Magufuli alijizaa kabisa hapa hongera sana makonda
@BilalMuhammad-jt6sq6 ай бұрын
Dah nakukubali sana m h makonda
@gewatv6 ай бұрын
Sometimes makonda huwa nakukubali Sana, yani Kati ya vitu nisivyovipenda ni huo upumbavu wa baadhi ya viongozi kujifanya miungu watu. Keep it up Makonda 😮
@ramadhanmwandambotuntufye59726 ай бұрын
Kaka makonda nakuelewa sana, njoo na huku kigoma Kuna madudu mengi, njoo utusaidie.
@alfinmbilinyi59856 ай бұрын
Yeah! Kazi nzuri makonda mungu akubariki sana.Ila unafaa kuwa waziri mkuu au waziri wa ujenzi.unauzalendo furani .big up!
@reenesa6 ай бұрын
Mimi sina Chama, lkn kwa hili KUDO MAKONDA!!👏🏾👏🏾👍🏾
@MohdAli-cx7bc6 ай бұрын
Kwa nini hawi raisi uyuu😂😂😂
@biwakambagwa40416 ай бұрын
Hongera sana kwa kaz nzr sema tuu nchi hii ni kubwa halaf watu wa supple hiyo mko wachache,Naomba kwa uwezo wa mnyazi Mungu uendelee na kasi hiyo ili pengine Heshima ya Chama iwe Mantained,,,Tunakushukuru kiongoz kwa kaz nzr
@wahidaabeid57126 ай бұрын
Asante makonda nakupendea kwa Hilo mungu akulinde
@arafahhh55746 ай бұрын
Hajamchongea ila ashtakia apate haki yake
@user-oz1mh4li3q6 ай бұрын
Tunakupenda sana makonda toka ukiwa mkuu wa mkoa wa dar -es- salaam
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Unampenda ww usi2seme sisi wote
@florencemeza65406 ай бұрын
Toka lini mwislam akampenda mkristo mna chuki mnoooo sasa kuna upumbavu mwingi mmefyata@@KassimAlly-xp4dz
@florencemeza65406 ай бұрын
Dar imekuwa kichaka makonda aliiwezea
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur6 ай бұрын
Kwa Uweza wa MUNGU uishi miaka mingi Makonda na siku zako zitimie
@KiongoziMwandamizi6 ай бұрын
Tena walipe na riba ni ushenzi
@user-ch9lp4kn7x5 ай бұрын
Tunakuomba uje morogoro makonda manyanyaso zidi ya idaraya maji unajaza form mwakamzima uletewi mlejesho mungu amekuteu mtetezi wa wanyonge tunakuoma makonda uje morogoro
@user-it6pm4rh8s6 ай бұрын
Hata hamishwa ataondokaaa superb statement
@devangandhl22556 ай бұрын
Mheshimiwa .hayo yapo tu kila kona nchini kwetu. Inahitaji wizara ya kusimamia madeni ya ndani .hao watendaji wanajifanya miungu watu.wafanyabiashara nao wakipata mchepuko ni wabaya lakini ikiwa wizara itasidia kuwasimamia
@baghabaghaingwengwe17506 ай бұрын
Hakika Makonda anaenda vizuri pale panapo tokea mtu kuonewa
@AbdulmalikFedrick-ct7nb6 ай бұрын
Mueshimiwa makonda wafundishe kazi Alha akufanyie wepesi inshallah uwe kiongozi bola
@mwigambachristopher19766 ай бұрын
Kiukweli Chagueni viongozi wanaojielewa huyo mkurugenzi hatoshi kabisa ,furusha tu.
@Gdjn9745 ай бұрын
Afadhar sasa maana wanajisahau hawa mbwa
@joelyngomuo74416 ай бұрын
Asante Sana makonda
@daslamonline46656 ай бұрын
Dogo chuma Sana,
@abdallahkambangwa72155 ай бұрын
Hatar sana
@stephanomgonda30546 ай бұрын
Mwamba uyuu apaaa
@idanysedrc12006 ай бұрын
Mkurunguzenz kaishaliwa kichwa 😀😀😀safi sana makonda
@hawakiza60676 ай бұрын
Kaka Makonda urais unakuhusu
@user-ch9lp4kn7x5 ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge tunakuomba morogoro
@user-mk1qz1mn7w6 ай бұрын
💪💪💪💪💪
@user-zi1gp6dc2q6 ай бұрын
Makonda mauwa yako babaa ilove u buree gombea bc ubunge mtu wangu
@gaudencemhagama72166 ай бұрын
Safi sana makonda
@user-zi1gp6dc2q6 ай бұрын
Makonda mauwa yako babaa ilove u buree
@saidybhoky-lb7hg6 ай бұрын
ni kweli
@saidybhoky-lb7hg6 ай бұрын
uyo mkurugenzi hovyo sans
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Hhiii ni shida kwakwelii
@NepporSabith6 ай бұрын
Hakika kazi ipo
@raurentkorosso20146 ай бұрын
Pm uko vizur wasaidie watu
@florencemeza65406 ай бұрын
Wakurugenzi saa hivi wanakula mnoooo pesa huwaambiii kitu Samia alikosea saaana kurudisha pesa kwa wakurugenzi MAGUFULI alilitambua akapeleka pesa sehemu husika
@milanzitv12566 ай бұрын
Ok
@erickchitumbi13086 ай бұрын
Hauna baya katibu wa itikadi,uenezi na mafunzo ccm taifa.dumu kaka dumu milele.
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Duuu ni shida
@user-dw1um8rc2w6 ай бұрын
Komesha awo makonda
@mukeshimanarose13346 ай бұрын
😭🤲🤲🇧🇮
@kefamwakipesile2756 ай бұрын
Makonda sisi tunataka majibu
@user-mk1qz1mn7w6 ай бұрын
Asafisana makonda
@SamweliMwalyungu-du5ln6 ай бұрын
Makonda ww ndo rais
@broka_genius36156 ай бұрын
😂😂
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Ilo ni jembe letu rais ajaee dadikii
@zuanshimchina22786 ай бұрын
Kwani Makonda ni mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya au ninani mbn anajipa cheo cha km rais
@mwashilindicommandos63906 ай бұрын
Mbona jibu jepesi tu ndo CHAMA kilicho na dola
@user-hd5bg8qw1b6 ай бұрын
MWACHE AMSAIDIE WANANCHI YUKO VIZURI.AU UNAKISAC NAE?MI NAMKUBALI.JEMBE HILO WATU WANADAI HAKI ZAO HAWAPEWI ACHA AWASAIDIE WANANCHI TUNAONYANYASWA.
@zuanshimchina22786 ай бұрын
@@mwashilindicommandos6390 😃😃😃😃
@zuanshimchina22786 ай бұрын
@@user-hd5bg8qw1b hakuna lolote wenye wananyanyasika wanalia wenyewe mafuriko jana tabata yaani acheni tu hii Tanzania yetu hiii aaaaaa basi tu
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Uyo ndo Makonda a.k.a zero brain yy hachagui anaongea tu