MAKONDA MATATANI

  Рет қаралды 11,102

Daily News Digital

Daily News Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 57
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 2 ай бұрын
Upuuzi mtupu huu sisi ndo wananchi tuachieni Makonda wetu!!!
@chikizamifupa5786
@chikizamifupa5786 2 ай бұрын
Tanzania Nchi yangu. Makonda hana hatia yoyote. Maadui wa Nchi hii wako wengi
@ekisuka1
@ekisuka1 3 ай бұрын
Iweje leo kwa Makonda, wangapi wanawekwa ndani mbona hamjawahi kusema, acheni Makonda afanye kazi yake.
@MawazoKitumbo
@MawazoKitumbo 2 ай бұрын
Kwenda zako makonda naomba mmuajeche kabsaaaaa!!
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 3 ай бұрын
Yani mi nashangaa kwani mkuu wa mkoa hana amri ya kuamuru akamatwe mtu kama ana hatia jamaa embu msitusumbulie mkuu wetu acheni afanye kazi
@Tango696
@Tango696 3 ай бұрын
Makonda piga kazi kaka....hizo tume zipo kisheria nawe upo kisheria
@hassanrashid-l3u
@hassanrashid-l3u 2 ай бұрын
Watu walishajua waz makonda kuhamishwa dar kupelekwa Arusha ulikuwa mpango wa kumpoteza
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 3 ай бұрын
Kariakoo machinga wananyanyaswa mbona hamjitokezi kuwatetea?
@FlorahKahemele
@FlorahKahemele 2 ай бұрын
Nimegundua ccm wanalindana sana kosa la makonda liko wapi wangapi wako magereza miaka ila haki za binadamu hawajawaona walkomuona ni makonda
@estherkibajiro3480
@estherkibajiro3480 2 ай бұрын
Nchi inamajambazi wengi sana😭
@lugelosanga5798
@lugelosanga5798 2 ай бұрын
Nchiii hii ngumu Yani ndo Yale Yale haki za kimarekani daa kazi iendeleeeee mama Yuko kaziniii
@SaimonNgwito
@SaimonNgwito 3 ай бұрын
Hii nchi bana ukifany vzur tu unaanza kuwekewa mikinzamo duu mungu na akulinde makonda
@bumimwamasage5463
@bumimwamasage5463 2 ай бұрын
Aliye wa rohoni anajua kinachoendelea. Vita yetu si ya mwili wa damu na nyama, bali ni katika ulimwwngu wa roho. Ukijua hilo utajua la kufanya kwa bidii.. Maombi
@maginusjumajuma
@maginusjumajuma 3 ай бұрын
R.i.p magu😢😢😢😢
@sambulugu9988
@sambulugu9988 3 ай бұрын
Walio kamata wadada wanaojiuza hamuoni! Makonda mwacheni afanye kazi!
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 3 ай бұрын
Muacheni makonda afanye kazi yake
@SalumonEustace-cl4mk
@SalumonEustace-cl4mk 3 ай бұрын
Tume hii nayoo inaonekana imeozaa , mnashindwa kuwawajibsha askari wa maliasili pamoja na askari polisi wanaouaa raiaa kila kukicha afu mnajiita tume ya haki za binadamu... au hiyo tume inafanya kazi Tamisemi tuu? mbona lile tukio lilotokea tanga polisi likiwahusishaa maofisa wa polisi kwa kumuuaa raiaa kutumia tindikali hamkusemaa Nyieeeee mwogopeni Mungu
@dorcasjonathan9793
@dorcasjonathan9793 3 ай бұрын
Yesu asulubiwe baraba aachiwe huru wenye akili wamenielewa mhmm dunian mbona tutaona mengi mungu nisaidie
@gasperaroni5751
@gasperaroni5751 3 ай бұрын
Makonda achana nao hao awajui wasemalo
@othmanali5362
@othmanali5362 3 ай бұрын
Hakuna aliekuwa juu sharia
@sujaiazicani9510
@sujaiazicani9510 2 ай бұрын
yameaza
@seifseifmohamed7118
@seifseifmohamed7118 3 ай бұрын
Watu corupt hawapendi utendaji
@MussaMarwa-z3n
@MussaMarwa-z3n 2 ай бұрын
Ubey nimubay san nbona akiwa apo aukugea leo hii aonekan unahoa aya
@WilsonMguba-bp2qs
@WilsonMguba-bp2qs 2 ай бұрын
Hawa ndowalewale
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 2 ай бұрын
Nimegundua na kujiridhisha kwamba:Viongozi hawana matatizo sana.Nilichogundua,wananchi ndiyo tuna matatizo,tena matatizo makubwa.Kubwa zaidi,ni kwamba hatuna uwelewa wa mambo mengi,ikiwemo haki zao ,haki za wengine.Maswsla ya haki za binadamu ni mazito sana kuliko kumshabikia mtu muhalifu.Tupunguze uchawa kwa viongozi,tunawaharibu.
@fridamossony2821
@fridamossony2821 3 ай бұрын
Hivi mmekosa Kazi, kila kukicha Makonda, tuachie, Kipenzi chetu, Mahakama za Arusha zimejawa na Hila
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 ай бұрын
Makonda sio Malaika huenda akakosea Sasa akikosea jambo moja tu mnafanya uchunguzi hii Dunia
@Japhary-sx3je
@Japhary-sx3je 3 ай бұрын
Du aya majitu vip mbona mnakua maboya sana aya mpeni mtoto wa nape mkuu wa mkoo
@ahmadmzoa74
@ahmadmzoa74 2 ай бұрын
Mtu akiwa mchapakazi ana husudiwa.Kuna matatizo kibao ya wananchi wala hamuyashughulikii.
@MzeeMkoloni
@MzeeMkoloni 2 ай бұрын
Huyu wanamlea kipumbavu sana huyu kwa nn na yeye asimalizwe kama anavyomaliza wenzake
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 3 ай бұрын
Kwendeni huko mwacheni makonda wetu achape kazi
@modestusndunguru7183
@modestusndunguru7183 2 ай бұрын
Muambieni rais..kwani ye kajileta arusha
@ChelehaniKamoga
@ChelehaniKamoga 3 ай бұрын
Achani makonda afany kaz
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 2 ай бұрын
Makonda hajawahi kuwa kiongozi hata siku moja.Sema makonda anabebwa na kitu kinaitwa ngekewa(bahati ya kupendwa)Makonda ni kivuruge kama alivyo Chalamila na Slaa .Huwezi kwenda kuonana na wananchi na dharau eti wewe ni waziri,mkuu wakoa.Weka ndani huyu,bila kumsikiliza,huo ni udhalilishaji,Kama kinachotakiwa ni haki basi sheria zifuatwe,siyo vitsho.Kiongozi hatakiwi kuwa na mihemko na ushamba.
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc 3 ай бұрын
Tume hizi
@PrinceHendry-hp8vv
@PrinceHendry-hp8vv 3 ай бұрын
Kwa makonda mtamaliza soli bureee bora mumjadili nape kakosea akatoboa siri kwamba walioko madarakani hawastaili waliiba kura
@EmmanuelJoseph-mn9jr
@EmmanuelJoseph-mn9jr 3 ай бұрын
Tuma mmeoza hakuna kitu apo
@FatmaChezo
@FatmaChezo 2 ай бұрын
Mambo mazito yanatokea lakini hawaonekani,mnachuki nahuyu mkuuwamkowa wawatu
@jovitusiinnocent7534
@jovitusiinnocent7534 3 ай бұрын
Nyie ni mmeshidwa kufatilua kesi zingine huko
@AlistidesAlbert
@AlistidesAlbert 2 ай бұрын
Sisi tunamtaka makonda maneno yenu hatutaki nani atakuwa mwema kwenu mbona mnatuumiza watanzania!!!?
@MalamboSelijusi
@MalamboSelijusi 3 ай бұрын
Haki zakijinga ndio nyingi muacheni makonda afanye kazi
@GodMziray
@GodMziray 2 ай бұрын
Mjue MUNGU yupo na atawalipa.
@LovelyBrain-wz7si
@LovelyBrain-wz7si 3 ай бұрын
Yaani ya makonda ndo kichwa Cha habari toa upuuzi huo
@AthanaseKiyoja
@AthanaseKiyoja 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya atalazimika kuamru mtu kutiwa ndani ikiwa mtu huyo anahatarisha amani maharia husika.Ikiwa usalama wa mtu husika mwenyewe umo katika hatari asipohifadhiwa.Lkn kwa tuhuma za wizi ,udanganyifu, utovu wa nidhamu nk hatua za kawida tu zipo ikiwemo kuonywa,kushitakiwa mahakamani au kama ni mtumishi basi mwajiriwa wake atamwajibisha kwa mujibu ww taratibu za kiajira.Tupunguze mihemko na ushamba wa matumizi ya madaraka kwa nafasi tulizo nazo.Achana na mambo ya kutafuta sifa.Mkuu wa mkoa kutwa nzima ushindwa hata kunywa chai unakalia umbeya
@robertzamani5612
@robertzamani5612 3 ай бұрын
Ndio maana Jpm alikataa huu ujinga wa hizi tume
@francismadirisha3511
@francismadirisha3511 3 ай бұрын
Huna lolote achana kabisa na makonda
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 ай бұрын
Uyu jamaaa utawala Bora anaujua kweli ?
@MirajiMbolile
@MirajiMbolile 3 ай бұрын
Pumbavu
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 3 ай бұрын
CHAPAKAZI DOGO MAK
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 3 ай бұрын
Hizo ni fitina wewe Sali na utende haki
@willymdeka6034
@willymdeka6034 3 ай бұрын
Yaani hili zee limevaa na tai na suti kumbe bwege tu hamuoni watu wengine wanavyopata shida mkawasaidia? Mmeliona hilo la kijinga
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 ай бұрын
mbpna mmewakamata öashekh na kuwekwa maanusu öıqka 7/8/9... sasa mpka leo, na hakuna ushahıd wwote ! Au mnaanza kujikimgia mgongo arudi nyumaa!! Achek faking acting!
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 7 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
1 сквиш тебе или 2 другому? 😌 #шортс #виола
00:36
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4,1 МЛН
WHY AN ISRAELI NUCLEAR STRIKE ON IRAN IS NOW POSSIBLE
14:05
ATE CHUET
Рет қаралды 194 М.
Sustainability & ESG Careers: Trends & Opportunities | Ellen Weinreb
21:01
Collective Responsibility
Рет қаралды 15 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН