No video

KIMENUKA; DUDU BAYA AFICHUA MACHAFU YA P, DIDY UTAJIRI WAKE SHETANI AMEMKIMBIA LAZIMA TU ATA......

  Рет қаралды 37,710

Maks Media

Maks Media

Күн бұрын

Пікірлер: 114
@lameckmathias1188
@lameckmathias1188 3 ай бұрын
Konki! Nakuelewa vzr, unaelimisha kadri uwezavyo.
@molexevelist813
@molexevelist813 2 ай бұрын
Hujawai kuwa mnafki kaka uko wazi ubarikiwe sanaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@joctanmtambi895
@joctanmtambi895 3 ай бұрын
Dudu baya huwa napenda Sana ufahamu wake mzuri kuhusu maisha
@lazarojoseph7541
@lazarojoseph7541 3 ай бұрын
Unajuwa ukishapotea jaribu kukubaliana na hali
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 2 ай бұрын
Dudu baya nahitaji namba yangu
@Pacificano2000
@Pacificano2000 3 ай бұрын
Upendo,Amani na Furaha ina tosha ,
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi 3 ай бұрын
Dude had a point
@mchaujl
@mchaujl 2 ай бұрын
Dudubaya ana akili sana huyu jamaa...uelewa mpana sana wa mambo ya mziki,kitaifa na kimataifa
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 ай бұрын
Huyu jamaa Anaelimu ya vizazi vijavyo❤
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 2 ай бұрын
Nakukubali Konki unamadini sana.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
Ila pamoja na yote huyu kaka ana uelewa sn ht wa mambo ya kiroho
@issakobakimanga7738
@issakobakimanga7738 2 ай бұрын
Dudu baya kwa kweli ni mkweli sana
@twaahbrown1042
@twaahbrown1042 3 ай бұрын
Dudu baya kumbe ndio maana hapendwi ni smart sana ukiwa na akiri nyingi unapigwa vita sana big up sana
@Tito-dc6vy
@Tito-dc6vy 3 ай бұрын
Safi sana kaka dudubaya kwa ma neno yako nayapende sana broo
@kajaymopao1672
@kajaymopao1672 3 ай бұрын
dudu baya konky master big up
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 2 ай бұрын
Amani Upendo na furaha 👉🏾
@vicentyherman6219
@vicentyherman6219 2 ай бұрын
Huyu jamaa anaongea fact
@mugendigeorge7704
@mugendigeorge7704 3 ай бұрын
Safi Sana konki
@bromanfexxaofficial935
@bromanfexxaofficial935 2 ай бұрын
Very brilliant 😂😂😂😂
@RespiciousRwetabula
@RespiciousRwetabula 2 ай бұрын
Nakukubari sn bro, nakufatilia sn una madini mengi sn
@JULIUSOLUOCH-xf8ki
@JULIUSOLUOCH-xf8ki 2 ай бұрын
Great man of God
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 3 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@user-vm5bv3od7p
@user-vm5bv3od7p Ай бұрын
Nakukubali dudu baya
@rukiangilla3113
@rukiangilla3113 2 ай бұрын
Dudu baya Yuko vizur 🎉🎉🎉 ana ufahamu Sana
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 2 ай бұрын
Kaka serikali yetu ingekuwa na uelewa ungepewa uongoz maana una mawazo mazuri,utu na upendo.
@starjay3052
@starjay3052 Ай бұрын
P diddy 😁😁
@bobdutchbobdutch8443
@bobdutchbobdutch8443 3 ай бұрын
Good speech msemakweli uchaguliwa kuwa diwani
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 3 ай бұрын
Bana wile nakukubali sana
@YorandaBonephas
@YorandaBonephas 3 ай бұрын
Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina
@FatumaIssa-kw3vv
@FatumaIssa-kw3vv 2 ай бұрын
Thanks ❤❤
@bobmakes7068
@bobmakes7068 2 ай бұрын
Mtu yeyote mkweli brother huwa hapendwi,angalia hata ndg yangu makonda anavyopingwa vita na watu wliyomo hata ktk chama chetu.
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 2 ай бұрын
Huyu jamaa 😅 😅
@maxwellmseo1380
@maxwellmseo1380 13 күн бұрын
Ndio maana Jenifer Lopez alikimbiaaaaa
@detectivejeffrey6401
@detectivejeffrey6401 2 ай бұрын
Huyu jamaa Mungu amtunze
@user-nb9bf6rt3r
@user-nb9bf6rt3r 3 ай бұрын
Good messages bro konki
@richardsimbeye9207
@richardsimbeye9207 3 ай бұрын
Hahahaha duuu shikamo kaka ingawa ukwel unauma ila songwe napapenda
@EmmanuelMaganga-be7bl
@EmmanuelMaganga-be7bl 2 ай бұрын
Unyamaaa sana mwamba
@user-dr6bm7eu5u
@user-dr6bm7eu5u 2 ай бұрын
