Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa
@mailisagaswe15448 ай бұрын
Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde
@petermarco86568 ай бұрын
Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao
@adelinelyaruu30366 ай бұрын
Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma
@modestarubunda42508 ай бұрын
Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.
@aloycesamba9988 ай бұрын
Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭
@claudiayohana65768 ай бұрын
Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢
@MohamedMjenga-vq8vc8 ай бұрын
Ni kweli kbs ujakosea kila msema kweli ni sheeda
@AishaHussein-en3wf15 күн бұрын
Apo ajiandae.
@mweyoms55488 ай бұрын
Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.
@AbasJeilan-ns8yp8 ай бұрын
Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi
@laurnyandwi-sb1gu8 ай бұрын
Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢
@revocatussebastian24278 ай бұрын
Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye
@Hustlersec8 ай бұрын
Acha unafki wewe
@salimalaquimane30776 ай бұрын
Ana safari za nje
@BoisDonkoil-rk8lrАй бұрын
Mama amejifungua ila kamtuma kijana wake awakilishe kazi kwa niaba yake
@stellamsokwa67858 ай бұрын
Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏
hahahaha anafaa kuongea, nimecheka sana utadhania mazuri
@ashelgabriel16968 ай бұрын
Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana
@WinifridaJonathan-cq2nw8 ай бұрын
Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....
@anthonikabuye68198 ай бұрын
kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu
@FatnaAlly-go7yt16 күн бұрын
Allah awajaalie kila lenye mafanikio
@lanlady25048 ай бұрын
Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi
@user-bj3sb6ml7b8 ай бұрын
Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais
@JaphethIbrahim9 күн бұрын
Kaka ongera sana unajitahdi sana kutatua matatizo ya wanaimch hongera sana
@mconedimple53648 ай бұрын
Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako
@Hasnspop8 ай бұрын
Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂
@gosbertmuta54218 ай бұрын
Mbwa hawa
@lilyrose79838 ай бұрын
😂😂😂
@user-bx3kl4hn6j8 ай бұрын
Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani
@user-od5si7ld6bАй бұрын
Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏
@happyfaniabatromeo80108 ай бұрын
😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@pendomushi63518 ай бұрын
Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni
@JamesJuma-zy8cn8 ай бұрын
Huyo mzee anafaa kuwa mbunge
@JackobGalish-ky3no8 ай бұрын
Atalia Sana bungeni😂
@Hillary_Daudi_Mrema8 ай бұрын
Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jamilahjamilah41578 ай бұрын
Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote
@annamwangomo70698 ай бұрын
Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli
@aminahkazumari89528 ай бұрын
Mashallah moyo wangu una furaha tele
@asmahchongoe11178 ай бұрын
Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢
@RacherBakari-qh2gx8 ай бұрын
Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione
@erickmsigala1388 ай бұрын
Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi
@malianonicass70298 ай бұрын
Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii
@johnsebastian-bx6qn8 ай бұрын
Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana
@mwinshehenassib48538 ай бұрын
Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao. Hati yangu imenasia wizarani hadi leo. Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje" Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢
@mamapeace67308 ай бұрын
Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote
@jamesmachiwa36798 ай бұрын
Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.
@nimrodsigulu62498 ай бұрын
Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..
@alexanderdustan88728 ай бұрын
Ni kweli kabsa mojawapo ni wewe
@songeza4 ай бұрын
Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana
@LoveWity5 ай бұрын
Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰
@ukhutfatumah11548 ай бұрын
Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo
@user-qz5xv5if2u8 ай бұрын
Nakupenda makonda mungu akurinde
@PaskaliCharles-pz8ds8 ай бұрын
Yafanyie kazi mh Mzee analia
@kambamazig020248 ай бұрын
Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.
@robertigohe74778 ай бұрын
Lukuvi Yuko wapi?
@MSOMBAAlon-gh3ps8 ай бұрын
Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww
@user-xz4mc4ec7x8 ай бұрын
Mzee apewe ulinzi
@gladistaemanueliy63368 ай бұрын
Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha
@user-kp3vc4rj9o8 ай бұрын
Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv
@mwejstar56785 ай бұрын
Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...
@bashobabaraka7068 ай бұрын
Safi Sana mzee
@paschaljoh57298 ай бұрын
Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako
@andrewmwakiholano25558 ай бұрын
Kabisa
@neemanziku54038 ай бұрын
Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua
@Nyaburyaofficial2178 ай бұрын
R.I.P Magufuli
@bwetungegodfrey41318 ай бұрын
Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.
