Makonda mnasema anaupungufu ok sawa nakubali si mmesema bana, ila sasa china, Korea na nchi zinajitambua kuacha wanaojifnya kujua demokrasia kumbe uhuni wangempa nafasi kubwa zaid na hao watumishi ambao wanafany mmbo kama vile nchi si yakwao wote daea yao n vitamzi tuu, tujaribu na wengin ambao watakua tayari kuweka Tanzania mbele kwanza........ Piga kazi makonda kikubwa asionewe mtu haki ikatamalaki💪❤
@FadhiliMasebo3 ай бұрын
Makondaaa wewe genius upo straight wanyoookeeeee haoooo,,,,,,,kama miujizaaaa ,,,,Arushaa watakula rahaa jamani ,,,,uzembe uvivu, kazini hautakuwapo
@aminielyusufu43513 ай бұрын
Father,piga kazi. Mungu akulinde ndugu yangu. Tuko pamoja
@AlHamra-k4u3 ай бұрын
Safi sana Mh wabane hao wana rushwa. Pia kuwa makini na hivyo vupaza sauti. Nunua chako usitumie vyao Kuna wasio kupenda kwa hii kazi 🎉🎉🎉🎉🎉
@SAMPonda3 ай бұрын
Ninaiman kabla ya kupewa kuvitumia vinapimwa kama kuna vipandikizi vya sumu
@ShijaMpanya3 ай бұрын
Mungu awe pamoja naww mh. Makonda
@emmanuelmunuo75293 ай бұрын
Hii ni safi sana maana kwa mtindo huu utafahamu aina ya watendaji wa mkoa na halimashauri zake.l pamoja na kuzifahamu kero za wananchi. Big up Makonda
@emanuelmwakikono37023 ай бұрын
kazi kazi kiongozi
@mercyzakariah3 ай бұрын
Jembe letu usije uka tumia kipaza sauti chakupewa. Wahuni majizi. Wala rushwa. Hawafurahii wanaweza kutegea sumu. Tuka kupoteza pls, uwemakini,, jembe letu ila nakuamia wewe una akili saba 7 kifo chamagu kilitufungua macho,
@kiwalejaphett58463 ай бұрын
Makonda piga kazi mti wenye matunda unapigwa mawe sana usiogope mungu yupo atakulinda
@japhetaverin-ou9rp3 ай бұрын
Hiv mikoa mwingine viongoz wanafanya Kaz gan🤔🤔
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Mara Pa, Mwamba huyu hapa. Nani MAKONDA😂😂😂
@wilsonmollel43173 ай бұрын
Nimemuona babangu
@ChristianSebastian-rh2fq3 ай бұрын
Makonda uko sawa tumeanza kukuelew
@personalitiesan98063 ай бұрын
Arusha Wana bahat mnoooo
@EmmanuelRazalo-qz5cr3 ай бұрын
Mungu Akulinde kaka yangu mungu yupo nawewe 🤝🤝🤝🤝🤝
@Ibrahim-ne3in3 ай бұрын
Uyo mwenye tumbo kubwa hap pemben ndio mwizi😂😂😂😂
@RobertPangaya3 ай бұрын
CHAPA KAZI MH, SHERIYA MSUMENO, HAKUNA CHA KUANGALIANA USONI, TAIFA LINAKUTEGEMEA NA KUKUAMINI. MAFISADI TU NDIYO WANATAFUTA UDHAIFU WAKO WANA ARUSHA TUMEKUELEWA. UZEMBE NO.
@theempire40583 ай бұрын
Makonda kila sehemu anayowekwa lazima ahakikishe anawagusa wananchi, huu ndio uongozi unaotakiwa, shida unakuta jamaa anapiga kazi alafu kesho kaamishwa tena, awe tu mkuu wa mikoa yote asafishe nchi nzima, ikishindikana tumpe uraisi kabisa sijui tunakwama wapi wananchi. Hii nchi haiitaji mtu mpole bado maafisa wetu waliopewa nafasi za kuongoza wananchi wanaongoza kwa rushwa, ubadhirifu wa mali za umma na ukandamizaji wa haki za wananchi.
@EmmanuelRazalo-qz5cr3 ай бұрын
Kaka unajuwa kumbana sana
@mercyzakariah3 ай бұрын
Huyu ndo kiongozi ambae amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli, samia oeeeee
@golebenson45973 ай бұрын
Huyu makonda sio bure anaakili nyingi hana papara anielekeze kwa mganga wake🙌🙌🙌
@nicodemashaggite84293 ай бұрын
Washirikina na wachawi hawatakiwi kabisaaaa
@jacobmakono43993 ай бұрын
😂😂😂😂 Arusha mtasema kilichomnyoa kanga manyoya!!
@paschalmatinde3213 ай бұрын
😅😅😅😅
@wilsonmollel43173 ай бұрын
Loth molel father bigup lkn
@LekuleKipuyo-gk4rq3 ай бұрын
Makonda komaa kukomesha uzembe wa bahazi ya viongozi hakuna kitu wanacho fanya ni kula kadi zetu tu bure monduli hiyo hakuna kitu shuka kijiji cha lashaine
@saiditasher83623 ай бұрын
Alu yule dada aje kusema makonda anazalilisha watumishi dada kikubwa unachikijua ni kupanua kikuma tu mku pinga kazi
@juliusjoseph63203 ай бұрын
Huyu Makonda ndo mfano Bora kwa viongozi wa Tanzania Je nyie viongozi Mnafanyaje mbona hamsikiki au mnajaza matumbo na umalaya? Ndo maaana nchi imekwama sababu kumbe ni viongozi wa bovu Yani Makonda akifa nitajua HATA Magufuli ninyie😅nitawaroga
@rendiman28783 ай бұрын
Mifumo ya ki undugunization ya ccm ndio imetufikisha hapa. Bila kubadilis mifumo kwa katiba mpya hata aje yesu haya hataikwisha. Akiondoka Makonda tuu mafisadi yanarudi na nguvu mpya na ari mpya, muulizeni Magu. Si ameondka tuu yakaanza na kuuza bandari alizokataa kuuza? Msipoyaondoa mafisiem kwenye madaraka mtaendelea kucheza hii ngoma
@lovenessvisent94083 ай бұрын
Mmbadilifu wa Mali ya serikali kwa makusudi au bahati mbaya hukumu iwe kifo sheria ya sasa ibadilishwe alafu muone kama kiila mtumishi wa serikali habadiliki, chukueni hii mtakuja kunishukuru kumuongoza mtu yataka ujasiri mkibwa
@kwisa48993 ай бұрын
msechu anafanya nini Arusha
@MasterOil-qm6vw3 ай бұрын
Wanyooshe kaka hakuna kuzalilisha yaani wale kodi halafu atokee mpuuzi aseme unawazalilisah waongo waongo sana haw kazi kuchezea kodi zetu
@athumanimawela30213 ай бұрын
Hawajasema yani mpaka waseme
@JustineWangi-j2t3 ай бұрын
😂😂😂hawakujui hao.
@AllyMaya-yj3xd3 ай бұрын
MKONDA AKIFIKA SEHEMU SASA NI KAMA WAZIRI MKUU WATUMISHI WAPIGAJI AMBAO HAWAELEWEK. I😂😂😂😂 mjomba kaanza kujipiga mitama mwenyewe
@OmanOman-dn6dj3 ай бұрын
Eti Naam😅😅😅hajasikia au kiwewe
@OmanOman-dn6dj3 ай бұрын
MAKONDA SAFIII❤❤❤
@Kidd111683 ай бұрын
Mizigo hio Bw Makondo, utakutana nayo Sana, bado. Kwenye uajibikaji vigugumizi vya kutosha, Ila Kwa upigaji WA dili za fedha za miradi kama kasuku.
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
😂😂😂😂 eti kama Kasuku 😂😂😂
@Kidd111683 ай бұрын
@@GibsonNtamamilo ndio ukweli huu, we cheki Wana vyo msomea makabrasha, nenda sasa kwenye utekelezaji wenyewe? Ni madudu mtindo mmoja, fuatilia utaona.
@EmmanuelRazalo-qz5cr3 ай бұрын
Kazi kazi kaka wafinye kisawa sawa kaka
@MasterOil-qm6vw3 ай бұрын
Kaka makonda uko kazini kweli bali unafanya kazi na magenge ya wapigaji
@asajileraphael19513 ай бұрын
Chuma kiko kazn saf sanaaaaaaaa piga Kaz mkuu
@kilimoufugajipesatv57513 ай бұрын
Wamemchokoza teenah
@yaredyndaga64833 ай бұрын
soma hiyoooo (mwaniri na makonda the same )
@mataypanga52623 ай бұрын
Mwanri ni mashuhuri,Makonda sifuri
@majaliwabwitonde69003 ай бұрын
@@mataypanga5262we naye vipi
@petrobathorimeo6393 ай бұрын
Kumekucha watanyooka hao
@lanezboy70163 ай бұрын
Afu anatokea mtu anasema makonda anadhalilisha watu shenz kabisa
@irenembise5413 ай бұрын
Shangaa wewe ndugu yangu Mtu anaulizwa maswali anajing'ata ng'ata,akisemeshwa kwa ukali eti anadhalilishwa mxiuuuu
@GibsonNtamamilo3 ай бұрын
Ni hatari ndugu yangu. Tumtie moyo tu huyu mwamba Makonda
@MasterOil-qm6vw3 ай бұрын
Maskini hata kujibu maswali hawajui eti wamepewa kazi kwa vyeti sasa wamesoma nn ujinga mtupu jamani
@SolomonNkoze3 ай бұрын
Kwa kazi hii ya makonda ukute magufuri atafufuka kwa furaha aje ampe ukuu wa mikoa zote Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 😂😂😂
@RobertPangaya3 ай бұрын
Zz
@britonkanumba68283 ай бұрын
Makonda wewe ni😂kiongozi
@mercyzakariah3 ай бұрын
Huyu NI magufuli kabisa yaani HUYU makonda amekivaa kiatu cha jembe letu hayati magufuli,
@mataypanga52623 ай бұрын
@@mercyzakariahKama ni Magufuli ,atapotea bila habari😂
@irenembise5413 ай бұрын
@@mataypanga5262 daah hawakawii aisee😔
@petersilas42343 ай бұрын
Magufuli alikuwa makini, huyu bwana mtafuta umaarufu tu@@mercyzakariah