Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania
@mswaki_newstz5 күн бұрын
Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿
@imamwaki25665 күн бұрын
Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka
@AbdallahBabu-jl8ld4 күн бұрын
Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa
@princeisaac22025 күн бұрын
Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.
@BigZhumbe5 күн бұрын
JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
@allysimu68565 күн бұрын
Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah
@user-yd1pc8uy8x5 күн бұрын
Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama
@imallya65135 күн бұрын
Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa
@user-xk7vy4gb6g4 күн бұрын
Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo
@itanzaniaAS5 күн бұрын
Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume
@bugapeasant18274 күн бұрын
Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi
@RoanCorporation4 күн бұрын
Mama iko mzuri Sana
@mohamedelmi74355 күн бұрын
The problem has always been TRA, nothing but Rushwa rushwa rushwa
@azizimohamed91715 күн бұрын
Kweli mama kaamua
@shabanjuma42535 күн бұрын
Mkuu jafo hongera sana kaka
@user-wf8eb6nm4s4 күн бұрын
Tupo pamoja mama unaupiga mwingi
@MikaJoseph-h4p5 күн бұрын
Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo
@melitajeremia5 күн бұрын
Perfect kabisa
@user-mu1hx7yv9b5 күн бұрын
Mama mitano Tena unajua kazi mama
@bbclondonulimwenguwasoka61265 күн бұрын
Jaffo yuko vzr saaaaaana
@SAMISAI.5 күн бұрын
Hapa Mama kaupiga mwingi
@zuberiismail29724 күн бұрын
Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro