ALIYEPEWA SHAMBA NA MAGUFULI ADAI KUDHULUMIWA NA MKOA, MKUU WA MKOA AWAKA "ACHAKUMDANGANYA MWENEZI"

  Рет қаралды 273,165

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 500
@killingmleke1810
@killingmleke1810 7 ай бұрын
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
@leonardkinanda3284
@leonardkinanda3284 7 ай бұрын
Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
@daudbulba9153
@daudbulba9153 7 ай бұрын
Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
@khadjamhozya
@khadjamhozya 3 ай бұрын
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
@user-ee5ph1tm9n
@user-ee5ph1tm9n 7 ай бұрын
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
@mrsab303
@mrsab303 7 ай бұрын
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 6 ай бұрын
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 6 ай бұрын
​@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
@FatumaShaban-g7g
@FatumaShaban-g7g Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@nurumwenkale7278
@nurumwenkale7278 7 ай бұрын
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
@elinipendokarisha9570
@elinipendokarisha9570 7 ай бұрын
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 7 ай бұрын
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
@user-mx8tp2li8e
@user-mx8tp2li8e 7 ай бұрын
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
@alexandersangi1724
@alexandersangi1724 7 ай бұрын
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 ай бұрын
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
@Obasaniyo
@Obasaniyo 7 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 7 ай бұрын
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 7 ай бұрын
Si kapewa hela mbwa huyu mama
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 3 ай бұрын
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
@mms9158
@mms9158 6 ай бұрын
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s 6 ай бұрын
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
@grayjordan3900
@grayjordan3900 7 ай бұрын
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 7 ай бұрын
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
@asajileraphael1951
@asajileraphael1951 7 ай бұрын
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
@josephineokama2200
@josephineokama2200 7 ай бұрын
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
@hopehealthcs3294
@hopehealthcs3294 7 ай бұрын
Wow true
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 7 ай бұрын
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
@user-zr1mk3xd2x
@user-zr1mk3xd2x 7 ай бұрын
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
@abdulmelele7322
@abdulmelele7322 7 ай бұрын
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 7 ай бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akulinde Na Kila adui CCM oyeeee
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 7 ай бұрын
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 7 ай бұрын
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
@user-sq5mb2gd6x
@user-sq5mb2gd6x 7 ай бұрын
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
@Muuzambuzi
@Muuzambuzi 7 ай бұрын
Makonda oeeeeeee big up sana.
@user-br7sf6ey9t
@user-br7sf6ey9t 7 ай бұрын
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
@rosesilio9008
@rosesilio9008 2 ай бұрын
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
@laylayl5166
@laylayl5166 7 ай бұрын
Huyo mama mmmmhhh
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 7 ай бұрын
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
@denisyohana8104
@denisyohana8104 7 ай бұрын
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 ай бұрын
Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 7 ай бұрын
Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.
@FredrickOlotu-u8n
@FredrickOlotu-u8n Ай бұрын
Jamani mungu amoaze mgufuri rushwa ilikomeshwa makonda tunakuomba uje morogor jamani uwi!
@user-kp3ii4et3v
@user-kp3ii4et3v 7 ай бұрын
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
@HamadiMgaluka-ld7hv
@HamadiMgaluka-ld7hv 7 ай бұрын
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
@johnbernad3990
@johnbernad3990 7 ай бұрын
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
@lucaschipanga4466
@lucaschipanga4466 7 ай бұрын
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 7 ай бұрын
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
@isaacmambwe6547
@isaacmambwe6547 7 ай бұрын
Tanzania yangu shikamooooooo
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage 7 ай бұрын
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
@denismnubi7001
@denismnubi7001 7 ай бұрын
Nimepda hiii
@Obasaniyo
@Obasaniyo 7 ай бұрын
Hahahahahaha😅😅😅
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 7 ай бұрын
Mefari tayari huyo mwwkezaji
@rivaldodeniss
@rivaldodeniss 4 ай бұрын
😂😂😂
@martinisadru9899
@martinisadru9899 7 ай бұрын
Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.
