Ай бұрын
@@darajanida mawahabi wanatuambia tufuate sunnah ya mtume s.a.w na tuebukane na bid'a na hio si kitu mbaya, lakini masufi wanatuhimiza tuombe makaburi na tufanye kila namna ya bid'a kama maulidi na hio ni kupotosha ummah
Hivi maana ya matusi unaijua kweli au wajisemea tu,unajua maana ya hojja unaelewa kweli
@HemedSeriousАй бұрын
Matusi zaidi mnayajua nyny sababu ndio kz yenu
@salimuawadhi8043Ай бұрын
SHEKH unamuita BACHU ni muongo lakini wewe pia mbona wasema uongo umesema BACHU ametukana mashekh ili iwe hukusema uongo hebu tuambie tusi Gani ametukana mashekh mbona nyinyi watu wa Bidaa mwapenda kutumia hili neno kuwa anatukana mashekh
@swalehmohamedwaziri7499Ай бұрын
Mawahabi hawana inswaf na wapenda kubaranganiza mambo walaghai hawajali kudanganya bora maslahi yao yende
@abdulrahmanmussa4479Ай бұрын
Mfuateni kadhi wenu acha ubishi
@eastafricaqualitychickenfa9916Ай бұрын
Hapa naona kaja na mipasho haina aya wala Hadisi
@hassankarata8135Ай бұрын
Mwalimu unatuchanganya mbona kila kitu bachu hutufundishi bachu kakosea hapa kateneza hapa
@dullahbatuf9223Ай бұрын
Ndio kawatajia cz mwafanya ubishi tu masufi
@chidolakhatib7847Ай бұрын
Mukiambiwa ukweli wakuumeni ehhhh bachu Atawanyoosha Allah atazidi kumpa Elmu Mumjue makusudio yake kwenu …
@salimuawadhi8043Ай бұрын
Sasa wewe umekuja kuvunja hoja ya shekh au umekuja kutupotezea muda tu na maneno tupu kama waweza Lete hoja nanibara zilizoaomwa Sio maneno tupuu bila hata kunukuu KITABU hata kimoja unasema unathibitusha kitu Gani na huna hatq KITABU wathibitisha Kwa maneno tupu unamuita mtu muongo Kwa maneno tupu
@ahmedseif-cu4exАй бұрын
Na ww wataka ujibiwe na bachu hujawa na kiwango cha kijibizana na bachu
@dullahbatuf9223Ай бұрын
Katukanwa wap kwn pamewekwa sawa tu
@maadinaJumaАй бұрын
Kama ww nimkweli mbona ckuelewi
@salimabdalla6290Ай бұрын
Si nilisema kuwa atajibiwa mm na huyu kijana naona ni kama akili zake ni za kifyetu bachu kashabachuliwa akabachuka
@firdaushamid8200Ай бұрын
Bachu kawaida yake hajuwi kuongeya kistaarabu mpaka atiye dharau na kijeli hivo ndivo amezowe
@Hamis-ks1syАй бұрын
Sasa hapo ndo umezungumza nini? Kwahyo mawaidha yote ndo yalkua ya Bachu?
@HemedSeriousАй бұрын
Wewe kuskia sabb ni mtumwa wa akili za bachu
@sultanmohammed4157Ай бұрын
Backu ni mjinga katika dini yake. Hanailim hana heshema.
@KakaOmmy-xx6piАй бұрын
Sio vivuri kuwatukana masheikh kama humuamn bas sio lazima umufuatilie
@FaaidaTVtzАй бұрын
Wewe mwenye Elimu ebu mjibu Bachu sasa kwa hoja ya kielimu.
@khamisjuma7616Ай бұрын
kinachoendelea sasa kwa masufi ni wivu wa kuona mtoto mdogo ana elimu kubwa na tunakwambieni mtoto anajituma sana kutafuta elimu ni haki yake kuwafunika na nyinyi someni tu mtakua kama yeye
@HemedSeriousАй бұрын
Uyo bachu ana elimu ipi? Watu wa kuonewa wivu huwaoni mwehu weye? Mzee bachu ana elimu gani ya kufanyiwa chuki mjinga wew? Em nitajie japo kitabu Cha kutawadha mkojo tu Cha bachu ukitaja kitabu Cha kutawadha mkojo Cha bachu niwekee na namba yako niitume muawamala. 1m
@khamisjuma7616Ай бұрын
@@HemedSerious hasira hasara wala matusi si fani yangu yakurejee mwenyewe mijineno yako mibovu
@mohagurey2214Ай бұрын
Ukweli lazima udhihirishwe hata kama mtaita dharau...no more misleading of people in 21st century
@litimbaifyАй бұрын
Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli mwache Bachu atufungue macho na hamturudishi tena gizani endeleeni na kukaa gizani!
@AbutwalhamwanyukiАй бұрын
Huna hoja kumbee,;
@abdulsalum2852Ай бұрын
mtu akipotosha umma alafu watu wakaufufua umma kwa kuonesha ukweli ndo kutukanwa nani katukanwa ebu tuoneshe clip zamatusi ayo tuone jibuni hoja kwa dalili dini ya uislam sio kama makafiri kwamba akisema kiongozi ndo kasema hapana
@fadhilimusa9732Ай бұрын
Ei kwani bacho ni mwanachuoni au ni mpambe wa kiwahabi
@HemedSeriousАй бұрын
Mm nashangaaa wajinga wanaosema eti mwehu bachu anaonewa choyo
@rushu1232Ай бұрын
Kisha nyinyi munao support bachu kwanini amefukuzwa Zanzibar sababu ya ufedhuli na kukosa adab.
@Biziman-pu4kfАй бұрын
Nipe habari ndungu nikweli amefukuzwa
@rushu1232Ай бұрын
@@Biziman-pu4kf haruhusiwi kutoa khutba wala muhadhara na shida sio mtu wakusomesha amezowea ufedhuli ndio akaja msa kwenye jaa la taka.