Am Kenyan but I feel so much pain in my heart Magufuli was a leader for the poor,for the down trodden a leader for the widows and orphans Magufuli was a honest man truely we as east Africa lost one of the most iconic leader of our time.
@williamkeita151910 ай бұрын
Relax he is die but will live forever in Africa he will appear at defferent country at defferent time
@mashjojo515310 ай бұрын
Rip my president.... your forever in our hearts.
@marianamontoedi131810 ай бұрын
So true I miss him
@vianpeter670110 ай бұрын
For sure
@josejosia302410 ай бұрын
"Please believe in jesus christ GOD in the name of jesus christ he is very do miracle thanks and god bless you
@danieljs428510 ай бұрын
aisee hakuna kifo cha mwanasiasa kimewahi kuniumiza kama magu
@mohamedslh547810 ай бұрын
Dah pia mm bro jamaa alikua yuaitendea haki kazi yake tena sana kwa wanyonge na maskini
@rehemakanyere418810 ай бұрын
Kaka ni ukweli usiopingika usemayo ni kweli,lakini tumebaki na wezi
@salvinaseif615110 ай бұрын
Naumia mpaka kesho
@MwanaidiDakari7 ай бұрын
Ni kweli kabisa 😢
@martinakyoo14810 ай бұрын
R I P Dr Joseph Pombe Magufuli Rais wa kipekee Tz na duniani pote
@glorykapenja947310 ай бұрын
Hakika ameenda ila kila nikipita ubungo kiukweli roho yangu inaniambia kazi yako ilikuwa njema sana tena njema sana umeacha alama R.I.P mwamba Magufuli
@queenmapunda786810 ай бұрын
Niliwahi kumsikia Rais wangu Magufuli akisema watanzania nipeni muda hamtatamani kwenda ulaya lkn ametuacha kabla ndoto kutimia.Ee Mungu tupe mtu kama Magufuli.
@dominickkemorymageta10 ай бұрын
Watanzania tulijua kwamba tutakaa miaka mingi ,kuja kumpata kiongozi kama baba yetu makufuli,basi Mungu wetu wa mbinguni,ametuletea Makonda,hongera sana Makonda,chapa kazi iendeleeee nakupenda,Dominic kemory,tarime
@ElizabethKilumbo-r1s9 ай бұрын
Naye hatadumu . Tunza hayo maneno yangu mawili .
@norbertmbena589610 ай бұрын
Magufuli ni mbegu njema tutakuenzi hata tukisemewa vibaya unabaki mioyoni mwetu JPM
@BrunoMakweta-dm5sb10 ай бұрын
Mngu mlinde makonda mbegu iliyo panda na magufuli watanzania tuzd kunufaika amen
@godblessnehemia968510 ай бұрын
Tumepotezaa jembee lakin mungu yeye anamakusudi yake mungu yeye ni mwema wakati wote😢🙏
@surusuru199410 ай бұрын
Masha Allah ❤❤😭🕊️🕊️🕊️allah amrehm rais makufuli❤
@victorcephas361810 ай бұрын
Jemedari wa Tanzania aliyezima kama mshumaa akatuachia simanzi na majonzi yasiyokwisha dah ulisema tutakukumbuka Kweli Mwamba tunakukumbuka 😢😢😢😢😢😢 #MunguIbarikiTanzania
@endwardntandu373610 ай бұрын
Hakika ni MTU atayekumbukwa daima na watanzania
@geraldmakalala609110 ай бұрын
Alikuwa Rais mwema sana
@kissamwamunyange101810 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭Makonda unanitonesha kidonda tena kilichoanza kupona unayoneaha pale place
@estermathias835410 ай бұрын
😭😭😭😭
@dottokagoro216410 ай бұрын
🙄🙄
@aishaissa251210 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba yetu😢😢😢
@GilbertNhigula10 ай бұрын
Du ! hakuna jinsi Juu ya Kifo Basi tu !, Tumekukumbuka Sana Brother Jpm , Familia ya Marehemu Charles Stephan Nhigula wa Nyakato Mwanza , Tunamwomba Mungu Ailaze Roho Mahala Pema peponi , Amin .
