Рет қаралды 531,583
Mkuu wa mkoa wa Dar es salam, Paul Makonda ameamuru kukamatwa kwa mwenyekiti wa mtaa wa Zavala kwenye mkutano wa hadhara Chanika kwa tuhuma za kuuza ardhi kinyume cha sheria ikiwemo eneo lililotengwa kwa ajili ya kuhamishia wananchi wa kata ya Kipawa ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege.#DarMPYA