USIKAE OFISINI KAIFANYE KARIAKOO IWE MASAA 24 "RAIS SAMIA AMPA MAKAVU WAZIRI JAFO

  Рет қаралды 9,146

Millard Ayo

Millard Ayo

6 күн бұрын

Пікірлер: 28
@user-rq4fq4pw4y
@user-rq4fq4pw4y 5 күн бұрын
Mama Asante kwa uteuzi wa JAFO, Waziri mzuri sana na atatusaidia sana, TRA ndo shida Tanzania
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 5 күн бұрын
Big up sana Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania 🇹🇿
@imamwaki2566
@imamwaki2566 5 күн бұрын
Asante Raisi, sasa unaanza kueleweka
@AbdallahBabu-jl8ld
@AbdallahBabu-jl8ld 4 күн бұрын
Mama kama kocha wa mpira anajua kupanga timu na anajua mchezaji gani anafaa acheze wapi Nani anafaa akae wapi. Big up mama akili kubwa
@princeisaac2202
@princeisaac2202 5 күн бұрын
Our President is very Calm, relaxed, composed, Not Talkative though She knows Alot, Mungu endelea kumtunza Rais Wetu, Amen.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 5 күн бұрын
JAFO CHUMA back in business 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾
@allysimu6856
@allysimu6856 5 күн бұрын
Asante Sana mama unazidi kutupa raha watanzania mama chukua mitano Tena kulayangu niyako chukuaa mama chukuaa Tena mama nanikama mama mashaallah
@user-yd1pc8uy8x
@user-yd1pc8uy8x 5 күн бұрын
Mama kaenda na wake wameshindwa Sasa jafo ataweza Hongera mama
@imallya6513
@imallya6513 5 күн бұрын
Ni kweli mama!! Lakini swala la wageni kufungua maduka nje ya kariakooo sio sawa
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g 4 күн бұрын
Hapa kwa jafo umeweza. Chalamila yeye anatixhia wafanya biashara. Hongera sana Rais Samia kuwapa makavu hakuna kukaa oficeni tatueni kero za wananchi km Mh Makonda. Chalamila ujumbe huo
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 5 күн бұрын
Mama nipe hiyo kazi mmi kwenye kazi i ni zaidi ya mwanaume
@bugapeasant1827
@bugapeasant1827 4 күн бұрын
Umengea vzuri sana Mheshomiwa Raisi
@RoanCorporation
@RoanCorporation 4 күн бұрын
Mama iko mzuri Sana
@mohamedelmi7435
@mohamedelmi7435 5 күн бұрын
The problem has always been TRA, nothing but Rushwa rushwa rushwa
@azizimohamed9171
@azizimohamed9171 5 күн бұрын
Kweli mama kaamua
@shabanjuma4253
@shabanjuma4253 5 күн бұрын
Mkuu jafo hongera sana kaka
@user-wf8eb6nm4s
@user-wf8eb6nm4s 4 күн бұрын
Tupo pamoja mama unaupiga mwingi
@MikaJoseph-h4p
@MikaJoseph-h4p 5 күн бұрын
Wakwaza leo kariakoo ime karia kooo
@melitajeremia
@melitajeremia 5 күн бұрын
Perfect kabisa
@user-mu1hx7yv9b
@user-mu1hx7yv9b 5 күн бұрын
Mama mitano Tena unajua kazi mama
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 5 күн бұрын
Jaffo yuko vzr saaaaaana
@SAMISAI.
@SAMISAI. 5 күн бұрын
Hapa Mama kaupiga mwingi
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 4 күн бұрын
Jamani wamachinga waliosajiliwa tunaomba wasibughudhiwe ila kama sio machinga ni mfanyabiashra kaweka meza nje huyo hafai anawaletea shida wamachinga waliosajiliwa na wanachama chao kizuri sana kinaitwa KAWASO hio organization ipo smart sana sema kuna watu wanaleta siasa kariakoo kichunguzwe waache wafanya biashara na wamachinga wafanye kaz kwa ushirikiano pasiwepo na migogoro
@JacksonChokola-u2i
@JacksonChokola-u2i 4 күн бұрын
Yote Yako saw tuuu
@allymkamba1054
@allymkamba1054 5 күн бұрын
Kama ni Jafo yule yule basi natumai makubwa.
@Henricovicent
@Henricovicent 4 күн бұрын
😂😂😂😂
@victaboy7273
@victaboy7273 5 күн бұрын
Hakuna jipyaa
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 4 күн бұрын
Milori ni kero mitaani
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 39 МЛН
路飞被小孩吓到了#海贼王#路飞
00:41
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 54 МЛН
Жайдарман | Туған күн 2024 | Алматы
2:22:55
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 1,7 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 39 МЛН