Muheshimiwa ktk viongozi ww ni kiongozi bora mwenye uchungu na watanzania pamoja na raisi wetu daktari samia yaani tunatamani mwakani uwe hata makam wa raisi ili ukawanyooshe uko Sawa cna ww mungu akulinde cna makonda
@user-hd5bg8qw1b
MUNGU AKULINDE,AKULIPE KWA HAYA UNAYOWAFANYIA WANANCHI HASA WA HALI YA CHINI ZETU DUA MUNGU AKULINDE NA MAADUI,HUSUDA MUNGU AKULIPE NA UWE MFANO WA KUPIGWA