Yupo sahihi kuna mzungu nilimkuta ulaya ana cd ya remmy ongala nilishangaa sana didnt expect it hakika remmy is a legend
@BraveMajaliwa-gf7ru3 ай бұрын
Mimi nipo marekani maeneo ya Ohio Cleveland dudu baya yupo sahii 💯%
@kibwananordeen33 ай бұрын
Uhakika sana
@SakinaMaovu2 ай бұрын
CLEVELAND SEHEMU GANI LAKE WOOD AHU LORAIN
@BraveMajaliwa-gf7ru2 ай бұрын
@@SakinaMaovu Lakewood
@alsam48813 ай бұрын
Ni kweli kabisa ayasemayo hayo Dudu baya.👍
@nazirjorgedasilva3 ай бұрын
Salute kwa Dudu baya 🇲🇿
@maxvocTz3 ай бұрын
Nipeni like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉
@mwibelechekahuka73143 ай бұрын
Ndomana wa bongo hakuna upendo mnashidwa kuhelewa kama hile shwo diamond hajalihanda limehandaliwa kwahiyo apate watu akose watu haijalishi.
@sonnyr18993 ай бұрын
Tatizo ni uongo mwingi tunaojazwaga uku. Mtazame yule mtoto wa South africa Tyler alivyo piga gep kubwa ila mdada wa watu hana makuu
@edwinoduor24213 ай бұрын
Sasa kusema watu hawakuwepo pia n kosa?
@mbukumagiubukumagu4063 ай бұрын
Chris br analipwa pesa nyingi akicheza dakika 1.ile ni biashara sio mzuka fungueni macho watanzania
@givenhappy__bu13 ай бұрын
Bujumbura burundi 🇧🇮 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@AlexanderNimbona-lj4ln3 ай бұрын
Legend👑👑👑
@Kobe_2543 ай бұрын
Nipo Seattle WASHINGTON na mimi ni mKenya-- huwa sikosi interviews za Dudubaya, ata kama nashughulika na yetu ya Kikenya, bado DUDUBAYA lazima nipitie.. ni ngumu sana kupata haya maarifa kutoka kwa legendaries!!
@chuchetresha2 ай бұрын
Hana uligend wote
@sundaysenga76083 ай бұрын
JUZI NILISIKIA SINGLE AGAIN IMEPIGWA REDIONI UK I WAS SO HAPPY BIG UP KONDE BOY
@dankingmaterial95693 ай бұрын
Mamba mamba 2 , you never fail bravo
@LeopordMkinga-gz9gc3 ай бұрын
Ameshafel uyo
@DelightfulFish-ps8ny3 ай бұрын
True that konki
@stevenckanumba73 ай бұрын
True 🙏🙏
@suntzu89593 ай бұрын
Akili kubwa
@drmahwa81662 ай бұрын
Tafuteni njia sahihi (+uisilaam) UKAFIRI unanawatesa
@ThabisoMbhele-oj7zd3 ай бұрын
Loho mbaya dudu baya
@kdloon20303 ай бұрын
Mtu akisema ukweli inakua ni roho mbaya,au ndivyo hivyo akili yako hua inang'amua mambo?
@ziggertv31853 ай бұрын
Kasema kweliii
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
"Loho" mbaya ndio nini😊
@LatifaHashim-rn1ip3 ай бұрын
Nampendaga
@Pedeshee013 ай бұрын
Mimi nakupenda latifa
@BarakaJosephat-d1s3 ай бұрын
wanasifia ili wapate ulaji kaka sasa upo wasafi media utamtangaza vibaya kwel boss wao
@SikituYusuph-fr7rj3 ай бұрын
Ww dudu bya ndo maana yalikushida kwann wabong mnakuwa wanafiki sana
@AsungaSteven2 ай бұрын
Kweli watanzania ni miyeyusho sana
@kibwananordeen33 ай бұрын
Konki master
@HASSANBAKARI-q9c3 ай бұрын
MTAONGEA MENGI SANA WATU WANGU ILA LUGHA YA MUZIKI NDO CHANGAMOTO KWA KAKA YENU.....JINA ANALO KUBWA TU AKUNA MTU ATABISHA
@ShakillaSaid3 ай бұрын
Jinga sana hili jamaa
@mbukumagiubukumagu4063 ай бұрын
Wabongo wengi waliokwenda ulaya wanaishi maisha kujifichaficha
@mataypanga52623 ай бұрын
Siyo wabongo tu,sisi kama wanavyotuita watu weusi Ulaya siyo rahisi sana.Labda mtu awe amesomea kule au ameshasoma toka Africa
@angenyalusischmidt23213 ай бұрын
ILIKUWA SOUND CHECK.. KAPIGA USIKU.. MIMI NI PROMOTER ..HUU WOTE MNAUSIKIA KUHUSU ULAYA NI UONGO
@kibwananordeen33 ай бұрын
Tulizana bhn
@jacksonmsendo34783 ай бұрын
Yupo sahihi dudubaya
@namukwayamweshihange88663 ай бұрын
Akuna watu wanafiki kama tz. Wabongo niwauwaji. Diamond napinwa vipi nakila mtu. Sijuwi kafanyanini. Wivu mkubwa sana sijuwi arikiba Sijuwi rayvany Sijuwi hamo. Basi munawe atakumua. Sijuwi pimbi Sijuwi muhijaku. Sijuwi ostazi juma. Jamani. Musichokia Diamond analinwa namungu sana. Namupa pole sana mama yake. 😢😢😢
@Brunn-mh2bq2 ай бұрын
Mhhh. Lugha gani hii yaarabi😢
@Secy-y5g3 ай бұрын
Yuko sana dudu
@KhalfanSalim-v1x3 ай бұрын
sehem za nje kibao akienda kufanya show hapata watu maana yake mziki wake mdogo sana kwa nchi za nje 😅😅😅😅😅
@BenardLucumay3 ай бұрын
Japo wengi hawapendi ukweli na wasema kweli! Dudubaya yuko sahihi sana tena sana! Sisi tuliyosafiri na kufanya kazi ndani na nje ya nchi kwa muda mrefu tunajua mengi ! Ukienda Marekani ni kweli Tanzania haijulikani kwa ujuma kivile kama tunavyojibaraguza au kujitutumia ! Wanaigeria wanafahamika sehemu nyingi duniani , ni wengi kwa idadi na wamesoma sana ! Huku kwetu watu wengi hawafuatilii mambo ya msingi , hawajisomei ,hawatafuti ukweli wa mambo yaani wanasubiri kudanganywa danganywa tu kama kwenye chaguzi zetu za kisiasa! Niliwahi kusafiri kupitia uwanja wa ndege wa Heathrow Uingereza mara kadhaa nikasikia nyimbo za Remmy na Marijani zikipigwa kwenye " Duty free shops"! Yaani Dudubaya upewe maua yako na PhD ya heshima kwenye muziki na uchambuzi wa mambo kwa usahihi kabisa! Gen- Z! Wa bongo wanawaza mambo madogo madogo tu !
@karlschrader40263 ай бұрын
Skujua ziwa Victoria lina Mamba😮
@BraveMajaliwa-gf7ru3 ай бұрын
Upo sahii brother Tanzania 🇹🇿 ina promote mziki wa diamond 💎 komasava Wakati ni nyimbo mbovu 😂wimbo unapewa promo kubwa Wakati ni sururi
Dudu baya anaongea ukweli mm nipo south Africa sijawahi kuona TV wala radio za huku zikiuzungumzia mziki wa Tanzania
@richkaja33173 ай бұрын
Dudu acha ushamba njoo usafini
@mataypanga52623 ай бұрын
Dudu 😂
@Secy-y5g3 ай бұрын
Anacho ongea dudu Yuko sawa sana huyu jamaa anaujua mzk
@SadickHamis-vm1qi3 ай бұрын
Sio mziki ni vitu vingi tuu
@Abby_Shawn_KE3 ай бұрын
😂😂Msema kweli DUDU BAYA,. Ureno nani anajua Swahili tukitoa waafrica wanaoishi mle? Nao unakuta hawana nafasi ya kwenda hapo kutokana na ubize
@KhalfanSalim-v1x3 ай бұрын
😅😅😅😅ongea kua iyo show ya mwambino kapiga Bure kama alikua Hana furaha sababu anajua kua iyo show sio yake ni Wanaijeria wasafi wenyewe walikua wanapost anavyoimba mwambino kuzungusha camera ukumbi wote hamna watu Kala zakichwa kwamba maana yake zile show alikua anafanya zamani zilikua za uwongo ana edit kumbe sasa uwo ndo ukweli kua bado msani mdogo kwa nje msani mkubwa kwa Tanzania sio mda alie pangiwa mda wa show hata kama angefanya show mwenyewe pekeake asingepata watu hapo nahao wengine wamekuja sababu ya kuona show ya wasani wa naijeria
@nashnene63263 ай бұрын
Siku Diamond akifa ndio mtakapojua kuwa tunu ya taifa imeondoka
@sophsoph47403 ай бұрын
Yan kwer mti wenye matunda lazm upigwe mawe😢@@nashnene6326
@kdloon20303 ай бұрын
Yeye ni nani mshamba tuu,tunu ya taifa kwa wewe mwenye kichwa kibovu.Mtoto mdogo@@nashnene6326