KIMENUKA; DUDU BAYA AFICHUA SIRI SHOW YA DIAMOND KUKOSA WATU AFRO NATION ILI UPATE WATU LAZIMA UF...

  Рет қаралды 18,605

Maks Media

Maks Media

Күн бұрын

Пікірлер: 86
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 3 ай бұрын
Yupo sahihi kuna mzungu nilimkuta ulaya ana cd ya remmy ongala nilishangaa sana didnt expect it hakika remmy is a legend
@BraveMajaliwa-gf7ru
@BraveMajaliwa-gf7ru 3 ай бұрын
Mimi nipo marekani maeneo ya Ohio Cleveland dudu baya yupo sahii 💯%
@kibwananordeen3
@kibwananordeen3 3 ай бұрын
Uhakika sana
@SakinaMaovu
@SakinaMaovu 2 ай бұрын
CLEVELAND SEHEMU GANI LAKE WOOD AHU LORAIN
@BraveMajaliwa-gf7ru
@BraveMajaliwa-gf7ru 2 ай бұрын
@@SakinaMaovu Lakewood
@alsam4881
@alsam4881 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa ayasemayo hayo Dudu baya.👍
@nazirjorgedasilva
@nazirjorgedasilva 3 ай бұрын
Salute kwa Dudu baya 🇲🇿
@maxvocTz
@maxvocTz 3 ай бұрын
Nipeni like zangu 🎉🎉🎉🎉🎉
@mwibelechekahuka7314
@mwibelechekahuka7314 3 ай бұрын
Ndomana wa bongo hakuna upendo mnashidwa kuhelewa kama hile shwo diamond hajalihanda limehandaliwa kwahiyo apate watu akose watu haijalishi.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 3 ай бұрын
Tatizo ni uongo mwingi tunaojazwaga uku. Mtazame yule mtoto wa South africa Tyler alivyo piga gep kubwa ila mdada wa watu hana makuu
@edwinoduor2421
@edwinoduor2421 3 ай бұрын
Sasa kusema watu hawakuwepo pia n kosa?
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 3 ай бұрын
Chris br analipwa pesa nyingi akicheza dakika 1.ile ni biashara sio mzuka fungueni macho watanzania
@givenhappy__bu1
@givenhappy__bu1 3 ай бұрын
Bujumbura burundi 🇧🇮 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@AlexanderNimbona-lj4ln
@AlexanderNimbona-lj4ln 3 ай бұрын
Legend👑👑👑
@Kobe_254
@Kobe_254 3 ай бұрын
Nipo Seattle WASHINGTON na mimi ni mKenya-- huwa sikosi interviews za Dudubaya, ata kama nashughulika na yetu ya Kikenya, bado DUDUBAYA lazima nipitie.. ni ngumu sana kupata haya maarifa kutoka kwa legendaries!!
@chuchetresha
@chuchetresha 2 ай бұрын
Hana uligend wote
@sundaysenga7608
@sundaysenga7608 3 ай бұрын
JUZI NILISIKIA SINGLE AGAIN IMEPIGWA REDIONI UK I WAS SO HAPPY BIG UP KONDE BOY
@dankingmaterial9569
@dankingmaterial9569 3 ай бұрын
Mamba mamba 2 , you never fail bravo
@LeopordMkinga-gz9gc
@LeopordMkinga-gz9gc 3 ай бұрын
Ameshafel uyo
@DelightfulFish-ps8ny
@DelightfulFish-ps8ny 3 ай бұрын
True that konki
@stevenckanumba7
@stevenckanumba7 3 ай бұрын
True 🙏🙏
@suntzu8959
@suntzu8959 3 ай бұрын
Akili kubwa
@drmahwa8166
@drmahwa8166 2 ай бұрын
Tafuteni njia sahihi (+uisilaam) UKAFIRI unanawatesa
@ThabisoMbhele-oj7zd
@ThabisoMbhele-oj7zd 3 ай бұрын
Loho mbaya dudu baya
@kdloon2030
@kdloon2030 3 ай бұрын
Mtu akisema ukweli inakua ni roho mbaya,au ndivyo hivyo akili yako hua inang'amua mambo?
