MAKONDA AWABANANISHA WASIMAMIZI wa UJENZI wa HOSPITALI ya WILAYA MONDULI ARUSHA,.

  Рет қаралды 19,962

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Күн бұрын

Пікірлер: 60
@luckyhardson18
@luckyhardson18 3 ай бұрын
Makonda mnasema anaupungufu ok sawa nakubali si mmesema bana, ila sasa china, Korea na nchi zinajitambua kuacha wanaojifnya kujua demokrasia kumbe uhuni wangempa nafasi kubwa zaid na hao watumishi ambao wanafany mmbo kama vile nchi si yakwao wote daea yao n vitamzi tuu, tujaribu na wengin ambao watakua tayari kuweka Tanzania mbele kwanza........ Piga kazi makonda kikubwa asionewe mtu haki ikatamalaki💪❤
@FadhiliMasebo
@FadhiliMasebo 3 ай бұрын
Makondaaa wewe genius upo straight wanyoookeeeee haoooo,,,,,,,kama miujizaaaa ,,,,Arushaa watakula rahaa jamani ,,,,uzembe uvivu, kazini hautakuwapo
@aminielyusufu4351
@aminielyusufu4351 3 ай бұрын
Father,piga kazi. Mungu akulinde ndugu yangu. Tuko pamoja
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 3 ай бұрын
Safi sana Mh wabane hao wana rushwa. Pia kuwa makini na hivyo vupaza sauti. Nunua chako usitumie vyao Kuna wasio kupenda kwa hii kazi 🎉🎉🎉🎉🎉
@SAMPonda
@SAMPonda 3 ай бұрын
Ninaiman kabla ya kupewa kuvitumia vinapimwa kama kuna vipandikizi vya sumu
@ShijaMpanya
@ShijaMpanya 3 ай бұрын
Mungu awe pamoja naww mh. Makonda
@emmanuelmunuo7529
@emmanuelmunuo7529 3 ай бұрын
Hii ni safi sana maana kwa mtindo huu utafahamu aina ya watendaji wa mkoa na halimashauri zake.l pamoja na kuzifahamu kero za wananchi. Big up Makonda
@emanuelmwakikono3702
@emanuelmwakikono3702 3 ай бұрын
kazi kazi kiongozi
@mercyzakariah
@mercyzakariah 3 ай бұрын
Jembe letu usije uka tumia kipaza sauti chakupewa. Wahuni majizi. Wala rushwa. Hawafurahii wanaweza kutegea sumu. Tuka kupoteza pls, uwemakini,, jembe letu ila nakuamia wewe una akili saba 7 kifo chamagu kilitufungua macho,
@kiwalejaphett5846
@kiwalejaphett5846 3 ай бұрын
Makonda piga kazi mti wenye matunda unapigwa mawe sana usiogope mungu yupo atakulinda
@japhetaverin-ou9rp
@japhetaverin-ou9rp 3 ай бұрын
Hiv mikoa mwingine viongoz wanafanya Kaz gan🤔🤔
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 ай бұрын
Mara Pa, Mwamba huyu hapa. Nani MAKONDA😂😂😂
@wilsonmollel4317
@wilsonmollel4317 3 ай бұрын
Nimemuona babangu
@ChristianSebastian-rh2fq
@ChristianSebastian-rh2fq 3 ай бұрын
Makonda uko sawa tumeanza kukuelew
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 3 ай бұрын
Arusha Wana bahat mnoooo
@EmmanuelRazalo-qz5cr
@EmmanuelRazalo-qz5cr 3 ай бұрын
Mungu Akulinde kaka yangu mungu yupo nawewe 🤝🤝🤝🤝🤝
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 3 ай бұрын
Uyo mwenye tumbo kubwa hap pemben ndio mwizi😂😂😂😂
@RobertPangaya
@RobertPangaya 3 ай бұрын
CHAPA KAZI MH, SHERIYA MSUMENO, HAKUNA CHA KUANGALIANA USONI, TAIFA LINAKUTEGEMEA NA KUKUAMINI. MAFISADI TU NDIYO WANATAFUTA UDHAIFU WAKO WANA ARUSHA TUMEKUELEWA. UZEMBE NO.
@theempire4058
@theempire4058 3 ай бұрын
Makonda kila sehemu anayowekwa lazima ahakikishe anawagusa wananchi, huu ndio uongozi unaotakiwa, shida unakuta jamaa anapiga kazi alafu kesho kaamishwa tena, awe tu mkuu wa mikoa yote asafishe nchi nzima, ikishindikana tumpe uraisi kabisa sijui tunakwama wapi wananchi. Hii nchi haiitaji mtu mpole bado maafisa wetu waliopewa nafasi za kuongoza wananchi wanaongoza kwa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na ukandamizaji wa haki za wananchi.
@EmmanuelRazalo-qz5cr
@EmmanuelRazalo-qz5cr 3 ай бұрын
Kaka unajuwa kumbana sana
@mercyzakariah
@mercyzakariah 3 ай бұрын
Huyu ndo kiongozi ambae amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli, samia oeeeee
@golebenson4597
@golebenson4597 3 ай бұрын
Huyu makonda sio bure anaakili nyingi hana papara anielekeze kwa mganga wake🙌🙌🙌
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 3 ай бұрын
Washirikina na wachawi hawatakiwi kabisaaaa
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 3 ай бұрын
😂😂😂😂 Arusha mtasema kilichomnyoa kanga manyoya!!
@paschalmatinde321
@paschalmatinde321 3 ай бұрын
😅😅😅😅
@wilsonmollel4317
@wilsonmollel4317 3 ай бұрын
Loth molel father bigup lkn
@LekuleKipuyo-gk4rq
@LekuleKipuyo-gk4rq 3 ай бұрын
Makonda komaa kukomesha uzembe wa bahazi ya viongozi hakuna kitu wanacho fanya ni kula kadi zetu tu bure monduli hiyo hakuna kitu shuka kijiji cha lashaine
@saiditasher8362
@saiditasher8362 3 ай бұрын
Alu yule dada aje kusema makonda anazalilisha watumishi dada kikubwa unachikijua ni kupanua kikuma tu mku pinga kazi
@juliusjoseph6320
@juliusjoseph6320 3 ай бұрын
Huyu Makonda ndo mfano Bora kwa viongozi wa Tanzania Je nyie viongozi Mnafanyaje mbona hamsikiki au mnajaza matumbo na umalaya? Ndo maaana nchi imekwama sababu kumbe ni viongozi wa bovu Yani Makonda akifa nitajua HATA Magufuli ninyie😅nitawaroga
@rendiman2878
@rendiman2878 3 ай бұрын
Mifumo ya ki undugunization ya ccm ndio imetufikisha hapa. Bila kubadilis mifumo kwa katiba mpya hata aje yesu haya hataikwisha. Akiondoka Makonda tuu mafisadi yanarudi na nguvu mpya na ari mpya, muulizeni Magu. Si ameondka tuu yakaanza na kuuza bandari alizokataa kuuza? Msipoyaondoa mafisiem kwenye madaraka mtaendelea kucheza hii ngoma
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 3 ай бұрын
Mmbadilifu wa Mali ya serikali kwa makusudi au bahati mbaya hukumu iwe kifo sheria ya sasa ibadilishwe alafu muone kama kiila mtumishi wa serikali habadiliki, chukueni hii mtakuja kunishukuru kumuongoza mtu yataka ujasiri mkibwa
@kwisa4899
@kwisa4899 3 ай бұрын
msechu anafanya nini Arusha
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 3 ай бұрын
Wanyooshe kaka hakuna kuzalilisha yaani wale kodi halafu atokee mpuuzi aseme unawazalilisah waongo waongo sana haw kazi kuchezea kodi zetu
@athumanimawela3021
@athumanimawela3021 3 ай бұрын
Hawajasema yani mpaka waseme
@JustineWangi-j2t
@JustineWangi-j2t 3 ай бұрын
😂😂😂hawakujui hao.