@henryj33048 ай бұрын
Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr
@user-fb6dh6sz2g8 ай бұрын
Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu
@user-bx3kl4hn6j8 ай бұрын
Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani
@stellamsokwa67858 ай бұрын
Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶
@user-po5tm4we4b8 ай бұрын
Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo
@user-bx3kl4hn6j8 ай бұрын
@@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani
@marthaswai11858 ай бұрын
Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.
@tanzcanmediatv44735 ай бұрын
Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha
@marthaswai11855 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG
@yohanantemi1008 ай бұрын
Ubarikiwe makonda
@hidayaswai31198 ай бұрын
Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache
@user-os3yw8hy3w8 ай бұрын
Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri
@hojamathias99898 ай бұрын
Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu
@yahayamboka99638 ай бұрын
Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo
@majigeedward9558 ай бұрын
Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao
@jacklinakinabo64798 ай бұрын
Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu
@samwelipima37958 ай бұрын
Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde
@annaepmack72708 ай бұрын
sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭
@user-un2fk7iz7s8 ай бұрын
Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki
@jamtv18838 ай бұрын
Hii nchi nzito 😅😅😅
@joakweyahighdigitaltechnol41698 ай бұрын
Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge
@davidonelinetv45768 ай бұрын
Daaah inauma sana😢😢
@user-kd3ey6ez5s4 ай бұрын
Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.
@mariethjohn30748 ай бұрын
Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana
@user-gu3ol1rv8g5 ай бұрын
Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌
@violethbosha16666 ай бұрын
Njoo kigoma baba
@nbanba71388 ай бұрын
Hii sasa safi👍
@user-uk9vm5jn9d5 ай бұрын
Mheshimiwa makonda wanawake tumebeba mboga sanna tunanyeshewa na mvua jua letu mvua yetu tunaomba utusaidie tunaumia sanaaa
@evampuya-mp9vf8 ай бұрын
Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji
@jaymalebo21598 ай бұрын
Makondaa Mungu akubariki
@innocentludovick47248 ай бұрын
Ahadi ya chama cha mapinduzi haki nayo ipo. Kwa hivyo Mh. Paul Makonda atakuwa muumini wa haki husda za mwanadamu zishindwe.
@jamilahjamilah41578 ай бұрын
Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana
@ibrahimally80738 ай бұрын
Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..
@user-fb6dh6sz2g8 ай бұрын
@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa
@MwigaKatumpula-mi3zt8 ай бұрын
Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃
@vickysteven11726 ай бұрын
Mungu akutunze makonda wasikumalize
@nero79415 ай бұрын
Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢
@Mwajuma-hl2ot5 ай бұрын
Mungu akurinde makonda
@gosbertmuta54218 ай бұрын
Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi
@abdultandala65768 ай бұрын
Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.
@user-io1et5ei6p8 ай бұрын
Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.
@finehotelzanzibar8 ай бұрын
Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊
@nelsonnyamle8 ай бұрын
Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?
@adelinelyaruu30366 ай бұрын
Miaka 60 ya CCM
@eliamkongwa14508 ай бұрын
Next president of Tanzania 🇹🇿 p makonda
@muhammadbakashmar31665 ай бұрын
Sasa Makonda peke yake ataweza kusikiliza yote? Si waongeze mmoja zaidi wawe wawili? Kuna mengi yanahitaji kushughuliwa.
@user-gw8xt6gr4j8 ай бұрын
Naomba raisi watu amrudishe lukuvi wizara ya ardhi hapo ndo ataweza ardhi
@azizalivingston19546 ай бұрын
Hongela baba hii ujasir mkubwa
@eggysulle79888 ай бұрын
🔥
@user-dh7yg6dl5e5 ай бұрын
Nampenda huyu baba anaongea sana😂
@AlexisAjwantos3 ай бұрын
Uzuni chapa kazi bb
@user-gw8xt6gr4j8 ай бұрын
Naomba mungu poul makonda uje na sumbawanga baba ,mirad yetu ni nishida
@scolasticakaduma51438 ай бұрын
Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.
@user-gx7uk1qe6n5 ай бұрын
Daah inauma sana aise 😥😥😥
@dinaalfani5 ай бұрын
Alhamdulilah❤❤ makomd
@user-bd1qi9lk9y6 ай бұрын
Tukipatikana Wana ccm kumi kama Hawa tutavuka bila shida
@zuberisalum20048 ай бұрын
Kazi za wakuuu wamikoa wawilaya mpaka aje makonda inaalilah wainalilahi lajunnn tuuogope uongoz sababu utaleta laana kwenye vizaz vyetu kila unaemuongoza analalamika kasoro family yako tu