Dudu baya anamzungumzia p didi kama anakaanae mtaa mmoja ubungo livasaid
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
😂
@maxwellvangulinja
@maxwellvangulinja Ай бұрын
😂sema jamaa linafacts sanaa💪💪🤜
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u 3 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nikweli bro
@MexiTanix
@MexiTanix 3 ай бұрын
Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.
@ivanyydaniel2487
@ivanyydaniel2487 2 ай бұрын
halafu jigga scandal kama hizo alishajipanga kitambo ndo maana ananunua sana wanasheria wakubwa kulinda utu wake ndo maana jamaa ni bonge la shetani
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 2 ай бұрын
kweli kabisa
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 2 ай бұрын
Dudubaya ❤❤❤❤
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 3 ай бұрын
Baba wile nakukubali sana
@user-ll5lx9hi7e
@user-ll5lx9hi7e 3 ай бұрын
Mugu akubariki
@Direct-0000
@Direct-0000 3 ай бұрын
yapo ya nyuma ya pazi watu hawajayajua kuhusu uyo
@allybobsaith
@allybobsaith 3 ай бұрын
mbona wewe hukuenda 😂😂😂😂 kwa p didy
@dsgroup6093
@dsgroup6093 3 ай бұрын
Naipataje
@issakobakimanga7738
@issakobakimanga7738 2 ай бұрын
Download
@daudivundwe1131
@daudivundwe1131 17 күн бұрын
Halaa MBOZI 😊😊😊😊
@Tiffanuhran
@Tiffanuhran 3 ай бұрын
Nampenda sana puff
@MessiBaba-xf2sb
@MessiBaba-xf2sb 2 ай бұрын
Dudu baya n mtu wa maana sana. Sijui kwa nn Diamond alimwacha huyu mtu.hawa watu ndo wanatakiwa kuwa karibu na dangote.sio akina naniii hii
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 2 ай бұрын
Angalia anachoongea ni hatari kwa Diamond. Diamond anauhusino na Satan halafu Dudubaya kama unavoona anaponda hivi unafikiri atamwacha?
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 2 ай бұрын
Huyo Dangote mwenyew wahuni wanakwambia huenda P Didy alijisevia
@IdrisaMpumbe
@IdrisaMpumbe 3 ай бұрын
Uko makini sana mjomba dudu
@vernongoodvibes99
@vernongoodvibes99 2 ай бұрын
Msenge hyo dudubaya na hii media pia
@emmanuelrambo8864
@emmanuelrambo8864 2 ай бұрын
Akili.kubwa sana hiii
@RichardRobert-gh6zt
@RichardRobert-gh6zt 2 ай бұрын
Saw
@JosephSimiyu
@JosephSimiyu 2 ай бұрын
Dudu baya😅😅😅😅ila Sasa badilisha jina kuwa Dudu zuri😅😅😅
@user-xc5or1ph8x
@user-xc5or1ph8x 2 ай бұрын
hahahaaaa et shetan kamkimbia uwiii tumtegemee munguu tyu bc
@piusdeo9380
@piusdeo9380 3 ай бұрын
Nakubali baba maelezo yako nayaeeewaga kinoma
@hamadmhchande5633
@hamadmhchande5633 2 ай бұрын
Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 2 ай бұрын
Kaka mkubwa mbona mijasho minhimingi siuvue hilo prova
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 2 ай бұрын
Diamond kaliwa tayari
@kichuchu-saloon
@kichuchu-saloon 3 ай бұрын
Kwanza Kuna kitu watu hawajui . Diddy ni FED pia ni CIA so mtaongea sana ila atofungwa
@afropatriot7769
@afropatriot7769 3 ай бұрын
Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee
@hilarylaurian7896
@hilarylaurian7896 2 ай бұрын
Eti Didy ni CIA sijui FED😂😂😂😂😂
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 3 ай бұрын
Long live Konki
@madahaboytz
@madahaboytz 2 ай бұрын
Kaka njoo tuimbe Gospel unaonekana umeokoka, MUNGU katutoa huko.
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
😮😢ila jmn
@user-ut3gf1tg2n
@user-ut3gf1tg2n 2 ай бұрын
jembe umejaa vitu vizuri sichok kukusikiliza
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 2 ай бұрын
Ushaidi??
@raggysingo4983
@raggysingo4983 3 ай бұрын
Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂
@RabihuHussein
@RabihuHussein 3 ай бұрын
ww ndo huyafahamu. Limousine ni magari yale ya milango sita.
@amirkhamis8250
@amirkhamis8250 2 ай бұрын
Yanitwa tour bus Dudubaya yupo sawa. We ndio utakuwa hujui. Limousine ni kitu kingine kabisa.
@emanuelndembeka6959
@emanuelndembeka6959 2 ай бұрын
Limousine ni gari ya milango sita
