Рет қаралды 396
UTV Tanzania
Majina ya wafanyabiashara waliokidhi vigezo vya kurejea katika soko kuu la Kariakoo baada ya kukamilika kwa ukarabati wa ujenzi wa soko hilo yanatarajiwa kuwekwa wazi Julai 10 mwaka huu.#AzamTVUpdatesMhariri | John Mbalamwezi