@mot.tvmsamvu6770
@mot.tvmsamvu6770 7 ай бұрын
hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile
@user-go6xm3ef1o
@user-go6xm3ef1o 7 ай бұрын
Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu Hawa awajawakiliwa na jua la maisha
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 7 ай бұрын
​@@user-go6xm3ef1oafukuzwe na nani
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kwamba mwenezi akitoka jamaa anakipigo😂😂😂😂imebidi nicheke
@daudisaimon7466
@daudisaimon7466 7 ай бұрын
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
@SAIDSAID-zb8xr
@SAIDSAID-zb8xr 7 ай бұрын
Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana
@Obasaniyo
@Obasaniyo 7 ай бұрын
Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge
@user-nv4li8of1s
@user-nv4li8of1s 7 ай бұрын
Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu
@jacobmwashambwa4893
@jacobmwashambwa4893 7 ай бұрын
Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 7 ай бұрын
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷‍♂️
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q 7 ай бұрын
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
@laylayl5166
@laylayl5166 7 ай бұрын
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
@EmmanuelMwanza-ef9bf
@EmmanuelMwanza-ef9bf 7 ай бұрын
Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba
@neemanziku5403
@neemanziku5403 7 ай бұрын
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
@mihayokakwimba9524
@mihayokakwimba9524 7 ай бұрын
watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤
@bazarakimayenga3572
@bazarakimayenga3572 3 ай бұрын
Ni majembe
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 7 ай бұрын
Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa
@mariammalendeja370
@mariammalendeja370 7 ай бұрын
mitano ya nini tena tumpe makonda tu
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 7 ай бұрын
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
@adieldennis1316
@adieldennis1316 6 ай бұрын
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
@juliusmogaka2735
@juliusmogaka2735 7 ай бұрын
I wish for this man to be the next Tz president
@annakapolondo7771
@annakapolondo7771 7 ай бұрын
Me too
@emanuelgella8201
@emanuelgella8201 7 ай бұрын
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
@costantinochibago9768
@costantinochibago9768 7 ай бұрын
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 Ай бұрын
Roho ya magufuli bado inaendelea kuishi still😢😢
@ErickPazia
@ErickPazia 2 ай бұрын
Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤
@hamishassan6784
@hamishassan6784 7 ай бұрын
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 7 ай бұрын
Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 7 ай бұрын
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
@ROSEENOCK-l3j
@ROSEENOCK-l3j Ай бұрын
Nakupenda sana baba Mungu akutunze na akukinge na kila jambo baya
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 7 ай бұрын
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
@nadiatanzania
@nadiatanzania 3 ай бұрын
I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢
@giftmusa6543
@giftmusa6543 7 ай бұрын
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
@neema-ee6qm
@neema-ee6qm 7 ай бұрын
😂😂😂😂s
@giftmusa6543
@giftmusa6543 7 ай бұрын
@@neema-ee6qm hatari
@snurathalokobogo
@snurathalokobogo Ай бұрын
Nimemis mikutano ya makonda jaman dah!! Sijui yuko wap kwa sasa jaman 😢😢
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 ай бұрын
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
@user-kp3ii4et3v
@user-kp3ii4et3v 7 ай бұрын
Umenikubusha hayati Magufuli
@Zengeni-gz8fe
@Zengeni-gz8fe 3 ай бұрын
Acha tu ndugu YANGU ❤ magufuri
@EliasMalendeja
@EliasMalendeja 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde
@user-oq3dd5xj9m
@user-oq3dd5xj9m 7 ай бұрын
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
@user-uk9vm5jn9d
@user-uk9vm5jn9d 7 ай бұрын
Mheshimiwa makonda tusaidie mloganzira kibamba tusaidie tusaidie tusaidie
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 6 ай бұрын
🙏👊👊
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 6 ай бұрын
Deeply fact user🎉
@banguha
@banguha 7 ай бұрын
Uyu mama na miwani yake kama fundi maget ameanza kwa mbwembwe za umuogopi Mungu utadhan yeye anamuogopa muone gaun lake kama mwanafunz wa chekechea
@johnbernad3990
@johnbernad3990 7 ай бұрын
Sikutemea kucheka usiku huu wa manane 😂😂😂😂
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 7 ай бұрын
😂😂 na hilo tumbo Lake sasa
@fatumamilimo7336
@fatumamilimo7336 7 ай бұрын
😂😂😂😂niacheee
@martinisadru9899
@martinisadru9899 7 ай бұрын
@emmanuelmayunga1518 usimseme vibaya Kwa uumbwaji, maana hakuomba, Bali mseme Kwa mabaya aliyonayo kutoka moyoni mwake.
@seifkulwa3346
@seifkulwa3346 7 ай бұрын
Huyu mama hamna kitu!
