''MAKONDA usiogope, tunakuelewa sana, Mishale mingi inaenda pale patakatifu" Naibu Waziri Dr. Mollel

  Рет қаралды 1,467

Gilly Bonny Tv

Gilly Bonny Tv

15 күн бұрын

''MAKONDA usiogope, tunakuelewa sana, Mishale mingi inaenda pale patakatifu" Naibu Waziri Dr. Mollel
Naibu Waziri wa afya Dkt. Godwin Molle amesema hayo leo tarehe 29 Juni 2024 baada ya kutembelea kambi maalum ya matibabu bure inayoendelea kufanyika katika viwanja vya Sheik Amri Abed Arusha.
Kambi hiyo iliyoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda hadi kufikia leo imehudumia zaidi ya wagonjwa 25,000 ikiwa ni siku ya sita tangu imeanza

Пікірлер: 8
@hawakiza6067
@hawakiza6067 13 күн бұрын
Wajifunze kutoka kwa makonda
@machujamathias7165
@machujamathias7165 13 күн бұрын
Makonda utafikaa Mbali
@ngelelanangale6798
@ngelelanangale6798 12 күн бұрын
Maneno ya hekima saana ya siyo na wivu wala unafiki yaliyotolewa na naibu waziri wa afraid kendal kwa makonda
@LucasModesti-zb7gv
@LucasModesti-zb7gv 5 күн бұрын
Makonda mwaba sana
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 13 күн бұрын
Mwamba Makonda
@godfreymwikola8232
@godfreymwikola8232 13 күн бұрын
Bureeeeeeee mmmmh sidhan
@halimamasai2234
@halimamasai2234 12 күн бұрын
Wacha chuki za kijinga Makonda kafanya kitu kubwa
@godfreymwikola8232
@godfreymwikola8232 13 күн бұрын
Kampen izo zimeanza
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 93 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 40 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 49 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 37 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 93 МЛН