@paulojohn5504
@paulojohn5504 2 ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu sana
@user-ku1rg7mr3i
@user-ku1rg7mr3i 2 ай бұрын
Dudu baya na afande sele wako makini sana
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx 3 ай бұрын
Acha kufuru mziki ni haramu
@geofreymongi5403
@geofreymongi5403 3 ай бұрын
Kwako ndio haramu
@bakariomary5781
@bakariomary5781 2 ай бұрын
Chochote ni haramu kulingana na utakavyokiendea wapo mashekhe na wachungaji mbona hudhurumu watu kwa kigezo cha dini hiyo sio Haramu????
@monicakimati4619
@monicakimati4619 2 ай бұрын
Matayo 10:26-27
@dsgroup6093
@dsgroup6093 3 ай бұрын
Nina shida na namba ya hyu mwamba dudu baya
@AllyYusufsadam
@AllyYusufsadam 2 ай бұрын
Kaka oomba yasikukute kbx sindio
@user-yd4et4sd9b
@user-yd4et4sd9b 3 ай бұрын
Huyu master yuko vizuri sana, sema usiogope wajinga wachache wanaoshadadia ushoga
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 2 ай бұрын
DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 3 ай бұрын
Funguka mamba
@user-ue5cn9cw1h
@user-ue5cn9cw1h 2 ай бұрын
mbee
@landmadvdmbeyacity9561
@landmadvdmbeyacity9561 3 ай бұрын
Konk mastaa
@user-ib1kp5ch4m
@user-ib1kp5ch4m 3 ай бұрын
Muulize dudu,Wile yupo wapi?
@user-um8xn4ge4i
@user-um8xn4ge4i 3 ай бұрын
Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo
@MackameHassani
@MackameHassani 3 ай бұрын
Elewa nn anachikiongea kwanza huyu jamaa kaka, kwani wazungu hawapo ktk list ya wanaoabudu shetani?
@user-we7uq1qh7p
@user-we7uq1qh7p 3 ай бұрын
Www kenge kuwa na adabu mm naushi Amarican Soo kweli unachokisema
@user-sg6nc1is3j
@user-sg6nc1is3j 3 ай бұрын
Shetani anapenda kumgeuza mtoto wa kiume awe Maji ya tamu
@MexiTanix
@MexiTanix 3 ай бұрын
Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.
@mbarakajummadindamadinda491
@mbarakajummadindamadinda491 2 ай бұрын
Anafugwa yule wewe mda wake umeisha we ndo haujui kitu Sasa wazungu hao hao ndo wanammaliza
@onuleonard6160
@onuleonard6160 3 ай бұрын
Nchi hii hatar mtu anamsemea mpaka asiyemjua
@lazarojoseph7541
@lazarojoseph7541 3 ай бұрын
Kweli mambo ya US mbongo anajifanya anajuwa 😂
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 3 ай бұрын
Dunia sasa hivi ipo kwenye kiganja cha mkono. Wewe wa wapi?
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 2 ай бұрын
Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi
@billjames1216
@billjames1216 3 ай бұрын
Huyu anasema nini Kwani amekuwa akiishi chini ya mawe???
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 2 ай бұрын
Dudubaya akili nyingi sana
@mustafarajabu4005
@mustafarajabu4005 3 ай бұрын
Dudu baya umeishiwa.hivyo vitabu vyawapi mungu anataka mziki wadunia.mungu anataka mziki wakumsifu yy na sio mziki hunaosema ww konki x3.oll chafu😂😂
@user-zz5uj6gs4m
@user-zz5uj6gs4m 2 ай бұрын
Weyee ndo hjafaham
@JandaalHaqeem
@JandaalHaqeem 3 ай бұрын
Dudu baya kuimba hujui
@moshimaganga6683
@moshimaganga6683 3 ай бұрын
Acha upuuzi
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 2 ай бұрын
wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe
@abuuhafsah9630
@abuuhafsah9630 2 ай бұрын
Ukiwa choko lazima umpinge dudu
@Allyhujjat
@Allyhujjat 2 ай бұрын
Pumbavu unajua nn wewe ebu kakojoe ukalale mjinga mkubwa huyu ipo siku mtajua kwanini namwita mjinga ajui kitu
@prof.abusakelsaleh3524
@prof.abusakelsaleh3524 2 ай бұрын
Wewe unayejua hongera ila bora ujinga unaosaidia kuliko akili isio na msaada
DUDU BAYA AFICHUA MADUDU YA SARAH WA DIAMOND, WAMEFANYA UPUUZI
25:37
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 28 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 12 МЛН
DUDU BAYA ACHUKIZWA NA KIBOKO YA WACHAWI, ONA AIVYO MUUMBUA
14:43
DUDU BAYA AMTUHUMU DIAMOND KWA WIZI, TUTAPELEKANA MAHAKAMANI
10:09
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 6 МЛН