@desoskaka41110 ай бұрын
John Pombe Magufuli will live forever in the hearts of all Africanists and we won't betray his legacy
@kombakarata188410 ай бұрын
🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼J P M miyooni mwetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@phanuelphilipo585910 ай бұрын
Namuoma magufuli ndani ya makonda 😢
@polokotomwalusamba113210 ай бұрын
Usingiz ukiisha ndio utajua kama ni ndoto ama vip
@ommymaconcept642010 ай бұрын
@@polokotomwalusamba1132hahahhahah, bora umeniwahi
@hassanbukambu93110 ай бұрын
@@polokotomwalusamba1132Hivi ndoto Ujui muda mwingine huwaga ni kweli au haijawai kukutokea
@decoloniz_afro10 ай бұрын
As a kenyan ..will never forget that day.....the hero of east Africa
@FrankMahatara-nh5sn10 ай бұрын
Makonda asante kwa kumuombea baba yangu magufuli
@scorasticaclement630810 ай бұрын
R.I.P NGOSHA BUT NA IMANI MAKONDA KAJA KUUAPA KWAKO.🙏🙏🙏🙏
@queenmapunda786810 ай бұрын
RIP my president, JMP, always you are remembered by your people.Your legacy will live forever.
@waterforlife935610 ай бұрын
Makonda nakupongeza kwakila hatua yako..... mola akutangukie Na familia mala awape subira
@gizymax36910 ай бұрын
Mungu akupe pumziko la milele Baba yetu magufuri we love you 😭😭😭😭
@FidolinRichard-zs3iw10 ай бұрын
Kamwe mh Paul makonda sitoweza kukusahau Kwa kuwa muhaminifu na upendo wa dhati Kwa Mzee wetu na mpendwa wetu mh John Joseph magufuli. hakika ni majonzi makubwa sana kwangu umeniachia mungu hailaze mahala pema pepon Amina,
@hassanparamana221510 ай бұрын
Mungu ibariki tanzania Mungu ibariki Africa RIP mjomba Magu 🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
@JoelSanga-mv6qt10 ай бұрын
Nimejikuta na mimi nalia 😢, pumzika kwa amani Rais wangu kipenzi
@nestor38410 ай бұрын
Rais wa kweli wa wananchi aliwahi kutokea Tanzania. Ulale pema mwana mwema wa Afrika. Ulale pema mwana wa mtu uliyesimama imara nchi yako isichezewe! Mioyo yetu wananchi wako haijawahi kupona Hatujawahi kunyamaza kukulilia John. RIP King💔🙏🏻💪🏻
@augustuss450310 ай бұрын
Gone but not forgotten, R.I.P king Magufuli.
@petergeordayo250310 ай бұрын
Hakika Mungu tunakushukuru
@samsonmakombe963610 ай бұрын
Paul Makonda, kwa maimbi yako umeliza watanzania. Hongera kwa mombi na aksante.
@sheryphamwenevalley612410 ай бұрын
ishara tosha i🙏naonyesha wazi kua alikua kipenzi cha watu tangu afariki watu hawakauki kumtembelea na.kumuombea, 💟 sote ni waja wake na kwake tutarejea pumzika shujaa wetu🤲🏾🙏
@alfinmbilinyi598510 ай бұрын
Pumzika kwa amani mwamba wa Africa na Tanzania nakupenda sana jpm mzalendo Toka moyoni kwa taifa letu .wewe ni mfano katika maisha yangu.jpm inaniuma sana
@Monicalushola10 ай бұрын
😭😭😭
@citylinkproject990110 ай бұрын
Mhubiri 9:5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.
@richardnganya231110 ай бұрын
Imekaa vizuri sana.
@monikamasasi758210 ай бұрын
Ila bado tuliopo duniani tunaweza kuondoa uchungu na kukumbuka wafu hao hata kama hawajui lolote,
@citylinkproject990110 ай бұрын
@@monikamasasi7582 hatuwezi kuongea nao , at least according to christian faith....kwa hiyo yeye kwenda pale na kumuambia mfu kwamba amepewa kazi nk , wakati anajua kabisa hawezi kupata majibu haileti maana...LEO HII CCM ndio wanamkumbuka Dr Magufuli...? , unafikiri kwa nini ?
@liliansamson67410 ай бұрын
Kwakweli tumeumia sana kumpoteza JPM
@FROLIANGODWARD10 ай бұрын
,,,,😢😢😢 Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema Tunaomba uzidi kutupa Moyo wa uvumilivu hasa tunapoondokewa na Wapendwa wetu...
@annapeter-wb6iv10 ай бұрын
Hakika Malinda umekuja kwa wakati sahihi walikua wakimsema vibaya na kumbeza tulimia sana lkn ujio wako ni matibabu ya vidonda vyetu ❤❤❤❤❤❤❤❤ Paul Cristian Makonda
@jenipherwilliam440210 ай бұрын
mungu awabariki nyote namue .nasafari njema
@MohamedIbrahim-bn1gz10 ай бұрын
إنا لله وإنا إليه راجعون
@ingozescopion10 ай бұрын
Naiona CCM mpya imerudii CCM inayojali wanachi Makonda mungu akupe ujasiri adui zako wawe adui wa Mungu
@malikkb644410 ай бұрын
Nimetokwa machozi na umenitonesha Kidonda😢 R.I.P Baba
@elizabethvenans367210 ай бұрын
❤❤❤❤rip magufuli bado tunakupenda baba yetu
@edsonmunuo711210 ай бұрын
Eeh Mungu,.eeh Mwenyenzi,.kiukweli umenifanya nilie tena,.kiukweli watanzania,.Mungu ametupa neema kubwa saana,.hakika Mungu hatotuacha peke yetu 😢😢😢
@abeliantony708510 ай бұрын
Hatutakusahau Mtetezi wetu Johni Josephu Pombe Magufuri Rais wetu wa awamu ya tano, ulidhamilia kuijenga Tanzania kama mjiwako ulitamani Tanzania iwe Nchi ya mfano, Baba Mungu mlinde vizuli saana Hayati Johni Josephu Magufuli tulimpenda saana lakini wewe Baba ukampenda zaidi, Amina🙏
@barikimollel78909 ай бұрын
Pumzika Baba Magufuli Mungu akupe kibali cha kuwaongoza malaika kama ulivyosema
😢😢huwa najikuta nalia tu Magu daah pumzika baba wa taifa
@user-fx4bt4hz2x10 ай бұрын
Makonda ww ni mzalendo wa kweli numuomba mungu akuonyeshe njia yakulifikisha taifa hili mbali kumkumbuka kwa jpm umenifanya nikuone mtu wa tofauti sana na unafaa kuwa kiongozi wa juu zaidi namuomba mungu ww iwe njia yake Ili uwapambanie wanyonge
@producerema29110 ай бұрын
Always in our hearts our President.
@jozamsolomon400210 ай бұрын
Hakika Makonda alikuwa rafiki wa dhati wa marehemu Magufuli, nampongeza ni zaidi ya ndugu, wachache sana wanaokumbuka fadhila.
@catherinemdage490510 ай бұрын
Mhhh, hakika bado na on a Kama Nata vile. Mungu liangalie Ta if a hili la Tanzania. Watie nguvu familia tote.
