Mungu akueke mahali pema peponi machaprala mungu amekupenda zaudi ndio ukatangulia mbele za haki. mungu akueke pema palipo na wema Amin.
@yussufbaga47268 жыл бұрын
Mohd Machapulara King of Voice! Hii ndio Zanzibar ya kale kabla uvamizi na uharibifu wa maadili.
@tipuhanif77538 жыл бұрын
ulikuwa wapi ilipo haribiwa
@sadakhamis12612 жыл бұрын
Nikweli madili saiv yameharibika
@mbarouk093 жыл бұрын
Ndio muimbaji wangu bora wa muda wote
@jumaothman20925 жыл бұрын
Samahani mwenye wimbo wa yeye ameniwafiki machaprala ameimba nauhitaji
@saheelameir43135 жыл бұрын
Ya Allah turudishie zanzibar yetu ya maadili ya uislam
@baalawy1005 жыл бұрын
mola amrehemu Maulid Machaprala ,kipenzi cha watu wengi.Amewacha pengo kubwa katika ulimwengu wa taarab
@SalimSalim-bb4gj7 жыл бұрын
Nakumbuka zama zetu... mziki taratibu wa jioni huku ukinwa kahawa barazani
@lipymuscat47796 жыл бұрын
Salim Salim hehehee
@nuramoboy7 ай бұрын
Allah amsamehe makosa yake na amlaze pema poponi Amin ( Aliwashinda wanaume na wanawake sauti yake haikutokea) Ya allah msamehe mja wako huyu na hata nyimbo zake zikisikilizwa usimuandikie madhambi . Amin
@labardan564 жыл бұрын
Just great, oh, when corona times are over... I'd like to visit Zanzibar!
@khamisjuma76163 ай бұрын
aaaa iko wapi zanzibar yetu ukowapi utamaduni wetu ziko wapi silka zetu ziko wapi desturi zetu nalalia mazuri ya zanzibar tumeporwa mpaka utamaduni na umezikwa utambulisho wetu😊😊
@tatumakadara57938 ай бұрын
Nikikumbuka sauti nzito,za kina Machapralla,Seif Salim Asha Simai( Um kulthoum wa znz) Mungu awarahamu
@nassermaqbaly52314 жыл бұрын
Hakuna mtu hata mmoja ambaye alitaka kuondoka zanzibar wakati ilipokua zanzibar kweli tulikua tunaona tuko peponi kabla ya mauwaji ya kidhalim na kuifisidi nchi iliyokua inasifika dunia nzima kwa ustaarab na elimu wapi leo imebakia inanuka mavi kila kipembe na njaa na uchafu wa zina na ulevi kila corner na kaum luuti. ALLAH tunakuomba uturejeshee zanzibar yetu kama ilivokua Ameen.
@saheelameir43134 жыл бұрын
Amiin
@softena1003 жыл бұрын
Amiin yaarab
@shamscookery59897 жыл бұрын
Natamani nirudi niwe mtoto Tena nikicheza nje ya studio zao stone town nikiskia tu sauti zao wakifanya mazoezi
@cholloriyamiy22494 жыл бұрын
Daaah Umenena kweli Broo.. Hua sibanduki pale Club yao kokoni Malindi (stone town.)
@nuramoboy7 ай бұрын
8:22 Sheik Ali Allah amsameh nae makosa yake na amuweke pema peponi , Amin
@abdallahsuleimani74163 жыл бұрын
Yaani hapa wakati huo ulikuwa hutamani hata ulaya maana Raha zote zilikuwa nyumbani zanzibarrrr
@masoudapology92306 жыл бұрын
Nazipenda sam hizi nyimbo jamani hadi nackia kuumwa najivunia kuwa Mzaznzibar ktk viziwa vya marashi ya karafuu.
@khelefomar38678 жыл бұрын
mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi
@hamadrajab80427 жыл бұрын
eddy roger. ya salaam ya salaam inanikumbusha mbali machozi yananitoka Zanzibar yetu
@fanijumahajj96364 жыл бұрын
unasemaa
@nassermaqbaly52314 жыл бұрын
Hatokei tena mwimbaji mzuri kama machapralla sasa hakuna tena tarab bali kuna matusi tu na upumbavu wa kibara.
@inversedelcruise6764 жыл бұрын
Hii ndio Zanzibar ninayoijua mie wallahi, ila hii ya sasa ni siasa na ubadhilifu tuu
@MrBorndrunk764 жыл бұрын
Allah akupe darja ya juu, ulikuwa legend, ila tu sisi tulishindwa kutambua hilo jambo
@wahidaabeid57124 жыл бұрын
Mungu akurahamuni mlio fariki ameen na mungu ajaalie irudi iwe znz ya zamani ya rabb ameen
@johnkuma68679 ай бұрын
Zanzibar mwapendeza. Nilikupenda sana wakati wa likizo yangu na familia yangu. Nihame nisihame Makueni kenya?
