Рет қаралды 1,922,480
#RPCMWANZA
UTACHEKA: Jambazi 'Handsome' alivyoingia kwenye 18 za Polisi!
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza kupitia kwa kamanda wa Polisi mkoani hapa ACP.Jonathan Shanna wanamshikilia jambazi mmoja kwa kuiba gari na kufanya uhalifu wa aina mbalimbali hapa nchini na nje ya nchi.
Shanna amesema jambazi huyo walikuwa wanamtafuta kwa muda mrefu hata hivyo amesema wamefanikiwa kumkamata jambazi huyo huku wangine wakikimbia kutokana na mapambano makali ya kurushiana risasi dhidi ya majambazi hao.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. .
Category