@ziggertv3185
@ziggertv3185 3 ай бұрын
Kasema kweliii
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 2 ай бұрын
"Loho" mbaya ndio nini😊
@LatifaHashim-rn1ip
@LatifaHashim-rn1ip 3 ай бұрын
Nampendaga
@Pedeshee01
@Pedeshee01 3 ай бұрын
Mimi nakupenda latifa
@BarakaJosephat-d1s
@BarakaJosephat-d1s 3 ай бұрын
wanasifia ili wapate ulaji kaka sasa upo wasafi media utamtangaza vibaya kwel boss wao
@SikituYusuph-fr7rj
@SikituYusuph-fr7rj 3 ай бұрын
Ww dudu bya ndo maana yalikushida kwann wabong mnakuwa wanafiki sana
@AsungaSteven
@AsungaSteven 2 ай бұрын
Kweli watanzania ni miyeyusho sana
@kibwananordeen3
@kibwananordeen3 3 ай бұрын
Konki master
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 3 ай бұрын
MTAONGEA MENGI SANA WATU WANGU ILA LUGHA YA MUZIKI NDO CHANGAMOTO KWA KAKA YENU.....JINA ANALO KUBWA TU AKUNA MTU ATABISHA
@ShakillaSaid
@ShakillaSaid 3 ай бұрын
Jinga sana hili jamaa
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 3 ай бұрын
Wabongo wengi waliokwenda ulaya wanaishi maisha kujifichaficha
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 ай бұрын
Siyo wabongo tu,sisi kama wanavyotuita watu weusi Ulaya siyo rahisi sana.Labda mtu awe amesomea kule au ameshasoma toka Africa
@angenyalusischmidt2321
@angenyalusischmidt2321 3 ай бұрын
ILIKUWA SOUND CHECK.. KAPIGA USIKU.. MIMI NI PROMOTER ..HUU WOTE MNAUSIKIA KUHUSU ULAYA NI UONGO
@kibwananordeen3
@kibwananordeen3 3 ай бұрын
Tulizana bhn
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 3 ай бұрын
Yupo sahihi dudubaya
@namukwayamweshihange8866
@namukwayamweshihange8866 3 ай бұрын
Akuna watu wanafiki kama tz. Wabongo niwauwaji. Diamond napinwa vipi nakila mtu. Sijuwi kafanyanini. Wivu mkubwa sana sijuwi arikiba Sijuwi rayvany Sijuwi hamo. Basi munawe atakumua. Sijuwi pimbi Sijuwi muhijaku. Sijuwi ostazi juma. Jamani. Musichokia Diamond analinwa namungu sana. Namupa pole sana mama yake. 😢😢😢
@Brunn-mh2bq
@Brunn-mh2bq 2 ай бұрын
Mhhh. Lugha gani hii yaarabi😢
@Secy-y5g
@Secy-y5g 3 ай бұрын
Yuko sana dudu
@KhalfanSalim-v1x
@KhalfanSalim-v1x 3 ай бұрын
sehem za nje kibao akienda kufanya show hapata watu maana yake mziki wake mdogo sana kwa nchi za nje 😅😅😅😅😅
@BenardLucumay
@BenardLucumay 3 ай бұрын
Japo wengi hawapendi ukweli na wasema kweli! Dudubaya yuko sahihi sana tena sana! Sisi tuliyosafiri na kufanya kazi ndani na nje ya nchi kwa muda mrefu tunajua mengi ! Ukienda Marekani ni kweli Tanzania haijulikani kwa ujuma kivile kama tunavyojibaraguza au kujitutumia ! Wanaigeria wanafahamika sehemu nyingi duniani , ni wengi kwa idadi na wamesoma sana ! Huku kwetu watu wengi hawafuatilii mambo ya msingi , hawajisomei ,hawatafuti ukweli wa mambo yaani wanasubiri kudanganywa danganywa tu kama kwenye chaguzi zetu za kisiasa! Niliwahi kusafiri kupitia uwanja wa ndege wa Heathrow Uingereza mara kadhaa nikasikia nyimbo za Remmy na Marijani zikipigwa kwenye " Duty free shops"! Yaani Dudubaya upewe maua yako na PhD ya heshima kwenye muziki na uchambuzi wa mambo kwa usahihi kabisa! Gen- Z! Wa bongo wanawaza mambo madogo madogo tu !