@johnjalisco33853 жыл бұрын
Old is gold for sure.
@zainabzainab24223 жыл бұрын
Shukran mzee machaprala
@suleimanimganga42123 жыл бұрын
Yes hii ndio taarabu
@abubakarkhamis38843 жыл бұрын
MashaAllah nice taarab
@Omarsi20003 жыл бұрын
Malkia wa Nyumbani Lyrics: Kassim Mohamed Music: Ali Salim Basalama Singer: Maulidi Mohamed Machaprala Ewe Malikia wangu ... Ulotulia enzini. Kulikoni pendo langu ... Ili niwe furahani. Katika maisha yangu ... Tuishi kwenye amani. Umetua moyo wangu ... nikiwa nje na ndani. Tabia za kutukuka ... Kwa daraja namba wani. Mola alivyokupika ... Kama wanja na uyuni. Uzidi kutakasika ... Tia hina mwilini. Kila kukipambazuka ... Eva utini machoni. Mola alivyokuumba ... Natoa shukurani. Si mnene ni mwembamba ... Kimo chako wastani. Umepata hukuomba ... Sifa na yako ayuni. Ndipo nami nikitamba ... Kama siwewe ni nani. Cheo Chako Malkia ... Wewe ni yangu ramani. Himaya hunipatia ... Hapa hapa duniani. Dira nakutumia ... Nikiwamo safarini. Nikitaka kupotea ... Hunileta karikani Moyo hauna akili ... Mwengine haonekani. Natoa yangu kauli ... Kama siwewe ni nani
@joewairimanson33805 жыл бұрын
wow what a wonderful song
@MrBorndrunk766 жыл бұрын
Hizi ndio taarab sio leo fujo tu
@shekhansaid95434 жыл бұрын
Miaka kumi iliopita tuliahidiwa taarab asilia itarudi, lakini waapii masikini Zanzibar iwapi tena!! !!.
@albusaidkhelef66556 жыл бұрын
wakat huo Zanzibar ipo katoto kabisa ata ukienda hospital kupima kama ni ugonjwa ni ule ule mmoja lakin nenda leo ukapime utasema dokta anakuongopea maradhi lukuki.ZanZibar ya Machaprala wap tena
@seifhafidhsuleiman36434 ай бұрын
Allah kauli thabit
@binbadru16542 жыл бұрын
zanzibar ndio kwetu
@najjatharoub1972 жыл бұрын
Mashallah sauti muruwa hapo nna miaka 6
@abuuthaurat19302 жыл бұрын
Mimi hapo 7
@mussavande-mcstar1890 Жыл бұрын
mie hata siijui Dunia
@shekhansaid95434 жыл бұрын
Allaah amrehemu nguli huyu.
@abdul-rahmanabdullah76264 жыл бұрын
taabarak Allah
@alimohd84272 жыл бұрын
Tizama hao wana wake humus walivyovaa utajua ni watu we nye he's him a zao,sio hawa Waterbeach uchi wa sasa,ndo maana Mungu analeta mabalaa tumefikia kumuasi
@mwajuma17347 жыл бұрын
nice wimbo machaprala
@seifabdulwahid45792 жыл бұрын
Hapo ndo nazaliwaadau
@nassramalik56665 жыл бұрын
Mmh nakumbuka haile wakati huo tunasoma hapo mmh Zama zimepita
Ehh bwana hapo mie niko nursery nikikumbuka jinsi skuli za chekechea xilivyokua kama za ulaya sitanii kila hitaji lilikuwepo leo hii wapi?
@rashidsuleiman26636 жыл бұрын
Huyu mc nazani anafanya kazi airport znz apo alikua kijana kweli au lkn sina uhakika
@iddiiddi55856 жыл бұрын
Nakumbuka alikuwa Zanzibar Wharfage Corporation.
@abduillmakei72385 жыл бұрын
Jaman mm nampend cn machapral cjuw kwnn nimezaliw 92 naumia cn nikiskia nyimbo zk ila najuw km kz ya mung hain makosa
@abduillmakei72385 жыл бұрын
Kw wale ambao wanaziimba tn nyimbo za zamn wasiimbe tn maan hawazipatii wanaziharibu km kwl wanawez waimbe za kwao
@abduillmakei72385 жыл бұрын
Inaniuma cn nikiskia nyimbo zk ktk dunia hii hakun mt ambae nampend km c prof machap ila najuw km mung kakupenda zaid ila naamini km tutaona t peponi bado cjakat tamaa pumzk gwiji
@jumamahmoud94115 жыл бұрын
Wakati huo Nina miaka 11 nakumbuka enzi hizo kipindi cha burdani SAA. 8 STZ
@seifabdulwahid45792 жыл бұрын
D
@seifabdulwahid45792 жыл бұрын
Huo
@khelefomar38678 жыл бұрын
mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi