a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star
@LeahGyeiАй бұрын
Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu
@user-xk7vy4gb6gАй бұрын
Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉
@kwisa4899Ай бұрын
Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.
@section8ight174Ай бұрын
*KuimaRika but yeah great point you’ve put across!!
@yahayampangilwaАй бұрын
Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.
@kamogesamuel2461Ай бұрын
Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa
@JudicaJosephАй бұрын
Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona
@yusuphchimwala4126Ай бұрын
Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉
@menelus911mene5Ай бұрын
Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda
@abasibogga4798Ай бұрын
U are the leader ofcause big up makonda
@IlalioMbunju-hv7kwАй бұрын
Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya
@MossesMelejiАй бұрын
Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele
@shabannayopa5406Ай бұрын
Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal
@nichoojr.6747Ай бұрын
Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏
@abdallahomary515Ай бұрын
Huyu jamaa ana vision kiukweli
@bogate156Ай бұрын
MAKONDA IS REAL VERY SMART...QUICK DECISION MAKER...VERY DIPLOMATIC...MWALIMU..MCHA MUNGU...MZEE WA BLACK AND WHITE.ANANYOOSHA MAMBO NA HAMUONEI MZEMBE AIBU...HUYU ANGEKUA WAZIRI MKUU 2025 MAMBO MENGI YANGUKUA SUPER...BIG UP BROTHER COMRADE.MUNGU AKULINDE..
@PeterNMzeeАй бұрын
Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake
@gladistaemanueliy6336Ай бұрын
Asante mh makonda tunakupenda arusha
@Hillary_Daudi_MremaАй бұрын
Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda
@MsumalAloyce25 күн бұрын
Anaemshambulia makonda,bora afe
@user-md7ug5dd9rАй бұрын
Mungu akubarki sana
@JudicaJosephАй бұрын
Safi kaka makonda kiongozi wa mfano
@stevenmrama3123Ай бұрын
Falsafa yako ni nzuri sana,isipokua viongozi wetu kwanza akiwa ofisini wanakua miungu watu .ni shida sana
@kaundasutikaunda7769Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mh Makonda.
@jerichoseth4188Ай бұрын
Bro you are my lol model in leadership
@user-nd1le6zp3eАй бұрын
Sema mwamba tunakuamini
@user-dn9lb9ct1wАй бұрын
Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u
@daudkindy8062Ай бұрын
Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vhАй бұрын
Nakubali sana utendajiwako bigap
@Antelius-ew6itАй бұрын
Karibu ikilu ❤
@zakarialuhemeja444Ай бұрын
Intelligent
@WilhelmPetro26 күн бұрын
Makonda oyeeeeeee inatakiwa
@masakamgalla9273Ай бұрын
A man and ahalf
@barakakevela245Ай бұрын
NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA
@peterpaschal4522Ай бұрын
Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari
@khamismtoma4902Ай бұрын
PhD ya makonda
@mwinyisaruni8974Ай бұрын
Mheshimiwa endelewa kupiga spana kazi iendelee Ila hiyo wawekezaji jamani ichunguze vizuri kweli kuna sehemu ata nawao waangalie na kuajiri watu maana Kuna namna haija kaa vizuri na wao, wanawapotezea watu muda mrefu bila kuwaajiri Hilo lichunguze mheshimiwa
@elizabethbigilwa6822Ай бұрын
Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM
@loyakanuda2521Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vhАй бұрын
Nikweli unamtaja mama malaika niwewe
@user-hu9bf7nw4cАй бұрын
Makonda amefundwa na magu ,habadiliki ni yule yule ,haendi na upepo kama wengne, hua wanabadilika hawana uelekeo maalum ,hao wa hvyo ndio wanaohalibu nchi, unakuta uongozi wa awam fulan wengne wanajifanya wema alafu nyingne wanakua wabaya kabisa kwa kutetea ubaya, inakua kama machawa ambao ndio wahalibifu kabisa wa nchi ,ila kwa makonda ni yule yule habadiliki toka awam ya magu ,na ndio tunaowaitaji sisi wananchi viongoz wa namna hii na ukiwapata hata 20 vile ujue nchi itanyooka mno
@lucascosmas908Ай бұрын
Sawa
@DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8toАй бұрын
Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.
@samwelmkufya3694Ай бұрын
Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi
@user-pi5df7qu3yАй бұрын
Rais wangu miaka inayokuja
@user-pw9ir4fg7xАй бұрын
Ikulu unakaribixhwa
@masakamgalla9273Ай бұрын
Takwimu za milembe kubwa kidogo hapo chuga😂😂
@user-gv8yn9lg1iАй бұрын
😢😢😢😢
@vincentmhoro1952Ай бұрын
Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui
@evelynmwaimu-vd9joАй бұрын
wamechaguliwa na nani
@kaaakwakutuliaa5179Ай бұрын
sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi
@section8ight174Ай бұрын
*KukadiRia, tobwe wewe! Acheni kuaribu lugha nyie wa kuletwa!!