@AllyMaya-yj3xd
@AllyMaya-yj3xd 3 ай бұрын
MKONDA AKIFIKA SEHEMU SASA NI KAMA WAZIRI MKUU WATUMISHI WAPIGAJI AMBAO HAWAELEWEK. I😂😂😂😂 mjomba kaanza kujipiga mitama mwenyewe
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
Eti Naam😅😅😅hajasikia au kiwewe
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 3 ай бұрын
MAKONDA SAFIII❤❤❤
@Kidd11168
@Kidd11168 3 ай бұрын
Mizigo hio Bw Makondo, utakutana nayo Sana, bado. Kwenye uajibikaji vigugumizi vya kutosha, Ila Kwa upigaji WA dili za fedha za miradi kama kasuku.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 ай бұрын
😂😂😂😂 eti kama Kasuku 😂😂😂
@Kidd11168
@Kidd11168 3 ай бұрын
@@GibsonNtamamilo ndio ukweli huu, we cheki Wana vyo msomea makabrasha, nenda sasa kwenye utekelezaji wenyewe? Ni madudu mtindo mmoja, fuatilia utaona.
@EmmanuelRazalo-qz5cr
@EmmanuelRazalo-qz5cr 3 ай бұрын
Kazi kazi kaka wafinye kisawa sawa kaka
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 3 ай бұрын
Kaka makonda uko kazini kweli bali unafanya kazi na magenge ya wapigaji
@asajileraphael1951
@asajileraphael1951 3 ай бұрын
Chuma kiko kazn saf sanaaaaaaaa piga Kaz mkuu
@kilimoufugajipesatv5751
@kilimoufugajipesatv5751 3 ай бұрын
Wamemchokoza teenah
@yaredyndaga6483
@yaredyndaga6483 3 ай бұрын
soma hiyoooo (mwaniri na makonda the same )
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 ай бұрын
Mwanri ni mashuhuri,Makonda sifuri
@majaliwabwitonde6900
@majaliwabwitonde6900 3 ай бұрын
​@@mataypanga5262we naye vipi
@petrobathorimeo639
@petrobathorimeo639 3 ай бұрын
Kumekucha watanyooka hao
@lanezboy7016
@lanezboy7016 3 ай бұрын
Afu anatokea mtu anasema makonda anadhalilisha watu shenz kabisa
@irenembise541
@irenembise541 3 ай бұрын
Shangaa wewe ndugu yangu Mtu anaulizwa maswali anajing'ata ng'ata,akisemeshwa kwa ukali eti anadhalilishwa mxiuuuu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 3 ай бұрын
Ni hatari ndugu yangu. Tumtie moyo tu huyu mwamba Makonda
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 3 ай бұрын
Maskini hata kujibu maswali hawajui eti wamepewa kazi kwa vyeti sasa wamesoma nn ujinga mtupu jamani
@SolomonNkoze
@SolomonNkoze 3 ай бұрын
Kwa kazi hii ya makonda ukute magufuri atafufuka kwa furaha aje ampe ukuu wa mikoa zote Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 😂😂😂
@RobertPangaya
@RobertPangaya 3 ай бұрын
Zz
@britonkanumba6828
@britonkanumba6828 3 ай бұрын
Makonda wewe ni😂kiongozi
@mercyzakariah
@mercyzakariah 3 ай бұрын
Huyu NI magufuli kabisa yaani HUYU makonda amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli,
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 ай бұрын
​@@mercyzakariahKama ni Magufuli ,atapotea bila habari😂
@irenembise541
@irenembise541 3 ай бұрын
@@mataypanga5262 daah hawakawii aisee😔
@petersilas4234
@petersilas4234 3 ай бұрын
Magufuli alikuwa makini, huyu bwana mtafuta umaarufu tu​@@mercyzakariah
UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV
32:44
GeorDavie TV
Рет қаралды 170 М.
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 55 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 746 М.
"MARUFUKU HOSPITALI KUZUIA MAITI"- RC MAKONDA
3:29
MONDULI TV ONLINE
Рет қаралды 13 М.
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 55 МЛН