@karlschrader4026
@karlschrader4026 3 ай бұрын
Skujua ziwa Victoria lina Mamba😮
@BraveMajaliwa-gf7ru
@BraveMajaliwa-gf7ru 3 ай бұрын
Upo sahii brother Tanzania 🇹🇿 ina promote mziki wa diamond 💎 komasava Wakati ni nyimbo mbovu 😂wimbo unapewa promo kubwa Wakati ni sururi
@LeopordMkinga-gz9gc
@LeopordMkinga-gz9gc 3 ай бұрын
Ila apewe mauwa yake jmn
@Aphan-h7h
@Aphan-h7h 3 ай бұрын
Mama @Maneja Ding'ano aka kudinywa
@faridapatel7584
@faridapatel7584 2 ай бұрын
Wewe maisha yako mwenyewe yamekushinda ,mimi naishi uholanzi wazungu wanafunzi mayunivesti wanmsikiliza Diamond.
@osmundmtavangu
@osmundmtavangu 3 ай бұрын
Haya Waandishi mabumunda mmesikia?😅😅😅😅😅😅
@JumaIddi-o6f
@JumaIddi-o6f 3 ай бұрын
Wenye D mbili hawewezi kumuelewa konk ata mara moja
@ednahumazi777
@ednahumazi777 2 ай бұрын
Umeishiwa nyamaza
@mackrankagenzi5236
@mackrankagenzi5236 3 ай бұрын
Kuna ukweli anachosema Kaka Mkubwa Dudu Baya sababu nipo Germany na anachosema ni ukweli
@Azkingogkaka
@Azkingogkaka 3 ай бұрын
Ahuna akili wewe baba na wewe ni mjinga sana
@nicolenabintu2509
@nicolenabintu2509 3 ай бұрын
Na ndo maana wasianze kwennda uko mana hakuna anaye wajuwa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Ila kiukweli wanaijeria linapokuja kwenye nchi yao wana umoja balaaa
@VitusEmmanuel-pe3yi
@VitusEmmanuel-pe3yi 3 ай бұрын
Me niliwambia diamond nimxani wa kawaida xema TU media ndo zinampa kichwa lakin ukwel ndo huo
@Mwamba-hc1jy
@Mwamba-hc1jy 3 ай бұрын
Msanii mkubwa ww
@humbleshoal
@humbleshoal 3 ай бұрын
​@@Mwamba-hc1jy Hana ukubwa huo
@sonnyr1899
@sonnyr1899 3 ай бұрын
@@Mwamba-hc1jy Ndio ila east africa
@sonnyr1899
@sonnyr1899 3 ай бұрын
Mtangazaji kutokuzingatiya tofauti kati ya herufi L na R inapoteza ladha ya matamshi mazuri inapoteya
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Kumbe ndo mambo ylivyo😧🤔
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 3 ай бұрын
Mamba mzee wa fact😂😂😂
@michaelkojesa7741
@michaelkojesa7741 2 ай бұрын
Nipo Nigeria 🇳🇬 lakini anachosema mwamba konki yupo sahihi na hata huku Nigeria Ngoma za Tz hamna znakopigwa😂
@AlexanderNimbona-lj4ln
@AlexanderNimbona-lj4ln 3 ай бұрын
Dudubay
@SikituYusuph-fr7rj
@SikituYusuph-fr7rj 3 ай бұрын
Dudu mby ndo maana yalikushida muache simba afanye mambo yake ww tafuta ya kusema
@kdloon2030
@kdloon2030 3 ай бұрын
Anasema ukweli,sisi tupo nnje tunayaona hayo
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 ай бұрын
Kumbe dudubaya anetembea🤔
@suntzu8959
@suntzu8959 3 ай бұрын
They are 4million Ethiopians in USA
@venancengunda3879
@venancengunda3879 3 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 asee bongoo mavii sanas🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@djalasaleh
@djalasaleh 2 ай бұрын
@zote_news sikiliza iyo....
