MAKONDA AONGEA KAULI NZITO MBELE ya WAZIRI KITILA "Mimi ni Tofauti na Wengine Sipendi Ubabaishaji"

  Рет қаралды 24,324

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Ай бұрын

Пікірлер: 54
@abdialijamaa1643
@abdialijamaa1643 Ай бұрын
a leader is the one who knows the way,goes the way and shows the way .this is the kind of people we need in leadership paul makonda . keep shining like a star
@LeahGyei
@LeahGyei Ай бұрын
Wewe ni kiongozi kutoka kwa Mungu. Barikiwa sana mwanangu
@user-xk7vy4gb6g
@user-xk7vy4gb6g Ай бұрын
Safi sana Mh Makonda, hongera sana unakitendea haki cheo chako 🎉🎉🎉 Mungu akulinde akupiganie uchape kazi hakika ww ni kiongozi wa kuigwa 🎉🎉
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
Makonda kwa hili nimekupongeza umeongea kwa hekima na uwezo wa juu sana leo unazidi kuimalika kwene uongozi, i wish siku koja yapi awe makamu wako mpo vizuri.
@section8ight174
@section8ight174 Ай бұрын
*KuimaRika but yeah great point you’ve put across!!
@yahayampangilwa
@yahayampangilwa Ай бұрын
Viongozi wazalendo kama Makonda wanatakiwa kulindwa sana.
@kamogesamuel2461
@kamogesamuel2461 Ай бұрын
Barikiwa sana kwa utumishi uliotukuka na maono makubwa
@JudicaJoseph
@JudicaJoseph Ай бұрын
Haya kama wakisema Ni siasa Ni sawa tungekuwa tunafanyiwa siasa nzuri kama hizi za vitendo Na viongozi wote nchi ingekuwa mbali Sana Na wananchi tungepona
@yusuphchimwala4126
@yusuphchimwala4126 Ай бұрын
Uko vizur sanaaa mkuu Allah akuongoze katika utendaji wako mkuu🎉
@menelus911mene5
@menelus911mene5 Ай бұрын
Mhe Mkuu wa Mkoa Arusha mhe Makonda wewe ni kiongozi mbunifu sana wewe ni mlezi wa kila lika duh !!! Sijawahi kuona masha allah mungu akufanyie wepesi wakazi zako za kila siku piga kazi mhe makonda
@abasibogga4798
@abasibogga4798 Ай бұрын
U are the leader ofcause big up makonda
@IlalioMbunju-hv7kw
@IlalioMbunju-hv7kw Ай бұрын
Chapa kazi Mungu anakuona unachofanya
@MossesMeleji
@MossesMeleji Ай бұрын
Makonda ubarikiwe sana! Songa mbele
@shabannayopa5406
@shabannayopa5406 Ай бұрын
Viva makonda cna neno chapa kaz, 💯 nakubal
@nichoojr.6747
@nichoojr.6747 Ай бұрын
Sema Kaka We NI Raisi Miaka ijayo 🙏
@abdallahomary515
@abdallahomary515 Ай бұрын
Huyu jamaa ana vision kiukweli
@bogate156
@bogate156 Ай бұрын
MAKONDA IS REAL VERY SMART...QUICK DECISION MAKER...VERY DIPLOMATIC...MWALIMU..MCHA MUNGU...MZEE WA BLACK AND WHITE.ANANYOOSHA MAMBO NA HAMUONEI MZEMBE AIBU...HUYU ANGEKUA WAZIRI MKUU 2025 MAMBO MENGI YANGUKUA SUPER...BIG UP BROTHER COMRADE.MUNGU AKULINDE..
@PeterNMzee
@PeterNMzee Ай бұрын
Makonda Akili kubwa sana.....heko kwake
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 Ай бұрын
Asante mh makonda tunakupenda arusha
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Ай бұрын
Big up sana Vijana tunakuelewa sana Makonda
@MsumalAloyce
@MsumalAloyce 25 күн бұрын
Anaemshambulia makonda,bora afe
@user-md7ug5dd9r
@user-md7ug5dd9r Ай бұрын
Mungu akubarki sana
@JudicaJoseph
@JudicaJoseph Ай бұрын
Safi kaka makonda kiongozi wa mfano
@stevenmrama3123
@stevenmrama3123 Ай бұрын
Falsafa yako ni nzuri sana,isipokua viongozi wetu kwanza akiwa ofisini wanakua miungu watu .ni shida sana
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mh Makonda.
@jerichoseth4188
@jerichoseth4188 Ай бұрын
Bro you are my lol model in leadership
@user-nd1le6zp3e
@user-nd1le6zp3e Ай бұрын
Sema mwamba tunakuamini
@user-dn9lb9ct1w
@user-dn9lb9ct1w Ай бұрын
Mh poul makonda hakika upo vzuri Arusha is the big city now co of u
@daudkindy8062
@daudkindy8062 Ай бұрын
Ishaallah Makonda utafika mbali ishaallah
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh Ай бұрын
Nakubali sana utendajiwako bigap
@Antelius-ew6it
@Antelius-ew6it Ай бұрын
Karibu ikilu ❤
@zakarialuhemeja444
@zakarialuhemeja444 Ай бұрын
Intelligent
@WilhelmPetro
@WilhelmPetro 26 күн бұрын
Makonda oyeeeeeee inatakiwa
@masakamgalla9273
@masakamgalla9273 Ай бұрын
A man and ahalf
@barakakevela245
@barakakevela245 Ай бұрын
NINAKUELEWA SANA MHE MAKONDA UKO VIZURI KAKA
@peterpaschal4522
@peterpaschal4522 Ай бұрын
Mheshimiwa makonda hapo kwenye kusema au nilikosea kufanya hi biashara kuna siku nilijisemea walai maana kumsimamia mtu ambaye hajitambui ilikuwa hatari
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 Ай бұрын
PhD ya makonda
@mwinyisaruni8974
@mwinyisaruni8974 Ай бұрын
Mheshimiwa endelewa kupiga spana kazi iendelee Ila hiyo wawekezaji jamani ichunguze vizuri kweli kuna sehemu ata nawao waangalie na kuajiri watu maana Kuna namna haija kaa vizuri na wao, wanawapotezea watu muda mrefu bila kuwaajiri Hilo lichunguze mheshimiwa
@elizabethbigilwa6822
@elizabethbigilwa6822 Ай бұрын
Chapa kazi. Kama ulivyoacha DSM
@loyakanuda2521
@loyakanuda2521 Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh
@MusawitsonskanaMusawitso-iy4vh Ай бұрын
Nikweli unamtaja mama malaika niwewe
@user-hu9bf7nw4c
@user-hu9bf7nw4c Ай бұрын
Makonda amefundwa na magu ,habadiliki ni yule yule ,haendi na upepo kama wengne, hua wanabadilika hawana uelekeo maalum ,hao wa hvyo ndio wanaohalibu nchi, unakuta uongozi wa awam fulan wengne wanajifanya wema alafu nyingne wanakua wabaya kabisa kwa kutetea ubaya, inakua kama machawa ambao ndio wahalibifu kabisa wa nchi ,ila kwa makonda ni yule yule habadiliki toka awam ya magu ,na ndio tunaowaitaji sisi wananchi viongoz wa namna hii na ukiwapata hata 20 vile ujue nchi itanyooka mno
@lucascosmas908
@lucascosmas908 Ай бұрын
Sawa
@DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
@DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to Ай бұрын
Je mbuga ya ngorongoro haijauzwa kwa nini wamasai wanahamishwa je Watanzania wameelezwa.
@samwelmkufya3694
@samwelmkufya3694 Ай бұрын
Wewe ni Rais unaesubiri kuapishwa tu brother piga kazi
@user-pi5df7qu3y
@user-pi5df7qu3y Ай бұрын
Rais wangu miaka inayokuja
@user-pw9ir4fg7x
@user-pw9ir4fg7x Ай бұрын
Ikulu unakaribixhwa
@masakamgalla9273
@masakamgalla9273 Ай бұрын
Takwimu za milembe kubwa kidogo hapo chuga😂😂
@user-gv8yn9lg1i
@user-gv8yn9lg1i Ай бұрын
😢😢😢😢
@vincentmhoro1952
@vincentmhoro1952 Ай бұрын
Vivo hivyo, msiwa-treat mapinzani wa kisiasa kama maadui
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo Ай бұрын
wamechaguliwa na nani
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 Ай бұрын
sheria ndio mbovu wewe unampaje mtubwa tra mamlaka ya kukadiliaaa hela ya serikali na anamaamuzi yote ya kufanya anachotaka na hakaguliwi
@section8ight174
@section8ight174 Ай бұрын
*KukadiRia, tobwe wewe! Acheni kuaribu lugha nyie wa kuletwa!!
@JohnJoseph-qq7ow
@JohnJoseph-qq7ow Ай бұрын
Makonda unatakiwa uwe raisi sio huyu mtalii
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,5 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 91 МЛН
UNASEMAJE WEWE ? TRA HAWAJUI HESABU, NJOO HAPA USEME VIZURI
10:56
FULL SPEECH: Donald Trump speaks before the NABJ in Chicago
36:28
FOX 32 Chicago
Рет қаралды 380 М.