Elias Maganga Paschal mwenye umri wa miaka 17 ambaye wiki iliyopita alikuja kumtafuta Mama yake Leo Tena Ya Clouds FM
Пікірлер: 55
@SuleimanDadiАй бұрын
Kwakweli mnajitahidi sana sana sana Kwa msaada huo endeleeni hongereni sanaaa
@edinarajwai30503 жыл бұрын
Clouds media mnafanya kazi nzuri sana mpokee pongezi
@azeezaya85103 жыл бұрын
Hongera sana napongezi nyingi kwenu CLOUD kwakuleta furaha kweny family zawatu. Kazi nzuri kwenu wafanyakazi piya tinawapenda sn
@merinajuma69483 жыл бұрын
Nimelia Mim😭😭😭i sjui namm mjomba wangu atludi sku1 maana kaondka Mimi nazaliwa jmn sjui yupo hai au vp
@annajohn90633 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwapa uzima na pongezi kubwa sana kwa kile mnachokifanya big love!!!!!
@aminaomary55672 жыл бұрын
Kaka mwinjaku walengwa sauti inakuwa chini hatuwasikii.Ongera sana Redio hii mzuri sana tena sana.
@donicomkulikiza40753 жыл бұрын
Clouds mbarikiwe sana kwa kazi mnayoifanya
@attusiyovera5473 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Awabariki Clouds,Mmeniliza
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Mama mtamu bn asikwambie Mt hongeren mama 'a mwanga kwa kukutana tena
@khadijahomankweliyamjahaya74213 жыл бұрын
Alhamdulillah mungu mkubwa jaman watoto kuona mama zao mbalikiwe
@janemsamati67003 жыл бұрын
Leo tena kwa kweli mnafanya vzr sana Yaan ni furaha iliyoje mama na mwana kukutana tena?Hongereni sana
@sabihahamadi22872 жыл бұрын
Mshaallah mungu awabariki nyote
@fatemafatemamubarak39652 жыл бұрын
Nimelia sana pongezi sana cloud Allah atawalipa
@sophiakarani9091 Жыл бұрын
Mungu awabariki kazi nzur
@swaumumustapha49262 жыл бұрын
Cloud big up kwenu jamani kazi inzuri
@miriamkikula61333 жыл бұрын
Jamani hongereni sn ata mimi pia nimelia sn mmefanya nimemkumbuka sn mama yangu alikuwa anapenda sn huo wimbo jmn mungu ampe pumziko la milele mama yangu mpendwa
@agathathobias86903 жыл бұрын
Pole sana
@masikinimorris9151Ай бұрын
Mimi hiyo nyimbo ndio inaliza sana
@loner_wolfАй бұрын
Huyo baba mlezi wa mama kafanana na masele chapombe😂
@irenemwakalinga43503 жыл бұрын
Mbona nalia mapema sanaaa jaman uwii I feel mm ndo kama huyo mama
@azamajid95303 жыл бұрын
Nimelia hadi Aza oman
@ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын
Crouds kwa hili mko vizur sana
@nasrahassan73462 жыл бұрын
Naomba namba ya dctr mimi dalili zote za madonda ya tumbo ni nazo jamani namba nimesahau pleas naomba
@dianajoseph37623 жыл бұрын
Matangazo yamezidi mnoooo...
@nyabukemaluga14203 жыл бұрын
So happy kwakweli
@gloriamngulwi48283 жыл бұрын
Muacheni mungu aitwe mungu
@felisterjohn4933 жыл бұрын
Matangazo nimengi jamani
@sebonikegobi62442 жыл бұрын
Hongera clouds mubarikiwe kwakuleta furaha na amani kwenye familia
@shamsajahagandhi38003 жыл бұрын
Mungu mkubwa jamani
@chrismasiakidasi43003 жыл бұрын
Yani unaweza kulia hadi uzimie
@zainabmbarak10432 жыл бұрын
Kwa hio vidonda vya tumbo vinaambatana na bp
@rizikially95352 жыл бұрын
Jamani pia kuna mtoto wa mjomba ambae mjomba alimchukua tangu Mdogo kutoka morogoro kwenda kijijini ambako ukunaitwa kwamkole sambaan mama nahis hakumuona mwanae mpaka sasahiv
@ndaimtambo88453 жыл бұрын
Hivi kuna aja gani ya kuzungumza makabila katika kituo chenu embu acheni hayo mambo bana mwalimu alisema kikabila chako hakitusaidii kitu sisi ni waswahili
@lucymunguibarikisimbaabel81683 жыл бұрын
Nani kama mama .
@aminamkandawile88633 жыл бұрын
Mungu mkubwa
@anipe5653 жыл бұрын
Hadi nimelia😭😭😭😭
@zainabmbarak10432 жыл бұрын
Maana hizo Dalglish zote anazozitqjq huyo mama mimi ninazo
@jamilasalimvilog67523 жыл бұрын
Ndio kheri
@kabulamhembe10242 жыл бұрын
Nmelia kwa uchungu
@winniekodero44223 жыл бұрын
I wish in issues like this,you would hv used DNA
@clementhiddi14863 жыл бұрын
Kweli wakati umefika waanze kutumia DNA haya mambo ni makubwa sana. Imagine if not!
@gilliardgodfriend5745 Жыл бұрын
Sio rahisi kusingiziwa mama labda baba nisawa ila kwa mama hapana😊
@rizikibakar31863 жыл бұрын
Mpk nimelia
@ndaimtambo88453 жыл бұрын
Mkiendelea kuubiri ukabira mwishoe mtauona
@hadijaabbas21922 жыл бұрын
Mtatuua kwa kulia
@muxinkuya91613 жыл бұрын
Hv hawa was dislike wanatokea wapi?
@mariamchannel92343 жыл бұрын
Hawajui maana yakee
@user-eu6ql9zl7n12 күн бұрын
Kweli ni kuwasamehe tuu@@mariamchannel9234
@haimahaima94733 жыл бұрын
Hyu wa pili ni muongo wakwnza wanafanna kabsa
@shamimushittindi14183 жыл бұрын
Sikiliza vizuri watangazaji ndio waliokosea
@haimahaima94733 жыл бұрын
Ndo nmefatlia sasa nmeelewa
@priscaanthony10673 жыл бұрын
Mungu ni mwema jamani
@shamsajahagandhi38003 жыл бұрын
Mungu mkubwa jamani
@nshonabdll93633 жыл бұрын
Mama mtamu bn asikwambie mtu hongereni mama na mtt kwa kukutana Tena