@RichVoicetz-z9r
@RichVoicetz-z9r 3 ай бұрын
ahaaaaaaaaaaa eti najulikana Africa mashariki Nan anakujua bwabwa ww
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 3 ай бұрын
Kiukweri watanzania kazikubwa nikupondana nakukatishana tamaa dudu baya nikweri nimbaya watanzania uraya niwachache wenzetu wanaija niwengi nirazima kue nautifauti mond usiwazikiraze wario tanguria kutawaza nipo wakajisaidia nirazima watatoka nakinyesi hawo
@HijaJuma-ip7xj
@HijaJuma-ip7xj 3 ай бұрын
Dudu baya anaongea ukweli mm nipo south Africa sijawahi kuona TV wala radio za huku zikiuzungumzia mziki wa Tanzania
@richkaja3317
@richkaja3317 3 ай бұрын
Dudu acha ushamba njoo usafini
@mataypanga5262
@mataypanga5262 3 ай бұрын
Dudu 😂
@Secy-y5g
@Secy-y5g 3 ай бұрын
Anacho ongea dudu Yuko sawa sana huyu jamaa anaujua mzk
@SadickHamis-vm1qi
@SadickHamis-vm1qi 3 ай бұрын
Sio mziki ni vitu vingi tuu
@Abby_Shawn_KE
@Abby_Shawn_KE 3 ай бұрын
😂😂Msema kweli DUDU BAYA,. Ureno nani anajua Swahili tukitoa waafrica wanaoishi mle? Nao unakuta hawana nafasi ya kwenda hapo kutokana na ubize
@KhalfanSalim-v1x
@KhalfanSalim-v1x 3 ай бұрын
😅😅😅😅ongea kua iyo show ya mwambino kapiga Bure kama alikua Hana furaha sababu anajua kua iyo show sio yake ni Wanaijeria wasafi wenyewe walikua wanapost anavyoimba mwambino kuzungusha camera ukumbi wote hamna watu Kala zakichwa kwamba maana yake zile show alikua anafanya zamani zilikua za uwongo ana edit kumbe sasa uwo ndo ukweli kua bado msani mdogo kwa nje msani mkubwa kwa Tanzania sio mda alie pangiwa mda wa show hata kama angefanya show mwenyewe pekeake asingepata watu hapo nahao wengine wamekuja sababu ya kuona show ya wasani wa naijeria
@nashnene6326
@nashnene6326 3 ай бұрын
Siku Diamond akifa ndio mtakapojua kuwa tunu ya taifa imeondoka
@sophsoph4740
@sophsoph4740 3 ай бұрын
Yan kwer mti wenye matunda lazm upigwe mawe😢​@@nashnene6326
@kdloon2030
@kdloon2030 3 ай бұрын
Yeye ni nani mshamba tuu,tunu ya taifa kwa wewe mwenye kichwa kibovu.Mtoto mdogo​@@nashnene6326
@AlexanderNimbona-lj4ln
@AlexanderNimbona-lj4ln 3 ай бұрын
Dudubay
@Secy-y5g
@Secy-y5g 3 ай бұрын
Yuko sana dudu
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,2 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,7 МЛН
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
33:56
BBC News Swahili
Рет қаралды 179 М.
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,3 МЛН