Nimegundua ccm wanalindana sana kosa la makonda liko wapi wangapi wako magereza miaka ila haki za binadamu hawajawaona walkomuona ni makonda
@estherkibajiro34802 ай бұрын
Nchi inamajambazi wengi sana😭
@lugelosanga57982 ай бұрын
Nchiii hii ngumu Yani ndo Yale Yale haki za kimarekani daa kazi iendeleeeee mama Yuko kaziniii
@SaimonNgwito3 ай бұрын
Hii nchi bana ukifany vzur tu unaanza kuwekewa mikinzamo duu mungu na akulinde makonda
@bumimwamasage54632 ай бұрын
Aliye wa rohoni anajua kinachoendelea. Vita yetu si ya mwili wa damu na nyama, bali ni katika ulimwwngu wa roho. Ukijua hilo utajua la kufanya kwa bidii.. Maombi
Tume hii nayoo inaonekana imeozaa , mnashindwa kuwawajibsha askari wa maliasili pamoja na askari polisi wanaouaa raiaa kila kukicha afu mnajiita tume ya haki za binadamu... au hiyo tume inafanya kazi Tamisemi tuu? mbona lile tukio lilotokea tanga polisi likiwahusishaa maofisa wa polisi kwa kumuuaa raiaa kutumia tindikali hamkusemaa Nyieeeee mwogopeni Mungu
@dorcasjonathan97933 ай бұрын
Yesu asulubiwe baraba aachiwe huru wenye akili wamenielewa mhmm dunian mbona tutaona mengi mungu nisaidie
@gasperaroni57513 ай бұрын
Makonda achana nao hao awajui wasemalo
@othmanali53623 ай бұрын
Hakuna aliekuwa juu sharia
@sujaiazicani95102 ай бұрын
yameaza
@seifseifmohamed71183 ай бұрын
Watu corupt hawapendi utendaji
@MussaMarwa-z3n2 ай бұрын
Ubey nimubay san nbona akiwa apo aukugea leo hii aonekan unahoa aya
@WilsonMguba-bp2qs2 ай бұрын
Hawa ndowalewale
@AthanaseKiyoja2 ай бұрын
Nimegundua na kujiridhisha kwamba:Viongozi hawana matatizo sana.Nilichogundua,wananchi ndiyo tuna matatizo,tena matatizo makubwa.Kubwa zaidi,ni kwamba hatuna uwelewa wa mambo mengi,ikiwemo haki zao ,haki za wengine.Maswsla ya haki za binadamu ni mazito sana kuliko kumshabikia mtu muhalifu.Tupunguze uchawa kwa viongozi,tunawaharibu.
@fridamossony28213 ай бұрын
Hivi mmekosa Kazi, kila kukicha Makonda, tuachie, Kipenzi chetu, Mahakama za Arusha zimejawa na Hila
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
Makonda sio Malaika huenda akakosea Sasa akikosea jambo moja tu mnafanya uchunguzi hii Dunia
@Japhary-sx3je3 ай бұрын
Du aya majitu vip mbona mnakua maboya sana aya mpeni mtoto wa nape mkuu wa mkoo
@ahmadmzoa742 ай бұрын
Mtu akiwa mchapakazi ana husudiwa.Kuna matatizo kibao ya wananchi wala hamuyashughulikii.
@MzeeMkoloni2 ай бұрын
Huyu wanamlea kipumbavu sana huyu kwa nn na yeye asimalizwe kama anavyomaliza wenzake
@gladistaemanueliy63363 ай бұрын
Kwendeni huko mwacheni makonda wetu achape kazi
@modestusndunguru71832 ай бұрын
Muambieni rais..kwani ye kajileta arusha
@ChelehaniKamoga3 ай бұрын
Achani makonda afany kaz
@AthanaseKiyoja2 ай бұрын
Makonda hajawahi kuwa kiongozi hata siku moja.Sema makonda anabebwa na kitu kinaitwa ngekewa(bahati ya kupendwa)Makonda ni kivuruge kama alivyo Chalamila na Slaa .Huwezi kwenda kuonana na wananchi na dharau eti wewe ni waziri,mkuu wakoa.Weka ndani huyu,bila kumsikiliza,huo ni udhalilishaji,Kama kinachotakiwa ni haki basi sheria zifuatwe,siyo vitsho.Kiongozi hatakiwi kuwa na mihemko na ushamba.
@FunnyHikingWaterfall-wv7dc3 ай бұрын
Tume hizi
@PrinceHendry-hp8vv3 ай бұрын
Kwa makonda mtamaliza soli bureee bora mumjadili nape kakosea akatoboa siri kwamba walioko madarakani hawastaili waliiba kura
@EmmanuelJoseph-mn9jr3 ай бұрын
Tuma mmeoza hakuna kitu apo
@FatmaChezo2 ай бұрын
Mambo mazito yanatokea lakini hawaonekani,mnachuki nahuyu mkuuwamkowa wawatu
Haki zakijinga ndio nyingi muacheni makonda afanye kazi
@GodMziray2 ай бұрын
Mjue MUNGU yupo na atawalipa.
@LovelyBrain-wz7si3 ай бұрын
Yaani ya makonda ndo kichwa Cha habari toa upuuzi huo
@AthanaseKiyoja2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya atalazimika kuamru mtu kutiwa ndani ikiwa mtu huyo anahatarisha amani maharia husika.Ikiwa usalama wa mtu husika mwenyewe umo katika hatari asipohifadhiwa.Lkn kwa tuhuma za wizi ,udanganyifu, utovu wa nidhamu nk hatua za kawida tu zipo ikiwemo kuonywa,kushitakiwa mahakamani au kama ni mtumishi basi mwajiriwa wake atamwajibisha kwa mujibu ww taratibu za kiajira.Tupunguze mihemko na ushamba wa matumizi ya madaraka kwa nafasi tulizo nazo.Achana na mambo ya kutafuta sifa.Mkuu wa mkoa kutwa nzima ushindwa hata kunywa chai unakalia umbeya
@robertzamani56123 ай бұрын
Ndio maana Jpm alikataa huu ujinga wa hizi tume
@francismadirisha35113 ай бұрын
Huna lolote achana kabisa na makonda
@florianhenry71983 ай бұрын
Uyu jamaaa utawala Bora anaujua kweli ?
@MirajiMbolile3 ай бұрын
Pumbavu
@ibrahimhodabaksh39393 ай бұрын
CHAPAKAZI DOGO MAK
@gracekaboigora1893 ай бұрын
Hizo ni fitina wewe Sali na utende haki
@willymdeka60343 ай бұрын
Yaani hili zee limevaa na tai na suti kumbe bwege tu hamuoni watu wengine wanavyopata shida mkawasaidia? Mmeliona hilo la kijinga
@twaibumikidadi73773 ай бұрын
mbpna mmewakamata öashekh na kuwekwa maanusu öıqka 7/8/9... sasa mpka leo, na hakuna ushahıd wwote ! Au mnaanza kujikimgia mgongo arudi nyumaa!! Achek faking acting!