MAKONDA AWATUMBUA WATUMISHI WA JIJI LA ARUSHA WAJIKOROGA

  Рет қаралды 30,284

KUSAGA TV

KUSAGA TV

2 ай бұрын

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZbin : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 66
@georgeikinya2779
@georgeikinya2779 2 ай бұрын
Am not Tanzanian but the problem this man is confronting is everywhere in Africa. Corrupt officers are not different from terrorists like Alshabab or Boko haram. It retrogresses and stagnates states and perpetually condemning citizenry to abject poverty and humiliation. May God help this gentleman to clean up the human dirt.
@fhugghi4109
@fhugghi4109 2 ай бұрын
Watumishi mmepatikana mwaka huu 😂😂😂
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op 2 ай бұрын
Bado masaki kilimani kunamzungu anauza baga Anachimba choo barabarani na manispa ya kinondoni wana uangalia tuu mh waziri wa ardhi uje uone
@AkundaeliMbise
@AkundaeliMbise 2 ай бұрын
😅😅😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊
@aureliantemba9830
@aureliantemba9830 Ай бұрын
Ukweli ni kwamba tangu Mwenyezi Mungu amchukue aliyekuwa kipenzi cha watanzania kwa watumishi wa serikali mafisadi PAKA KAONDOKA PANYA AMETAWALA.WAPIGWE SPANA TU!
@namsifumihungo8504
@namsifumihungo8504 2 ай бұрын
Mikutano na wananchi naamini ndio mikutano sahihi kwa DC na RC,ili kuwaambia watendaji shida iko wapi wasaidie wananchi kwa yale yanayobainika.Hongera sana Makonda kuitendea haki nafasi yako.RC na DC hili unalolifanya ndio sahihi kama kweli nafasi hizi mbili zipo kwa ajili ya wananchi,Ikiwa Ma RC na Ma DC watafanya hivi,hizi kero hazitakuwepo na huu umati hauwezi kuonekana maana hakuna mtendaji atapenda kuwekwa hadharan kwa kuika taratibu,Mungu Akutunze kwa ajili ya wengine Makonda❤
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 2 ай бұрын
Makondaaaaaa nakukubali snaa
@MwanaidyHamis-rg1pu
@MwanaidyHamis-rg1pu 22 күн бұрын
yaani kama wakuu wote wamikoa wangekuwa kama wewe makonda nnchi ingekuwa mbali sana
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w 2 ай бұрын
Spanaaaa
@user-jl1rw6ij7j
@user-jl1rw6ij7j Ай бұрын
Watanzania tumelala sana hawafanyi kazi kabisa piga spana wote
@IsaackmugoMugo
@IsaackmugoMugo Ай бұрын
Hon.Makonda congrats for good job pigs sparna kbxa
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w 2 ай бұрын
Mwenyezimungu alimde huyu kiongozi
@OscerShop
@OscerShop Ай бұрын
Mh. Makonda oyeee wewe ni mtetezi wa wanyonge endelea hivo na tunaendelea kukuombea ili mungu akuepushe na waovu wasiopenda haki saidia wanyonge na mungu siku moja atakulipa ujira.
@user-jm9og2wh5o
@user-jm9og2wh5o Ай бұрын
Wanyoshe wara rushwa awoooo mweshimiwa wanakura tu era zetu
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 2 ай бұрын
🛠️
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Ай бұрын
Duuuh hao majambazi wanaitaji spaner
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Ай бұрын
Kweli makonda atawanyoosha
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Hii ni aina corruption kubwa kuliko rushwa yenyewe. Ndiyo sababu wanaharibu elimu ili wanainchi waendelee kudanganywa kila siku kuanzia enzi watu wamefanywa mbumbu kiasi kwamba hawajielewi. Wakipata mjanja mmoja tu kwa kuwadanganya basi wanaona wamifika na wanadhani kuwa wanasaidiwa, kumbe hakuna msaada wo wote bali anawachang'anya watu tu.
@bugybuster5788
@bugybuster5788 Ай бұрын
Team makonda tujuane basìi
@victaboy7273
@victaboy7273 2 ай бұрын
Watu wazima wanapigwa spana😂😂😂
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 2 ай бұрын
very good mkuu wa mkoa
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 ай бұрын
Makonda anaweza tumuombee zaidi
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 ай бұрын
Huu ndio mwenendo wa watendaji wa serikali katika mikoa yote nchini. Hali hii imejengeka kutokana na mgawanyo wa madaraka kuyumba,kuteua watu kwa vimemo bila vigezo,mradi ni wa kijani tu. Dawa ya kudumu ni kubadili mfumo tu badala ya zoezi la kuteua watu kwa maelekezo ya muda ambayo hayadumu tena ni gharama kubwa zaidi ya kuweka mambo katika sheria na utaratibu. Hawa wazembe bado watalipwa stahiki zao, na kuajiri wapya kwa mfumo uleule. Tuje pamoja,mkuu wa nchi aone umuhimu wa kugatua madaraka, kupunguza ukubwa wa serikali,na kuondoa giza upatikanaji wa katiba mpya baada ya miaka 63.
@user-jm9og2wh5o
@user-jm9og2wh5o Ай бұрын
Hapa kazi tu mkonda
@geofreybakina6010
@geofreybakina6010 Ай бұрын
Hayo maozo yapo nchi nzima
@mwansasu
@mwansasu 2 ай бұрын
Daaah mnyakyusa mwenzangu kakamatwa
@ildephoncekalemera7758
@ildephoncekalemera7758 Ай бұрын
Respect
@MaryShayo-tg4vq
@MaryShayo-tg4vq 2 ай бұрын
Hujama mama angempa hata uwaka wamwezi moja tuu aweraisi anipigie spana zakutusha asee minakupa mauwa yako❤
@SinguMahona-gh8ct
@SinguMahona-gh8ct Ай бұрын
Huyo ni mwizi pia
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 2 ай бұрын
Nchi yetu wananchi Wana shida na matatizo mengi lakini Ina viongozi kibao tena wasomi lakini elimu Yao haiwasaidii wananchi
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 2 ай бұрын
Mh Rais 😅😅😅😅😅😅😅kula chuma hiyo
@ShinjeKusekwa
@ShinjeKusekwa Ай бұрын
Vzr
@safielkabonda295
@safielkabonda295 2 ай бұрын
Wakapiga kelele wakasema "asulubiweeeeee.....". Hizi spana izi
@safielkabonda295
@safielkabonda295 2 ай бұрын
Ezi zile ilikua tumbua majipu, safari hii hii spana
@KelvinAlfred-rc1hq
@KelvinAlfred-rc1hq 2 ай бұрын
Huyu mtu Mungu amuepushe na mabalaa
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 2 ай бұрын
Amina
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 ай бұрын
@@faustinaurio3703 Ameen
@DRBISHOPJERICO
@DRBISHOPJERICO Ай бұрын
Piga kazi kaka
@OscerShop
@OscerShop Ай бұрын
Huyu Mh. Makonda ndio anatakiwa kuwa Rais baada ya mama yetu mpendwa. Maana kusema ukweli mwenye macho haambiwi tazama.
@CristinLyanga
@CristinLyanga 2 ай бұрын
Piga ngwara wote hao pumbafuuuuuuuu.
@user-qj3zi9ko7l
@user-qj3zi9ko7l Ай бұрын
Madonna.leo
@JohnMakao-is9fm
@JohnMakao-is9fm 2 ай бұрын
Mbona ham comment chochote kuhusu mkuu wa mkoa Mimi naona anafata nyayo za mzee magu hataki mbambaaaa
@shabaniihassanii955
@shabaniihassanii955 2 ай бұрын
Huwezi ku comment bila kusikiliza mpaka mwisho
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 ай бұрын
@@shabaniihassanii955 ndo hao wa kukurupuka hajaelewa chochote anakimbilia ku comment😆😆
@paulonshulo6435
@paulonshulo6435 2 ай бұрын
Tunataka viongozi wa aina yako ili nchi isonge mbele
@sudymohamedy9717
@sudymohamedy9717 2 ай бұрын
Jembe hilo
@adamzachariakinyekile6948
@adamzachariakinyekile6948 2 ай бұрын
Mheshimiwa rais tunaomba utupe wakuu wa mikoa yote wa aina hii ,hii nchi ni tajiri sana,baadhi ya viongozi sio wazalendo kabisa tukipata wa aina hii mikoa yote kazi imeisha
@RajabuHussein-to7jz
@RajabuHussein-to7jz 2 ай бұрын
Natamani uje morogoro makonda
@Benose12Selapio
@Benose12Selapio Ай бұрын
Piga spana wote mungu akubariki makonda Mimi chadema
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 2 ай бұрын
Makonda tunakuomba uifatirie mbarari SSM viongozi wameifanya kua Kinga yamabaya hata wewe razimishi kuwaripa warimu kauriyao waarimu wakujitorea
@oseasimpasa-bj5ds
@oseasimpasa-bj5ds 2 ай бұрын
Akika nakuombea Kazi yakoni bora
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Makonda mambo mengi yanavurugwa na watendaji, wenye viti wa CCM haya yote yako chini ya chama cha CCM na serikali. Kwani CCM inashindwa vipi kuhakikisha kuwa wenye viti CCM kuweka mambo sawa kumbe ndiyo wala rushwa. Watendaji wa serikali wanashindwaje kufanya kazi vizuri kama chama cha CCM wanakazi gani basi? Hii show off na kujaribu kuwahadaa wanainchi kuwa kuna kazi inafanyika kumbe kama CCM walivyoziea kuwadanganya wanainchi mnaendelea kuwadanganya.
@AishaJuma-wd8xd
@AishaJuma-wd8xd 2 ай бұрын
Huyu ni mwamba
@paulonshulo6435
@paulonshulo6435 2 ай бұрын
Nakuamini kabisa kabisa mweshiwa Paul makonda unaweza
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k Ай бұрын
Hawakuombei chochote,wanafki hao na hata wakikupa ndizi usiile miyoni mwao wanamakubwa kuhusu ww ya kukuhusudu!washindwe na waregee kwa jina la Allah,fanyakzi kijana maombi yetu yako juu yako,hao ndio wanao fanya mama aonekane nitatizo kwa huruma yake akuwapa kazi ,piga SIPANA MZEEEEEEEEEEEEEEE.
@SadaMussa-hi4yk
@SadaMussa-hi4yk Ай бұрын
Uogouna wasaidiya nini
@malcomg1004
@malcomg1004 2 ай бұрын
Hua nawashangaa sana wananchi mnaposhangilia mtumishi kuhamishwa,yaan mnachofurahia hapo ni nini?,mtumishi anapohamishwa analipwa mamilioni ya fedha za uhamisho nyie mnafurahia akati mtu bado yuko kazn
@bakarikasimu-gn8xj
@bakarikasimu-gn8xj 2 ай бұрын
Sasa ndugu yangu tukihama tuhame kwa heshima lakini siyo kwa staili hii hata kama utalipwa unakuwa umepigwa chapa na doa kibwaa
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 2 ай бұрын
Wewe Wacha ujinga pesa ya umma huna uchungu nayo,ama pia wewe ni mmoja wa mafisadi
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 2 ай бұрын
Ama hutoi ushuru
@user-tn6iw6dm5z
@user-tn6iw6dm5z Ай бұрын
Mama kweli makonda imetuchagulia aongezewe ulinzi ananikumbusha wazalendo WA taifa nashukuru mueshimiwa raisi kwa makonda namuona mtangulizi wako makufuri jembe hakufanya kosa kuku teua wewe na makonda tungependa wakuu WA mikoa wote wangekuwa kama makonda
@TadeoEmanuele
@TadeoEmanuele Ай бұрын
Hapan kaz TU jembe la magufuli
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 2 ай бұрын
Yaani makonda ungeteuriwa kwetu mbarari Kuna madudu hukuuu
@SinguMahona-gh8ct
@SinguMahona-gh8ct Ай бұрын
Huyo ni mwizi pia
@user-um9zc8gl5c
@user-um9zc8gl5c Ай бұрын
Acha ujinga wewe ndo mwizi
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 92 МЛН
1,000 Diamonds! (Funny Minecraft Animation) #shorts #cartoon
00:31
toonz CRAFT
Рет қаралды 41 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 60 МЛН
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 92 МЛН