@FortiMtolela-xl2nb10 ай бұрын
Daaah MAKONDA umeniliza leo daaah😢 R.i.p John pombe magufuli
@marianamontoedi131810 ай бұрын
Makonda awe raisi 2025
@kingelieshabani723525 күн бұрын
Asante sanaaa mweshimiwa Paul Makonda zidi ku tenga haki kama raisi wa zamani aliye pita Magufuli na Mungu aku wezeshe.sababu kazi yaku tenda haki ni ngumu sanaaa na sisi wanadamu hatu pendi mtuu anaye tenda haki.mimi ni mkongo ila na penda sanaaa utendaji kazi wako pia wa raisi aliye pita.MUNGU AKUWEZESHE kila leo
@liliansamson67410 ай бұрын
Kwa kweli tumeumia sana kumpoteza JPM
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm10 ай бұрын
Umeumia peke yako like jizi kama nengine
@jumannemwakalinga258610 ай бұрын
Inaumiza sana, sijui wapi tulipomkosea Mungu, ni heri angeghairi. Tunakushukuru Mungu katika kila jambo, ila wasikilize Watanzania wanavyomlilia JPM. RIP Baba yetu JPM
@josephkaunga801410 ай бұрын
Hakika Mungu ni mkuu najina lake litukuzwe daima
@itanzaniaAS10 ай бұрын
President Magufuri gone tooooo soon. Rest in peace Sir.
@estermathias835410 ай бұрын
Wewe ni shujaaaaa YESU akutie nguvu😭😭😭😭😭
@joshuakitunzi950010 ай бұрын
Hiyo rangi hiyo hiyo hiyo😭😭😭😭Rip JPM,rip Tz😭😭😭😭😭
@YukundaJanuari9 ай бұрын
Makonda mungu akubaliki kwahicho ulichokifanya Yani mungu azidi kulipa afya njem
@neemamajwala821110 ай бұрын
Mwacheni Mungu aendelee kuitwa Mungu, missing,love Magufuli.
@hawamabira149910 ай бұрын
Rest In Eternal JPM💔
@KHAMISKHATIBFAKI7 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda nakuombea kheri na baraka kutoka kwa M/Mungu akusimamie katk uongozi wako utusimamie kwa unavojitahidi niko kisiwan Pemba lakn siku zote macho yangu yanatoka machoz kwa unavowasimamia wanyonge haki zao Allah atakupa ufanisi mkubwa zaidi kwa unachosaidia
@deusisindwa61610 ай бұрын
Hata Mimi nimejikuta natokwa na machoz
@gladistaemanueliy633610 ай бұрын
Makonda asante, leo nimeanza kuomboleza
@EliwadaKikotiКүн бұрын
Mungu kila sku maombi yangu ni makonda tu kuwa rais
@venancemalima118110 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Rais Magufuli. Bwana alitoa,Bwana alitwaa jina lake litukuzwe.
@saimonseleka879210 ай бұрын
Hatari sana
@gabrieljuma145910 ай бұрын
Nakuombea siku moja uje ushike hii nchi
@Ali-nl2du10 ай бұрын
Ukiona hivi uchaguzi hauko mbali.
@honestthug.official252410 ай бұрын
Yaani naumia sana MAGU R.I .P Yaani basi tu🙏
@uredmwasembo857910 ай бұрын
Daaih moyo unauma sana akika tutakukumbuka daima magufuli
@wilfredwilliam911710 ай бұрын
Safi Sana makonda
@nasrakambimton952210 ай бұрын
Dah.jaman tunajitaid kusahau ila Kuna muda tunashindwa kuvumilia ila uyu bab mim aliniuma san kiukweli mpaka kesho napale ninapo hona badhi ya srhem aliyo tuachia man Toka kupat uhuru simchezo tumekuja kupat vitu adim kutoka kwake natulikuw na Imani kupat vit adimu juu yake tulikupend san na tutazidi kukukumbuka bab😭😭
@jeradisaningo-ts4sd10 ай бұрын
Jamani😭😭😭
@yusuphlukas-k1d10 ай бұрын
Amakweli kizuri hakidumu pumzika kwa amani j.p.m
@Passy-gj9nc10 ай бұрын
Mungu akupe Pumziko la Milele mpendwa wetu JPM
@user-wk2bg8zf3l10 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️
@shanimbaruku207110 ай бұрын
Aamin Aamiin YaaRabbal Alaamiin
@juliusntandu43029 ай бұрын
God if your wish bless us Makonda at your time we shall say Amen. Leo nimegundua kumbe uchungu wa kukupoteza hujaisha hakuna wa kutunyamazisha watanzania majonzi ni makubwa nimejikuta naanza msiba upya 😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@user-sl1ko9me7u10 ай бұрын
RIP MAGUFULI....ILA MAKONDA ACHA MCHEZO WA KUIGIZA.....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU HACHEZEWI KWA USANII WAKO!
@scorasticaclement630810 ай бұрын
Usanii Gan Sasa na Wewe Unaona hapo
@AmanduceFesto-nb6kh10 ай бұрын
😢 asante makonda
@NyamtigaIbrahim7 ай бұрын
Hakika Magufuli Umetuachia Kidonda Kikubwa Kisichoelezeka Mengi Uliyoyafanya Ni Alama Ya Moto Katika Fikra Zetu Mioyo Yetu Daima Tutakukumbuka Kwa Mchango Wako Hapa Duniani
@foundationforcommunityhope732710 ай бұрын
Well done Mh.Makonda kwa kukumbuka fadhila za Mh.JPM wa Tanzania wote tuliyempenda Mh.JPM kweli hata mkifanya utafiti wa ki sayansi juu yake
@nabosedward483610 ай бұрын
Asante Mungu ulimtwaa eliya umetuletea elisha
@ImmaMpinga-eo2sv10 ай бұрын
Jembe la kazii
@mariethjohn307410 ай бұрын
Tunakukumbuka daima
@SarahMauka-ii1gd10 ай бұрын
Pumzika kwaamani baba yetu makufuri amina
@sarahmwakipembe503310 ай бұрын
Natamani hata Mimi nikaseme mengi kwenye kaburi la kipenzi Cha watu Mugufuli tumekukumbuka. Baba yetu ingawa inauma Sanaaaaa
@TomasMvela10 ай бұрын
Rest in peace comrade john joseph pombe magufuli....hakuna mtu aliyewai nishawishi kwangu uwe the best president kati ya niliyowai kuwashuhudia in my lyf.....utendaji wako tu...na kamwe hatokuja tokea wa kunishawishi nibadili mtazamo wangu kwako.....haupo nasi ila roho yaki bado inaishi...mioyoni mwetu....mc u much MR PRESIDENT.
@ireneimbuhira775910 ай бұрын
Still today cant believe his done😢💔he was 1 in a million RlP Magufuli ❤❤❤
@sarahmwakipembe503310 ай бұрын
Mhhhh jembe letu kipenzi chetu Maghufulihatutakusahau milele Mungu ndiye anayejua
@EmanuelisMichael-kw9nf10 ай бұрын
Dah😢
@alexkiowi179010 ай бұрын
pumzika kwa amani
@monikamasasi758210 ай бұрын
Imenikumbusha ile siku tulipo pata taarifa ya kifo Cha Baba yetu Magufuli aiseeeeee,Tanzania tumepoteza jembe ila naamini ipo siku ndoto za Mwl Nyerere ndoto za Magufuli zitatimizwa tu,rip Daddy
@emmaboka95910 ай бұрын
Magufuli, Yan nahc kuumia sanaaaa
@geraldmakalala609110 ай бұрын
Leo nimelia tena kwa ajili ya Hayati Magufuli,
@MRPRESIDENT-w4l10 ай бұрын
Daah! Aisee na mimo nitakuja kutembelea Kaburi La Shujaa wangu John pombe Magufuli 🇹🇿💪💪🫡🫡
@WilliamSomela-h9s10 ай бұрын
Magu tunakukumbuka sana jembe la wa tz na taifa kwa ujumla nikuombe makonda uzarendo uendelee kwako nakufwatilia naona unapita katika nyayo za magu.
@NuruMbongo10 ай бұрын
Msiba wa Magufuli hautaishia milele watanzania kila siku tutalia