Ahsanteeeeee sana Makonda. Ubarikiwe sana na Bwana Yesu.
@alexanderdustan88728 ай бұрын
Ata mimi naapa sitamsaliti Magufuli Jpm alinifundisha mengi kuhusu maisha. Yaani kiufupi alinifundsha kujiamin
@selinaboyo51773 ай бұрын
Asante sana makonda
@gloriamwalongo36614 ай бұрын
Asante makonda
@mushumbaeric49168 ай бұрын
Naungana nawewe kwenye kiapo sitamsaliti Magufuli nitampenda mpaka siku ya kuhama
@HebronMwakyambiki-uq6cf8 ай бұрын
Makonda nakufananisha na Baba magufuli nakupenda bule kaka mungu akusaidie
@Worldunite8 ай бұрын
Kamanda kuna watu walijisahau na waliamini kuwa umeshatoweka, yaani walikukana na walikusakama sana wakati ulivyochomoka serikalini hadi walitaka kukufungulia mashitaka, Sasa ni wakati uendeleze mapambano dhidi ya wabadhirifu na mafisadi na uwatie adabu waliokuwa wanakusakama
@MsumalAloyce14 сағат бұрын
Ww ndo mwanaume
@user-dp9xo2jo4p7 ай бұрын
Asante sana
@lutegobusweru59498 ай бұрын
Naungana na wewe hata mm nitakuwa wa mwisho kumkana JPM 😭😭😭
@nyandaephraim40398 ай бұрын
Asante sana kututembelea na kumkumbuka mwamba wetu dr JPM❤
@josephmturi69368 ай бұрын
Kazi ipo 2025
@user-ni9zc3gx5t3 ай бұрын
Uyo ndo mwl wko na tunakupendaa kwa sabbu ya Hilo ww ndo magufuri no 2 tuna Imani na ww
@jacksonstephano85708 ай бұрын
Makonda Taifa hili hua lina maajabu hasa watu wake ushauli wangu hakuna haja yakuwa na vyuo maana eti mutu hutoka chuo kikuu anakuwa mwizi Je? Vyuo vikuu vya Tanzania hutoa kozi ya wizi.
@jofreysaimoni49648 ай бұрын
Unasemaje kuhusu bandali magufuri namama yetu samia
@mosesmzakwe77748 ай бұрын
Nau Hana wewe Sitamsaliti JPMagufuri kamwe mpaka Mwisho wa Maisha yangu. Ulizaliea kuwa Kiongozi na kuwafundisha wasiojuwa kuw Kiongozi.
@user-co3gr8vc1v7 ай бұрын
Malinda ziarabunda
@kephamapogo53338 ай бұрын
Uchu wa madaraka,uroho kujipendekeza,ulafi na upigaji Hata wewe wakati hujateuliwa walikusema vibaya kweli leo wanakuita mh. Waambie hiyo habari yao ya mitano tena waachane nao wasubiri fagio la chuma