@Gamba81
@Gamba81 7 ай бұрын
Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 6 ай бұрын
😂😂😂
@user-wp3yc6vv1f
@user-wp3yc6vv1f 3 ай бұрын
Mungu akulinde miaka za milele ,
@user-lh8uc4re6o
@user-lh8uc4re6o 2 ай бұрын
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
@WinfridaMdemu
@WinfridaMdemu 3 ай бұрын
We mama mungu anakuona kuwa makini utapigwa pigo kubwa sana
@EmanuelMusa-qp5je
@EmanuelMusa-qp5je 2 ай бұрын
Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q 7 ай бұрын
Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu
@doricecyprian7246
@doricecyprian7246 7 ай бұрын
Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂
@rosesilio9008
@rosesilio9008 2 ай бұрын
Camera man unavyommulika huyo mdaiwa huyo mzee ni noma mzee anavyoshangaa jaman kanyoosha shingo hiyo😂😂😂🤣🤣🤣
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 ай бұрын
Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi
@AmosJuma-wp2pe
@AmosJuma-wp2pe 7 ай бұрын
Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 7 ай бұрын
Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 3 ай бұрын
Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 ай бұрын
Mwenezi ruhusu waoneshe karatasi zao ndomuse serekali sikuzi inatoa mihuri feki?
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 7 ай бұрын
Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto
@billgussy6099
@billgussy6099 7 ай бұрын
dhuluma zime jaa sana hii nchi
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 7 ай бұрын
Acha uwongo mama karatas kazipata wapi
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 7 ай бұрын
Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy 6 ай бұрын
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
@deusisindwa616
@deusisindwa616 7 ай бұрын
Makonda we ni mtuu na nusu💪💪Mungu ibaliki 🇹🇿🇹🇿
@madinajamada9180
@madinajamada9180 6 ай бұрын
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
@AnzurunIbrahim
@AnzurunIbrahim 28 күн бұрын
Huy makonda alla ambariki maishyakeyaduniani hadi kesh akher
@gabrielbagonambona
@gabrielbagonambona 3 ай бұрын
Makondaaa ni magufili wa pili 😢😢😢 mama azid kukuinua babaaaa
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 7 ай бұрын
Hadi raha
@ishipalemypasco2567
@ishipalemypasco2567 7 ай бұрын
Ngoja nikae niagize na soda 😂😂😂
@josephmaroa636
@josephmaroa636 6 ай бұрын
Makonda wewe ni kivuli cha Mzee hayati John pombe Magufuli pale alipolala anatabasamu hongera kiongozi
@mihayokakwimba9524
@mihayokakwimba9524 7 ай бұрын
raisi 2025 huyu anatufaa
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 3 ай бұрын
Mrisi wa magu
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 7 ай бұрын
Asanteeeeee Makonda
@raymondkaria1451
@raymondkaria1451 2 ай бұрын
Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 2 ай бұрын
Amina
@LumanijaMatiga-j6h
@LumanijaMatiga-j6h 20 күн бұрын
Jamani Paul Makonda anafaa kuchukua kiti cha Urais 🇹🇿 Tanzania
@AirfaAirfa-ic8sr
@AirfaAirfa-ic8sr 2 ай бұрын
Nakupenda mh makonda mpka nakuota
@user-ih4fo3lw8n
@user-ih4fo3lw8n 3 ай бұрын
nimefulahi sana kama baba 6eth magu kalud
@user-xh5qf1pf3c
@user-xh5qf1pf3c 5 ай бұрын
makondo yawezekana wew u mmoja wa yesu kristo mnazareti mungu akulinde siku zote
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 7 ай бұрын
Hao wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa toa hawafai kabisa
@user-jz7td8kb6n
@user-jz7td8kb6n 7 ай бұрын
Makonda akijakugombea urais 2030 atapita
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
Ukionesha kiherehere cha uongozi hutoboi. Wanapita wengine.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 7 ай бұрын
User anapita bila kupinga
@aaa64sa13
@aaa64sa13 7 ай бұрын
Kabisaaaaa🎉
@jamesmgimba7403
@jamesmgimba7403 7 ай бұрын
Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?
@juchaonline4084
@juchaonline4084 7 ай бұрын
Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂
@barakamachard1944
@barakamachard1944 7 ай бұрын
Wasukuma wako vizuri
@Anna-jl2ie
@Anna-jl2ie 7 ай бұрын
asaante makonda
@makulanangale7186
@makulanangale7186 7 ай бұрын
Wasukuma wengi roho safi
@ngusamalegi4577
@ngusamalegi4577 7 ай бұрын
Haswaaaa😅😅
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 7 ай бұрын
Yaani Nawapenda sana Wasukuma hawapend ubabaifu
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 33 МЛН
У ГОРДЕЯ ПОЖАР в ОФИСЕ!
01:01
Дима Гордей
Рет қаралды 6 МЛН
The FASTEST way to PASS SNACKS! #shorts #mingweirocks
00:36
mingweirocks
Рет қаралды 13 МЛН
Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?
25:35
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"
23:26